#BREAKINGNEWS

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 70

  • @user-gc8jc1sh4z
    @user-gc8jc1sh4z 4 หลายเดือนก่อน +4

    Daaah ni fundisho kwa vijana wote tuwe na hekima na tumwoogope mungu

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nyinyi mawakili mungu atawaona mnatetetea dhulma wakt kila kitu kipo wazi

  • @teddymutani856
    @teddymutani856 4 หลายเดือนก่อน +2

    Woyooooooo safi sanaaa

  • @laurencematitah7046
    @laurencematitah7046 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu wakili aliyekuwa anawatetea tunaomba mungu limtikee mwanae siku moja

  • @AbuodSeleman
    @AbuodSeleman 4 หลายเดือนก่อน +3

    hakika yametimia.

  • @FrankSamson-r6s
    @FrankSamson-r6s 4 หลายเดือนก่อน +2

    Tumeridhika na hukumu na tumefrahi ila msije mkaleta janja janja wakatoka aseeee

  • @TBCLINICKYELA
    @TBCLINICKYELA 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani ili tuweze kupata hukumu stahiki kwa watu lazima tuwepo na hawa wenye kumtetea mshaktiwa na kutafuta matundu kwenye kesi na lengo lao ni kusaidia kuzibwa kwa hayo matundu na kupatikana kwa ushahidi usio na chembe ya shaka.

  • @gililwise
    @gililwise 4 หลายเดือนก่อน

    Safiiiiiii wanyongwe kabisa

  • @TefleKoja-p9c
    @TefleKoja-p9c 4 หลายเดือนก่อน +1

    Safi

  • @SarapiaMfoi-o2x
    @SarapiaMfoi-o2x 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ebuu kaa kwa kutulia wewe mwogope mungu

  • @Ax-xpress
    @Ax-xpress 4 หลายเดือนก่อน +2

    Dah! Imeuma kwa kwel.. Haki imetendeka lakin maumiv ni makubwa kwa wazaz wa hawa vijana wa hovyo..

  • @ellyjeremia9401
    @ellyjeremia9401 4 หลายเดือนก่อน +2

    Duuh vijana tuwe makini vitendo visivyo vyema

  • @JokhaHamisi
    @JokhaHamisi 4 หลายเดือนก่อน

    Mm ningependa na yeye afukunzwe kaz

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wafungwetu achen kutetea ujinga wananchi wanahasira mtasababisha machafuko kwenye Taifa letu

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 4 หลายเดือนก่อน

    Da? Poleni sana madogo mnaenda kula ugali na maharage. mafuta huwa ni mawese.

  • @BensonMpete
    @BensonMpete 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ila uwakili huu ni uwakili kichaa

  • @farajabinamsimchimba
    @farajabinamsimchimba 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe wakili km la mm yko

  • @kabyemelaibra3236
    @kabyemelaibra3236 4 หลายเดือนก่อน

    Ila mawakiri mungu anawaona

  • @ZahakiMsangi-g8h
    @ZahakiMsangi-g8h 4 หลายเดือนก่อน

    Kwa yule kijana mchaga wamemwonea hakuna mchaga anayeweza kutongoza huwa wanabaka kwa hiyo yule ni uridhi wao

  • @MedardNtara
    @MedardNtara 4 หลายเดือนก่อน +2

    Na yule mama tunamtaka hatutaki mchezo

  • @ZahakiMsangi-g8h
    @ZahakiMsangi-g8h 4 หลายเดือนก่อน

    Afande mwanamke sion kosa lake pale ww na akili yako timam unaambiwa ukafanye upuuz unakubali ndio tujifunze.

  • @Sizebenn
    @Sizebenn 4 หลายเดือนก่อน

    Gd

  • @paschalmartin9598
    @paschalmartin9598 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi huyu wakili anatetea nini angebakwa mtoto wake au dada yake angeongea huu utumbo

  • @vintamalaba7466
    @vintamalaba7466 4 หลายเดือนก่อน

    Angekuwa ni mtoto wake aliefanyiwa ivyo angeongea ivi 😢

  • @waziriuledi4036
    @waziriuledi4036 4 หลายเดือนก่อน

    Mwanasheria kasomea ujasiri yan sisi katuona kama watoto 😊

  • @anethboniphace
    @anethboniphace 4 หลายเดือนก่อน +1

    tunajua kuwa hata huyo wakili anajua kama kilichitendeka ndio haki lkn yeye yupo kwenye mstari wa kutetea ugali wake sisi watanzania haja yetu ilikuwa kuona haki inatendeka na imetendeka na hata ikikatwa rufaa maombi yetu haki iendelee kutendeka

    • @kabyemelaibra3236
      @kabyemelaibra3236 4 หลายเดือนก่อน

      Hafai kabisa, ukisikia kusaka tonge sio huko,labda kama anaingiza,na labda kama amesaidia katika mwenendo wa kesi ili kuwatia hatiani washitakiwa,kama ni hivo basi Mimi naweza kimuelewa.

