MSUKUMA AWAKA BUNGENI ATAKA WAHUDUMU WA SGR WAONDOLEWE 'MSIJE MKATUACHIA'...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.

ความคิดเห็น • 56

  • @HemedyLukindo-y9h
    @HemedyLukindo-y9h 5 วันที่ผ่านมา +13

    Mwenye shibe hamjui mwenye njaa ,kwahiyo wakiachishwa kazi wakagombee ubunge au

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 4 วันที่ผ่านมา

    Ahsante sana Mh msukuma, umenena vyema, ni chungu ila ni dawa inatibu

  • @mansooralaisri5200
    @mansooralaisri5200 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mheshimiwa Msukuma, Kila anaekufa Huwa harudi kuwa Hai. Humo Kuna dada zao, Kuna marafiki zao. Umegusa Pabaya. Umejenga Chuki kubwa sana. Subiri unyolewe.

  • @salitosofo5561
    @salitosofo5561 2 วันที่ผ่านมา

    Hilo sahihi

  • @juliusjaliwa9887
    @juliusjaliwa9887 5 วันที่ผ่านมา +2

    Mda mwingine shule pia usaidia 😂😂 mim sija sema kitu please 🙏

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 4 วันที่ผ่านมา +7

    Hata wabunge wachekeshaji wapunguzwe tuokoe fedha nyingi ya umma

    • @MwitaBoy-l5k
      @MwitaBoy-l5k 3 วันที่ผ่านมา

      Nyerere ndiye alituachia utani utani

  • @peterkisanga8089
    @peterkisanga8089 5 วันที่ผ่านมา +4

    Atakuwa amewatongoza baadhi na wote wamemkatalia sasa anaona isiwe shida ni bora wapoteze kazi tu😢

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 5 วันที่ผ่านมา +2

    😂😂waudumu uliwaomba number y simu wakakunyima naona Leo unawachongea

  • @ZainaRashid-t3m
    @ZainaRashid-t3m 3 วันที่ผ่านมา

    Sawa meseji sent

  • @BarakaWiliam-hx9nk
    @BarakaWiliam-hx9nk 3 วันที่ผ่านมา

    Wasenge wa nampongeza mama nampongeza mama

  • @ChristerKok
    @ChristerKok 5 วันที่ผ่านมา +3

    Nadhani vichwa vinawaka moto,kuongea sana uondoa maarifa,SGR uwepo wake nikutoa ajira kwa vijana wetu,Msukuma kosa liko wapi? Wakiachishwa utawaachia jimbo? Na umeisha sema jina lako lisikatwe.

  • @JafariMyinga
    @JafariMyinga 5 วันที่ผ่านมา +2

    Wape ajira kwenye mabasi yako hizo ndio ajira za vijana Sasa waende wapi kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 4 วันที่ผ่านมา +2

    Kufutia watu ajira unaona ndio hoja ila mamilioni mnayolipwa mnaona hazitoshi

  • @allywaziry6419
    @allywaziry6419 4 วันที่ผ่านมา +3

    Waache ww unataka wakajiuze au

  • @KulwaSalumu-d2l
    @KulwaSalumu-d2l 3 วันที่ผ่านมา

    Msukuma siku hizi amekuwa sio kabisa , hata hamu ya kumsikiliza haipo kabisa ..amekuwa ........

  • @MjombaUkoPoa
    @MjombaUkoPoa 5 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu mbunge anapenda Sana kuonekana yeye anafanya KAZI - SGR imetegeneza AJIRA 5,000,000 sasa wote hao waende WAPI!? Ateo mawazo Ya had watu waende kufanya KAZI GANI maana mawazo yake tunaishi kweli kweli 😂😂😂Anatumika na maprofessa kutengeneza JOBLESS

    • @ChireGriffin
      @ChireGriffin 4 วันที่ผ่านมา +1

      Eti ajira million tano...kwel shule muhimu..ww unajuwa ajira million tano..rudi shule

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 4 วันที่ผ่านมา

    Suala sio ajira zinazotolewa au zilizo tolizotolewa Bali shirika linaendeshwa hasara au faida?

