KAMCHAPE 50, WALIOINGIA KIGOMA, KUPAMBANA NA WACHAWI SUGU, WAKAMATWA NA POLISI.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2023
  • #kigoma #uchawi

ความคิดเห็น • 61

  • @user-zh8yk8kb5r
    @user-zh8yk8kb5r 10 หลายเดือนก่อน +2

    Kiongozi uko vizuri kwmchape ni matapeli na wachonganishi sana

    • @wazir_prince2
      @wazir_prince2 8 หลายเดือนก่อน +1

      hujarogwa wewe..

  • @saigonernest7631
    @saigonernest7631 5 หลายเดือนก่อน +1

    Afande ubalikiwe sana, halafu hao wanaozomea, baadae ukiwauliza wanakwambia wana dini zao na wanamwamini Mungu, Sasa Mungu na kamchape nani zaidi? Hao makamchape wenyewe asili yao ni wachawi; ni zao LA hao hao wachawi

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mkuu uchawi upo maisha hayo sisi tumeshayapitia tumelogewa ndugu zetu sema hawa hawakufata utalatibu wa kisheria

  • @evamethod7031
    @evamethod7031 8 หลายเดือนก่อน

    Acha wafanye kazi uchawi umezidi kiqoma kwetu Kama sio kizuri acha wawachape waache uchawi

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mkoa wa kigoma ungekua namaendeleo makubwa sana ila wachawi wameroga watuwengi kitambo mpakaleo ndomana tukakimbilia mikoa mikubwa

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 10 หลายเดือนก่อน

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @FollowGospelSingers
    @FollowGospelSingers 4 หลายเดือนก่อน

    Safi🎉🎉🎉

  • @iraakasubete8287
    @iraakasubete8287 10 หลายเดือนก่อน +2

    Yaani huku kwetu baada ya Kamchape kupita Kijiji kiko shwari yaani Kiufupi ni watendaji wazuri mno wa Kazi,huwenda huyu kamanda. Na yeye yumo

  • @fadhilphone2515
    @fadhilphone2515 10 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni wafanye kazi uchawi umezidi

  • @Masaweruben44
    @Masaweruben44 8 หลายเดือนก่อน

    Kamchape waendelee kufanya kazi wabebe mizigo

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 10 หลายเดือนก่อน +1

    Ukweli wakati nyingine polisi wetu mnakazi kubwa , ila kwa huo utu ulionao utshinda ubarikiwe

    • @kishimbaigobeko2297
      @kishimbaigobeko2297 10 หลายเดือนก่อน

      Km vitabu vitukufu vinautambua uchawi wewe ni nani usiutambue?! Nahis wewe ni mchawi

    • @uzimameditv8148
      @uzimameditv8148 10 หลายเดือนก่อน

      ukiwa na imani na na Mungu katika Jesus hayoyote hayakutishi.

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kamchape siomatapeli sema kisheria uchawi ueleweki kwasababu hauna ushahidi wa vitendo

  • @shammhagama2527
    @shammhagama2527 10 หลายเดือนก่อน

    Safi sana jeshi la police, naunga mkono hiyo kamata kamata ya waganga wa kienyeji na Mungu awaongoze big up

  • @uzianeshon1061
    @uzianeshon1061 9 หลายเดือนก่อน +1

    Waache kigoma wamezd

  • @uzimameditv8148
    @uzimameditv8148 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe RPC Mungu akubariki na tunakuombea

    • @tinkybellah6634
      @tinkybellah6634 10 หลายเดือนก่อน

      Au nawewe mchawi

    • @awadhrajabu1403
      @awadhrajabu1403 9 หลายเดือนก่อน

      Wenda Nawewe Mwanga Wewe Sijui Unatembea Na Iridhi Wewe Unabwabwaja2

  • @FilbertKalembe-fy4oq
    @FilbertKalembe-fy4oq 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nyie si wapelelezi afande tafuteni maoni yaewatu kuhusu hilo hao walioleta talifa kwenu niwachawi hawataki kuchapwa afande uchawi upo acheni watusaidie tumeteswa mno

  • @jaminusisanga607
    @jaminusisanga607 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mnajitaidi kutoa elimu jeshi la police shida ni ujinga na upumbavu, lakini umeeleweka kamanda hata Kama umetoa elimu kwa watu wagumu

  • @fadhilphone2515
    @fadhilphone2515 10 หลายเดือนก่อน +1

    Af wew Rpc nimpuuzi inatakiwa urogwe kwanza af tuone unabwabwaja vipi tena

  • @user-xo4hc7hn5z
    @user-xo4hc7hn5z 3 หลายเดือนก่อน

    wachape babu au we mwenyew ni mchawi

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 10 หลายเดือนก่อน

    Kamata kabisa kijiji kizima na wote waliotoa fadha na kuwapa kamchape

  • @bashkidana9404
    @bashkidana9404 8 หลายเดือนก่อน

    Mbona pale wananchi walipouliza maswali hampaonyeshi

  • @eliudezekiel8615
    @eliudezekiel8615 10 หลายเดือนก่อน

    Huyo kamanda atakuwa mchawi hata Sula yake inaonyeonyeshaaaa pia Mwenyeiwee ni mchawiii

  • @nasramohd9924
    @nasramohd9924 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kw hiyo wachawi sio wachonganishi wanatesa watu wachawi

  • @YorandaBonephas
    @YorandaBonephas 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa unatakaje watu waendelee kurogwa mbona kenya wachawi wanapelekwa makamani naanahukumiwa ila huku et uchawi haunaushahidi wakati ushaidi mko mnashudia misukule tiari wengine wamesha katwa ndimi mpaka hapo siyo uchawi?wanainchi wamesha choka nauchawi.