  • @mrsomeone7728
    @mrsomeone7728 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona matukio mengine ya simu mnayashugulikia na mnafanya kama ishahidi?

  • @gasperymisungwi960
    @gasperymisungwi960 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu wakili ukiachilia mbali kusaka tonge kwake, kwani hana hata watoto!! Haogopi kuwa na yeye yanaweza kumpata kwa wanae! Aisee kuna vitu vya kutetea na vingine sio vya kutetea. Aache uwakili wa kijinga aisee.

  • @AdrusHassan-c5m
    @AdrusHassan-c5m 4 หลายเดือนก่อน

    Hizo ni submission zisizo na msingi

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd 4 หลายเดือนก่อน +4

    Wakili acha blablaaaa, haki imetendeka angekuwa dada yako ndio kafanyiwa hivyo ungesema hayo maneno?

  • @madengejr
    @madengejr 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa mawakili wanaowatetea tuanze kudili nao nao tuwashitaki

  • @KareemDully
    @KareemDully 4 หลายเดือนก่อน +1

    Bado jamaa hajakubali kushindwa c jaji tu hata sisi tumejirizisha na video hakuna kilichobadilika hapo kila kilichokuwa kwenye video wahusika ndio hao hao. Ayo ya hati ya mashtaka sisi hatuyajui cha msingi tumejirizisha kua wamefanya

  • @gervaslukaya
    @gervaslukaya 4 หลายเดือนก่อน

    Ndio dawa yao wafungwe tu wametaka wenyewe usela umewazidi

  • @rassanleezedon6861
    @rassanleezedon6861 4 หลายเดือนก่อน

    vipi kuhusu polisi ambaye ni boss kapewa hukum gani... au tunadeal na pelege

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 4 หลายเดือนก่อน +2

    hv huyu ana akili

    • @chizcom4229
      @chizcom4229 4 หลายเดือนก่อน

      mi mwenyewe nimejiuliza yani kama ni wakili hana akili

    • @KareemDully
      @KareemDully 4 หลายเดือนก่อน

      @@chizcom4229 akili hana hajui kazi yake. Kazi ya wakili ni kuwakilisha na sio kulalamikia maamuz ya jaji

    • @kabyemelaibra3236
      @kabyemelaibra3236 4 หลายเดือนก่อน

      😂😂

  • @ZahakiMsangi-g8h
    @ZahakiMsangi-g8h 4 หลายเดือนก่อน

    Flam wanakwenda kuwa huru mbele

  • @KhamisChaz-td4nz
    @KhamisChaz-td4nz 4 หลายเดือนก่อน

    Mim bado sijaridhika na hukumu hii vipi kuhusu fidia kutokana na matatizo ya kisaikolojia na kumdhalilisha utu wake mbele za jamii nadhani aliyewatuma watuhumiwa awajibike kulipa fidia ndo itakua haki

  • @gracethomas4621
    @gracethomas4621 4 หลายเดือนก่อน

    Wewe wakiri muongo na ndio kazi yenu ya kuongopa Angekuwa mtoto wako ndio kabakwa na hilo kundi leo ungewatetea ? Pumbavu Justice has been done ✅

  • @KhamisChaz-td4nz
    @KhamisChaz-td4nz 4 หลายเดือนก่อน

    Yaani bado Mpaka Leo tuna wasomi wapumbavu kiasi hiki wanasoma ili kutetea wafanya mazambi wanatetea wahalifu KWA elimu zao za kipumbavu wasomi wa kishenzi kabisa

