Magari ya gharama yaliyonunuliwa na vijana mwaka 2017 Mwanza.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ธ.ค. 2017
  • Saa chache kabla ya kukamilika mwaka 2017, Ayo TV, millardayo.com imepita kwenye moja ya showroom ya magari Mwanza kujua ni aina gani ya gari ambayo yameuzika kwa wingi mwaka 2017, Pia wadada wameendesha magari gani, wazee pamoja na vijana wa kuime kwa mwaka 2017.

ความคิดเห็น • 80

  • @elizabethmhapa3658
    @elizabethmhapa3658 5 ปีที่แล้ว +3

    Hata mim nitanunua gari One day Yes

  • @peterkimwaga8725
    @peterkimwaga8725 6 ปีที่แล้ว +1

    Mwnangu voice kma ya millard! kaza upo juu!

  • @hajimamba2066
    @hajimamba2066 6 ปีที่แล้ว +1

    crown ni gari kali sana naipenda sana Queen of saloon

  • @mussangwale7720
    @mussangwale7720 6 ปีที่แล้ว +5

    Matako ya Nyani... nyani wote wanaandamana wanataka ziitwe matako ya Sokwe

  • @husseinmohamed5565
    @husseinmohamed5565 6 ปีที่แล้ว +6

    Mungu yupo tuu IPO SKU na mm nitanunua mgongo wa nyani

    • @mohamedfaris3000
      @mohamedfaris3000 4 ปีที่แล้ว

      Inshaallah, Allah akuwezeshe na iwe na kheri na wewe, 🙏

    • @anahanah9145
      @anahanah9145 3 ปีที่แล้ว

      Naiwe hivyo

  • @emanuelmark7419
    @emanuelmark7419 6 ปีที่แล้ว +10

    Mungu awainue mzidi kuendelea mbele na kuzidi kutuletea vitu vyenye hadhi hapa nchini kwa faida ya jamii nzima ya kitanzania

  • @emmanuelnyansiro8636
    @emmanuelnyansiro8636 6 ปีที่แล้ว +2

    ww hizo data unazotoa oooh tumeuza makalio ya nyani, Mara tumeuza milioni170, TRA watakufuatilia utoe kodi mara2

  • @jamesmbata8542
    @jamesmbata8542 6 ปีที่แล้ว +2

    Toyota Vanguards mnyama

  • @albanbros7210
    @albanbros7210 6 ปีที่แล้ว +1

    Toyota crown hatari sana wenyewe wanaiita Queen of saloon.

  • @abineryantonykilulu954
    @abineryantonykilulu954 6 ปีที่แล้ว +1

    Mbona gari bei kubwa sana?

  • @stevoovlogs8645
    @stevoovlogs8645 5 ปีที่แล้ว +4

    Ipo siku tu na mimi ntanunua matako ya nyani 😀😀😀

    • @babylonyNgwembe
      @babylonyNgwembe 3 ปีที่แล้ว +1

      Matako yanyani au yako la nyani

  • @automotivetz1275
    @automotivetz1275 6 ปีที่แล้ว +5

    Good, thou diamond doesn’t have an audi

  • @lutifredrumisha8987
    @lutifredrumisha8987 6 ปีที่แล้ว +1

    Sasa na ww mtangazaj umenunua gari gani?

  • @idreamfoto
    @idreamfoto 6 ปีที่แล้ว +2

    Hahaa team Mondi wewe sio bure mubuloo

  • @marymwakangale7673
    @marymwakangale7673 2 ปีที่แล้ว

    Mandhari yanayouzwa sumbawanga

  • @greonpeter6984
    @greonpeter6984 6 ปีที่แล้ว

    Mwanangu mwenyewe yaqub neja

  • @richardkobero6988
    @richardkobero6988 6 ปีที่แล้ว +5

    Land cruiser new model 2017 ndio my dream car....Hopefully one day nitamiliki

    • @youtubeisyours6417
      @youtubeisyours6417 6 ปีที่แล้ว

      Audi ni ya zari sio diamond

    • @lossojr2074
      @lossojr2074 6 ปีที่แล้ว +1

      Sasa 2001 ni new model na wewe?? Na ya 2017 utasemaje sasa

    • @kinglance9816
      @kinglance9816 6 ปีที่แล้ว

      +Losso Jr sasa we kiazi Una HELA ya kununua gari 2017

    • @lossojr2074
      @lossojr2074 6 ปีที่แล้ว

      Ni aibu kusema gari ya mwaka 2001 ni new model,Hahaha fala we isitoshe bado unakula ugali wa shkamoo nyumbani hapo

    • @babylonyNgwembe
      @babylonyNgwembe 3 ปีที่แล้ว

      Thubutuuuuuuuuuuuu

  • @selemanmabula6359
    @selemanmabula6359 6 ปีที่แล้ว +1

    bei ya chini ndo ngapi xaxa?

