ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Chilunda umepewa baraka zote na Mama Samia kwahyo kazi inabaki kwako kutuletea magoli msimbazi #Chilunda
Mimikweli nilikuwa simpendi raisi ilakwaalucho kifanya kwatimu yangu nimejikuta nampenda ❤❤❤❤
Oyooooo I love you simba
Wenye nchi ❤❤❤❤
Kiukweli jezi za simba zinamwonekano mzuri lazima wapinzani wawe n wivu
mama mimi nakupenda sana
Simba oyooooo
Mashaallah tabarika allah😂😂😂
Mnyama day oyooooo
Lazima ujue kutofautisha kati ya wananchi na wenyenchi.
rais gan mnaomongelea endeleeni namengine
Tunamwongelea rais wa jamuhuri ya muungno wa Tanzania daktari Samia Suluhu Hasan
O:55 Bora mmemtoa huyo mzee. Jukumu la kutambulisha wachezaji ni la Captain.
Tunajiskia raha tup
badala ya kushughulika na janga la dpworld mnaenda kwenye mambo ya kipuuzpuuzi .
Asa nani aliekuuliza hebu fanya tathmin vzr na upime kati ya hlo jambo aliloenda Rais samia na akili yako kipi ni kipuuzi
Hao. Ni. Vibonde. Tuu. Ndiomaana. Wamewaleta. Tena. Simba. Gani. Anaalika. Vibonde. Tuu.
Nawe pia ni kibonde maana ulipigwa mbili na simba
ALL
Mnajisikiaje.kusalimiana.na.rais.wa.nchi.wangekuwa.yanga.msemaji.wenu.angelponda
Watu na Nchi yao sasa kama una wivu kimbilia uhamishoni tu Nchi hahahahhaha
Inapendeza watani wanafata nyayo za wakubwa, Kwa Yanga tulianza kwa kualikwa ikulu na Rais, Kisha nao kikosi cha tatu wakampa kampani Rais kule Malawi .. 🤣🤣🤣🤣
Unaumia Chula weweeeeeeww
@@kemmyabdallah353 Niumie kitu gani, Sisi tunaalikwa na kumpa kampani Rais, Nyie hadi mumtumie mwaliko na kumbembeleza 🤣🤣
Sijakuelewa ujue
Ahaa kumbe mkanywe chai hahahaha
Chilunda umepewa baraka zote na Mama Samia kwahyo kazi inabaki kwako kutuletea magoli msimbazi #Chilunda
Mimikweli nilikuwa simpendi raisi ilakwaalucho kifanya kwatimu yangu nimejikuta nampenda ❤❤❤❤
Oyooooo I love you simba
Wenye nchi ❤❤❤❤
Kiukweli jezi za simba zinamwonekano mzuri lazima wapinzani wawe n wivu
mama mimi nakupenda sana
Simba oyooooo
Mashaallah tabarika allah😂😂😂
Mnyama day oyooooo
Lazima ujue kutofautisha kati ya wananchi na wenyenchi.
rais gan mnaomongelea endeleeni namengine
Tunamwongelea rais wa jamuhuri ya muungno wa Tanzania daktari Samia Suluhu Hasan
O:55 Bora mmemtoa huyo mzee. Jukumu la kutambulisha wachezaji ni la Captain.
Tunajiskia raha tup
badala ya kushughulika na janga la dpworld mnaenda kwenye mambo ya kipuuzpuuzi .
Asa nani aliekuuliza hebu fanya tathmin vzr na upime kati ya hlo jambo aliloenda Rais samia na akili yako kipi ni kipuuzi
Hao. Ni. Vibonde. Tuu. Ndiomaana. Wamewaleta. Tena. Simba. Gani. Anaalika. Vibonde. Tuu.
Nawe pia ni kibonde maana ulipigwa mbili na simba
ALL
Mnajisikiaje.kusalimiana.na.rais.wa.nchi.wangekuwa.yanga.msemaji.wenu.angelponda
Watu na Nchi yao sasa kama una wivu kimbilia uhamishoni tu Nchi hahahahhaha
Inapendeza watani wanafata nyayo za wakubwa, Kwa Yanga tulianza kwa kualikwa ikulu na Rais, Kisha nao kikosi cha tatu wakampa kampani Rais kule Malawi .. 🤣🤣🤣🤣
Unaumia Chula weweeeeeeww
@@kemmyabdallah353 Niumie kitu gani, Sisi tunaalikwa na kumpa kampani Rais, Nyie hadi mumtumie mwaliko na kumbembeleza 🤣🤣
Sijakuelewa ujue
Ahaa kumbe mkanywe chai hahahaha