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 9 หลายเดือนก่อน

    Subir waondoke na Wew

  • @AbrahBuraheze
    @AbrahBuraheze 9 หลายเดือนก่อน

    uchawi upo watu wariga sna sna tena sna

  • @user-hm2ru1sq5e
    @user-hm2ru1sq5e 9 หลายเดือนก่อน

    Hawa wanaongea ivi kwakua niwachawi nao acha wachape wawaweke hazalani

  • @nasramohd9924
    @nasramohd9924 10 หลายเดือนก่อน

    Wasichukuwe pesa za watu tu iyo ni zulma ila mim nahisi weulizwe wananchi ikiwa wanarizk na huduma zao basi waachwie wafate sheria tu kw sababu uchawi upo ila njia sirikali haamin uchawi Kenya wenzetu wanaamin na unapelekw mahakamn

  • @HusseinGabu-wr3xh
    @HusseinGabu-wr3xh 10 หลายเดือนก่อน +2

    Waacheni kamchape wafanye kazi wachawi ni adui wa maendeleo

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 10 หลายเดือนก่อน

      Hao ni matapeli mzee. Mimi niliwaambia wafanye usiku wa manane walikataa

    • @HusseinGabu-wr3xh
      @HusseinGabu-wr3xh 10 หลายเดือนก่อน

      @@gibsonjosephat6352 inaonekana hata wewe pia ni mchawi mi wachawi wameniaharibia maisha Bora wachapwe ingekuwa ni utapeli wachawi wasingekua wanaenda kujisalimisha wenyewe

  • @zilipaerasto3276
    @zilipaerasto3276 6 หลายเดือนก่อน

    Serikali litazameni hili kwa jicho la tatu jamii zimepoteza imani, imefika hatua hadi taasisi za dini nazo wameliamini why?

  • @evamethod7031
    @evamethod7031 8 หลายเดือนก่อน

    Wachawi wanatuludisha Manisha nyuma

  • @evamethod7031
    @evamethod7031 8 หลายเดือนก่อน

    Wanqeanza na nyie kwanza

  • @saadomar2480
    @saadomar2480 10 หลายเดือนก่อน +1

    Utapeli uchonganishi kabbisa, Tena hao wakamatwe wafungwe MAISHA pumbavu hao washirikina wakubwa.

    • @vitusjackson1354
      @vitusjackson1354 10 หลายเดือนก่อน

      Wewe unauchawi ndio maana unapongeza

    • @anuwarylyanga6424
      @anuwarylyanga6424 9 หลายเดือนก่อน

      Mzigo umeendaa au

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 10 หลายเดือนก่อน

    Vitu visivyo na ushahidi kabsa anayewaza hvyo ni sawa na mtu anayeogopa kivuli chake mwenyewe ni iman kam ya mafuta

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 10 หลายเดือนก่อน

    Hao police wasitudanganye kwan hao hao tunawakuta kwa waganga, tena nilishawaona kwa babu yangu sio china ya watu 10

  • @mustaphawelder7022
    @mustaphawelder7022 10 หลายเดือนก่อน

    Swala la bandari hamuongei ila kwa maswaala yasiyowahusu ndio mnajua kuzungumzia

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 10 หลายเดือนก่อน

    Wachane kabsa

  • @user-ym5ko9ov2o
    @user-ym5ko9ov2o 9 หลายเดือนก่อน

    Usiache mchaw akaishi

  • @silvesterfesto2457
    @silvesterfesto2457 10 หลายเดือนก่อน

    Elimu itolewe kwa jamii kamchape hao ndo wachawi

  • @khalidharuna7452
    @khalidharuna7452 10 หลายเดือนก่อน

    Polisi usidanganye watu uchawi upo na kamche wachen wafanye kazi yako unakata wasichape nawewe nimchawi kwaunavyo ongea uchawi upo wanatesa watu sana

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 10 หลายเดือนก่อน

    Kamchapee
    😂😂😂😂

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 10 หลายเดือนก่อน

    Hao kamchape kama wanautalamu kwanini wasiwashughurikie usiku wa manane?

  • @yawepetro2049
    @yawepetro2049 10 หลายเดือนก่อน

    Atamaandiko yanasema wachawi wapo

  • @fadhilphone2515
    @fadhilphone2515 10 หลายเดือนก่อน

    Zoezi letu liko pale pale nyie serikali bwabwajeni tu

  • @ligobethgwakula8314
    @ligobethgwakula8314 8 หลายเดือนก่อน

    hujawahi kulogwa wewe kwani wakicha wewe unapatann

  • @JumaCosmas-cb2vt
    @JumaCosmas-cb2vt 9 หลายเดือนก่อน +1

    Uganga unashelia wewe kuma acha mambo yaajabu mpuuzi wewe

  • @tinkybellah6634
    @tinkybellah6634 10 หลายเดือนก่อน

    Wewe rpc uko hapo kwaajili yaserikali, naserikali haiutambui uchawi wewe unasemaje kuhusu uchawi upo?
    Naumejuaje kama nimatapeli
    Kama vipi wapeni vibali nausimamizi wakiwa nimatapeli swekeni ndani

  • @veronicapesambili
    @veronicapesambili 9 หลายเดือนก่อน

    Rafudhi tu imeonekana wewe tena ni mwenyekiti wao mpaka wakuie mama na kizazi ndo ujue nimeketeka sana ningekuwa kalibu ningekuwa kalibu sjui ningekamata Nini