Hananja.r Tatizo Hakuna mafundisho ya Familia, //Hata Mbuzi anawatoto.// !!Tusiwaache Vijana
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 ม.ค. 2024
- Vijana tuwaandae mapema. Kwenye Safari yake ya maisha awe na mafundisho tayari. Wengi wanafundishwa kuhusu #ndoa wakati Kesho kutwa ndio #Harusi. Tunahitaji Kubadilika. Hata kwa Ngazi ya Familia ni vyema Kuwauliza watoto Juu ya mahusiano yao ili wapate #Elimu
#Hananja #Hananja.r #RevHananja #hcf