EXCLUSIVE: MREMBO POSHY ALIYEKAMATIA FURSA YA UMBO LAKE NA KUUZA VIGODORO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2019
- Mrembo Poshy Queen anayetamba mtandaoni ameamua kutumia fursa baada ya watu wakumuandama mtandaoni kuhusu umbo lake kwa kudaiwa kuwa ametumia dawa za kichina ili kuongeza sehemu za mwili wake, sasa Poshy kazungumza kupitia AyoTV na millardayo.com kuonesha fursa aliyoitumia kuhusu umbo lake.
Follow Millardayo instagram kwa habari mbalimbali za matukio
/ millardayo
Mtangazaji ni / vido_vidox
Camera man ni / edwintza255
Ila huyu dada Namsifi kitu kimoja anajituma sana angekuwa mwingine angekalia tu shepu muda unaenda,hongela kwake
Hiyo shape imefanya akajitima...
I honestly don't understand the language but my eyes totally understand everything about the young beautiful girl👌😎
keep it real p that you would love to fuck keep it real
Young man,you look so talented at interviewing! You actually have nice questions and that outstanding eloquency like a soldier.I salute you,dude! Keep the good while... 👍💪💪
wacheni wivu uko poa sana maisha kujituma😚👍👍👍👍👍
hongera kwa kazi nzuri dada angu, songa mbele
Mwanamke kazi kazi safi sanaa maneno ya watu nisumu kwao kwako kazi kazi
Kama umemkubali mtangazaji gonga like hapa
Why not translate your interview with this African queen to English language.
Watu wa MBEYA tunaakili kubwa sana... wanyakyusa To the world!! Gonga like kma unaelewa hustling za vijna👊👊
Kweli wanyakyusa hoyeee
Asee ntaoa mbeya naombeni mnipokee mbeya
Hatutaki mchezo
Gud
Akili kwa Mbeya tu akili wanazo wachagga na wahaya pole sana
Nakupenda sana poshi piga kazi wache wachonge
YoYO Salmi uko na akili mingi sana
Kiukwel hta me nampenda ana akil sana wtz ukiwafatilia hufanikiwiii
Ni vizuri utumie bland yako kujiinua kiuchumi na sio wale wanaojisahau na kuanza kujinadi machafu mitandaoni bila kujua wakati unapita.
Naona wana nzengo wanakoment kama jirani Mwenye wivuu!!😂😂😂😂😂!! Hao ndio Watanzania sasaaaa.
Dadadek
Hongera sister keep on pushing hakuna kuzima
Asanteni sana majirani nilikuwa bizee kusoma comments zenu mumejitahidi sio mbaya kiivyo😃😃😃
Nakumbuka nliwahi kusema @VIDO_VIDOX we nakuona mbali sana ndugu yangu Leo umekua presenter mkubwa Sana una uwezo wa kumhoji mtu yeyote kulingana na cheo na muonekano keep it up brow
Thank you brother 👊
Nakubalia na ww
Ukiachilia mbali mekap na tako alilonalo Kama angekua kawaida wallah huyu dada ni mmbaya aisee ,nimekubali matako yenu ndio fursa yenu
Hussein Omary ahahahaaa
Kweli broo analingia tako tu sura ya baba
Safi kabisa bora biashara kuliko kujiuza, tumtakie hongera na tu m-support
She is smart!!!!! Keep up the hard working ....
Ata iwe vipi the ability tu stand after ever thng they say is wat i lobe from her❤
Mashauzi yamezidi kwani kuwa real how much? Watu mpaka sauti mnabana nowadays! Mnafeli like seriously!
Nina ndoto za kufanya biashara kama hiyo coz naipenda kutoka kwa moyo na naiweza
Yan wabongo... Ukiamua kuongea kiswahil piga kiswahil km ni English ongea English, lkn I think ilikuw.. Sjui.. Alikuw ana inspire.. Acha hizo bana, Which is.. So.. Ndo nin
😁😁😁😁
ushamba tu ndg yng weeee hawana ga lolote hawa
hahaha
wakwanza leo nipeni like zangu
Hahahahah
Watanzania mnachukiana nyinyi kwa nyinyi, wenyewe kwa wenyewe. Pendaneni na muombeane mazuri.
