Mo Dewji 'atinga' kambini Simba, azitaja bilioni 20

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
  • Mwekezaji wa Simba SC na Rais wa heshma Mohamed Dewji amefika katika kambi ya klabu hiyo, azitaja shilingi bilioni 20 na kuwaita mashabiki dimbani Benjamin Mkapa Jumapili.

ความคิดเห็น • 254

  • @agriciusruchius3199
    @agriciusruchius3199 2 ปีที่แล้ว +3

    Safi Sana boss this is simba 💪💪💪usikatishwe tamaa na watu wabaya hasa wa upande wa pili bosi hawaitakii mema timu yetu. SIMBA SC NGUVU MOJA. ❤️❤️🦁🦁💪

  • @eneawkadege6062
    @eneawkadege6062 2 ปีที่แล้ว +4

    Mo boss wa Simba lakini anaongea Kwa nisamu kubwa kueshimu club hii Kwa ujumla pamoja na mashabiki pia nae inapazwa aheshimiwe na mashabiki 👍🔥

  • @zahoronassoro4758
    @zahoronassoro4758 9 หลายเดือนก่อน +1

    Vumilia BOSS iko siku mungu atatujalia kelele zote zitaisha

  • @SikituKalibubuke
    @SikituKalibubuke หลายเดือนก่อน +1

    Nakubaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii moooooooooooooooo dewj

  • @niknik8276
    @niknik8276 2 ปีที่แล้ว

    What I love about Mo is his humbleness, respect and devotion to the society. May god continue to bless him abundantly and live longer. I need to see him do great.

  • @iam_lasco
    @iam_lasco 2 ปีที่แล้ว +6

    Mo ana akili sana na ana maono ya mbali kwa klabu yetu ya simba🦁❤️..#Nguvumoja

  • @nuraansuhail2578
    @nuraansuhail2578 2 ปีที่แล้ว +2

    Boss wetu SSC

  • @mwanaidian2994
    @mwanaidian2994 2 ปีที่แล้ว +2

    Midomo kimyaaaaaaaa,ongeeeni mengne mjibiweeeee.Big boss in da building

  • @albertmullah2377
    @albertmullah2377 2 ปีที่แล้ว +5

    Haya muendelee kuropoka sasa Boss wa nchi huyo apo 😂😂😂😂😂😂

  • @semenimasalu8776
    @semenimasalu8776 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante baba tupo pmj Simba nguvu moja

  • @ahmedalmiskry6374
    @ahmedalmiskry6374 ปีที่แล้ว

    Ahsante Mo
    Wewe ni mkuku wa boti
    Mkuku ni gogo kumbwa lililochongwa ili kutengeneza bot bila ya mkuku huwezi kutengeneza bot
    Unaeka mkuku ndio unapanga mbao zako na kuzisanifu mpaka unapata chombo ambacho cha uhakika kinacho elea kwenye maji
    Hongera sana Kiongozi
    Na waungwana husema kutowa si utajiri kutowa ni moyo.
    Mwenyezi mungu akujaalie barka kwenye biashara yako
    Amiin

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth 2 ปีที่แล้ว +1

    GSM kakimbia hameona dalili sio nzuri. Yatakaa moyo

  • @khamisikapopo9356
    @khamisikapopo9356 2 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna Kama MO simba number one

  • @CSMAPESA
    @CSMAPESA 2 ปีที่แล้ว +3

    niliwekeza bilion 20 kabla ya hapo niliwkeza bilion 25 jumla 85 mmmh lazma uwe tajir kama unazdisha masifur hv

