ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
kama na wewe umo kwel gonga like..😃plz kama na ww umo kwel lkn😊
NAMI nimo ww
salome i see u ma friend nawe uwo bc nami nimo nice song
Hakika Mungu anawatumia nyenyekeeni ili azidi kuwapandisha nimebarikiwa sana na wimbo
nimesubiri saana jmn ....Mbarikiwee🙏🙏#Nami Nimo
Fire kabsaaa
Nimemwona mungu kwenye wimbo huu mbarikiwe wapendwa mm niko dar naweza nikaja tabata mkanipa albaham ya wimbo huu naitwa isaya sonelo
Uwiii♥️♥️♥️🔥🙌🏻🙌🏻🙌🏻jamn mmetisha
Tunashukuru sana
Hili ni bonge la jimbo na bonge la video kuliko la wale majirani zetu #nawamikono
Mungu mwaminifu sana , tunashukuru
Majirani tena, kumbe ni competition .....am outer here
Safi sana watumishi wa mungu
mzidi kubalikiwa
💥💥💥 Na mi nimo
Hahaha nami nimo asante Yesu kwa kunikumbuka nami nimo....
Nami nimo nimebarikiwa kazi nzur.
Jamani Hawa wadada Wana sauti nzuri Sana Mungu awabariki sana
Ooooooh mubarikiwe mnooo nami Nimoooooo🙌🙌🙌🙌
Amen. Barikiwa na ww pia
Na Mimi nimo, nawapenda Sana nyie watu
Mpo vizuri keep up the nice work love you😍
Nami Nimo jamani mambo ni fireeee
Hata mie nimoooo 😍😍🔥🔥🔥
Barikiwa
Mungu awabariki nawapenda sana
Kazi nzuri
Hongera sana Survivors choir kazi nzuri sana 👏👏👏
Hongereni sana nawapenda sana marafiki zangu na me nimo,kihome home
Nami nimo,, Mungu awainue kwa viwango vya juu zaidi
Nataman kila mwanadamuu aisikilze hii nyimbooNAMI NIMOOO OOHOOOO OHOOO katika wateule 💪💪💪💥💥💥💥
Ajabu kwenye baraka zake MWENYEZI MUNGU nami nimo🙏🙏🙏🙏
Mwl wa wimbo huuu pole sana kwa mengi yaliyokupata naamin ccc walimu hupewa kitu kwa ajiri ya weng, be blessed
Mungu azidi kuinua kazi yenu Ni njema mno ,#NamiNimo
Nami nimo🙌🙌🙌
asee nyie watu wimbo wenu ni mzuri sana nabarikiwa sana nao,Mungu awabariki mno
Mungu aendelee kuwaongoza
Nami nimo, 😍😍😍😍much respect!!! Wakatishwao tamaa nami nimo wooooh, kazi njema Mungu awabariki
Amina
Hongeeera hakika nmeamin nami nmo miongoni mwawaleeeee barkiwen wateule
Amen mungu awabariki sana
Tunashukuru Mungu kwa vipawa hivi🙏🏻
Amen
Vaeni sare basi watumishi wa Mungu wazuri mnakuwa kama mmetafuta watu sokoni , shuleni, barabarani waje kucheza lol.. Sare ni utambulisho tosha.. Mko vizuri kupita kawaida Mungu awainue zaid Love u...
Niwekeeni na mimi jmn hykwaya nimeipenda
Nice song mbarikiwe
nice songTHE SURVIVORS GOSPEL CHOIR mubarikiwe sana Wimbo mzuri sana na unamtukuza Mungu
Amen Tunashukuru sifa na utukufu Kwa Mungu
Big up Survivors Choir🔥🔥🔥 Mnatupa matumaini ya kuwa ni kweli m’meamua kutupa vitu vizuri muda wote! Mungu akawe nanyi kwa kila hatua🙏🏻
BARIKIWA SANA
Nasikia Safi
@@davidjohnsologuitar9875 amina
Huu wimbo ni🔥🔥🔥
Mbarikiwe kwa wimbo mzuri
Mungu awabariki sana Nami nimo. Big up survivors Mungu awainue viwango vya juu.