  • @mohamedikibasa418
    @mohamedikibasa418 6 ปีที่แล้ว

    Duh aiseeeeeee hilo audi ni hatari

  • @dullyprinc7886
    @dullyprinc7886 6 ปีที่แล้ว +2

    makalio ya nyan mung nijalie nami niendeshe makalip ya nyan

  • @estherpie8985
    @estherpie8985 6 ปีที่แล้ว +1

    Duh..matako ya nyani🤣🤣🤣

  • @chandelankwabi4330
    @chandelankwabi4330 4 ปีที่แล้ว

    Naomba no za zamzam motors

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 6 ปีที่แล้ว +1

    Iko poa

  • @piusjohn2588
    @piusjohn2588 4 ปีที่แล้ว

    Naomba namba ya cm

  • @lucialeonard6734
    @lucialeonard6734 3 ปีที่แล้ว

    Tusisahau kuwa kuna watanzania wanahitaji msada wapo wanaoumwa sio kununua msgari

  • @hassanisadiki824
    @hassanisadiki824 6 ปีที่แล้ว +2

    Wewe acha kuwazalilisha wachezaji mastaa wakubwa km hawo wanaendesh gari frani zaitwa bugati na hiyo gari inaweza ikafika Mpk billion 3 na hawo hawo wachezaji wana miliki Mpk helicopter na boti zao Za kula bata baada y ligi kusimama

  • @exitingmomentsmovie2815
    @exitingmomentsmovie2815 5 ปีที่แล้ว

    Hivi kama hukuelewa si ungekaa tu kimya , Mara wachezaji Mara Diamond hawatumii gari hizi , wote wana magari ya bei za juu na za chini"

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 6 ปีที่แล้ว +3

    Allah anijalie na mm ja bajaji maana hata baskel ckapata mwaka ulopita

    • @chelakhafija762
      @chelakhafija762 6 ปีที่แล้ว

      Ashmina Abdullah 😂😂😂😂😂😂😄😄😄😄😃😃👍

    • @devidpanja115
      @devidpanja115 3 ปีที่แล้ว

      Nakuombea akupe gari

  • @shabanijuma9478
    @shabanijuma9478 6 ปีที่แล้ว +1

    Bajaj new modal bei gan

  • @tadeikilumbe4533
    @tadeikilumbe4533 6 ปีที่แล้ว

    daa jamaa umeshka ndoto za wtu unagawa ongera Mungu kakupa kibri cha kuuza magri ambyo wengi upiga goti kumuomba mola wao hawafanikishe duuu

  • @simonringo4701
    @simonringo4701 6 ปีที่แล้ว +3

    Hahaha....ongea tu kiswahili. Ni consumption sio comfession ya mafuta brother.

  • @iddypandu4285
    @iddypandu4285 3 ปีที่แล้ว

    V8 ipo

  • @praisekavy
    @praisekavy 6 ปีที่แล้ว

    bro sio kwel 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mondi anamiliki BMW X6 co Audi babu

  • @sadxkyando5456
    @sadxkyando5456 6 ปีที่แล้ว

    Sponsored by WCB CEO
    gonga like no body else
    NICHANE
    Kama nmezngua

  • @ammaherman3391
    @ammaherman3391 6 ปีที่แล้ว

    Hizo ndo gari za bei ghali kweli...??

  • @dominickshoo9214
    @dominickshoo9214 6 ปีที่แล้ว +1

    Q7 Moshi tumezichoka kitambo!!

  • @timszon
    @timszon 6 ปีที่แล้ว

    Matako ya nyani Lol!

