Part2_USHUHUDA WA REGINA ALIYEKUWA MALKIA KUZIMU KITENGO CHA MUZIKI NA UMISS(Devil Within Churches)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Kazi nzuri mungu amulinde promover tv. Kila siku nazindi kumshukuru mungu juu ya huduma njema.
Alleluhaay God to God, umeniimalisha kiimani sana , na Mimi matatizo yangu yanaenda kuisha this year Alleluhaaaay
Mwanzo habari haikuwa na mtiririko mzuri kuhusu huyo binti wa kazi ilianzia ktktk. Hivyo kujirudia tumeelewa vizuri zaidi.
ILA PART 3 JARIBUNI KWENDA VZR. USHUHUDA WAKE NI MZURI LKN ANARUDIA RUDIA SANA. MPAKA UNASHINDWA KUELEWA MTILILIKO WAKE. PART 1 ALIENDA VZR LKN PART 2 HAIJAWA VZR TILILIKO WAKE.
Amen Promover TV. Kila siku tunajifunza
Jacktan tunapataje hicho kitabu huku Kenya
Nikurudia unarudia ama juu sielwi
Hicho kitabu ndugu Jacktan hivi munaweza kuifanya audiobook? Naona simulizi itafaa kwa kweli. Shukrani
Mungu ni mwema
Mimi nakitaka na niko Kenya nitakipataje
Huyu mwimbaji ni naniii tusifuateee
Jacktan huu ushuhuda unarejearejea
Usisikilize mwanzo tu sikiliza zaidi mpaka mwisho
bado kuna kurudia rudia. hii part 2 haijakaa vzr kama part 1. part 3 boresheni kama ipo.
How can I contact promover
Hii ni part 2 ama anarudia?
Afadhali, kumbe na wewe umeona hicho kitu. anarudia rudia, tunashindwa kupata mtililiko mzuri.