MWONGOZO WA ULISHAJI WA KUKU CHOTARA/SASSO NA KROILER

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ต.ค. 2024
  • #kukuchotara#chakulachakuku #ufugajikuku #broilers
    🇹🇿Jifunze jinsi ya kulea vifaranga bila mama yao
    • Uleaji wa Vifaranga vy...
    🇹🇿TIBA mbali mbali za ASILI/kienyeji kwa KUKU
    • Tiba asili/Kienyeji za...
    🇹🇿jifunze mbinu mbali mbali za ufugaji KUKU
    • mbinu za ufugaji kuku

ความคิดเห็น •

  • @mohamedfaki-to6jl
    @mohamedfaki-to6jl 5 หลายเดือนก่อน +2

    Habar mm kuku wangu Hawapendikula je nifanyeje naomba msaada wenu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 หลายเดือนก่อน

      Uliwapa.dawa.za minyoo lini kwa mara ya mwisho

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 ปีที่แล้ว +2

    Wonderful intro and finishing style. The cntent is amizing♥️♥️

  • @GosbertJonathan
    @GosbertJonathan ปีที่แล้ว +3

    Baada ya wik ya 3 hadi miez miwili naweza kuanza kumchanganyia vyakula vingine tofsuti na ivyo vya kiwandani

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Ndyo waweza ila uwe na uhakika na mchanganyiko wako

  • @SalimuKabi
    @SalimuKabi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kuku WA sasso wako aina ngapi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Ngoja tufuatilie kujua zaidi

  • @mektlidamarco2588
    @mektlidamarco2588 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mawezaje kuthibiti magonjwa baada ya week mbili, maana vifaranga wanakufa sana apo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  11 หลายเดือนก่อน

      Anza Kujifunza Kuhusu kulea vifaranga. Kupitia video hizi
      th-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0HoNxv6Z8q2rDM1i8sCH2GT.html

  • @FabianHimassay
    @FabianHimassay 7 หลายเดือนก่อน +1

    Habari naomba kujua kuku Aina ya Sasso mkubwa naweza msadirisha akiwa Hai kutoka Moshi kwenda morogoro

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  7 หลายเดือนก่อน

      Ndio apo ni box tu zuri la mbao

  • @ThomasKibela
    @ThomasKibela 2 หลายเดือนก่อน

    Mm naomba kulewa zaidi nimefunga sana lakini sijapata faidda Niko mtwara nipeni ushauri napeda kufunga sana Banda nilokubwa sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 หลายเดือนก่อน

      Ok ndugu endelea kufuatilia channel yetu

  • @malavasu6039
    @malavasu6039 4 หลายเดือนก่อน +1

    Je hawa wa miezi miwili wana kuwa wana uzwa kwa shilling ngapi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 หลายเดือนก่อน

      Utegemea na ubora na eneo pia

  • @annamwinuka5898
    @annamwinuka5898 9 หลายเดือนก่อน +1

    Je unaweza kuwalisha majani vifaranga wa wiki tatu?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 หลายเดือนก่อน

      Sawa tu waweza fanya hivyo

  • @ZaiduHashim-ry1zr
    @ZaiduHashim-ry1zr 9 หลายเดือนก่อน +1

    chakula unatengenezaje

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 หลายเดือนก่อน

      Video za kuchanganya ji w chakula zipo ktk channel hii

    • @tinamwasomola8685
      @tinamwasomola8685 8 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa mie nilikuwa nataka baada ya starte nichanganye kawaida tu,naomba maelekezo ni vifaranga wa nyama​@@AGALUSTV

    • @tinamwasomola8685
      @tinamwasomola8685 8 หลายเดือนก่อน +1

      Naomba msaada wako

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Ok

  • @devothabishagazi9360
    @devothabishagazi9360 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kuanzia wiki ya 9naweza kuwapa finisher?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Sawa tu

  • @fidemary8386
    @fidemary8386 ปีที่แล้ว +1

    Vifaranga mia moja wanakula mifuko mingapi stater kwa hizo wiki mbili na goroa wanakula mifuko mingapi mpaka miezi mitatu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  ปีที่แล้ว

      Mifuko 5/6

    • @neemamabena-xx5er
      @neemamabena-xx5er 9 วันที่ผ่านมา +1

      Kuku ndani ya mwezi wanakula stata mifuko 2 mwezi wa 2 wanakula grower mifuko 2 jumla mi 4 mwezi wa 3 ndio wanakula mchanganyiko wa chakula na mboga mboga

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 วันที่ผ่านมา

      @neemamabena-xx5er Asante sana ndugu tupo pamoja sana

  • @reginaluhombo6483
    @reginaluhombo6483 8 หลายเดือนก่อน

    Dkt nikua naomba kujua ni muda gani mzuri unafaa kuwalisha kuku, mfano asubuhi niwape saa ngapi na mchana niwape saa ngapi. Maana mimi hua sina muda maalum ila asubuhi kuna siku nawapa saa 12 au saa 1 hua haizid saa 2 na mchana nawapa saa 8 au saa 9 haizid saa 10. Je ni sahihi au nakosea? Naomba kufahamu hili

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Kama ni wakubwa Ata mara moja tu inawezekana. Wape chakula Cha kiasi sahihi Kisha jioni, unawapa majani AU mboga. Kwa UFUPI HAKUna muda, sahihi ila ni mazoea tu kuku wako umewazoesha vp

    • @reginaluhombo6483
      @reginaluhombo6483 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@AGALUSTV Asante sana nimekuelewa

    • @reginaluhombo6483
      @reginaluhombo6483 8 หลายเดือนก่อน +1

      @@AGALUSTV Asante sana nimekuelewa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Barikiwa Sana ndugu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 หลายเดือนก่อน

      Tupo pamoja ndugu

  • @filipinadaud885
    @filipinadaud885 หลายเดือนก่อน

    KUKU CHOTARA KWA AJILI YA MAYAI ULISHAJI WAKE UKOJE?
    NA KIPIMO CHAO CHA CHAKULA WANAKULA KIASI GANI KUKU 200 KWA CK AMBAO WAMEANZA KUTAGA

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  หลายเดือนก่อน

      Kuku 1 atakula gram 130 kwa iyo zidisha kwa idad ya kuku wako. Kisha gawa kwa 1000 kua kg. Iko ni kwa siku moja

    • @filipinadaud885
      @filipinadaud885 หลายเดือนก่อน

      OK ASANTE NILIJUA KWANBA NI TOFAUTI NA LAYERS MAANA CHOTARA WANAKULA SANA.
      NIMEPATA KL 13 KWA MAAMA HIYO NITAIGAWA MARA MBILI ASUBUHI 7 NA JIONI 6
      ASANTE SANA UBARIKIWE MNO.

    • @filipinadaud885
      @filipinadaud885 หลายเดือนก่อน

      OK KUKU 20O WATAKULA KILO 26
      ASUBUHI 13 NA JIONI 13
      HAPO MCHANA INAKUWAJE? SIWEZI KUGAWA HICHO CHAKULA MARA 3 YAANI ASUBUHI, MCHANA, NA JIONI?
      PIA NAOMBA KUJUA JE KWENYE MCHANGANYO WAO NAWEZA WEKA PUMBA LAINI ZA MCHELE?
      NA JE PUMBA HIYO YA MCHELE INA MADHARA?
      TATU NAOMBA KUJUA SEHEMU YENYE CHANGAMOTO YA SOYA NA DAGAA M ALA WAKE NI NINI? TAFADHALI

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  หลายเดือนก่อน

      Okay

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  หลายเดือนก่อน

      Mchana waweza wapa majani au mboga mboga