Wauza magari na ushauri ipi kali kati ya Toyota Crown Vs Mercedes-Benz C200

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 พ.ย. 2023
  • Wengi wanaamini kuhusu kuwa na Toyota au gari za Mjapani kwamba ndio imara, Lakini kuna mtazamo mwingine nataka ujifunze hapa.
  • ยานยนต์และพาหนะ

ความคิดเห็น • 21

  • @lusupi
    @lusupi 7 หลายเดือนก่อน +11

    Mimi nimetumia zote crown na benz ukweli ni kwamba crown tamu sana benz tu brand lakin crown habari nyingine🔥🔥

  • @ibmjuma
    @ibmjuma 7 หลายเดือนก่อน +4

    Crown sema g
    Hao jamaa zako hawajui magari

  • @jichoboy8904
    @jichoboy8904 7 หลายเดือนก่อน +6

    Baba crown ni atari 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Mercedes ipo kam toyota mark X😂😂😂 ✊🏻✊🏻 Crown ni ndege ya chini ,,,,, kaka snash crown ni bora sana ila Mercedes ni brandi tu aina kitu

    • @lusupi
      @lusupi 7 หลายเดือนก่อน +2

      Kwa mbio benz ipo vizuri ila kwa ulaini na uluxury crown ina balaa sana

    • @abuubakarnassor7793
      @abuubakarnassor7793 7 หลายเดือนก่อน

      Double wish borne ni unyama kwenye crown very luxury plus long wheel base inakupa comfort moja matata sana🔥

  • @kelvinlushiku8431
    @kelvinlushiku8431 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tisha sana kaka hii channel tutaisimamia sisi wapenda magari 😁😁

  • @fahadmwalim3816
    @fahadmwalim3816 7 หลายเดือนก่อน +2

    wakwanz leo🎉🎉

  • @mxofmfk8406
    @mxofmfk8406 6 หลายเดือนก่อน

    Hao ni wauza magari au madalali wa magari hebu muwe mnatofautisha

  • @simeonimsenga2118
    @simeonimsenga2118 7 หลายเดือนก่อน +1

    Dah brother me ushauri wangu kwako fanya mazoezi mahana Kwa Ali iyo utanenepa Zaidi ya apo

  • @crershawmafia1009
    @crershawmafia1009 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hii inaonesha jinsi gani mlivyo shallow wazee, no content at all bali ushabiki tu. Zungumzieni practicality ya magari sio kuongelea mafuta tu.

  • @michaelmwingwa7354
    @michaelmwingwa7354 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna gari ambayo haitaki genuine parts tunaziharibu gari zetu kwa sababu ya fake stuffs tunazoziekea! Toyota genuine parts might be very expensive than others companies

  • @loui7050
    @loui7050 6 หลายเดือนก่อน

    Hao jamaa weupe pee. Umetaja compressor kidogo watoke nduki 😀
    Crown - comfort, cheaper to maintain, space cause hii ni full size sedan.
    Benz - status, fuel efficiency, stability

  • @guccij6236
    @guccij6236 7 หลายเดือนก่อน +1

    Review ya The Expendables 4 lini Mzee?

  • @MozzahIssa-gf8gn
    @MozzahIssa-gf8gn 7 หลายเดือนก่อน +2

    Wakwanz leo nipeni like zangu tafahdal

  • @alisultantz
    @alisultantz 7 หลายเดือนก่อน +1

    Snash mambo vp nilikuwa nahitaji kununuwa wife ile ya Vodacom ambayo nimeona baazi ya video zako uliweka tangazo lao mwishon na maelezo kidog, ila kabla sjaenda kujaza form ningeomba maelezo zaid kuhusiana na malipo baada ya malipo ya mwanzoni na je kwa huku zanzibar (unguja) inapatikan pia, na je 5g huku inaweza kufanya kazi, Nisaidie bro kupata maelezo kwa kina nasumbuka sana kwa mb unaunga zaid ya mara 3 kwa siku na bado haitoshelezi. Kijana-

    • @snashtz
      @snashtz  7 หลายเดือนก่อน

      Call +255 756 445 759

    • @alisultantz
      @alisultantz 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@snashtzpoa asante

  • @Moviesclip6action
    @Moviesclip6action 7 หลายเดือนก่อน +1

    Jaman tusapot kusubscribe account ya snash ili tuwe wengi jaman tushare

    • @snashtz
      @snashtz  7 หลายเดือนก่อน

      🙏🏽

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 7 หลายเดือนก่อน +2

    Huwezi kufananisha Benz na vitu vya ajabu kaka…Wenye Crown wote utawasikia wanasema Crown ni mercedes benz za Japan 😂