Amina tunashukuru sana
Nami nimo 👍👍👍🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️👍
Wimbo mzuri nimebarika🙏
Na mi nimo 🔥🔥🔥🔥
NAMI nimo kwenye baraka
Be blessed Moravian big up kazi nzuri
Nice song,ujumbe mzuri,relaxed, simple,Kuna somo sio lazima kuonyesha ubingwa kuvaa uniforms nyingi ili video yako ipendeze. YESU JUU!
Whoooh wimbo mzuri sanaa nami nimo 🔥🔥🔥
Nami nimooo🥰🥰🔥🔥
Mme ubariki sana, moyo wangu nami nimo niliyepitishwa pagum 😭😁🔥
Kwakwer huu wimbo umekuwa baraka sana kwangu ubarikiwe ulie uandika joooooooo na mimi nimo
Nami nimo, good song good vocal mubarikiwe sanaa
Amen barikiwa zaid
Mungu awatie nguvu
Bwana azidi kuwapaka mafuta na vikombe vyenu vifurike, mbarkiwe saana
Kiwango sana aiseeee
waoh be blessed wapendwa. kazi njema sanaaaa
Amen tunashukuru sana
Nami nimo 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
MbarikieweSana
Wheeeew🔥🔥
Mmetisha kiukweli my lovely church
Nami nimo
Big up Survivors choir
Hongereni kwa wimbo mzuri 🔥🔥
Nawapenda sana nabarkiwa kwa nyimbo zenu
Tunashukuru sana sana. Mungu akubariki
Amen 🙏🙏nami nimo🤞
Blessings,naomba jina la huyu dada wa kwanza
Nimeicheki mara ya kwanza nimeipenda aisee,,arrangement ya Music iko vizuri
Nimebarikiwa sana! Kupitia wimbo huu.
Naupenda Sana u wimbo mbarikiwe wapendwa
Yeeeeeees, nami nimo
Nami nimo👍🔥🔥♥️♥️♥️♥️
I'm glad to discover this lovely choir, such a blessing, beautiful songs and voices, melodious.
Hakika NAMI NIMOOOOO mbarikiwe
Judith mungu aendelee kukuinua ktk viwango vingine, Jane mwamakula
nami nimo
Awesome 😍😍😍🙏
Excellent stuff here
Ik poa san
Mungu awabariki kwaujumbe mzuri sana
This song is fire, you are blessed ,survivors
Nami nipo🙏🏻❤️💎
Nami nimo Yesu wangu. Be with me Jehovah
Na mi nimo
Mungu awatie nguvu mnaimba vizur sana natamani niwe kama nyie lkn cjui nianzie wapi jamn
Ameen... Nami nimo katika mateso ya Yesu na hata katika baraka zake...Nimo nawe Yesu Bwana🙌🙌🙌❤️
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Yabariki sana!
Hongereni Sana Mungu awabariki
Nyimbo Mzurii nikihitaji Audio Mp3 naipataje. Google haipoo
Ahsante sana . Unapatikana audiomack
NAMI NIMO
Huu Wimbo sina maneno ya kutosha kuulezea. Mungu awabarikini sana kwa utumishi huu.
Hata mimi NiMo!
Niceeeee gudJob
Wow Mbarikiwe Sn
Naminimooo,Mungu awatie nguvu
Wow this choir is coming too fast ,,, i love the way they plan vocols❤❤❤❤
Mungu mwaminifu.tunashukuru sana
Nice song NAMI NIMO 👍🏻👍🏻
Barikiwa sawa salama
🔥🔥🔥
Nice!
very inspiring song! big up The survivors choir!