  • @danrappergangamaa1190
    @danrappergangamaa1190 4 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi ninani aliyeona tangazo la ajira la wafanyakazi wa SGR..........?
    😂😂😂

    • @OliverOden-n2g
      @OliverOden-n2g 4 วันที่ผ่านมา

      Sikuona kwakweli😂

    • @EliaHiluka
      @EliaHiluka 4 วันที่ผ่านมา

      Wahusika watoe majibu namna wafanyakazi hao walivyo patikana utaratibu wake ukoje wamepatikanaje?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 วันที่ผ่านมา

    Waondolewe kwelikweli mbona kwenye Treni la kwenda Kigoma mauzauza kama hayo yalikuwa hakuna hayo

  • @BakariAthumani-vs8lk
    @BakariAthumani-vs8lk 3 วันที่ผ่านมา

    Wasukuma

  • @stanleyalban5666
    @stanleyalban5666 4 วันที่ผ่านมา

    Kweli lakini unapoint kubwa

  • @alizanzibar1586
    @alizanzibar1586 4 วันที่ผ่านมา

    Bro umeongeya maneno mzima ila waswahili wanasema MKUKI WA GURUWE KWA BINAANAM JEEE

  • @ip_header
    @ip_header 5 วันที่ผ่านมา +5

    Yupo sahihi muheshimiwa Msukuma, kuajiri wahudumu ni kuongeza gharama zisizo za lazima, hata nchi zilizoendelea kuwezi kukuta wahudumu zaidi ya Ticket master(s).

    • @faridsalehmohamed1230
      @faridsalehmohamed1230 5 วันที่ผ่านมา

      Kabisa ukifatilia ni undugunaizesheni matokeo yake itakuja ya mwendokasi

    • @abyolafadhili5734
      @abyolafadhili5734 4 วันที่ผ่านมา

      Kama ni njia ya watu kupata Ajira acheni serekali waajiri watu mpaka kwenye mwendo kasi,
      Mtaani dada zetu wanadhalilika sana kutafuta mahitaji muhimu kama kula,malazi na Afya wanapoumwa.

    • @RaphaelKapesa-x6g
      @RaphaelKapesa-x6g 4 วันที่ผ่านมา

      Ingekua anaefanya kazi hiyo ni ndugu Yako usingesema hivyo😂😂 ila daah😂😂

    • @brycesonkitali728
      @brycesonkitali728 4 วันที่ผ่านมา

      Kwa nini asitoe wazo posho zao zipungue hayaoni matumizi mabaya huko bungeni?

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 3 วันที่ผ่านมา

      I concur

  • @OscaOsica
    @OscaOsica 3 วันที่ผ่านมา

    Msukuma why usigombee uraisi

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 4 วันที่ผ่านมา

    Kwanza kwa nini isiwe sahihi eti Kwa sababu tu wengine hawafanyi

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 4 วันที่ผ่านมา

    Acheni kusifia huko nje hii ni yetu ubunifu wake Magu wetu na bwawa lake lilopigwa vita sana

  • @victormosha3839
    @victormosha3839 5 วันที่ผ่านมา +1

    Hiii nchi ina vichaaa wengi sana

    • @ErickLyimo-p9b
      @ErickLyimo-p9b 5 วันที่ผ่านมา +1

      Kicha n ww mzee yupo sawa

    • @victormosha3839
      @victormosha3839 5 วันที่ผ่านมา

      @ErickLyimo-p9b ni kweli hata kule mirembe wote huwa wanajiona wapo sawa

    • @KamisaRamdan
      @KamisaRamdan 5 วันที่ผ่านมา

      Msukuma 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 5 วันที่ผ่านมา

      Kwani nyie mnavyo safirigi na viongozi wa nchi msururu wa watu mnakuwaga na kazi gani,msafara wa viongozi magari 50 yote ya nini au mnatakaga mle nyie tuu,watoto wa maskini wakipata ka nafasi kidogo mnaona matumizi mabaya acha vijana wapate ajira wewe.

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wi 5 วันที่ผ่านมา

    Mskuma wahudumu ni lazima kama duniani hakuna kwetu cc ni ufahar tumeanzisha cc ko waache wapate ajira mbona wanayoa huduma nzur .