  • @moseskyaman9323
    @moseskyaman9323 2 ปีที่แล้ว

    Khasante MO kwa kutuunguzia kiingilio this is simba

  • @nifurahamwakabuli2590
    @nifurahamwakabuli2590 2 ปีที่แล้ว +1

    Mo Mo Mo the King talk nifuraha sana

  • @linusifajensi5677
    @linusifajensi5677 2 ปีที่แล้ว +2

    GSM ataikimbia hadi YANGA siyo ligi kuu2

  • @FransSesa-yi5ht
    @FransSesa-yi5ht 2 หลายเดือนก่อน

    Pamoja sana rais wetu wa msimbaz tuheshimishe

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 ปีที่แล้ว +2

    Do!! Umeshatumia bilion 25 na umetoa billion 20 safi saana unaipenda kweli simba ila kibiashara sidhani kama utarudisha hizo hela mpaka unakufa we toa tu natoanatoa mpaka ndio mapenzi ya dhati safi saana mo komaa utachukua club bigwa siku moja wa dunia

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 2 ปีที่แล้ว +1

    Ukweli Nikwamba Kuwekeza Ndani Yasimba Nikhasara. Tuwe Waelewa.

  • @bakarimkunyulia6687
    @bakarimkunyulia6687 2 ปีที่แล้ว +2

    Midi muhuni Sana 25+20=85

  • @habibunundanunda6227
    @habibunundanunda6227 2 ปีที่แล้ว

    Big boss SIMBA NGUVU MOJA ☝️

  • @zanzibar.
    @zanzibar. 2 ปีที่แล้ว +3

    Walio na pesa zao wanahojiw na wenye pesa zao

  • @shabanimshamu9012
    @shabanimshamu9012 2 ปีที่แล้ว +1

    Moo hongera sana jitihada zako zipo wazi

  • @user-yu2hh7kh8o
    @user-yu2hh7kh8o หลายเดือนก่อน

    Safi Sana bos wanaokuchukia ote wasenge

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 2 ปีที่แล้ว +1

    Mo unajua kutufurahisha wanasimba,,Nguvu moja

  • @johnjohnmollel7411
    @johnjohnmollel7411 2 ปีที่แล้ว

    Safi sanaa tajiri na kumi na 15 Africa mashariki nakati

  • @hulilodonard5524
    @hulilodonard5524 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana Raisi wa heshima

  • @HassaanMarco
    @HassaanMarco หลายเดือนก่อน

    Daaaah,mo hongera sana mungu akupe maisha malefu

  • @user-hh4ex7ps7h
    @user-hh4ex7ps7h 4 หลายเดือนก่อน

    Basilisheni viongozi ACHENI bwebwe lazivyo Kila siku Simba itasambaratika mnakubatia viongozi hawana faida hamuonani watani wetu

  • @jumandagara1755
    @jumandagara1755 2 ปีที่แล้ว +1

    Mo,,,,, Nguvu moja aaaaaa 💪💪💪💪💪

  • @user-ek7tp2fg8t
    @user-ek7tp2fg8t 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo LA mo atutolele viongoz wasimba awafai

  • @wijotv
    @wijotv 2 ปีที่แล้ว

    Simbaaaaa safiiii

  • @jamesjames2368
    @jamesjames2368 2 ปีที่แล้ว

    Simba 💪💪💪

  • @jonasdonart3408
    @jonasdonart3408 2 ปีที่แล้ว +1

    Kweli Sana boss simba

  • @BarakaJackson-nu3jz
    @BarakaJackson-nu3jz 2 หลายเดือนก่อน

    Turudishie furaha wana simba

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky6973 หลายเดือนก่อน

    Mungu azidi kukulinda, ❤❤❤kilalkher

  • @allyahmed8415
    @allyahmed8415 2 ปีที่แล้ว

    Mimi ni simba lakini we won't catch Al ahly like the way he says #but hio kauli ya kuwekeza simba ni hasara sio nzuri tumehuzunika sana wana simba, tunachangia hela japo kdg kdg kwa mapenzi.

  • @JumaWamlola
    @JumaWamlola 2 หลายเดือนก่อน +1

    Baba usi sikize mambo ya chai

  • @richardmakene7780
    @richardmakene7780 2 ปีที่แล้ว +2

    Tumia pesa zako boss ujaaazma kwa mtu tuko na wew ss wanasmba

  • @davidkabungo1192
    @davidkabungo1192 5 หลายเดือนก่อน

    Mo, mimi ninakushukuru sana kwa kuendelea kuwekeza na pia kwa kujitoa kwa kujitoa kwako kwenye Simba Sports Club.

