JEMEDARI AWACHANA SIMBA/ WAAMUZI WANASHIDA YA KUTAFSIRI SHERIA ZA MPIRA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 25

  • @oswaldtemba2770
    @oswaldtemba2770 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Jemedari.leo umechemka.Kwa mara ya kwannza kabosa nakuona mpuuzi ttu kama wngine

  • @FranciscoSeleman
    @FranciscoSeleman 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wew jemedar mpanzu alijua ataguswa ndomana katumia hakili kwaio wew ni mchambuzi sio legs legs pale anasekunde kaza

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Jemedali umeshindwa kutafsiri Sheria Na. 12. Ukishakuwa nyuma ya mchezaji chochote ukifanya inakula kwako.

  • @abbassmshaury7572
    @abbassmshaury7572 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    na kzma unataka uwe mwalimu wa marefa fuata utaratibu uwe mkufunzì wa marefa lkn kwa leo umechemka bwana kanzumari

  • @relaxstarman
    @relaxstarman 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Yanga mechi 16 wamechezesha malefa 7 tu amuongeiii yani mnashindwa kukubali ubira wa simba

  • @mossejackson
    @mossejackson 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Jemedali nenda kasomee Ulefa acheni ushabiki wa Tim Tanzania yetu

  • @AbdullaAmourKhamis
    @AbdullaAmourKhamis 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nyie makuma mbona game za yanga hamsemi

  • @relaxstarman
    @relaxstarman 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Bila kuikanyagia Simba utrend ,juz pacome kajiangusha amja sena Sasa wachambuzi mnachagua mechi

  • @DiazMwinuka
    @DiazMwinuka ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Sasa contact ya nyuma isiwe faulo , hawa ndo walimu wa mpira????

  • @sylivinebahaty5449
    @sylivinebahaty5449 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Jemedari ww ni mkongwe kwenye kazi hii! Ila ushabiki ndio unakufanya uonekane kama mwehu tu mzee wangu

    • @davidihaonga1244
      @davidihaonga1244 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Brother jemedali unakumbuka Yanga wamemuacha metacha alivyowaandama na sahiz Simba inamnyima nafasi manula ndio maan anachambua Kwa asila na Watu waliomuumiza Ila haka kamzee wanaomuajili sjui wanampendea Nini Ila uyu jamaa ni Mtu mmja ana kuonyesha chuki ya waziwazi

  • @jamtv1883
    @jamtv1883 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Basi tutoe hayo magoli mnayoyakataa nyiny halfu libaki la kapombe hapo mnasemaje

  • @badopoamusic0153
    @badopoamusic0153 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    UYO JEMADALI NI NANI KWANI MARUDIO HAMKUONA ENGLE GAN UNAITAJI WEW KWAN UJAONA KWENYE MARUDIO INAMAANA PALE INGEKUA NJE YA BOX NA INGEKUA FAUL,

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hakuna anayejiangusha akaangukia nyuma.

  • @abbassmshaury7572
    @abbassmshaury7572 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    sasa kama utamani kuwa kocha tafuta timu ufundishe wachezaji wako namna ya kuwa wakakamavu wafikapo eneo la box usiinfilie kazi za watu

  • @festosegeno6641
    @festosegeno6641 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    UJUE NINI WACHAMBUZI TATIZO LENU MNATEMBEA NA UPEPO HAMCHAMBUI UKWERI
    Laiti kama refa asingetoa penalty
    LEO MJADARA UNGEKUA SIMBA KANYIMWA PENALTY
    MNAKAUPUUZI FULANI KA KUTEMBEA NA UPEPO SIO KUCHAMBUA

  • @masanjanyaga7722
    @masanjanyaga7722 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu ni kolo ila anajua boli angalao

  • @johnmollel6915
    @johnmollel6915 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Yan mwamuzi asitoe adhabu ya penati kweny mechi husika sababu aliwah kutoa adhabu nyingine ya penati kweny mechi za nyuma alizochezesha, kimsingi wachambuzi mnawavuruga waamuzi pia, muachen asimamie sheria za soka kwa weledi 😂😂

  • @benedictgamuya8855
    @benedictgamuya8855 4 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kuna issue ya kuchezesha mechi nyingi za simba

  • @georgelazaro3940
    @georgelazaro3940 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Wewe una conflict of interest

  • @winstonesisia6465
    @winstonesisia6465 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wachambuzi wa mchongo..

  • @JastinSimonMwakalukila
    @JastinSimonMwakalukila 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Shida ni kwamba waamuzi wa bongo hawana uhakika na kazi zao,yaan huenda asingefunika mungeanza kusema pale refa kawanyima simba penalt,kwahyo kuna wakt waandish na mashabiki uchochea kuwapa hofu waamuz maana waandishi wetu hamna misimamo sabiti na uchambuzi wenu mnabadilika badilika sna

    • @stapinuswilliam
      @stapinuswilliam 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      BIG UP SANA UMEMALIZA

  • @sebastianmgaya8246
    @sebastianmgaya8246 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kwann we hujasomea uamuzi ili uokoe tasnia hii ya kelele za marefa? Ukakimbilia ukocha.
    Punguza unafki bro. We umejiridhisha mda gan kuwa refa kakosea

  • @IssaMaget
    @IssaMaget 2 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Usenge mtupu nyote mnamakasiriko wewe jemedar na hans rafael siwakubal sio wachambuz bali niwachaguz tunakujueni nyinyi ni yanga ongeeni mpaka mchoke ila simba walee😂😂😂