TUVITU VITU VYA ELIE MPANZU DHIDI YA TABORA UNITED/ASSIST NA KATENGENEZA PENATI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 22

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +9

    Mpanz na kibu ❤nyie mnajua kuchez kwenye boksi bhna ..nasubir dabi kwa hamu tar8 alafu refa awe arajiga

  • @williamikera6377
    @williamikera6377 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +3

    Kinachovutia ni anazidi imarika mechi baada ya mechi cant wait io March 8 refa akiwa Arajiga😅

  • @AthumanAthumanTz
    @AthumanAthumanTz ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mpanzu Mpanzu
    Siku ukifunga Itakuwa Siku kuu kwangu

  • @allymwinyi970
    @allymwinyi970 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Simba hongereni kwa kujiongeza kwenye kutengeneza mfumo wa kuonyesha touches zote za mchezaji fulani kuanzia mwanzo wa mechi hadi mwisho. Hakika ninyi ni wa kwanza Afrika Mashatiki na Kati. Fanyeni hivyo kwa wachezaji wote kuwe na tekodi za touches zao kwenye kila mechi hata wale wanaoanzia benchi.

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Elie mpanzu kahusika magoli yote 🔥

  • @agripamwakapala
    @agripamwakapala 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤

  • @IblahimuIssa
    @IblahimuIssa 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nyie huyu mpanzuuuu.

  • @SamsoniKaka
    @SamsoniKaka 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @SamsoniKaka
    @SamsoniKaka 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    🦁♥️♥️❤️❤️💪💪🙏🙏

  • @DungaMan-f9y
    @DungaMan-f9y 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Noma tu😂😂

  • @bennylove6021
    @bennylove6021 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mpanzu ni Pacome buku, huyu mtu hatar na noma

  • @hassanlikwenangu8471
    @hassanlikwenangu8471 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mpanzu ni habari nyingine!!

  • @ZakayoMgaya2580
    @ZakayoMgaya2580 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mpanzu huyu nihabali nyingine kabisa mjini apa😂😂😂😂😂

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Timu zote zitanyolewa mno na chap

  • @ShukruMakoko
    @ShukruMakoko 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu mwanba sipidi yake hatari wakielewana itakuwa bala tupu hapo

  • @amoji126
    @amoji126 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hii somba ya 5% mbona ya moto hivi?! Ikifika 100% cjui itakuwaje.

  • @djrichsingelifreva8245
    @djrichsingelifreva8245 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Tarehe nane sio mbali watatueleza kwann wametufunga mzunguko wa kwanza

  • @benjaminkambona7783
    @benjaminkambona7783 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Alie mleta mpanzu dhambi zake achukue ali kamwe

  • @PROFESSIONAL792
    @PROFESSIONAL792 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    th-cam.com/video/s-Io7YBTdTg/w-d-xo.htmlsi=52oxndlhiYGNyMXQ❤❤❤❤❤❤❤