Shida nchi inaongozwa na viongozi wasio na uwezo kuanzia juu hata chini Viongozi waliowengi wa serikali na chama tawala hawana uwezo!!! Wamewekwa kwa vigezo vingine sio uwezo wa nafasi walizo nazo Ndio maana taifa haliendi popote
@@mr.machange1377 kugombea si hoja. Waliogombea wenye uwezo wa uongozi, wakashinda uchaguzi hawako bungeni, udiwani wala uongozi wa mitaa na vijiji. Kamuulize Nape Mnauye atakukumbusha!
Aisee mzee shukran
Aisee
Babu yangu bitiku hapo ulipo agiza soda unywe nakuja kulipa
Mzee anaogoopa kutekwaa naatumalizia mb zetu
Mzee Butiku kachoka, unaulizwa maamuzi ya Spika, unajikita na suala la Mpina!
Mzee anakwepa lawama
@@Veni584 Huyu mzee anaongea kwa ukakamavu, ukizubaa utamwamini kumbe anapiga chenga za mwili akitafuta point ya kuchomokea!
Kwahiyo shida sio wabunge, shida ni spika, hakutaka lijadiliwe
Daah!! Kwahiyo rais alikili udhaifu na kuibariki rushwa
Kutokuwajibika ndo kukosa maadili.
Viongozi wetu siyo waadilifu.
Viongozi wetu sio waadirifu hawatakibkutenda haki wanajikita katikathuruma yakutompatia kutuhaki
Shida nchi inaongozwa na viongozi wasio na uwezo kuanzia juu hata chini
Viongozi waliowengi wa serikali na chama tawala hawana uwezo!!!
Wamewekwa kwa vigezo vingine sio uwezo wa nafasi walizo nazo
Ndio maana taifa haliendi popote
wewe umewahi kugombea ?
@@mr.machange1377 kugombea si hoja. Waliogombea wenye uwezo wa uongozi, wakashinda uchaguzi hawako bungeni, udiwani wala uongozi wa mitaa na vijiji. Kamuulize Nape Mnauye atakukumbusha!
Alhamdulilah mzee mwenye akili na mkweli