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 4 วันที่ผ่านมา

    Komedi ondoa bungeni watu wasio na elimu pia

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 4 วันที่ผ่านมา

    Kila mmoja anao uhuru wakuchangia au kutoa mawazo yake na kutobezwa msukuma toa mchango wako

  • @MjombaUkoPoa
    @MjombaUkoPoa 5 วันที่ผ่านมา

    Huyu mbunge anapenda Sana kuonekana yeye anafanya KAZI - SGR imetegeneza AJIRA 5,000,000 sasa wote hao waende WAPI!? Ateo mawazo Ya had watu waende kufanya KAZI GANI maana mawazo yake tunaishi kweli kweli 😂😂😂Anatumika na maprofessa kutengeneza JOBLESS..😂😂😂 Nikipata mtaji nitafungua Flemu na kupanga nyumba the KING CITY Apartment

  • @ErickLyimo-p9b
    @ErickLyimo-p9b 5 วันที่ผ่านมา

    Mzeee gombea urahis

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 5 วันที่ผ่านมา

    Musukuma huna akili, DP world oyeeee. Wakupeleke India ukatibiwe ugonjwa wa akili!

    • @KamisaRamdan
      @KamisaRamdan 5 วันที่ผ่านมา +1

      Ukiwemo nawewe

    • @zainabibrahim9734
      @zainabibrahim9734 5 วันที่ผ่านมา

      Ushawahi kutoka nje ya nchi

    • @lailafakhihaji
      @lailafakhihaji 5 วันที่ผ่านมา

      Kusema kweli Tanzania naona ni nchi ya kwanza kuwa na wahudumu kwenye train msukuma upo sahiihi kabisa

    • @samayrakindago9947
      @samayrakindago9947 4 วันที่ผ่านมา

      Nje sgr hazina wafanyakazi wengi, risit zinanunuliwa stesheni ofisini, Msukuma mitano tena

    • @KamisaRamdan
      @KamisaRamdan 4 วันที่ผ่านมา

      ​@@zainabibrahim9734Ata sass Niko omani

  • @MjombaUkoPoa
    @MjombaUkoPoa 5 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mbunge anapenda Sana kuonekana yeye anafanya KAZI - SGR imetegeneza AJIRA 5,000,000 sasa wote hao waende WAPI!? Ateo mawazo Ya had watu waende kufanya KAZI GANI maana mawazo yake tunaishi kweli kweli 😂😂😂Anatumika na maprofessa kutengeneza JOBLESS

  • @MjombaUkoPoa
    @MjombaUkoPoa 5 วันที่ผ่านมา

    Huyu mbunge anapenda Sana kuonekana yeye anafanya KAZI - SGR imetegeneza AJIRA 5,000,000 sasa wote hao waende WAPI!? Ateo mawazo Ya had watu waende kufanya KAZI GANI maana mawazo yake tunaishi kweli kweli 😂😂😂Anatumika na maprofessa kutengeneza JOBLESS..😂😂😂 Nikipata mtaji nitafungua Flemu na kupanga nyumba the KING CITY Apartment

  • @MjombaUkoPoa
    @MjombaUkoPoa 5 วันที่ผ่านมา

    Huyu mbunge anapenda Sana kuonekana yeye anafanya KAZI - SGR imetegeneza AJIRA 5,000,000 sasa wote hao waende WAPI!? Ateo mawazo Ya had watu waende kufanya KAZI GANI maana mawazo yake tunaishi kweli kweli 😂😂😂Anatumika na maprofessa kutengeneza JOBLESS

  • @MjombaUkoPoa
    @MjombaUkoPoa 5 วันที่ผ่านมา

    Huyu mbunge anapenda Sana kuonekana yeye anafanya KAZI - SGR imetegeneza AJIRA 5,000,000 sasa wote hao waende WAPI!? Ateo mawazo Ya had watu waende kufanya KAZI GANI maana mawazo yake tunaishi kweli kweli 😂😂😂Anatumika na maprofessa kutengeneza JOBLESS..😂😂😂 Nikipata mtaji nitafungua Flemu na kupanga nyumba the KING CITY Apartment