MCHUNGAJI KUTOKA MAREKANI SIWEZI KUUZA MAFUTA YA UPAKO NA MAJI BILA KAZI HUWEZI PATA UTAJIRI

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 27

  • @goldermeirshoo1228
    @goldermeirshoo1228 24 วันที่ผ่านมา

    Hakuna Mchungaji anayesema usifanye kazi, kazi ni lazima, bidiii sana, neno la Mungu ndiyo mafuta, chumvi, nk. Wachungaji woote wanaongozwa na neno

  • @musamateru5786
    @musamateru5786 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akutie nguvu uihibiri kweli ya biblia watu wapate kuokolewa ,uwe Mtenda kazi na sio mtendewa kazi,Usiwanyonye maskini na wenye uhitaji.Barikiwa sana.

  • @ndigwako
    @ndigwako 23 วันที่ผ่านมา

    Mungu nisaidie niolewe na pastor na mimi

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 25 วันที่ผ่านมา +1

    Mtangazaji kuna mengu unahunguluma kama mawimbi mimi msikii. Vizuri pastor,

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 24 วันที่ผ่านมา +1

    MUNGU TUNAOMBA UTUREHEMU MAANA NJIA NI PANA IENDAYO UPOTEVUNI NJIA NI NYEMBAMBA IENDAYO UZIMANI WAIONAYO NI WACHACHE

  • @user-zn9qb8cn7m
    @user-zn9qb8cn7m 24 วันที่ผ่านมา

    Simamia yako mtu wa Mungu

  • @onalinasozigwa3167
    @onalinasozigwa3167 24 วันที่ผ่านมา

    Unacheza na Mungu mbingu gani labda za mashetani ukishatekwa na roho zidanganyazo huwezi kuisikia kweri Mungu tu atusaidie

  • @EMILIANAMBEHO
    @EMILIANAMBEHO 25 วันที่ผ่านมา +3

    Mwamposa oyeeeeeeeee

  • @feddymwanga5462
    @feddymwanga5462 24 วันที่ผ่านมา +1

    Watumishi wa Mungu sasa wamekuwa kama CCM na upinzani

  • @goldermeirshoo1228
    @goldermeirshoo1228 24 วันที่ผ่านมา

    Hakuna mchungaji anayesema kuwa ukitumia Mafuta tu bila neno unapata maendeleo kwani na hao wachungaji wanajua NENO LILIVYO

  • @user-vv8nn8qx3w
    @user-vv8nn8qx3w 25 วันที่ผ่านมา +1

    Umeishiwa ww

  • @EMILIANAMBEHO
    @EMILIANAMBEHO 25 วันที่ผ่านมา

    Wataelewa TU 😊😊😊😊😅😅

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 25 วันที่ผ่านมา

    Tupeni Mungu sasa

  • @dentomedicalresourceslimit4602
    @dentomedicalresourceslimit4602 25 วันที่ผ่านมา +1

    Washirikina utawajua tu. ukitaka kufahamu ugomvi wa mlevi wewe mwaga pombe yake!!!

  • @bonifacejames2002
    @bonifacejames2002 25 วันที่ผ่านมา

    Y should you not mind your own.

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we 24 วันที่ผ่านมา

    Mwamposa anawatesaaaaaaaaa,

    • @seifserenge3340
      @seifserenge3340 23 วันที่ผ่านมา

      @@GeofreyKalo-ot3we Apo mkishatiwa motoni ndio mtaelewa kuwa mwamposa oyeeee au sio oyeeee. Acha acheze na akili zenu, mumpe sadaka, ale kuku nyinyi mkila ugagundi wa meno

  • @user-vv8nn8qx3w
    @user-vv8nn8qx3w 25 วันที่ผ่านมา

    Tahila ww hubili yako

  • @AmerdaKavishe-pu3cf
    @AmerdaKavishe-pu3cf 25 วันที่ผ่านมา +3

    Mtapata tabu sana mwamposa ni mtume mwamposa mbingu zinamjua mwamposa mwamba imara mwamposa nimwalim mwamposa nibalozi wa mbinguni kwani mafundisho yake niyatafauti pia ipo ekima busara nauti wakutosha niseme ni mwali

    • @user-eg1pk1sw4j
      @user-eg1pk1sw4j 25 วันที่ผ่านมา +2

      Hakika mwamposa ni mtume WA kweli hata mbingu zinalijua Hilo na hata ktk mafundisho yake yote huwa anapita jinsi biblia inavosema na Watu wengi tumebarikiwa kupitia mafundisho yake na mwamposa hajawahi msema mtumishi mwingine vby n nyinyi Tu mnatafuta kiki kupitia mtume mwamposa

    • @michaelmhina3613
      @michaelmhina3613 25 วันที่ผ่านมา +5

      Endeleeni na mbingu zenu za upako. Mtakapoletewa mavi ya upako msilalamike.

    • @odhiaodhia9898
      @odhiaodhia9898 25 วันที่ผ่านมา

      ​@@michaelmhina3613MWAMPOSA MTUMISHI WA MUNGU

    • @AmerdaKavishe-pu3cf
      @AmerdaKavishe-pu3cf 25 วันที่ผ่านมา

      @@michaelmhina3613 tujifuze kunyamaza itatusaidia mungu anafanya kazi nakazi nindani ya watu usibali kusukumwa namoyo wako kuzarao mtumishi wa mungu au waserikali wanavibali niwape tarifa mungu yupo ndani ya mwamposa sio wakumjaribu

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 25 วันที่ผ่านมา

      @@michaelmhina3613 UMEAMUA KULOPOKA HOVYO UNAWAZA ULICHOKISEMA