Hii TLS ya sasa huenda ikatoa elimu bora ya uraia kwa Watanzania kujielewa na namna bora ya kupata haki hasa katika chaguzi mbalimbali. Maana Kuna viongozi wamejifanya kota pini ya baiskeli kutolewa kwake ni Kwa nyundo.
@@JoyceKabula-in1sh hawa watu ni wadhalimu sana na hawatumii akili vizuri wanatamani kuabudiwa na kuona vyama pinzani vikipuuzwa kitu ambacho hakiwezekani kamwe
Mmi nadhani kama walimpiga tundu lisu ashitakiwe polisi aliyetowa agizo la. Kupiga bila. Sababu hata yeye akistafu akrudi urahiani ataishije na. Watu ama. Ataenda kuishi nje ya tz
Polisi wanatumika kisiasa mbona viongozi wa ccm. Awashikwi. Ama. Wanapewa. Maelekezo. Pili. Awajapata maelekezo. Kutoka kwa. Wazir. Wa. Mambo ya ndani ama. Ni. Kutoeshimu haki za binadamu
walio kamatwa ni watanzania wenye mapenzi mema na Taifa kwa pamoja,hvyo vitendo hvi vimewavunja moyo ,na iman watanzania.kwa upendo wa MUNGU wa rehema,waachiliwe kabisa hawana kosa.
Nadhani watanganyika mtangaze kutokuwa na IMANI NA MSAJILI WA VYAMA. Ajuhuzuru kwa sababu ni mpendeleaji. Kwanza kusingekywa na vyama vingi ungewasajili nani? Kwa kusema kweli huyu mi mpendeleaji mkubwa sijui kwa kila kilifanyika mwaka 2020 sijui kwa nini vyama bado wanampa huyo kuwa msajili wa vyama.
Police washikiwe Kwa kosa la kuvunja sheria na katiba ya nchi inayoruhusu watu kukusanyika na maandamano na kufidia gharama Kwa Kila mtu aliyehudhuria pia gharama ya maandalizi ya kongamano
Ile kauli ya kiongozi wa uvccm kuwa polisi wasisumbuke kuwatafuta wapinzani wakipotea, polisi mlikuwa hamjaairiwa? Ndio shida ya kuwa na jeshi la machawa. Mlaaniwe pamoja na hiyo serikali yenu.
Clemence,husiongozwe na chuki kama unalipenda taifa lako,kosoa penye kosa,unga mkono penye haki,huko ndo kulijenga na kulinda haki ya kila raia,ndoyo maana nampongeza Dr,Nchimbi hangeweza kukaa kimya huyu analipenda taifa lake.
@@SmilingFlowerBouquet-hs2hvHuyo jamaa ni hamnazo kichwani Zero Sifuri halafu hajitambuwi, angejifahamu asingeli comment kbsaa !!!! Hajitambuwi siku zote huyo.
Mungu aingilie Kati bila vyama vingi tungeishi Kwa shida tuenderee kuvitia moyo
Kitendo Cha kumpiga Tundu Lisu ni kosa kubwa kufuatia Hali yake. Hao polisi washtakiwe kwa majina yao na waeleze sababu za kufanya hivo
Msajili hafai ajiuzulu anayAona ya chadema ya ccm hayaon hatunamsajili wa vyam Tanzania tuna kibaka wa ccm
Nimeelewa kitu.
Tanzania kweli hatutaki wazalendo wakiwa hivyo wanaitwa mihemuko chapa kazi mwabukusi
Hii TLS ya sasa huenda ikatoa elimu bora ya uraia kwa Watanzania kujielewa na namna bora ya kupata haki hasa katika chaguzi mbalimbali. Maana Kuna viongozi wamejifanya kota pini ya baiskeli kutolewa kwake ni Kwa nyundo.
Ni vema malidhiano Sheria ifuate mkondo wake hoja kandamizi ziachwe
Sahihi kaka, ujumbe mzuri sana huu!
