Vaileth Mwaisumo - Imeisha Hiyo (Official Video Music)SMS: Skiza 6981237 to 811.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.พ. 2023
- MUNGU akimaliza amemaliza, akiponya ameponya, akiinua ameinua hakuna wa kusimama juu ya neno la MUNGU wimbo Imeisha hiyo ni wimbo unaokupa ujasiri kutembea kifua mbele unapobarikiwa na MUNGU bila kujali chuki za watu, hapana za watu au vitisho vya watu MUNGU akikutendea Imeisha hiyo. # #VailethMwaisumo #MusicVideo #ImeishaHiyo
- เพลง
Ubarikiwe mdogo wangu imeisha hiyoooooo
Waooh my dada nimebarikiwa mno. Asante sana. Hii ni kubwa sana ❤️❤️❤️
Umeimba Sana dada mungu azid kukuinua dada ♥️
Rose Mimi hupenda bureeee,wish I meet you someday
Beautiful, I love this song
Amen sis ,Baraka kutoka kwa my big sis mwenyewe,
One of the celeb musician mwenye hana ubaguzi that's why songs zake zinaenda viral tik tok nzima ...wenye tik tok imetuleta hadi hapa wapi likes za mamaa🥰
Be blessed
P
Case closed 🔐🙏🙏🙏🙏🙏
@@vailethmwaisumo be blessed too ....no situation is permanent in life even us working in Arab countries one day itaishaa ivoo
Haaaiyah! Awuuuuh! Safi sana mama.....imeisha iyo. Nice hit nikiwakilisha Kenya
Tiktok imenifanya nikimbie huku kama gari ya miraa,Kenyans in gulf wapi likes ya our sister, proud of you mum 💪💪💪
Amen
❤❤❤team gulf hapa
Nimeskia kwa nyakoo.. 😂😂
Power of team gulf ❤❤
Wangapi tumesearch mdogo mdogo?? Naomba likes mbili😂🙏imeisha hiyo
Kazi nzuri sana from Kenya piteni na like hapa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
imeishaaaa mdada mzuri kesi pose wimbo wake mzuri, wenye matashi mazuri, mafunzo we love it mama imeishaaaaa
😂
Imeisha iyo Kwa neema ya mungu 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰 God bless you mama🙏🙏🙏🙏 wapi likes ya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Thanks
And this song has made me shade tears imeisha hivyo mungu ameruhusu,mbingu imekubali case closed ubarikiwe sana mama🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🥰🥰🥰🥰
Plz subcribe
A blessing song waau
@@consolatakisila6235 amen
Huwa dhambi nyingine watu wanajitakia wenyewe mfano nyimbo kama hi haina like na coment na viewers wengi lakini CHITAKI CHITAKI YA Diamond ina viewers kibao alafu bado mnasema mungu awasaidie mnamlilia tumkatae shetani tuzipitie hizi nyimbo hata kwa mwezi mara moja jamani.😢😢❤❤Mungu awabariki wote😢😢
A very fulfilling song..I like her voice..
Ww hujui hizo media ni watu wa Diamond wa vidole mbili juu na macho moja na hao watu hawapendi mambo ya Mungu
@@harrietajiambo229 kabisa
Waambie wapone maana nikweli kabisa
Nawajua walio wangu
Mdogo mdogo imeisha hivo team gulf wap likes za uyu mama .🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hii imeenda wapi likes za Vayooo
😂😂😂😂😂😂 kweli imeenda, case closer haya twende hivi💃💃💃💃💃
Mmmhh.
Mmmhh.
Mmmhh.
Mmmhh.
Wale wamesikiza more than one time wapite na like aki imeisha hiyo❤❤❤
Amen
Nko Mara ya nne
Aki mimi na violet is my number one gospel artist
@@ladashahdullvan me too aki
Amen
Mungu azidi kukutumia mtimishi wa mungu imeisha kwa jina la yesu matatizo kwa nyumba yangu imeisha kwa kazi yangu imeisha hiyo kwa family yangu imeisha hiyo Amen
ki ukweli nyimbo za huyu mwanamziki hunitia matumaini...from capital city of Africa Nairobi Kenya....feel loved mummy💖💖💕💕💕🇰🇪🇰🇪
Thanks
Humbled😍
Kama umeletwa hapa na Nyako nipelike jameni. Was from her live and I listened to this song there❤❤
Me too
Tunaamini mungu imeisha hiyo kama ni umaskini imeisha,kama ni kudharauliwa imeisha hiyo Kwa jina la yesu, our life will never be the same again 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼wapi likes jamani
Amen
Ipo siku, someone like my comment.