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu ndio tajiri sasa siyo wale UTOPOLO tajiri wao kaingia mitini na mkataba wao feki wakuungaunga

  • @kastomwaipopo1763
    @kastomwaipopo1763 2 ปีที่แล้ว +1

    Uko sawa Bo's 🦁💪

  • @sherizyedward2031
    @sherizyedward2031 2 ปีที่แล้ว

    The great one ananena simba nguvu moja

  • @mashaloyuzo1296
    @mashaloyuzo1296 2 ปีที่แล้ว

    Rais simba nguvu moja

  • @AminiMuhammed-pi6dx
    @AminiMuhammed-pi6dx 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona hii ya mwaka 2022

  • @petercosta1317
    @petercosta1317 2 ปีที่แล้ว

    Simba imekuwa tishio saivi kwa sababu ya mo kuwekezaa tunaweza kusaji wachezaji wazuri akiendelea kidogo tutakua mbali sn

  • @nasorohemedi7334
    @nasorohemedi7334 2 ปีที่แล้ว

    Simba ina wanachama, wapenzi na mashabiki wasiopunguwa milioni 3. Kama kila mmoja atachangia 10,000 tu hela ya ujenzi wa uwanja inapatikana. Shime tuchangie

  • @FRANSKALITUSI4937
    @FRANSKALITUSI4937 2 ปีที่แล้ว +1

    Nakubr Sana

  • @susanlazaro8956
    @susanlazaro8956 2 ปีที่แล้ว +6

    Team Simba woteee wekeni like zenu Hapaaaa♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 2 ปีที่แล้ว

    Mkuu ahsante!! Pamoja.

  • @GilbethChamembe
    @GilbethChamembe หลายเดือนก่อน

    Moooo pambana maana sisimashabiki wasimba macho yetu wooote tunakuhangaliha ww mungu hakubaliki sana

  • @fabianimashindike3272
    @fabianimashindike3272 4 หลายเดือนก่อน

    MO umeongea vizuri sana ila mwangalie huyo anaye kuhoji ni mnafiki asije akakuchonganisha na wana simba kama alivyo wachonganisha azam na yanga kwa mahojiano yake na mayele

  • @hassanabo4214
    @hassanabo4214 2 ปีที่แล้ว +1

    timu iliitaji mabadiliko makubwa cna ukiiangalia kwakuletwa wachezaji wenye viwango kulingana na timu ilivyokua

  • @MrBm369
    @MrBm369 2 ปีที่แล้ว +1

    The big boss

  • @peterfesto3150
    @peterfesto3150 2 ปีที่แล้ว +1

    Yessss big tupo pamoja

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 4 หลายเดือนก่อน

    Mtamuua kwa mawazo jamani mwee🙏🙏🙏💚💛💪

  • @zarinatv2024
    @zarinatv2024 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana boss wetu Mo 👏👏👏

  • @jeromemuhando5074
    @jeromemuhando5074 2 ปีที่แล้ว

    Tha bg boss congraturarion.

  • @sleimannassor8931
    @sleimannassor8931 2 ปีที่แล้ว +2

    kakosea jamani alitaka kusema 45 ila tupo pamoja boss mo

    • @ahmednoor1412
      @ahmednoor1412 2 ปีที่แล้ว

      Ulikuwa nae huyu msanii ty

  • @assengakelvin4805
    @assengakelvin4805 ปีที่แล้ว

    simba oyee

  • @sarllemmtunze405
    @sarllemmtunze405 2 ปีที่แล้ว +1

    Mo anaongea ukweli mtupu Simba bado inajiendesha kwa hasara huo ndio ukweli hakuna kupindisha maneno mwenye kutaka kupotosha maneno yake muache apotoshe ila ukweli mchungu lakini una Afya.

