Part2_USHUHUDA WA REGINA ALIYEKUWA MALKIA KUZIMU KITENGO CHA MUZIKI NA UMISS(Devil Within Churches)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.3878783
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

ความคิดเห็น • 17

  • @gracegachigi8
    @gracegachigi8 6 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri mungu amulinde promover tv. Kila siku nazindi kumshukuru mungu juu ya huduma njema.

  • @yasinta2948
    @yasinta2948 ปีที่แล้ว +5

    Alleluhaay God to God, umeniimalisha kiimani sana , na Mimi matatizo yangu yanaenda kuisha this year Alleluhaaaay

  • @mariahyera3737
    @mariahyera3737 ปีที่แล้ว +1

    Mwanzo habari haikuwa na mtiririko mzuri kuhusu huyo binti wa kazi ilianzia ktktk. Hivyo kujirudia tumeelewa vizuri zaidi.

  • @joshuanjiuka2870
    @joshuanjiuka2870 ปีที่แล้ว +2

    ILA PART 3 JARIBUNI KWENDA VZR. USHUHUDA WAKE NI MZURI LKN ANARUDIA RUDIA SANA. MPAKA UNASHINDWA KUELEWA MTILILIKO WAKE. PART 1 ALIENDA VZR LKN PART 2 HAIJAWA VZR TILILIKO WAKE.

  • @alainmuhigirwa5151
    @alainmuhigirwa5151 ปีที่แล้ว

    Amen Promover TV. Kila siku tunajifunza

  • @juliuskalama2746
    @juliuskalama2746 ปีที่แล้ว +1

    Jacktan tunapataje hicho kitabu huku Kenya

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 ปีที่แล้ว +2

    Nikurudia unarudia ama juu sielwi

  • @liliankamanga4294
    @liliankamanga4294 ปีที่แล้ว

    Hicho kitabu ndugu Jacktan hivi munaweza kuifanya audiobook? Naona simulizi itafaa kwa kweli. Shukrani

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 ปีที่แล้ว

    Mungu ni mwema

  • @marykibali7568
    @marykibali7568 ปีที่แล้ว +1

    Mimi nakitaka na niko Kenya nitakipataje

  • @forjesus1382
    @forjesus1382 9 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwimbaji ni naniii tusifuateee

  • @juliuskalama2746
    @juliuskalama2746 ปีที่แล้ว +1

    Jacktan huu ushuhuda unarejearejea

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  ปีที่แล้ว

      Usisikilize mwanzo tu sikiliza zaidi mpaka mwisho

    • @joshuanjiuka2870
      @joshuanjiuka2870 ปีที่แล้ว

      bado kuna kurudia rudia. hii part 2 haijakaa vzr kama part 1. part 3 boresheni kama ipo.

  • @lydiambwele7026
    @lydiambwele7026 ปีที่แล้ว

    How can I contact promover

  • @innocentkaramuta8200
    @innocentkaramuta8200 ปีที่แล้ว

    Hii ni part 2 ama anarudia?

    • @joshuanjiuka2870
      @joshuanjiuka2870 ปีที่แล้ว +1

      Afadhali, kumbe na wewe umeona hicho kitu. anarudia rudia, tunashindwa kupata mtililiko mzuri.