  • @lyimoej7198
    @lyimoej7198 5 ปีที่แล้ว

    Harrier NI WAZFA LAKINI CROWN NI BABA LAO,, rush iko makini na off road capabilities zake with luxury

  • @mbandoramadhan8787
    @mbandoramadhan8787 5 ปีที่แล้ว

    Hizo gali za kuendea sokoni wakin mm japan zikij Tanzania tunaon magali ya kifahali

    • @babylonyNgwembe
      @babylonyNgwembe 3 ปีที่แล้ว +1

      Kaendeshe na wewe Japan Uende nayo sokoni

  • @MrKingsalim
    @MrKingsalim 6 ปีที่แล้ว +2

    haha

  • @yudadaniel4867
    @yudadaniel4867 6 ปีที่แล้ว +2

    diamond anatumia bmw x6 acha ujinga wewe

  • @kipsjr3664
    @kipsjr3664 6 ปีที่แล้ว +2

    ukinunua stalet mwaka huu usinipe lift niache nikapande daladala...

    • @agnestamajaliwa142
      @agnestamajaliwa142 6 ปีที่แล้ว

      kips jr ndo maana huna ata boda boda Mungu huyu anaelewa kuwapa watu kama wewe

    • @kipsjr3664
      @kipsjr3664 6 ปีที่แล้ว

      Agnesta Majaliwa usitake kuanzisha kubishana mitandaoni kama huna kazi ya kufanya kalale ayo ni maoni yangu kwa anaenijua atayafanyia kazi kama unijui fanya yako

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery 6 ปีที่แล้ว

    BMW X6 ni ghali sana kuliko audio Q7...., for your information

  • @eliabusanga7913
    @eliabusanga7913 6 ปีที่แล้ว

    sijaona gari hapo zaidi ya rollys royce

  • @charlesgiiti8629
    @charlesgiiti8629 6 ปีที่แล้ว +6

    mh eti Neymar, Ronaldo wanatumia gar zenye thamani ya million 140 shit kabsa hii

    • @felixmsigwa9332
      @felixmsigwa9332 6 ปีที่แล้ว

      Adam Singaile hizi ni used bro usipaniki

    • @lesterlester7563
      @lesterlester7563 6 ปีที่แล้ว

      Inategemea ya mwaka gani ingia kwenye website ya audi hiyo Q7 ya 2018 ni balaaa hiyo ni ya zamani iliyoletwa apa

    • @amaniminjaa6958
      @amaniminjaa6958 6 ปีที่แล้ว

      Adam Singaile v

    • @mwandumazaoidrossa1702
      @mwandumazaoidrossa1702 6 ปีที่แล้ว

      Charles Giiti huyo jamaa mwehu yaani Ronaldo na neyma atumie garii ya mbovu hiyo ya euro elfu sitini wewe kweli kiaz

  • @eliastawete6020
    @eliastawete6020 6 ปีที่แล้ว

    yani mnavyozungumzia haya magari utafikiri kuuzwa utadhani mapeazi kumbe gari, afu mambo ya kusema vyuma vimekaza muache jisemee mwenyewe ss wenngne huku tunanunua matako ya nyani kila siku..

    • @halimamohamedy3571
      @halimamohamedy3571 6 ปีที่แล้ว

      tawete elias hahaha daaaah unawaz kam mie apaa

  • @abumasoud1996
    @abumasoud1996 6 ปีที่แล้ว

    anashangaza sana huyu mkaka anamtangaza diamond kama anagari diamond hana gari unayoisema wewe usipende kusema uongo.au umetumwa umfagilie diamond?

    • @gonggongo2140
      @gonggongo2140 6 ปีที่แล้ว

      ww una ukaribu gan na diamond mpaka useme ivyo? acha upuuzi ww unadhan utampunguzia chochote?

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 6 ปีที่แล้ว

    Acheni kiki bhana! Gari ya milioni 140 wapo watu wa kawaida tu wanaendesha, ukiende visiwani Z'bar hizo gari watu wanaendea sokoni tu, afu wachezaji wakubwa wanaweza wakaendesha hata gari ya dola elfu 30 tu ikawa ni bei ya chini ya hiyo unayosema hata Bill Gates mwenyewe anapanda gari za kawaida tu za chini sana ambapo kwenye tuta lazima awe makini, gari yake kubwa ni Ferrari peke yake.

  • @mburugithinji7204
    @mburugithinji7204 6 ปีที่แล้ว

    barabara za kenya hakuna magari model za zamani hivyo.. gari zenu sura mbaya za kitambo, tembeeni kenya muone model mpya mpya sio kama hizo , mnatuonyesha harrier model ya kitambo . mnaendesha meuseum