SIFA ZA MAKABILA YA TANGA:WADIGO,WASAMBAA,WABONDEI NA WAZIGUA/KITANDANI NI WABONDEI/WASAMBAA NI KAZI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2021
- Follow us on instagram : / thinkers_tv
: / utamu_wa_pwan
Kwa Matangazo / Habari Tupigie/ Tuma ujumbe kwa namba 06 87 42 92 33
#WADIGO
#WASAMBAA
#WABONDEI
#WAZIGUA
#UTAMUWAPWANI
#TANGARAHA
#TANGANAMAENDELEO
#TANGAYETUSOTE
#KARIBUTANGA
#yanga #simba #wasafi #wcb #thinkerstv #milladayo #pwani#azamtv
Wziguwa oyeeeeeee❤❤❤ karibu handen
❤❤❤
Oyeeee
Mashallah bafurahi kuwa mzigua
Wazigua tupo vzr
Asante kwa kusifia wasambaa
Huna lolote
@@fadhilarashidi5184 nawapenda sana😍😍
Waoh mashallah
Ukiachana na point ulizoongea Vazi pekee limekupa heshma kwa watu wa Tanga 👏👌🔥@the family twins Pongwa!!!
❤❤❤
Wasambaa wanajua kutunza pesa na wapambanaji sanaaaa kwa biashara na kilimo hawachezei pesa hovyo na ni rahisi kuwa tajiri haraka wavumilivuwa ndoa kama wazigua
Wasambaaa wapiiii
Wazigua ni wanawake wazuri sanaaaa wavumilivu wa ndoa na ni wachapa kazi haswa
Ni kweli kabisa
❤❤❤❤
Mashalla mtoto uko vizuri saana hebu niambie kama unamdogo wako
Swasawa wazigua
Wazigua
Wabondei oyeee tujuane hapa
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️Mm mziguwa
Umeonaa eeh dadaangu ila inategemeana na mwanamke mwenyew ila kwa dunia ya sasa imepofoka macho
Kwenye makabila yaliyotajwa nimependa wasambaa
Kaka mm mwenyewe wasambaa
@@HamisiBatyli natamani hata nipate mke wa kisambaa nawapenda sana😍😘
Wabondei ni kabila la wasomi sana mkoa wa tanga lakini ukitaka kuoa chunguza kwanza kuna wa mlango wa nane hao wana mikosi kibao kama ni kiongozi au ni mfanyakazi tu unaweza ukafukuzwa na asili yao kama chuma ulete lakini ni waaminifu sana hata maofisini waoga kuiba kwao hapana sijui iwe bahati mbaya sana tena kwa kushawishiwa hao ni waangilikana maana kusoma kwao kuliingia dhehebu hilo sana waingereza
Na hao wabondei mlango wa nane nu wazuri sana wa maumbile upende usipende utaoa hata ukuambiwa vipi muingize ndani kila siku lile mara hili ni mikosi mitupu inaelekea kuna laana fulani hamuwi na mafanikio hata siku moja na kazi unaweza ukafukuzwa au kama una cheo ukashushwa
Wabondei jaman
Oyooooooo
Asant
Wadigo wasegeju hao ni mabomu hawafai kabisa kuoa na kama huna pesa hiyo kiboko wanakwenda hovyo sana na wapayukaji sana hawana siri kwa starehe ya kitandani kiboko lakini ni wavivu kazi wanapenda kuletewa wapike kujishughulisha na biashara pengine awe mchanganyiko wa kabila
🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯💯💯
Waogea..kamaumelala
Dada mchele mmoja mapishi tofaut, mie mdigo na nina mume si tajiri wala si masikini ila now nina miaka 8 ya ndo na nina miaka 25
Santa dada Mimi pia nimzigua da tatu zigua da kwanza wamo tanzania zigua da pili wamo somalia zigua da tatu wapo ulaya ulaya
Teeee ambiwa
Umeongea kwel
Muongo vyengine waziguwa mmmm
Mzigua ana kitu acha uwongo
Sio kwer mwenyewe mtanga najuwa mambo huko tanga mziguwa mbondei mmmmmm
Kama una ndugu yako naomba niambie
Makabila ya hovyo kabisa mkoa wa tanga ni wadigo na wasegeju ushirikina ndiyo ehhhhhhhh kiboko hao ndiyo mufilisi kabisa kuliko hata hao wabondei mlango wa nane
Wazigua Miti shamba tu,ndio inayowasaidia katika Ndoa zao
konyoooooooo mitishamba iyo vepe ahahahhaaaa waache watot kizigua wavimbe
Kabisa kaongea kwa ebb yeye mziguwa
Dawa sana
Wazigua oyoooo
oyoooooo!!!!
Oyoooooo
Wazigua mmmmwaaaaa
mwayaaaaa
Wasambaa na niwachumii ukiowa mwanamke wakisambaa utajiri fasta
Kwahy wasambaa kwenye mapenzi hatupo zai wewe nakuja chukuwa nguo alafu clipi
Mpo bhn
Wazigua umechemka waongo Sana na niwahuni
iloooo umechelewa ww mlete mmeo uziguani
Acha uongo we niwahuni umewaona WAP kwenda uk
Baki na kabila lako achaga unafiki axeeh
Wawoooooooo
Nkweli wazgua n wahun jmn