MO DEWJI:NATAKA NIKUTANE NA MGUNDA/TUNATAKA SIMBA IWE BINGWA WA AFRIKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Sawaah
Asante kwa kutuelewesha uzur..
Kutana nae t itakua vzr zaidi In Shaa Allah.
🔥❤️🔥
safi sana boss wa watanzania
Swa boss mo
Mleteeeee mgundaaaa
Umesema wewe sisi ni nani tupinge sawa boss
Tunahitaji kombe Sasa mgunda afanye jambo na baraka za watanzania tushampa timu
Tuna subir
Leila mjinga mwenyewe tena ni mpumbavu Sana, na utopolo waenu kwa mechi ya Jana Bamako inawanyonga Mapemaaa
Sikuzote hajasema ila leo timu imeingia makundi anajua mkwanja umeingia, wadosi kwa pesa acha tu
Acha chuki binafsi hujui anachokifanya kaa kimya
Iyo roho mbaya
umewekeza ww hata cent kinachokuwaxha ni nn?
😂😂anatupiga huyu
kutana nae hata swala la usajili.
Sisi yanga tunacomment wapi😂😂
Kwa manyoka wenzenu 🤣🤣🤣
Hili nalo jinga tu
Unasubili Mechi na yanga ndio mumpe mkataba au mumwage kabisa Kama akifungwa na yanga halafu wewe ulikuwa wapi naona umejisogeza kwakuwa timu ineingia makundi umefuata pesa wewe ni sawa na mkulima mvivu hua anaonekana mahindi ya kiiva ndio mo
Huyu Boss wetu, timu ikifanya vizuri ndio anaongea ila ikizingua anakimbia kimbia ana mambo ya kimiyeyusho sana.
😂😂😂
😂😂😂😂 ndio asilii ya ma'boss walivyo, walichukia huwaa hawa ongea ongea 🌚🌚🌚
Huyu nae ni binaadam uwezo wa kuhimili negative katika mahaba yake yakisoka ni mdogo ndyomaana team ikiyumba anakaa mbali nayo kuepusha maradhi ya moyo muelewe tu
Amna boss anaye penda mabaya wewe
@@aminicofu6208 Akikaa mbali mnaweza kwenda popote? waswahili bhana 😲Maana
1993 walifika fainali CAF mfadhili alikuwa Azam Dewji..
Yeye Kama Mohamed Dewji anataka Ubingwa wa Africa akiwa Rais wa Heshima..na anaongoza. Walianzia mipango mbali. (it's just a roadmap).
Umeona mkwanja huyo,alikua wapi siku zote.🤣🤣🤣ila watu kwenye wanapenda waonekane🤣🤣
Bila yy hap tulip tusingefika labd humfalilii
Kwan aliefany uwekezaj Simba ni Nan Kam sio yeye
Roho ya kichawi iyo