kwanza huyu mwanaume kama hayo yanayosemwa kwamba alikua akimuibia mkewe vitu zikiwemo kanga bx nimtu wahovyo sana hafai kuish na mwanamke kbx nimshenzi yy ndio chanzo cha matatizo yote nanyinyi wana wake mkishaona mtu yuko hivo kimbieni mapema2
Ndugu zangu tafutane msaada wa matatizo yenu kwa watu wazima msi kae na mambo moyoni sisi vijana hatuwezi vumilia ndoa na kama hujajua kuvumilia ndoa acha kwanza😢😢😢
Kiburi ndo chanzo cha mabalaa! Kujifanya “sipangiwi.” “Siambiwi,” “nimeamua, “ n.k. Hata wazee washauri vipi, mtu ata itikia kisha anaenda kufanya tofauti na alivyo shauriwa, kwa kujidanganya eti “amekua.” Hivyo, hakuna wa kumuamulia wala kumpangia maisha!
kitu cha msingi niwatu kufundishwa kumjua mungu hata waseme waende kwawanzee mjue tu watu wengi hujikita kutatua matokeo ndo maan tunapata madhara mtu msaidie kutuliza fahamu zake akae sawa kiroho naapatiwe jawabu kabra madhara hayo hayajatokea
Mimi shangaiii ukiipenda sanA au ukipendwa sana ongopa sana kufaa nikugusa kingine zarau za wanawake zinakera afu unakuta umewekeza nguvu100.unazanii kinafuata
watu wanaoana ili wakamilishane, kila mmoja ana madhaifu yake, ila mtu wake peke yake ndiye anayeweza kuyabeba madhaifu yale na kumkamilisha mwenza wake, ndoa sio kitu kilichokamilika ila ni hatua/process za kukamilishana, kubebeana madhaifu na kusaidiana, watu hawaoani ili wawe na sifa kuwa tumeoana, hapana, ila ili wapate ukamilifu katika madhaifu yao, inapofikia hatua hasira zinakuwa kubwa kuliko upendo ujue ugonjwa wa akili (stress) umeingia na maafa hufuatia - ni kujikumbusha kufanya ibada na kuomba moyo wa kuwa na subra
Ishi kwa Amri za Mola. Epuka “kwanini” itakeapo umeudhika. Usiamue ukiwa na hasira. Tulia. Jali maisha yako kuliko machungu na hasira juu ya aliye kukera. Fikiria wakupendao kweli(baba, mama, watoto, nduguzo) wanastahili kurudishiwa machungu badala ya faraja? Je, wewe hujawahi kumkosea binaadam mwenzio? Je, hujawahi kumkosea Mungu? Uliye mchukulia hatua ya hasira ana thamani kuliko Amri za Mungu wako, maisha yako, wazazi na familia yako? Ukizingatia yote hayo. Huto hata waza kufanya upuuzi alio ufanya huyo aliye uwa na ujiuwa!
Ndio umchane mwanaume na wembe kuanzia shingoni mpaka karibu na moyo ingekuwa kisu kingeingia moyoni. Angeenda jela ikaonekana maisha yaendelee ila ipo siku yake ndio imefika sasa alafu mnalaumu tena mwanaume. Huenda alitaka tena kumuua mumewe kazidiwa nguvu mauti yakamkuta.
kwanza huyu mwanaume kama hayo yanayosemwa kwamba alikua akimuibia mkewe vitu zikiwemo kanga bx nimtu wahovyo sana hafai kuish na mwanamke kbx nimshenzi yy ndio chanzo cha matatizo yote nanyinyi wana wake mkishaona mtu yuko hivo kimbieni mapema2
Subhana ALLAH sikuhizi mauwaji yamekithirii mno tunaomba mwisho mwema
Ndugu zangu tafutane msaada wa matatizo yenu kwa watu wazima msi kae na mambo moyoni sisi vijana hatuwezi vumilia ndoa na kama hujajua kuvumilia ndoa acha kwanza😢😢😢
Kiburi ndo chanzo cha mabalaa!
Kujifanya “sipangiwi.” “Siambiwi,” “nimeamua, “ n.k.
Hata wazee washauri vipi, mtu ata itikia kisha anaenda kufanya tofauti na alivyo shauriwa, kwa kujidanganya eti “amekua.”
