Afande ubalikiwe sana, halafu hao wanaozomea, baadae ukiwauliza wanakwambia wana dini zao na wanamwamini Mungu, Sasa Mungu na kamchape nani zaidi? Hao makamchape wenyewe asili yao ni wachawi; ni zao LA hao hao wachawi
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Sasa unatakaje watu waendelee kurogwa mbona kenya wachawi wanapelekwa makamani naanahukumiwa ila huku et uchawi haunaushahidi wakati ushaidi mko mnashudia misukule tiari wengine wamesha katwa ndimi mpaka hapo siyo uchawi?wanainchi wamesha choka nauchawi.
Wasichukuwe pesa za watu tu iyo ni zulma ila mim nahisi weulizwe wananchi ikiwa wanarizk na huduma zao basi waachwie wafate sheria tu kw sababu uchawi upo ila njia sirikali haamin uchawi Kenya wenzetu wanaamin na unapelekw mahakamn
@@gibsonjosephat6352 inaonekana hata wewe pia ni mchawi mi wachawi wameniaharibia maisha Bora wachapwe ingekuwa ni utapeli wachawi wasingekua wanaenda kujisalimisha wenyewe
Wewe rpc uko hapo kwaajili yaserikali, naserikali haiutambui uchawi wewe unasemaje kuhusu uchawi upo? Naumejuaje kama nimatapeli Kama vipi wapeni vibali nausimamizi wakiwa nimatapeli swekeni ndani
Rafudhi tu imeonekana wewe tena ni mwenyekiti wao mpaka wakuie mama na kizazi ndo ujue nimeketeka sana ningekuwa kalibu ningekuwa kalibu sjui ningekamata Nini
Kiongozi uko vizuri kwmchape ni matapeli na wachonganishi sana
hujarogwa wewe..
Afande ubalikiwe sana, halafu hao wanaozomea, baadae ukiwauliza wanakwambia wana dini zao na wanamwamini Mungu, Sasa Mungu na kamchape nani zaidi? Hao makamchape wenyewe asili yao ni wachawi; ni zao LA hao hao wachawi
Mkuu uchawi upo maisha hayo sisi tumeshayapitia tumelogewa ndugu zetu sema hawa hawakufata utalatibu wa kisheria
Acha wafanye kazi uchawi umezidi kiqoma kwetu Kama sio kizuri acha wawachape waache uchawi
Mkoa wa kigoma ungekua namaendeleo makubwa sana ila wachawi wameroga watuwengi kitambo mpakaleo ndomana tukakimbilia mikoa mikubwa
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Safi🎉🎉🎉
Yaani huku kwetu baada ya Kamchape kupita Kijiji kiko shwari yaani Kiufupi ni watendaji wazuri mno wa Kazi,huwenda huyu kamanda. Na yeye yumo
Acheni wafanye kazi uchawi umezidi
Kamchape waendelee kufanya kazi wabebe mizigo
Ukweli wakati nyingine polisi wetu mnakazi kubwa , ila kwa huo utu ulionao utshinda ubarikiwe
Km vitabu vitukufu vinautambua uchawi wewe ni nani usiutambue?! Nahis wewe ni mchawi
ukiwa na imani na na Mungu katika Jesus hayoyote hayakutishi.