Wee nyimbo zako naeza angalia toka asubuhi hadi jioni💯
This lady is just a vibe hunibariki sana kupitia kwa nyimbo zake much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Thanks
♥️♥️♥️♥️
I lack words to express how her song touches me! May the Lord inspire you More 🙏
@@gladysmusava4072 hata mimi
Such a blessing ❤️🙏
Aki ni neema y mungu vituko zote zitaisha hivyo 🙄 mama be blessed and God countinues carrying u from grace to grace much love from Kenya, likes za mm from Kenya pliz
Be blessed
Imeisha hiyo amen be blessed
Tanzania mmebarikiwa tu huyu wakutane na Martha plus bahati wuehhh I can just imagine, God bless you tanzania
Wakenya watakupokea sanaaa ,usibadilike unaimba inatoka rohon ,(prophetic word)
My favourite artist from Tanzania, much love from kenya 🇰🇪 ❤️
Thanks
Hta mm hudhani n mkenya
Vifo gulf imeisha hivyo kwa yesu ni mbwana😍
Enyewe imeisha kweli!!! Excellent work mtumishi wa mungu. 🙏🙏🙏👍
Hakika imeisha iyoo 2023 sitoludi nyuma barikiwa mama ♥️ good job 👏
Thanks
Nice song vaileth 🙏🏿🙏🏿🙏🏿may you keep praising God
Amen
The fact that this song is trending in Kenya and not in Tanzania whilst the artists is a Tanzanian speaks alot about how great Kenyan people are❤... They totally know how to recognize pure talent😊...love you Kenyans❤
❤️
❤
I thought she is a Kenyan
Nice song
Pia nilifikiria ni mkisii apa kenya
Ubarikiwe sana dada napenda hii song more
At hospital bed listening to this beautiful praying I get discharge to take care of my 3wks daughter.... naamini imeisha hiyo ugonjwa ktk jina yesu 🙏🙏
Hii Mungu ameruhusu kweli ,wale tumemjua kupitia tiktok kujeni tumshukuru Mungu Kwa ajili yake
Who else listens to this Amazing song Like thrice a day, ❤❤❤❤
More Blessings And more Love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪, Mungu Azidi kukubariki Mum,
Amen
i have repeated 10 times leo. so amazing
Team kubwa, 2years isn't forever...itaisha hivyo 💃💃💃
If you believe gonga like 🙏🙏🙏🙏much blessings vaileth 😘😘😘
Thanks
A blessing song indeed ...
2 years isn't forever, sweetheart ❤❤❤imeisha hiyo
Finally it's over,10 months later am here to confirm imeisha, it was God it has been God na itabaki kua Mungu
The lady behind us breaking legs on tiktok God bless u abandantly❤❤❤ represent zambia🇿🇲
Mungu akikupandisha hakuna wa kukushusha yaani mdogo mdogo ndio napanda hivyo ✍️thankyou Jesus ❤️❤️
Amen
Just last week nimpatwa n majaribu but kwa neema ya mungu yameisha....thank for this message lord bless you.....All this just because am struggling for my family gulf but gaiz lord is above all......juu nikama mtego adi they need to arrest me.......yamishe hyo Pewa sifa yesu mwana wa mungu🙏🙏🙏🙏🙏
Yameisha, Imeisha
This songs talks about my life 😂 am happy l have overcome 🙏 thanks mama
Imeisha iyo, Mungu amemaliza Hallelujah 🙌 🙌🙏 utukufu kwa Mungu
Amen
Wow niseme Nini Mimi, imeisha hiyooo, mwenyezi mungu azidi kuainua walio wake, barikiwa dada Kwa maneno matamu
Amina
Mungu ametupa yote ndio maana binadamu hawawezi kuzuia...congrats,, imeisha hiyo..
Dear the man who promised to marry me, left me today. But I heard God telling me that imeisha hiyo, case closed. He will do it for me. Be blessed siz Mwaisumo ❤
Amen Imeisha hiyo
pole wanjala uko wapi dear?
Pole Dear ❤️❤️...God Is Faithful.