Ahsante sana
kama na wewe umo kwel gonga like..😃plz kama na ww umo kwel lkn😊
NAMI nimo ww
salome i see u ma friend nawe uwo bc nami nimo nice song
Hakika Mungu anawatumia nyenyekeeni ili azidi kuwapandisha nimebarikiwa sana na wimbo
nimesubiri saana jmn ....Mbarikiwee🙏🙏#Nami Nimo
Fire kabsaaa
Nimemwona mungu kwenye wimbo huu mbarikiwe wapendwa mm niko dar naweza nikaja tabata mkanipa albaham ya wimbo huu naitwa isaya sonelo
Uwiii♥️♥️♥️🔥🙌🏻🙌🏻🙌🏻jamn mmetisha
Tunashukuru sana
Hili ni bonge la jimbo na bonge la video kuliko la wale majirani zetu
#nawamikono
Mungu mwaminifu sana , tunashukuru
Majirani tena, kumbe ni competition .....am outer here
Safi sana watumishi wa mungu
mzidi kubalikiwa
💥💥💥 Na mi nimo
Hahaha nami nimo asante Yesu kwa kunikumbuka nami nimo....
Nami nimo nimebarikiwa kazi nzur.
Jamani Hawa wadada Wana sauti nzuri Sana Mungu awabariki sana
Ooooooh mubarikiwe mnooo nami Nimoooooo🙌🙌🙌🙌
Amen. Barikiwa na ww pia
Na Mimi nimo, nawapenda Sana nyie watu
Mpo vizuri keep up the nice work love you😍
Nami Nimo jamani mambo ni fireeee
Hata mie nimoooo 😍😍🔥🔥🔥
Barikiwa
Mungu awabariki nawapenda sana
Kazi nzuri
Hongera sana Survivors choir kazi nzuri sana 👏👏👏
Hongereni sana nawapenda sana marafiki zangu na me nimo,kihome home
Nami nimo,, Mungu awainue kwa viwango vya juu zaidi
Nataman kila mwanadamuu aisikilze hii nyimboo
NAMI NIMOOO OOHOOOO OHOOO katika wateule 💪💪💪💥💥💥💥
Ajabu kwenye baraka zake MWENYEZI MUNGU nami nimo🙏🙏🙏🙏
Mwl wa wimbo huuu pole sana kwa mengi yaliyokupata naamin ccc walimu hupewa kitu kwa ajiri ya weng, be blessed
Mungu azidi kuinua kazi yenu Ni njema mno ,
#NamiNimo
Nami nimo🙌🙌🙌
asee nyie watu wimbo wenu ni mzuri sana nabarikiwa sana nao,Mungu awabariki mno
Mungu aendelee kuwaongoza
Nami nimo, 😍😍😍😍much respect!!! Wakatishwao tamaa nami nimo wooooh, kazi njema Mungu awabariki
Amina
Hongeeera hakika nmeamin nami nmo miongoni mwawaleeeee barkiwen wateule
Amen mungu awabariki sana
Tunashukuru Mungu kwa vipawa hivi🙏🏻
Amen
Vaeni sare basi watumishi wa Mungu wazuri mnakuwa kama mmetafuta watu sokoni , shuleni, barabarani waje kucheza lol.. Sare ni utambulisho tosha.. Mko vizuri kupita kawaida Mungu awainue zaid Love u...
Niwekeeni na mimi jmn hykwaya nimeipenda
Nice song mbarikiwe
nice song
THE SURVIVORS GOSPEL CHOIR mubarikiwe sana Wimbo mzuri sana na unamtukuza Mungu
Amen Tunashukuru sifa na utukufu Kwa Mungu
Big up Survivors Choir🔥🔥🔥 Mnatupa matumaini ya kuwa ni kweli m’meamua kutupa vitu vizuri muda wote! Mungu akawe nanyi kwa kila hatua🙏🏻
BARIKIWA SANA
Nasikia Safi
@@davidjohnsologuitar9875 amina
Huu wimbo ni🔥🔥🔥
Mbarikiwe kwa wimbo mzuri
Mungu awabariki sana Nami nimo. Big up survivors Mungu awainue viwango vya juu.