Kamchape siomatapeli sema kisheria uchawi ueleweki kwasababu hauna ushahidi wa vitendo
Safi sana jeshi la police, naunga mkono hiyo kamata kamata ya waganga wa kienyeji na Mungu awaongoze big up
Waache kigoma wamezd
Wewe RPC Mungu akubariki na tunakuombea
Au nawewe mchawi
Wenda Nawewe Mwanga Wewe Sijui Unatembea Na Iridhi Wewe Unabwabwaja2
Nyie si wapelelezi afande tafuteni maoni yaewatu kuhusu hilo hao walioleta talifa kwenu niwachawi hawataki kuchapwa afande uchawi upo acheni watusaidie tumeteswa mno
Mnajitaidi kutoa elimu jeshi la police shida ni ujinga na upumbavu, lakini umeeleweka kamanda hata Kama umetoa elimu kwa watu wagumu
Af wew Rpc nimpuuzi inatakiwa urogwe kwanza af tuone unabwabwaja vipi tena
Anachale Hadi za ikulu
wachape babu au we mwenyew ni mchawi
Kamata kabisa kijiji kizima na wote waliotoa fadha na kuwapa kamchape
Mbona pale wananchi walipouliza maswali hampaonyeshi
Huyo kamanda atakuwa mchawi hata Sula yake inaonyeonyeshaaaa pia Mwenyeiwee ni mchawiii
Kw hiyo wachawi sio wachonganishi wanatesa watu wachawi
Sasa unatakaje watu waendelee kurogwa mbona kenya wachawi wanapelekwa makamani naanahukumiwa ila huku et uchawi haunaushahidi wakati ushaidi mko mnashudia misukule tiari wengine wamesha katwa ndimi mpaka hapo siyo uchawi?wanainchi wamesha choka nauchawi.
Subir waondoke na Wew
uchawi upo watu wariga sna sna tena sna
Hawa wanaongea ivi kwakua niwachawi nao acha wachape wawaweke hazalani
Wasichukuwe pesa za watu tu iyo ni zulma ila mim nahisi weulizwe wananchi ikiwa wanarizk na huduma zao basi waachwie wafate sheria tu kw sababu uchawi upo ila njia sirikali haamin uchawi Kenya wenzetu wanaamin na unapelekw mahakamn
Waacheni kamchape wafanye kazi wachawi ni adui wa maendeleo
Hao ni matapeli mzee. Mimi niliwaambia wafanye usiku wa manane walikataa
@@gibsonjosephat6352 inaonekana hata wewe pia ni mchawi mi wachawi wameniaharibia maisha Bora wachapwe ingekuwa ni utapeli wachawi wasingekua wanaenda kujisalimisha wenyewe
Serikali litazameni hili kwa jicho la tatu jamii zimepoteza imani, imefika hatua hadi taasisi za dini nazo wameliamini why?
Wachawi wanatuludisha Manisha nyuma
Wanqeanza na nyie kwanza
Utapeli uchonganishi kabbisa, Tena hao wakamatwe wafungwe MAISHA pumbavu hao washirikina wakubwa.
Wewe unauchawi ndio maana unapongeza
Mzigo umeendaa au
Vitu visivyo na ushahidi kabsa anayewaza hvyo ni sawa na mtu anayeogopa kivuli chake mwenyewe ni iman kam ya mafuta
Hao police wasitudanganye kwan hao hao tunawakuta kwa waganga, tena nilishawaona kwa babu yangu sio china ya watu 10
Swala la bandari hamuongei ila kwa maswaala yasiyowahusu ndio mnajua kuzungumzia
Wachane kabsa
Usiache mchaw akaishi
Elimu itolewe kwa jamii kamchape hao ndo wachawi
Polisi usidanganye watu uchawi upo na kamche wachen wafanye kazi yako unakata wasichape nawewe nimchawi kwaunavyo ongea uchawi upo wanatesa watu sana
Kamchapee
😂😂😂😂
Hao kamchape kama wanautalamu kwanini wasiwashughurikie usiku wa manane?
Atamaandiko yanasema wachawi wapo
Zoezi letu liko pale pale nyie serikali bwabwajeni tu
hujawahi kulogwa wewe kwani wakicha wewe unapatann
Uganga unashelia wewe kuma acha mambo yaajabu mpuuzi wewe
Wewe rpc uko hapo kwaajili yaserikali, naserikali haiutambui uchawi wewe unasemaje kuhusu uchawi upo?
Naumejuaje kama nimatapeli
Kama vipi wapeni vibali nausimamizi wakiwa nimatapeli swekeni ndani
Rafudhi tu imeonekana wewe tena ni mwenyekiti wao mpaka wakuie mama na kizazi ndo ujue nimeketeka sana ningekuwa kalibu ningekuwa kalibu sjui ningekamata Nini