Imeisha hiyo🙏nice song🥳loving it from from Kenya🇰🇪
Thanks
Sijapasua vyungu mimi jaman ni neema ya MUNGU imenikumbuka
Imeishaaa hiyoooo,mi kila nikitoka nikirud ni hii wimbo ,imeishaaa hiyooo,I decree and declare is well with me
Huu wimbo huu hulinifanya nilie maisha yangu haya God bless u sister, team gulf Qatar 🇶🇦
Wow my dear sister...Hii nayo imeweza Sanaa, Nimebarikiwa sana na wimbo huu💯
Amen
Dada wa mim yesu akutunze nimebarikiwa
Imeisha iyo.....tabu zangu wapendwa zimeisha iyoooo...barikiwa valenth mtumishi wa MUNGU....zidi kutubariki na nyimbo nzuri🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪💯💯💯💯💯💯🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏👏💞💞
Amen
AMEN 🙏🙏🙏 imeisha hiyo mbali nimetoka ni kwa neema Na rehemema zake . Asante mungu
Amen
The best gospel artist in kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunakutambua♥🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Shukrani
Nimebarikiwa sana n hii wimbo,, nikajua Mungu anaenda kuniondolea mateso haya ninayoyapitia na mama yangu ninamatumaini anaenda kupona pitia kwa jina lake huyu Alfa na Omega
Amen
Aki huyu ni mtumishi wa Mungu kweli hananga maringo yeye nakupenda sana kwa TikTok hu duet watu wenye wame imba huu wimbo May God protect you
Amen
Weweeee kelele moja kwa Dada ake Vaileth❤❤❤❤❤ imeisha hiyo siumwi tena figo naamini imeisha hiyo kwa jina la Yesu🙏 woooooowh barikiwa sana Dada V🥰🥰 yaani inawaka zaidi ya 🔥🔥🔥🔥🔥
Amen
When Kenyans Embrace Great Music....U Just Have to Agree 💯💯 That Its Heavenly...Case Closed.
Amina
Mbingu imekubali , imeisha hyo case closed, hallelujah hallelujah 🥰🙏🙏♥️
Sijapasua vyungu, wala kubeba miungu ni neema ya Mungu imenifuta machungu🔥🔥🔥
Amen
I can't get enough of this song, imeisha hiyo ,case closed. When I look back 3 months ago, kweli mbingu zimekubali ✅ 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
In tiktok imenileta huku mbio,kweli imeishia msalaba yote
Hata ukiwa umepoteza matumaini kisha uuskize huu wimbo, basi matumaini yanarudi tu. God bless you Madam.
Amen
...Enyewe imeisha hiyo,,case of depression closed,,tired of crying day and night God take control,,... enjoying the song from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Thanks
Much love from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪..this song deserves millions view
Amen
Just the vocals🔥🔥 alafu message on another level 👌🔥 Wacha tu!!! Be blessed🙏 Vaileth
Thanks
I used to play this song more than 20times a day last year
...My late baby daddy was being admitted at referral for almost 2months ,,, so after him being discharged i had hopes ...nilikuwa na matumaini kuwa ugonjwa umeisha😢😢
But later he died
God bless you
Ama wakenya n watanzania na watanzania n wa Kenya hii wimbo nkama national anthem kenya
nyimbo zako zinanibariki sana kuna wakati nlisikiza nonstop hakika Mungu alitenda nlisonga viwango vingine Nehema ya Bwana Yesu ikutoshe,,kazi njema sana Mungu akulinde pamoja na jamii yako
Amen
mbingu zimekubali🥰🥰🥰🙏🙏🙏
Mungu mbaliki Huyu Mama.Kesi closed. Imeisha hiyo
Amen
Hallelujah ubarikiwe sana wewe na familia yako❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Was waiting for the official video to show much love for the message you dinned us with.... we Kenyans love you
Thanks much
Plz subcribe
Kenya 🇰🇪 loves you
Wimbo mzuri mummy neema ikuzidishe
Amen
I heard this song on TikTok,,,,,nikasema lazima niskize 🙏♥️♥️♥️♥️♥️ somewhere telling God thank you for this year blessings 🙏♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Amen
❤❤❤bro inlaw imeisha hiyo case closed🎉🎉🎉thankyou very important mommy
The only Tanzania artists I listen to is gospel artists,this one won my heart ❤️ The message is so encouraging especially to anybody going through a tough moment..From Kenya 🇰🇪 we love you Vaileth
Thanks
😂 Amina case closed
43:13 “From eternity to eternity I am God. No one can snatch anyone out of my hand. No one can undo what I have done.”
