NAPENDA KUWASHUKURU WOTE MNAONISAPORT, NINAWALETEA MOVIE MPYA JINA NI BABA YANGU KIPOFU KWA WALE MNAOZIPENDA KAZI ZANGU NAOMBQ MUIPOKEE HII INAYOKUJA KWA MOYO MKUNJUFU, MUNGU AWABARIKI
Pia nasibtunakushukuru kwa kazi nzuri baba Joan pande za DRC tumekukubali.ila napendelea kuhuliza mama yako huyo ni mkongomani akuhambie niwasehem gani . maana kiswaili chake kimefanana ila sio tusi tafazali
NAPENDA KUWASHUKURU WOTE MNAONISAPORT, NINAWALETEA MOVIE MPYA JINA NI BABA YANGU KIPOFU KWA WALE MNAOZIPENDA KAZI ZANGU NAOMBQ MUIPOKEE HII INAYOKUJA KWA MOYO MKUNJUFU, MUNGU AWABARIKI
Haya tuko pamoja karibu❤
Good job ,love watching from Kenya
OK ávida é melhor quando estamos juntos.asante baba Joani tuko pamoja🇲🇿
Tuko ready apa Kenya
Tuwekee group la team fans baba joan
Baba Joan napenda movie zko juu uwa utueki sana watching from Kenya
Waooh baba Joan ako Na miugiza congratulations Kwa kazi Na video nzuri kwako ♥️♥️
Kenya we love you baba Joan ♥️♥️♥️♥️♥️
Kama nyie wakwaza wa mwisho ni nani sasa 😂😂
tamu sana lakini tuandalie nyingine kwa kua hii imeisha
kazi nzuri sana ❤❤❤❤❤
Hongera sana baba Joan
Hi guys mbona yangu Haina sauti
wakwanza mm hapa
Kutoka Ghana wapi likes zangu
Mchawi atakoma Leo bwana yesu asifiwe
Sitachoka kufuatilia movie zako baba Joan kazi safi sana🎉🎉❤❤
Ngojea tuone mwisho wa bibi kitumbo
Nimewai ❤❤❤❤ sana leo wangapi wanapenda baba joan. Wajilieni like 🎉🎉🎉🎉 zenu tukisoma jamani❤❤❤❤❤
Wa kwanz mm nipeni mauwa yang🎉🎉🎉
Kenya nipo.. kazi njema baba joan
Nice
Yaani nawakubali sana kila atua nipo yaani Sito waacha kuwafatilia mwaaaaaaaa ❤❤❤❤❤ akuna wakunikataza vocha yangu ya buku nakula vitu milioni❤❤
calculated movie, thanks baba joan from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 much love.
Kazi nzuri 👏👏👏👏❤❤❤❤❤
Kazi nzuri baba joan twaisubilia hiyo movie mpya kwa hamu sana much love from 🇰🇪
Na comment tokea Congo kalemie Simple🔥🔥🔥
Mbona amuogei
Uko juu sana bro kwa kazi yko mola akuzidishie marifa zaidi na ujuzi naimani utakua mtu baro east Africa. Ni hamisi shabban from kenya
❤❤❤❤❤Tunashukuru na sis kwakutupa yote film ubarikiwa Baba joan
Baba Joan saluti uko fasta 🎉🎉🎉🎉🎉 mauwa yenu 🎉🎉🎉🎉
Hongera sana baba joani kazi nzuri sana ❤❤
Léo Nime Wati mapema kbs
Mpenzi wa baba joan Mashallah ni mrembo na black thamuuu🎉🎉🎉#wachawi wote wanafaa baba joan
Naomba siku moja ulete ya mapenzi upee ya uchawi likizo😂😂 anywei I love your show,keep it up
Hongereni sana wote mlioshiriki
Watching from kenya
Baba joan aujatutendea haki thamtilia ilikua nzuri sana ila ni fupi mno
Mbona fupi sasa
Brother napenda kuwafuatilia Kwa sababu unatoa episode on time huchelewi congratulations to the whole team. Welcome mtwara
Kz nzuri endelea hvyo hivyo
Ñaixubili. Kwa hamu hyo move jmn napenda xná kaz zako
Much love from Kenya 🇰🇪❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tunaisubiri kwa hamu sana mwamba wa 🇹🇿
Kenya 🇰🇪 ndani ya nyumba andaa ingine haraka baba Joan mapenda wamesema ndo best😂😂
Sjcherewa sana naomba like ❤❤
🎉🎉 Chukua maua yako baba joan
Ila imeisha kizembe sana kiwepesi sana,,,
Mtunzi angeonesha misukosuko atakidogo kwa star
Maoni tu,,. WaMBOZI
Pia nasibtunakushukuru kwa kazi nzuri baba Joan pande za DRC tumekukubali.ila napendelea kuhuliza mama yako huyo ni mkongomani akuhambie niwasehem gani . maana kiswaili chake kimefanana ila sio tusi tafazali
Sijachelew na mm naomba like nawapenda san
Kazi mzuri baba joani
Baba Joan ww mkali,,,,big up🎉🎉🎉🎉
Kaka hii movie ilitakiwa iwe ndefu coz Ina mapokezi makubwa
Baba Joan tunahitaji nyingine kali
Baba Joan endelesha mali ya marehemu ulituacha kwa Giza hapo
Ipo vizuri ila imeisha haraka sana
Kenya tunafuatilia kazi zako sana ,,endelea hivo hivo.
Asante san ❤❤🎉🎉
Safi safi ndugu
Hongera xna Baba Joan
Uko Safi sana kaka
Congratulations and keep moving ❤❤
Unatufurahisha pia kwa movie tamu
technology ipo juu nimekubali
Nawe pia ubarikiwe,tunashukuru Kwa Kazi nzuri
Chukua maua yako baba joan8🎉❤🎉🎉
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🥰
Mbna mov yako fupi sana
Hata sisi tunawapenda
Bibi kitumbo uchawi wapi acha kushidana mungu 😂😂
Mbona Naona miguu ya watu kwenye ungo wa bibi kitumbo
Mwanafunzi wa ajabu mbona zii
Dah, unajua ila humu uwezo wako ni mdogo Sana Yani Kama ulilala 2 ulipoamka ukaigiza basi Ndio hivyo tu.
Umeruka matukio mingi sana
Kazi njema
Tunaisubiri baba joan❤❤❤❤
Tunashkur saaaan kbx kaz nzur kbx
Baba Joani wewe jembe wewe ni hatariiiii
❤❤❤❤❤❤kazi njuri sana lete ingine sasa baba joan ❤❤❤
Honger❤❤❤❤
❤❤❤
Naona zoo😂😂
Mumetisha sana
Best one can you help me couse I'm am actor I have several film but need guidance 🙏
Whaaaaaaat😢😂 I see you my shunu saidaty❤,,ooh my God 😅
Sawa baba joan
Shukrani sana
❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Sanaaa baba Joan movie zako zinatufundisha
❤❤❤😂
Isichelewe kuja bas
❤❤❤❤
👍
❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Baba joana
Jaman hat kumitu
Unyama ni mwingi
❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Kwanini hamuku malizaka Mali za marehemu
🎉🎉🎉🎉
Fatuma
From kenya 🇸🇸 wp link zngu
Vipindi vyako vyanibamba kweli baba joan
😂😂😂😂😂😂