Dhamama ya mini kwani mmewakuta na silaha ccm wanajizalilisha wananchi hatuwaelewi kabisa
@@JoyceKabula-in1sh hawa watu ni wadhalimu sana na hawatumii akili vizuri wanatamani kuabudiwa na kuona vyama pinzani vikipuuzwa kitu ambacho hakiwezekani kamwe
Mmi nadhani kama walimpiga tundu lisu ashitakiwe polisi aliyetowa agizo la. Kupiga bila. Sababu hata yeye akistafu akrudi urahiani ataishije na. Watu ama. Ataenda kuishi nje ya tz
Amen
Kama katiba haitafuatwa basi tutegemee kukimbia ovyo
Polisi wanatumika kisiasa mbona viongozi wa ccm. Awashikwi. Ama. Wanapewa. Maelekezo. Pili. Awajapata maelekezo. Kutoka kwa. Wazir. Wa. Mambo ya ndani ama. Ni. Kutoeshimu haki za binadamu
Chadema ndio chama pendwa tz ndio mana wana angaika ili kukizima au kukiua lkn Mungu mkubwa sana kliko ccm.
TLS ya sasa iko kazini. Waelimishe wa TZ.
Niushamba na unyanyasaji kwa watu wanaopendwa na wananchi walio wengi kama unajiamini na uongozi wako wasiwasi wanini.
walio kamatwa ni watanzania wenye mapenzi mema na Taifa kwa pamoja,hvyo vitendo hvi vimewavunja moyo ,na iman watanzania.kwa upendo wa MUNGU wa rehema,waachiliwe kabisa hawana kosa.
Nadhani watanganyika mtangaze kutokuwa na IMANI NA MSAJILI WA VYAMA. Ajuhuzuru kwa sababu ni mpendeleaji. Kwanza kusingekywa na vyama vingi ungewasajili nani? Kwa kusema kweli huyu mi mpendeleaji mkubwa sijui kwa kila kilifanyika mwaka 2020 sijui kwa nini vyama bado wanampa huyo kuwa msajili wa vyama.
Hii nchi haina usawa , ila CCM ndiyo ina kila haki.
Police washikiwe Kwa kosa la kuvunja sheria na katiba ya nchi inayoruhusu watu kukusanyika na maandamano na kufidia gharama Kwa Kila mtu aliyehudhuria pia gharama ya maandalizi ya kongamano
Kweli kabisa
Ile kauli ya kiongozi wa uvccm kuwa polisi wasisumbuke kuwatafuta wapinzani wakipotea, polisi mlikuwa hamjaairiwa? Ndio shida ya kuwa na jeshi la machawa. Mlaaniwe pamoja na hiyo serikali yenu.
Samia suluhu kama upo serious,igp na huyo awadh wafute kazi!....! Wamekudhalilisha sana la sivyo tutajua umewatuma 2025utaona hasira za watz!... 2025
Clemence,husiongozwe na chuki kama unalipenda taifa lako,kosoa penye kosa,unga mkono penye haki,huko ndo kulijenga na kulinda haki ya kila raia,ndoyo maana nampongeza Dr,Nchimbi hangeweza kukaa kimya huyu analipenda taifa lake.
Umekuwa,kiongozi mkubwa mihemko itakupoza utaonekana kituko sasa
Unaumia au
Kwahiyo alitakiwa akae kimya?
Huyu jamaa mbna Hana point anakuga na shida Gani jamani hili linyiha la mbozi huko
@@SmilingFlowerBouquet-hs2hvHuyo jamaa ni hamnazo kichwani Zero Sifuri halafu hajitambuwi, angejifahamu asingeli comment kbsaa !!!! Hajitambuwi siku zote huyo.
Wewe ndiyo kituko sasa !!!!! ungejitambuwa huna akiri usinge comment kbsaa ni bora wewe kukaa kimya !!!! Siku zote unaonyesha ukichaa wako tu.