  • @mosessmayunga9974
    @mosessmayunga9974 2 ปีที่แล้ว +1

    Mathematics nilijuaga Ni ngumu kwangu 2 kumbe hata kwa wengine Ni hivohivo

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 2 ปีที่แล้ว +2

    UTOPOLO endeleeni kubwabwaja tu eti Mo kajitoa leo mnamuona huyo apo

  • @bennykatonkola496
    @bennykatonkola496 2 ปีที่แล้ว +2

    Uwezi fanya interview bila kutaja billion Muhindi wa mchongo

  • @husseinhussen6836
    @husseinhussen6836 2 ปีที่แล้ว +1

    bos,hatuna,washambuliaji

  • @LabaraniNduya-g4f
    @LabaraniNduya-g4f 22 วันที่ผ่านมา

    Wewe hona pesa

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 2 ปีที่แล้ว +1

    Wanao kejeli juu ya huu uwekezaji na hizi billions mbona hamuumii uwekezaji wa timu za ulaya na Bado mabandani hamkosi mechi

  • @babafetty136
    @babafetty136 2 ปีที่แล้ว

    akuna muhind anayefanya biashara ya hasaraaa usaidii simba bali mnasaidiana kumbuka ulivyoizamn Africa Lyon ulikuaa bilionea but tangu uwekeze simba mambo yako yanaenda sawa

  • @osianamwaiteleke5985
    @osianamwaiteleke5985 2 ปีที่แล้ว +1

    Et 85 bilioni broo wadanganye watu wa hait sio bongo

  • @joannajaszczolt6192
    @joannajaszczolt6192 2 ปีที่แล้ว +2

    Mo wewe ni mtu ambayo unajitahidi

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 4 หลายเดือนก่อน

    Mashabiki jitokezeni nyie,yaani mpaka huruma aisee,bila mashabiki hakuna timu,m'mekula ng'ombe mzima mkia uliobaki umalizieni mkiwa wote,msiachane maana mawazo ya wengi sio sawa na mtu m'moja,jahazi mzame nalo mkiwa wote🙏🙏🙏💚💛💪💪💪💪💚💚💚💚mtasusaje?shabiki wa kweli hasusii,kajazeni uwanja,huu mchezo hauhitaji hasira🤣🤣🤣nyie kavu nn

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 ปีที่แล้ว

    This is Simba

  • @zakalianyauniqo514
    @zakalianyauniqo514 ปีที่แล้ว

    Achanana mo mutumbaya sana anamiliki pesa atawatuwanajiuliza

  • @zainabsaid9264
    @zainabsaid9264 2 ปีที่แล้ว +3

    Yaani huyu Mohammed anaongopa mpaka anasahau unasema anatumia bilioni 25 Kala hajawekeza bilioni 20 jumps inakuwa 85 au mimi nimemsikia vibaya..nisaidieni jamani

  • @michaeljohn571
    @michaeljohn571 2 ปีที่แล้ว +1

    nyie wehu muacheni boss wetu

  • @husnandumbala5214
    @husnandumbala5214 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akujaliye baba kwa kujitoa kwako,

  • @bictonykeraryo3900
    @bictonykeraryo3900 2 ปีที่แล้ว +2

    Baba, mo dewji, ubarikiwe, ulalapo, uamkapo, utembeapo, na ukaapo kwenye kiti.
    Mimi umekuwa mbunge wangu, nakufahamu, haukuwa mtu wa maneno, ulikuwa mtu wa vitendo.
    Wanaosema, niwasio kujua, nimewahi kuwa mlinzi wako nikiwa na kampuni ya ulinzi ikiitwa kirumi security, nakufahamu fika, usiwe na moyo wa kupinda kwa maneno ya watu.
    Tembea kifua mbele mo, wachezaji wasimba wakusikie, wakuelewe fika.
    Simba mkimpoteza mo dewji, mmekosa yote, huyu bwana mimi hanijui ila mimi mo namfahamu akiwa mbunge singida, na nilipokuwa mlinzi kiwanda chake cha nguo morogoro.
    Nawaomba wachezaji simba wajitahidi kututoa nao matongotongo, maana hawatalia nguo, kiatu, sokisi, wala njaa, kila kitu mo anacho.

