Mungu akutie nguvu uihibiri kweli ya biblia watu wapate kuokolewa ,uwe Mtenda kazi na sio mtendewa kazi,Usiwanyonye maskini na wenye uhitaji.Barikiwa sana.
@@GeofreyKalo-ot3we Apo mkishatiwa motoni ndio mtaelewa kuwa mwamposa oyeeee au sio oyeeee. Acha acheze na akili zenu, mumpe sadaka, ale kuku nyinyi mkila ugagundi wa meno
Hakika mwamposa ni mtume WA kweli hata mbingu zinalijua Hilo na hata ktk mafundisho yake yote huwa anapita jinsi biblia inavosema na Watu wengi tumebarikiwa kupitia mafundisho yake na mwamposa hajawahi msema mtumishi mwingine vby n nyinyi Tu mnatafuta kiki kupitia mtume mwamposa
@@michaelmhina3613 tujifuze kunyamaza itatusaidia mungu anafanya kazi nakazi nindani ya watu usibali kusukumwa namoyo wako kuzarao mtumishi wa mungu au waserikali wanavibali niwape tarifa mungu yupo ndani ya mwamposa sio wakumjaribu
Hakuna Mchungaji anayesema usifanye kazi, kazi ni lazima, bidiii sana, neno la Mungu ndiyo mafuta, chumvi, nk. Wachungaji woote wanaongozwa na neno
Mungu akutie nguvu uihibiri kweli ya biblia watu wapate kuokolewa ,uwe Mtenda kazi na sio mtendewa kazi,Usiwanyonye maskini na wenye uhitaji.Barikiwa sana.
Mungu nisaidie niolewe na pastor na mimi
Mtangazaji kuna mengu unahunguluma kama mawimbi mimi msikii. Vizuri pastor,
MUNGU TUNAOMBA UTUREHEMU MAANA NJIA NI PANA IENDAYO UPOTEVUNI NJIA NI NYEMBAMBA IENDAYO UZIMANI WAIONAYO NI WACHACHE
Simamia yako mtu wa Mungu
Unacheza na Mungu mbingu gani labda za mashetani ukishatekwa na roho zidanganyazo huwezi kuisikia kweri Mungu tu atusaidie
Mwamposa oyeeeeeeeee
Watumishi wa Mungu sasa wamekuwa kama CCM na upinzani
Hakuna mchungaji anayesema kuwa ukitumia Mafuta tu bila neno unapata maendeleo kwani na hao wachungaji wanajua NENO LILIVYO
Umeishiwa ww
Wataelewa TU 😊😊😊😊😅😅
Tupeni Mungu sasa
Washirikina utawajua tu. ukitaka kufahamu ugomvi wa mlevi wewe mwaga pombe yake!!!
Y should you not mind your own.
Mwamposa anawatesaaaaaaaaa,
@@GeofreyKalo-ot3we Apo mkishatiwa motoni ndio mtaelewa kuwa mwamposa oyeeee au sio oyeeee. Acha acheze na akili zenu, mumpe sadaka, ale kuku nyinyi mkila ugagundi wa meno
Tahila ww hubili yako
Mtapata tabu sana mwamposa ni mtume mwamposa mbingu zinamjua mwamposa mwamba imara mwamposa nimwalim mwamposa nibalozi wa mbinguni kwani mafundisho yake niyatafauti pia ipo ekima busara nauti wakutosha niseme ni mwali
Hakika mwamposa ni mtume WA kweli hata mbingu zinalijua Hilo na hata ktk mafundisho yake yote huwa anapita jinsi biblia inavosema na Watu wengi tumebarikiwa kupitia mafundisho yake na mwamposa hajawahi msema mtumishi mwingine vby n nyinyi Tu mnatafuta kiki kupitia mtume mwamposa
Endeleeni na mbingu zenu za upako. Mtakapoletewa mavi ya upako msilalamike.
@@michaelmhina3613MWAMPOSA MTUMISHI WA MUNGU
@@michaelmhina3613 tujifuze kunyamaza itatusaidia mungu anafanya kazi nakazi nindani ya watu usibali kusukumwa namoyo wako kuzarao mtumishi wa mungu au waserikali wanavibali niwape tarifa mungu yupo ndani ya mwamposa sio wakumjaribu
@@michaelmhina3613 UMEAMUA KULOPOKA HOVYO UNAWAZA ULICHOKISEMA