Lord continue blessing this woman for me ilove what I'm hearing , ialways pray with your songs
Amen amen
Shida hujasndika ni kitabu kipi
@@kerryknight7479 Isaiah 43:13
@Samuel Mugo Njuguna thanks
Keesi closed.....
God is great.......
Bringing back the real Hospel... Imeisha iyoo
Imeisha hivyo kesi baadae mm na mungu hamuwwzi nizusha, mdogo mdogo nimeenda 👏👏👏👏 ni ukweli dada 🙏🙏🙏🙏
Amen
When God will bless me with a baby I will sing this song...Glory Glory ❤❤...I love this song...be blessed mum
Our God is faithful always 🙏 may the LORD hear your prayers be blessed soon in Jesus Name 🙏🙏
So shall it be
May God bless your womb
I can't stop loving vaileti's songs ❤❤🇰🇪🇰🇪
Thanks
Mungu Moja this is my favourite song 2023
May God bless u mum
May he open ua dooors .
Nice song
Mdogo mdogo naondoka hivyo,mdogo mdogo ndio napanda hivyo.............ameeeen...
Mama mbingu zinene mema kwa ajili yako❤❤❤
Amen
Wooowh nice song mummy much love from kenya 🇰🇪
Thanks
Finally imeisha hio ata Mimi Kuna siku mungu atanikubuka ,,, niimbe imeisha hio a good song ❤
Hata ya kwangu yameisha hiyo thank you may God bless you so much nyimbo zako niza kweli end I believe yameisha hiyoo period in jesus mighty name amen 🙏🏼🙏🏼
Amen
Wimbo wa mwaka sasa🥰🥰🥰🥰Kenya 🇰🇪 twakupenda sana
Shukrani sana
Wow... imeisha case closed... thank you for bringing the song on time...may grace speak. Amen. Be blessed mum.
Amen
Imeisha hii shida case closed nimekataa kwa jina la yesu Amen
Amen
Case clossed ...i had to come back here after passing through asmatic but after praying ..imeisha hiyooo🙏🙏🙏
WOW wimbo mzuri sana Mungu akuinue zaidi siz😍😍😍😍😍❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️wimbo zako zinaguza sana aki😢😢 😢❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Shukrani sana
Plz subcribe
All gospel singers must copy this dressing habits be blessed madam your song is in another level na ulicheza kistaarab Sana ila Kuna some gospel singers huiga bongo movements wanajisahau I rebuke this 🙋
If Tiktok has landed you here finally for this song less gather here for This Encouraging song🙏🙏🙏somebody should kiss my comment pls
Ubarikiwe sana Mama, My Mom loves you soo much hii nyimbo anaskiza kila siku🙏🙏🙏🙏❤❤💯
Amen
Weuu karibu nipitwe na huku, you are always blessing me mum, aki huu wimbo uko chonjostic, much love from Kenya 🇰🇪 ❤❤❤
Be blessed
A very nice song,,,safi sana yaani fully cooked song na ukaiva akiamungu . Congrats 👏👏♥️
Thanks
.no weapon fashioned behind you shall ever prosper .....hamuwezi pingana na mungu
Amina
Nikiwa na Stress huwa nasikiliza hii Song, ikiisha napata Stress zimeisha . Ubarikiwe Vai
Wimbo mzuri sana dada Mungu azidi kukuinua sana tena sana,this song is so powerful 🙏🙏🙏🙏
Amen
what a song Vaileth Mwaisumo......imeisha hiyo.... spiritually a blessing and uplift song. Praise GOD. feels GooD to listen to this song asubuhi 5am ukienda kazini....
Amen
😂😂😂 Vaileth mwaisumo, your my role model mum nyimbo zako hunibariki sana na kunitia nguvu much love ❤️ ❤❤ from kenya 🇰🇪 bt for now niko gulf
Be blessed
Huu wimbo inanibariki....Kila siku naimbiza mara 10 ndio nilale
Amen, imeisha Ivo Kwa neema ya mungu be blessed mum much love🙏🏾🙏🏾♥️♥️♥️
Thanks
Nimerudi hapa kusikiza tena. I am blessed by the great song. May this song take you international Vileth.❤❤❤
Thanks
Mdogo mdogo naondoka from delay, setbacks, poverty, badlack, hardships limitations all negativities,afflictions, and destructions
Mungu aendelee kukuinua kwa viwango vya juu zaidi! Barikiwa mtumishi wa Mungu
Amina shukrani sana