JIBU LA HEKIMA LA PROF. ASSAD

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
  • Leo tarehe 5 Novemba 2019, Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali Profesa Mussa Assad amekabidhi rasmi ofisi kwa CAG mpya, Charles Kichere ambapo alipata nafasi ya kuzungumza kwa mara ya mwisho kabla ya kukabidhi ofisi,..

ความคิดเห็น • 38

  • @johnedwardkassawa2952
    @johnedwardkassawa2952 4 ปีที่แล้ว +3

    Mbona anaekabidhiwa anatoa macho tu, Musa Assad Mungu Ni mwema siku zote, umenitenga na udhalimu na udhaifu, Mungu akutangulie

  • @mohamedothman9769
    @mohamedothman9769 4 ปีที่แล้ว +1

    Profesa aliyebakia Tanzania. Allah atakutangulia tu inshaallah

  • @japharynduko6139
    @japharynduko6139 4 ปีที่แล้ว +2

    Nakupenda sana Assad mussa

  • @nurumnyumba7964
    @nurumnyumba7964 4 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante sana CAG wetu.

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 7 หลายเดือนก่อน

    Ok

  • @amryabdallasaid2077
    @amryabdallasaid2077 4 ปีที่แล้ว

    Ya'allah mfanyie wepesi prof: Mussa Assad ktk kipindi chote cha Maisha yake.

  • @eddieross2581
    @eddieross2581 2 ปีที่แล้ว

    Mashallah kichwa hicho

  • @abuumkumbalu9123
    @abuumkumbalu9123 4 ปีที่แล้ว

    Kupata watu kama hawa si kazi raisi good like prof mussa asadi

  • @the_white_43.
    @the_white_43. 4 ปีที่แล้ว +4

    Unaongea kwa hekima kubwa sana ,,,Mungu atakulinda na kukusaidia ktk magumu unayopitia..

  • @magengekovu2947
    @magengekovu2947 4 ปีที่แล้ว

    Ya jabbar

  • @mudhihirumikidadi6066
    @mudhihirumikidadi6066 4 ปีที่แล้ว

    Penye miti wajenzihakuna huwewezi kujuwa umuhimu waulimi nakaziyaulimi mpa upate madonda yakwenye ulimi

  • @farajikomesha1264
    @farajikomesha1264 4 ปีที่แล้ว

    Bado naamini katika usikivu na busara ya Rais. Assad ni hazina kubwa sana kwa nchi yetu. Asikubali hazina hii irudi kijijini ikalime bamia na kufuga kuku. Itakuwa ni wastage of resources. Nadhani bado ziko taasisi nyeti zenye kuhitaji wau mahiri kama prof. Assad. Lets exploit him.

  • @jahabdallah1829
    @jahabdallah1829 4 ปีที่แล้ว

    Daaaaaa kwanini makufuli umemtowa uyu profesa???yuko makini sana uyu mjomba na sio mralushwa yuko street jinsi sisi tunavyo muangali maneno yake ni mzalendo original wa Tanzania mmejiaribia wenyewe uyu ni kichwa hanaelewa hanajifaamu na hanajuwa hanachofanya katika kazi yake???makufuli hata weza kumpata kama uyu tena? M south Africa jah

  • @syliveriokilimila5865
    @syliveriokilimila5865 4 ปีที่แล้ว

    achia ofisi sepa

    • @selemanimwalimu1000
      @selemanimwalimu1000 4 ปีที่แล้ว

      syliverio kilimila hujielewi

    • @sumvyandauga1289
      @sumvyandauga1289 4 ปีที่แล้ว

      @@selemanimwalimu1000 chukwu haijengi acheni chuki aliepewa kapewa

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว

      Mzembe wewe!!!

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 ปีที่แล้ว

      @@jumakapilima5674 Huyu anaonekana hapendi hadaa na udanganyifu kama wewe unayependa udanganyifu.

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 ปีที่แล้ว

      @@jumamohamed3168 hujielewi wewe!!

  • @georgealphonce8317
    @georgealphonce8317 4 ปีที่แล้ว

    Maneno mengi ya nini baba ? Uliteuliwa na sasa muda wako umeisha si basi ?

  • @syliveriokilimila5865
    @syliveriokilimila5865 4 ปีที่แล้ว

    aachie ofisi hayo maelezo yanaashiria alikua mwizi huyu

    • @mohamedothman9769
      @mohamedothman9769 4 ปีที่แล้ว +1

      Ww una mawazo ya njaa njaa tu unadhani kila mtu ni km ww. Ngoja tuone kinachofuata ndo tutajua mwizi Assad au nani. Time will tell

    • @johnedwardkassawa2952
      @johnedwardkassawa2952 4 ปีที่แล้ว

      Mohamed Othman , huna haja ya kubishana na mtu anaeonekana dunia imempita, na inaonyesha hamjui Professor Mussa Assad

    • @Ali-nl2du
      @Ali-nl2du 4 ปีที่แล้ว +1

      Umetumwa?!

    • @selemanimwalimu1000
      @selemanimwalimu1000 4 ปีที่แล้ว +1

      syliverio kilimila hujielewi

    • @allyabeid4188
      @allyabeid4188 4 ปีที่แล้ว

      syliverio kilimila hata babaako anajua kuwa huyu si mwizi sembuse wewe kitoto hata tongotongo hazijesha kojoa ukalale