  • @MwajumaMboa-cu9dx
    @MwajumaMboa-cu9dx 4 หลายเดือนก่อน

    Umenyata sura mpaka roho

  • @waziriuledi4036
    @waziriuledi4036 4 หลายเดือนก่อน

    Hyu mwanasheria kasomea wapi

  • @Yehova_Kwanza
    @Yehova_Kwanza 4 หลายเดือนก่อน

    HII MIWANASHERIA NDO NAHISI ILIPATA DEGREE YA SHERIA KWA KUGEREZEA MITIHANI NYAUUUUU

  • @kabyemelaibra3236
    @kabyemelaibra3236 4 หลายเดือนก่อน

    Hivi mbona unaongelea point Moja ya hakimu? Kwani hilo la simu ndo mheshimiwa hakimu ameliongelea tu?
    Mi nahisi mheshimiwa Hakimu ameeleza ni Kwa Nini amewakuta na hatia, na hayo maelezo uyaseme

  • @sifamwakaniemba443
    @sifamwakaniemba443 4 หลายเดือนก่อน

    Weeee bwege sana yaan hao wameshighulikia kimfumo kama wa yuke aliyechoma pcha ya rais mbna yule hamkuhoji

  • @kimaroapanary56
    @kimaroapanary56 4 หลายเดือนก่อน

    Afande naye kafungwa miaka mingapi?.

  • @rosemkeleja7768
    @rosemkeleja7768 4 หลายเดือนก่อน

    Afande alitumia madaraka yake vibaya,naye ashtakiwe

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 4 หลายเดือนก่อน

    Sasa afande hayumo?

  • @jullykweka4502
    @jullykweka4502 4 หลายเดือนก่อน

    Wakili nikutumie video uone sura

  • @africamoja2924
    @africamoja2924 4 หลายเดือนก่อน

    Vip huyo afande alowatuma??? Mmmhhh tumepigwa hapo

  • @cleofasladislaus2177
    @cleofasladislaus2177 4 หลายเดือนก่อน

    Na afande aliye tuma je vipi

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi huoni aibu kuwatetea hao watumishi wa shetani? tunasubiri na boss wao atafanywa nini au ndo hana kesi?

    • @maneno_kairuki
      @maneno_kairuki 4 หลายเดือนก่อน

      Hata wakosaji wanatakiwa kuwa na mawakili

    • @dicksonkilupa2258
      @dicksonkilupa2258 4 หลายเดือนก่อน

      @@maneno_kairuki Basi mahakama na magereza havitakuwa na maana. Kumtetea mtu ambaye unajua, kaiba, kaua, kabaka nk ni sawa na kuungana naye ktk huo uhalifu , lakini hao waharifu wanayo haki moja nayo ni kujutia makosa yao kwa Mungu na kumwomba ili awasamehe wasiende jehanam ya milele.

  • @NasmasadikiMuya
    @NasmasadikiMuya 4 หลายเดือนก่อน +1

    Embu wewe wakili tupishe angekuwa mwanao wa kumzaa huongeongea huo ujinga hapo mweusi muone

  • @MamuSuleiman-uq5yr
    @MamuSuleiman-uq5yr 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mjinga wewe peleka mapengo yako mbele uko

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 4 หลายเดือนก่อน

    Aliye watuma jeee sheria inasemaje?

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 4 หลายเดือนก่อน

      Kwani wao ni watoto? Hawana akili ,sio Kila unachoambiwa na wewe ukafanye changanya akili zako

    • @faustinluambano2958
      @faustinluambano2958 4 หลายเดือนก่อน

      @@emmadora7848 Aliye master mind na kuwalipa na aliwaonyesha victim

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 4 หลายเดือนก่อน

      @@faustinluambano2958 wangeweza kataa Kwa sababu walijua ni kosa ila tamaa ya pesa ndio imewaponza

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 4 หลายเดือนก่อน

    Mawakili vilaza.. Wamechukua hela za wajinga bure tu

  • @edwinkajuna7207
    @edwinkajuna7207 4 หลายเดือนก่อน +1

    Vp Kuhusu afande?

    • @edwinalexander1170
      @edwinalexander1170 4 หลายเดือนก่อน

      Hili nalo wanatakiwa kutujuza

    • @ricksonrickson2676
      @ricksonrickson2676 4 หลายเดือนก่อน

      Ukute amekataa hawajui akina mrefu😅

  • @nadyadaud4297
    @nadyadaud4297 4 หลายเดือนก่อน

    Oya wakili acha ukuma🚮🌚

  • @SALUMUAHMADA
    @SALUMUAHMADA 4 หลายเดือนก่อน

    DDDDDDDUUUUUHHHHHH WAKILLIIII

  • @MarryMassawe-wr2zi
    @MarryMassawe-wr2zi 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wakili huyu nibwa sana.hana.adabu