Toyota IST Road Review Kutoka DAR to TARIME - Mr SABYY | Clearing and Forwarding
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- Usibonyeze Link hii chini 👇👇👇 kama huna ROHO NGUMU juu ya MAGARI ....👇👇👇
/ @mrsabyy
Ndugu mtazamaji leo tumekuletea Review ya Toyota IST kutoka Dar es salaam mpaka mjini Tarime katika zoezi la kusafirisha Gari ya mteja wetu. Jifunze na mwambie mwenzio ajifunze ili darasa huru liwafikie watu wengi. ENJOY
Huduma zangu...
1: Kuagiziwa GARI JAPAN/UK/DUBAI
2: kutolewa Gari yako Bandarini ( Clearing & Forwarding ) kwa wateja waliokwisha nunua Gari
3: Msaada wa kutafutiwa Gari mtandaoni na kupigiwa hesabu ni BURE
4: Msaada wa kuagiziwa bidhaa mbalimbali nje ya nchi
5: Kusafirishiwa Gari yako popote ndani ya Tanzania
Tumia mawasiliano haya chini.
NB: Tunafanya kazi na watu binafsi /Makampuni / Taasisi zote
--------------------------------------
Social media handle
Instagram: / mr_sabyy
Whatsapp link : wa.me/message/...
☎️DM/Piga/Text 0653953900 /
☎️Whatsapp +255 653953900
📧 Email: charlessabikazi@gmail.com
🏢Company: Mofaz movers Ltd
📍Location: PSSSF HOUSE, Ghorofa ya 9, Wing A-Room 4, Samora Avenue St.
Dar es salaam, Tanzania
*NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE
*NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏
*NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA NI BURE🙏
All copyrights reserved under CAIRO PROMOTIONS © 2022
--------------
#MrSabyy #Clearing_and_Forwarding #ToyotaIST #IST
#Clearing_And_Forwarding
#Clearing_And_Forwarding_Agent
#MAGARI
#TANZANIA
Kwa unayehitaji KUAGIZIWA GARI nje ya nchi au unayetaka KUNUNUA GARI YA MKONONI ( Iliyotumika hapa hapa Tz ) please tumia no hii Call/Text/WhatsApp +255653953900
Pia usiache ku subscribe na kutuFollow
Instagram@mr_sabyy
Twitter@mr_sabyy
Asante
Upo sahihi bro
Hiyo mpaka kwa mteja ni sh ngapi na ikiwa ofisini kwenu sh ngapi
Hii bei ya Sasa ni 16.5M Ila mda wa hii video ilikua 14.5M… Karibu ofsn kwetu au whatsapp yetu 0653953900
NIMEKUPATA VIZIRI SANA MR.SABY
Habari .naomba uwafahamishe na kuhusu gari Aina ya raum ikoje uimara na kusafiri nayo
Hello boss, Naomba Nitumie msg WhatssApp 0653953900 🙏🏻
Hivi ist Kwa Sasa ni sh ngapi?
Ni 1300 cc
Uko sawa Kwani cc 1400 ni kubwa
nimesha subscribe vp na kuhusu Toyota Crown kwa kutembea umbali mrefu
Mpaka ifike IRINGA niandae sh.ngapi?
Hello, karibu na tutumie ujumbe kwenye no yetu ya WhatsApp 0653953900 kwa maelezo zaidi. Asante
🫱🏻🫲🏽
Huyo gari ni TSH ngapi?
roaring big company,, congrats champ🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Thanks Mr Gelison 🤝🏻
Gari ipi nafuu kwa safari ndefu
Hello, Kila gari Ina sifa zake, Karibu ofisini au kwenye WhatsApp yetu 0653953900
Pamoja sana
Asante sana, save no yetu kuna siku utatuhitaji
Nahitaj harrier 2006
Hello , naomba tutumie msg WhatsApp kupitia no 0653953900. Asante na ubarikiwe