Hivyo, hakuna wa kumuamulia wala kumpangia maisha!
Apo umeongea point dear
Asante🤝
kitu cha msingi niwatu kufundishwa kumjua mungu hata waseme waende kwawanzee mjue tu watu wengi hujikita kutatua matokeo ndo maan tunapata madhara mtu msaidie kutuliza fahamu zake akae sawa kiroho naapatiwe jawabu kabra madhara hayo hayajatokea
Mimi shangaiii ukiipenda sanA au ukipendwa sana ongopa sana kufaa nikugusa kingine zarau za wanawake zinakera afu unakuta umewekeza nguvu100.unazanii kinafuata
Rasi uko vizuri kwa uwasilishaji...poleni sana
Ukitafakari vizuri kumbe mwanaume angesha kufaga sikunyingi nakisu akawa anamlia taimingi lakini mwanamke anakuwa mjinga wewe umemkata mwanaume napanga halafu unaendelea kubaki ujishtukii au huwezi kuwa nahofu kama mimi siku ileile natoroka maana mwanaume anapozidi kukuona namaugovi yanaendelea ujue anajihami atakuwahi wewe kabla wewe kumuwahi yeye
Wanawake pnguzenu vibuli mtakufa sana kalieniii mtandao umzalau mmeo alie kutoa mavumbini utarudii mavumbiniii mazima umakinii kwawamama unatakiwa.. zarau zimewajaa sana nakutowaheshimu waumezao tutakuwa tunaswekana unakufa najinonga namm tuone mbinguniii kama utareta zarau mbele ya mungu baba😢😢😢😢😢
Mbona na yy kajiua waambie na wanaume
Ukiona mwanamke ana kudharau. Jifanyie utafiti kwanza, na ukiona kuna kitu hakipo sawa, jielekebishe au ufanye mabadiliko yalio positive
Mi bora tachane lakin kuvumilia magomvi hapan
Ata mm siwez especially mtu wa kunipiga nasepa,sivimilii ngoo
@@eveliynejoseph7944 cheating nadhani ndio sababu kubwa
Somo wangu Yasmin Innalilah rajiun Allah akujalie kauli tabithi
Pole kaka! Hao wanaotafsiri ni ugonjwa,kwanxa wao ni wamepekeshwa na Scania wameoxa halafu wananyosha vidole kwa wa2.
Ila nahisi tu hizi ni siku za mwisho jamani tuombe sana,
Mna muacha mtoto yatima kisa mapenzi yapo yatakuwepo na tuta yaacha
Kunawatu hawafikirii watoto wanajiangalia wao tu
Kuna lipaka halikuckiliza story toka mwanxo,eti mapenxi,wanagombanaga kwa sababu mume huwa anauxaga mahindi na vitu vingine.
Kabisaaaa
Watoto watakuwa na kusikia,baba alimuua mama na akijinyoga😢😢
Ndoa za ivo mim siziwez
Apokwenye kovu lamaisha mi nilijua alikatwa chin ikatoka😮
Tani Tz Mungu aisaidie mauwaji ni mengi saana 😢
Walikuwa wazuri sana 😢😢
watu wanaoana ili wakamilishane, kila mmoja ana madhaifu yake, ila mtu wake peke yake ndiye anayeweza kuyabeba madhaifu yale na kumkamilisha mwenza wake, ndoa sio kitu kilichokamilika ila ni hatua/process za kukamilishana, kubebeana madhaifu na kusaidiana, watu hawaoani ili wawe na sifa kuwa tumeoana, hapana, ila ili wapate ukamilifu katika madhaifu yao, inapofikia hatua hasira zinakuwa kubwa kuliko upendo ujue ugonjwa wa akili (stress) umeingia na maafa hufuatia - ni kujikumbusha kufanya ibada na kuomba moyo wa kuwa na subra
Nimekuelewa
Jamani
Tafuta mwanamke au mwanaume waubavu wako ukilazimisha ukatafuta ubavu wamtu mwingine mazara ndo haya
Kwahiyo hawavita havijaazia leo walianza kupigana kitambo . Kilakazi inamshahara wake wameshavuna. Nakwann hawakuwaachanisha zamani
Kumbe wote mashujaa kupigana ilikuwa ndo style yao ya maisha
Kuhusu kovu la maisha ukweli wanaujua wenyewe mke na mume
Mbona Kama kuchanwa mwilini nikawaida mbona wapo waliovunjwa miguu mokono namaisha yanaendelea hawaseminikovu Kama Isha Ila mtu akiambukizwa ukimwi ndohuwa wanalalamia nakusema mwenzangu kamuua kamuua Nini aaa mwenzangu kamuua mtu anakwambia kaniua wakati nimzima unaanza kushangaa au anakwambia kaniachia kovu lamaisha ukimwi tuuuu ndo kuvu lamaisha usidanganye watu kwakujisafisha
Usipende kuhukumu kama hujui anything sasa hii ni Dhana na utapata dhambi bureee
Kumbe kupigana ndio Ilikua life style yao😢😢😢aiseee.
