Hakuna baadhi ya watu dumiani hawana shukran kama baadhi ya Watanzania wenzangu wewe ukiww mmoja wapo leo watu.wanafanya kazi.tunaehitaji watu wa Serekali leo wewe unamkosoa RC na yote ni nyie baadhi yenu wadini mnaemchukia Rais Samia Suluhu Hassan kwa Uongozi wake bora haijawahi tokea ni Kiongozi bora kabisa katika hii Dunia kwa sasa mtaumia sana mpk 2030 mtakuwa unahali mbaya sana kwa.chuki zenu labda mukubali ukweli
@@abuumuhammad7133 ujinga tu kwani muda wa asubuh mpk jion hautoshi na hapo nashukuru nn na wapo kwa mujibu wa mishahara ambao ni kodi nayokatwa mm kwan umeskia wanatoa msaada Acha ukenge wewe
Ukiangalia sura za watu zimechokaaa lakini Mr masifa anawapelekesha watu kuzurura usiku
Hakuna baadhi ya watu dumiani hawana shukran kama baadhi ya Watanzania wenzangu wewe ukiww mmoja wapo leo watu.wanafanya kazi.tunaehitaji watu wa Serekali leo wewe unamkosoa RC na yote ni nyie baadhi yenu wadini mnaemchukia Rais Samia Suluhu Hassan kwa Uongozi wake bora haijawahi tokea ni Kiongozi bora kabisa katika hii Dunia kwa sasa mtaumia sana mpk 2030 mtakuwa unahali mbaya sana kwa.chuki zenu labda mukubali ukweli
@@abuumuhammad7133 ujinga tu kwani muda wa asubuh mpk jion hautoshi na hapo nashukuru nn na wapo kwa mujibu wa mishahara ambao ni kodi nayokatwa mm kwan umeskia wanatoa msaada Acha ukenge wewe
@@abuumuhammad7133 kiongoz bora alikua magufuli Fala wewe
Vihoja, nahama chadema nahamia ccm kwa usalama wng
😂😂😂 huyu jamaa duh! 😂😂😂😂😂
Huo msafara una magari mangapi yaani ni convoy mzima kuna umuhimu gani kutumia magari yote hayo kodi zitumike vizuri
Kwani lazima uende usiku ndo uonekane mtendaji mzuri...yani mimi usingeniona hapo labda niwe duty
Chawa
Tafadhari muwe mnatazama mlivyoandika kabla ya kutuma,ushauri tu
Uongozi na utawala kuna tofauti gani
Tuleteeniwakina sports msijifanye mko siliazi
Wakina ball wakowapi usiituekiteie
Sioni jipya Mm hapo
Hakuna lolote ni kuchoshana tu watu wameingia asubuh kazini unawaweka mpk Usk sijui ni uchawi au uchawa
Ww fisadi na mtekaji acha kutuzubaisha tukuone mwema
Mitano tena kwa mama ! Uongozi makini na wenye tija kwa nchi