Amina tunashukuru sana
Nami nimo 👍👍👍🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️🕊️👍
Wimbo mzuri nimebarika🙏
Barikiwa
Na mi nimo 🔥🔥🔥🔥
NAMI nimo kwenye baraka
Be blessed Moravian big up kazi nzuri
Nice song,ujumbe mzuri,relaxed, simple,Kuna somo sio lazima kuonyesha ubingwa kuvaa uniforms nyingi ili video yako ipendeze. YESU JUU!
Tunashukuru sana
Whoooh wimbo mzuri sanaa nami nimo 🔥🔥🔥
Nami nimooo🥰🥰🔥🔥
Mme ubariki sana, moyo wangu nami nimo niliyepitishwa pagum 😭😁🔥
Kwakwer huu wimbo umekuwa baraka sana kwangu ubarikiwe ulie uandika joooooooo na mimi nimo
Nami nimo, good song good vocal mubarikiwe sanaa
Amen barikiwa zaid
Mungu awatie nguvu
Bwana azidi kuwapaka mafuta na vikombe vyenu vifurike, mbarkiwe saana
Kiwango sana aiseeee
waoh be blessed wapendwa. kazi njema sanaaaa
Amen tunashukuru sana
Nami nimo 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Mbarikiewe
Sana
Amen
Wheeeew🔥🔥
Mmetisha kiukweli my lovely church
Nami nimo
Big up Survivors choir
Hongereni kwa wimbo mzuri 🔥🔥
Nawapenda sana nabarkiwa kwa nyimbo zenu
Tunashukuru sana sana. Mungu akubariki
Amen 🙏🙏nami nimo🤞
Blessings,naomba jina la huyu dada wa kwanza
Nimeicheki mara ya kwanza nimeipenda aisee,,arrangement ya Music iko vizuri
Nimebarikiwa sana! Kupitia wimbo huu.
Naupenda Sana u wimbo mbarikiwe wapendwa
Yeeeeeees, nami nimo
Nami nimo👍🔥🔥♥️♥️♥️♥️
I'm glad to discover this lovely choir, such a blessing, beautiful songs and voices, melodious.
Hakika NAMI NIMOOOOO mbarikiwe
Judith mungu aendelee kukuinua ktk viwango vingine, Jane mwamakula
nami nimo
Awesome 😍😍😍🙏
Excellent stuff here
Ik poa san
Mungu awabariki kwaujumbe mzuri sana
This song is fire, you are blessed ,survivors
Nami nipo🙏🏻❤️💎
Nami nimo Yesu wangu. Be with me Jehovah
Na mi nimo
Mungu awatie nguvu mnaimba vizur sana natamani niwe kama nyie lkn cjui nianzie wapi jamn
Ameen... Nami nimo katika mateso ya Yesu na hata katika baraka zake...
Nimo nawe Yesu Bwana🙌🙌🙌❤️
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Yabariki sana!
Hongereni Sana Mungu awabariki
Nyimbo Mzurii nikihitaji Audio Mp3 naipataje. Google haipoo
Ahsante sana . Unapatikana audiomack
NAMI NIMO
Huu Wimbo sina maneno ya kutosha kuulezea. Mungu awabarikini sana kwa utumishi huu.
Hata mimi NiMo!
Niceeeee gudJob
Wow Mbarikiwe Sn
Naminimooo,Mungu awatie nguvu
Wow this choir is coming too fast ,,, i love the way they plan vocols❤❤❤❤
Mungu mwaminifu.tunashukuru sana
Nice song NAMI NIMO 👍🏻👍🏻
Barikiwa sawa salama
🔥🔥🔥
Nice!
very inspiring song! big up The survivors choir!
Ahsante sana
Ahsante sana