So tuna chukiana Lana imezid Jaman watu wanasahau kufa wanajiona wamejileta wenyewe
ccy nakukubal kinom ww ni kam role model Wang big up 4yu
Karangi 2. Usije kukaaribu
Hongera mwaya
Ongera maisha ni kutafuta cyo kutafutana
True
Figa inalipa 👌
But she ist very Smart and Nature
Hivi ni vitu vya kawaida saaaana ndugu zangu havitishiiiii ila binafsi nikikumbuka kaburi lipo sioni umuhimu wa kuringia sijui shape sijui kitu gani maringo choyo vyote naweka pembeni namshukuru Mungu kwa pumzi tu. Posh hongera Dadaaaa😇
Fact
She understand sio she understanding, ongea kiswahili wachia wakenya kizungu
haha
Alafu duka nayo misuluali zinahangaika2 si upange vizuri jamani,
She/he/it/singular noun we add 's/es/ies'...Then we say she understands
Amesema"...she is understanding.." nafkir anamaanisha kuwa ni muelewa kwa upande wangu yuko sawa
@@kennedjohn5785 😂😂😂😂😂
Una akili sana wewe dada asee unajuwa kutumia nafasi body unayo akili unayo she's very smart indeed lazima nije apo shop😁😁😁😁
Hassanova junior hahahahah ukifka dukani unauliziaulizia afu unaondoka
🤣🤣🤣🤣 bro unataka ukanunue nn??
😂😂😂😂😂
Huyu Dada Mungu umuongoze kwa mafanikio yake yuko vizuri sana.
Wadada wa tz hasa hao wanaotaka u star wsnamuiga MTU mmoja ivi kuongea.
Tuna kuja kuona shepu lako apo dukani kwako
😁😁😂😂wee naweee hay nenda
siku hizi sio lazima usome weka tako utapata Digree kila mahali
Mtangazi anajuwa maswali nice big up
Beauty with brain, congratulations gal
Hongera sana kwakufunguwa mtaji wako
Go go go poshy....all the best
Fid Q Ameimba ktk ngoma yke ya mafanikio.. "utafanikiwa kwa unachojua au UNACHOFANYA, wachache wanafanikiwa kwa jinsi tu WANAVYOONEKANA".
Kauza sana sukari china,ungependeza sana kama ungeongea full Swahili not yah yah
Good
mtangazaji kipaji kipo hongera kaza msuli kaka....nasema nachojua wala sibahatishi.
Your voice 😍😘😍
Ila vidox unamkubali poshy sana
What a beautifull woman 😍😍
Napenda kicheko chako😍😍
Huyu dada tatizo hana mvuto sijui maringo yamezidi sijui nn tu yaan
nice
yaaaa. yaaah. yaaah.