  • @brenthylland2507
    @brenthylland2507 2 ปีที่แล้ว

    Tajili safi sana

  • @OscarMsaku-x1y
    @OscarMsaku-x1y หลายเดือนก่อน

    Mo mo mo saruti kwako oyeeeeeee

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 4 หลายเดือนก่อน

    Hatujii uwanjani tenaa.. free gb 64.

  • @emmyjosia4488
    @emmyjosia4488 2 ปีที่แล้ว +1

    PAMOJA KIONGOZI,WE WILL BE OVER THERE

  • @laurentnkoko9122
    @laurentnkoko9122 2 ปีที่แล้ว

    Saafe sana Boss

  • @palepale7768
    @palepale7768 2 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana

  • @maulidkiswaga1906
    @maulidkiswaga1906 2 ปีที่แล้ว +1

    Uyu nae kama dem anasusasusa sana

  • @gka9147
    @gka9147 2 ปีที่แล้ว

    Simba ni Hasara

  • @vanviccatv9977
    @vanviccatv9977 2 ปีที่แล้ว

    kuwekeza simba hasara

  • @JacksoniAlfonce
    @JacksoniAlfonce 23 วันที่ผ่านมา

    Xaw

  • @noelakamala628
    @noelakamala628 2 ปีที่แล้ว

    Big brain always is think big be bless brother and that's how sharks on the meat thinks not like tilapia. Itachukua miaka Kumi Kwa mpumbavu kukuelewa Tena Kwa kiboko na makwezi. 🤔🤔🤔🧐🧐🤔🤫🤫🤫🤫🤫 Usimuamshe alie lala.

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 4 หลายเดือนก่อน

    Gb 64 laana yake kwa kumueka ndani, tunamuomba mungu mfungwe 8-0.

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 2 ปีที่แล้ว

    Mhhh!! Mhe Bilionea 😁😀😀 Dahh haya bhaana Danganya tuu uwanja niwako 😁😀😀

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb 2 หลายเดือนก่อน

    Kama umeuwa viwandani vya chai ndio utaweza kuendesha simba nayo simba itakufa

    • @khadijahussein5298
      @khadijahussein5298 25 วันที่ผ่านมา

      Shindwa kwa nguvu za mungu ee mungu pambana na maadui wt na wanga na wachawi na hasadi zao Washindwe waangamie Simba oyee

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 4 หลายเดือนก่อน

    kama unapata hasara simba c uondokee.. warabu wanaitaka from Qatar.. wee huna elaa

  • @saidiomar6642
    @saidiomar6642 2 ปีที่แล้ว

    Namkubali sana moo

  • @AbdallaOthman-ny8hp
    @AbdallaOthman-ny8hp 4 หลายเดือนก่อน

    ajitahidi kubosha timu na wachezaji muda mwengine hawajitumi

  • @rajabually8659
    @rajabually8659 2 ปีที่แล้ว

    Tupo pamoja mkuu

  • @aloycecharles6912
    @aloycecharles6912 2 ปีที่แล้ว

    Yaani b20 ndo kila siku

  • @zanzibarspice8686
    @zanzibarspice8686 2 ปีที่แล้ว +1

    WAHINDI NDIO TABIA YAO KILA P3SA WATATAJA

    • @ommymehmed8880
      @ommymehmed8880 2 ปีที่แล้ว

      anataja mali yake na ni haki yake ww kama inakuuma ..utakuwa hujui thaman hiyo oesa pia ni ukumbusho kwa mnaobweka ovyoo ,hamjui kama watu wamewekeza pesa zao .

  • @shukurukalindi626
    @shukurukalindi626 2 ปีที่แล้ว

    Tajiri kasema nani Sasa apinge here we go 👍👍👍

  • @JumaWamlola
    @JumaWamlola 2 หลายเดือนก่อน

    Usisikilze baba sajil timu