MKONO WA MUNGU - PASTOR SUNBELLA KYANDO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- Kuna gharama kubwa sana ya kuanzisha kitu ambacho Mungu amekiweka ndani yako.Mungu anachohitaji sio wewe upate hofu kutokana na ukubwa wa kitu alichokwambia bali anataka uchukue hatua ya Imani na uanze kufanya,ukianza tu na mkono wake unakuwa juu yako.Na kuna nyakati mkono wa Mungu unaweza kuwa juu yako lakini usijifunue,na hata ukimuuliza unaona amekaa kimya.Kukaa kimya kwa Mungu sio kuwa hayupo au hasikiki,anasikia na anatenda kazi.Meshaki,Shedraki na Abednego wakati wanakamatwa na kuingizwa kwenye tanuru la moto hauoni Mungu akisema chochote,lakini katika ule moto alikuwa nao na wala haukugusa hata nguo zao.Unachotakiwa kuwa na uhakika nacho ni kuwa katika kila hali unayopitia au utakayopitia Mungu yupo pamoja na wewe,hajakuacha na hatokuja kukuacha.
#PastorSunbella#Mkono#Mungu .
Jamani baba njoo mwanza pia
Amen mtumishi barikiwa sana
Amen 🙏🏻 and Amen
Amen
Nakupenda sn Mungu wangu
Amen and Amen......
Haleluyaaaaaah,thanks to Jesus
Mungu nakusii Mkono wako usiondoke juu yangu,juu y a mambo yangu na kila kitu.
Hii sasa ndo neno kamili
Baba edelea kumlida mtumishi wako amahakika tunabarikiwa Sana kupitia yeye🙏
Yeah dady
Wooow! Am blessed
Everytime i listen 👂 to the preaching of the man of God something changes in my life God bless you man of God
Me too
Amen. I tap this anointing in Jesus Name.
Amina
Asante Bwana Yesu kwa neno tamu
Amina sana
Glory to Jesus
Amina Kuu Baba
Mungu akutunze sana Baba
God Bless you
Aisee wananeema washirik hawa hawatak amalize
Amen Amen Amen. Be blessed Servant of God