Gabby Henrgy ok
Gabby Henrgy yeah ana mapozi adi anakera angekuwa kawaida at least
Yap maringo yamezidi ananidai uzungu
Hahahah mwenye tako anajiamini kuliko mwenye phd. Digree. Master. Na mengineyo. Dah dunia ipo speed sana
Je ukiwa navyo vyote inakuaje
Dorcas Nnko kama upo na vyote bc ww ni tajira mkubwa Na pia unahitaji ulinzi
Ahahahah.... haya bwana
and she's holding a degree
Hahahahahahaaaaaaaaa.......!😀👓
na rudia tena hata kama unadanga unadanga kiakili
Hahahah
Na uwe na nyota sasa ya kujongwa maana unaweza danga unaishia kupata 10000😅
haaaaaa hatari
Nakukubali sana posh
Ongea vizuri basi khaaa tako tuuu
Wala sio mzuri tako tuuuuuuuuuu
Hongera sana kwakujielewa
safi dada njoo sawa kuwa na vibinti kama nyinyi
Watanzania ndio walivyo mwaya kazi yao kuchamba tu wivu unawasumbua. Mtu hali chako ila unawashwa tu kisimi kumsema sema hata awe mbaya ndo kashakuzidi
Mashallah daa ❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akutangulie kwenye kazi yako
Binasamu tuna roho mbaya sana aise kaa 😘😘😘😘
@@p.kasongot979 sana yaani sijui kwa nn hasa ss ngozi nyeusi tumelaanika 😆😆😆😆
Hongera kwa shepu nzuri
Naomba utuambie unatumia Mkanda wa aina Gan Ku bana tumbo
😍I love u mami🇲🇽🇲🇽🇲🇽
Yani comment wengi wanaume 😁😁
Hatimaye nandy kafunguliwa duka 😂😂😂
Devotha mgomvi wewe
Hahaha
Nimecheka mno
Devotha Malugu umetisha sana hahaha
🤣🤣🤣🤣🤣
mi nauliza yale mahipsi yaloenuka yko wapi mbona sioni
Yeye mwenyewe kavaa hapo alipo ni vile tu uongo umekuzidia
hahaha
THE ONLY ONE BEAUTIFUL 🤣🤣🤣
Wivu shoga yangu na ww kuwa kama yy
Hilooo takooo naskia watu hawalisogeiii njoo kenyaa tuliwekeee sawaaaa....daaaah linaweza lakini
Yaaah!'mmmmh! Yaaaaa!!
Sie std vii utasikia eeeeeh ndiyooooo! Mweeee! Shikamoo mzungu.
Ana degree kwa taarifa yako
I love her anyway... she looks like the queen f my video.
She has her own secret from where she gets the dough. The rest is just a cover up. My Opinion
Onqera sana
Mtangazaji bora wa online tv
Yayayayayayayaayyayayayayaayyayayayaya
yayayayayayayayaya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂 yayayayayayayayayayayaya......
😅😅😅😅😅ya ya ya ya ya yaaaaaaaaaaa
Sooo... yah.. actually😂🤣🤣😃😄
Am Jamaican I need this girl
Hongera kwa biashara
Innalillah wainailaihi rajiun pole dada unajiuza muogope mungu
Na plan kuhamia Tanzania coz warembo niwengi wenye matako mazuri na shape nzuri.
Mshikaji unakipaji sio mchezo
I don't understand the language but I'm in love and love to marry... Take you around the world starting from Nigeria
Like kama ume hona chupi ya nandy
😂😂😂😂😂 sijaiyona Mimi
Ur looking so gud
🤣🤣🤣🤣🤣ipo upande gani
Nimeimic kuiona,
Kwa nn uongei kiswahili?
Waoo hio duka nimeitamanii Sana Waaache waongeee move on gal
Mbona kiswahili ni cha Kenya
VERY SMART
Mashauz mengi Mpendwa muachie isha hayo Mashauz
Mchina hajakuacha salama nyoo km vp ungekubal mungu alivokuumba dooh
soo nice
Nakuja apo dukani kwako ila staki kununua chochote zaidi ya kukubonyeza bonyeza makalio na mahips ili nione kama ni origino,alafu ntalipia
huyu mdada nampenda sana coz hajali maneno ya watu hongera kwako
#Vidovidox#AyoTv#porshee...siunajua Tena vidox lazima nicomet kwenye interview zako...mm nakuamini ujue,..
Lovely
:)
yah kama 20 hiv
Hongera posh
Dada kweli safi
naomba namba zake nina shida na mkanda
Pongezi kwako poshy....umejua kutumia fursa
Jamani hata mama yake ana ushepu wa hatari
Well done 💪💪
yaa yaa yaa Dah yaa yaa
Tanzania kujiona
Yeah mmmh 🔥
Be you acha kupretend maisha kuwa kma shishi baby.... Tumechoka ya ya ya ya ya ya ya.....!!!
Kama umeona chupi kubwa basi like nyingi kwangu
Ongea kixwahl cha kibong unajifanya mzungu kumbe mtt wa uswazi
Kiswahili kipi hiko Cha kibongo mimibona sioni utofauti wa kiswahili chake
Ww unakionaje