😢😢😢
Kumbeee hawa wote mke na mume walikuwa naroho ngumu sanandomaana wameuwa
Yaani wamekufa wote??
Hii ndoa ndoano
wapumzke kw aman
Mbona ni mkiristo anazikwa kiislam 😮
Magomvi hii ndio madhara yake
Kumbe wameanza zamani magomvi
Itakuwa ukimwi
Hakuna kovu lamaisha zaidi yahilo
Sasa ukimwi kovu?
Ukimwi sio kovu
Kumbe kupigana ndo tabia yk
Mapepo yanataka Kuingia Motoni na wemgi
Tatizo matatizo huwa yapo chini chini zamani
Mbona majina ya kikristo mazishi ya kiislamu Hawa ni WA dini GANI
Muwe mnasikiliza sio mnakurupuka kucomment bila kujua mmeambiwa alibadili din akaitwa Jasmine
😂😂😂kwahyo umeumia kuzikwa kiislamu?
Mmetimiza ahad ya kufa na kuzikana
Kabisa umewaza vizuri hakuna kitakacho tutenganisha mpk kifo
Kumbuka wamemuacha mtoto ambaye hayo waliyoyafanya yatamtesa maisha yake yote mpaka na vitukuu vitakuwa vinauliza maswali
Wallah
Tatizo watu hujilazimisha mandoandoa yakukurupuka
Mjaa laaana
Wewe unapuuza ndoa badala uzungumzie k2 kilichopo
Mbwa koko ww
@@abdulkarimabdallah9536 wewe pamoja naukoo wako
Kwenda huko
@@abdulkarimabdallah9536 mama ako ndio mbwa mwitu
@@abdulkarimabdallah9536 mama ako nguruwe pori
Ishi kwa Amri za Mola.
Epuka “kwanini” itakeapo umeudhika.
Usiamue ukiwa na hasira. Tulia.
Jali maisha yako kuliko machungu na hasira juu ya aliye kukera.
Fikiria wakupendao kweli(baba, mama, watoto, nduguzo) wanastahili kurudishiwa machungu badala ya faraja?
Je, wewe hujawahi kumkosea binaadam mwenzio? Je, hujawahi kumkosea Mungu?
Uliye mchukulia hatua ya hasira ana thamani kuliko Amri za Mungu wako, maisha yako, wazazi na familia yako?
Ukizingatia yote hayo. Huto hata waza kufanya upuuzi alio ufanya huyo aliye uwa na ujiuwa!
Mbona nyie mnakinyongo
Jamni wanaume wanakera sna😮
Ndio umchane mwanaume na wembe kuanzia shingoni mpaka karibu na moyo ingekuwa kisu kingeingia moyoni. Angeenda jela ikaonekana maisha yaendelee ila ipo siku yake ndio imefika sasa alafu mnalaumu tena mwanaume. Huenda alitaka tena kumuua mumewe kazidiwa nguvu mauti yakamkuta.
mpunguze umalaya
Kuna mtu asiye kuwa mlaya😂😂😂😂
@@frankcryk3241hata wanaume pia n Malaya tena wanaongoza kuliko wanawake
Huyu mke naye alikuwa mkorofi
Hapana wanaume washezi,hawariziki tena hapo huenda alikuwa anamtesa mke wake kimada anamtukuza