AIC SHINYANGA CHOIR/BWANA NI NURU YANGU / ZILIZOPENDWA AFRICA MASHARIKI.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- #MsalabaMEDIA #DirectorAbson #MsalabaSOS #TanzaniGospleMusic #UpendoUpatanishoUkombozi
©2020 Administered Msalaba MEDIA
+255767957191 /+255 710 132 291
Msalaba SOS & MEDIA
Forward We Go 🚶🚶🏃🏃💪
Efeso 2:16. 2Wakoritho5:17-19.
WITO (Isaya 49:1-26.)
(A-Kurudisha Sauti Ya Mungu tuliyoipoteza
(B-Kutufanya Silaha
(C-Jina la Yesu Kutukuka kupitia Sisi
(D-Kuwarudisha Waliopotea Kwa Mungu
(E-Wafalme, Watawala Na Wakuu Kusujudu kwa Mungu
(F-Kufanya Agano Na Mungu
(G-Kanisa kutembea ktk nguvu za Mungu
(H-Ardhi Kupatanishwa Na Mungu
(I- Ulimwengu kuinuliwa Upya
(J-Kurithishwa Urithi tuliokuwa tumeibiwa
(K-Uhuru Kwa Wana wa Mungu
(L-Giza kuwa Nuru
(M-Walio Na Njaa Kushibishwa
(N-Kutokusahaulika Na Mungu
(O-Ongezeko La Haraka
(P-Kutoonewa Na Shetani
KUSUDI (Mathayo 28:19-20.)
UTUME - Enendeni
UALIMU - Mkafundishe
MISSION
Zaburi 24:7-10
Waefeso 6:10-20
2Wakoritho 10:3-5
MFUMO
Mitume
Manabii
Walimu
Wachungaji
Wainjilisti
Waimbaji
Jicho
Karama.
Uhusiano & Taarifa.
#Msalaba SOS For the Peoples. - เพลง
Mpaka sasa inanibarki june 2024
Wimbo huu unanibariki sana ninao kwenye gari yangu na sikiliza kila wakati. Nimeanza kusikiliza tangu 2007 nikiwa chuo kikuu Muhimbili. Barikiwa sana AIC SHINYANGA
Bonge moja la choir 2024 bado nasikiliza ❤❤
Msikilizaji mkuu na shabiki wa kwaya hii huko Kenya ❤❤❤mungu wetu awape nguvu.
Huwa zinanikumbusha mzazi wangu akiwa DC pale Shinyanga. Kazi yenu njema Bwana Yesu awatunze ktk milki yake hadi tukasifu kweli kule mbinguni
Nawapenda saaaaana,Gody wa Mafinga
Naupenda sana hu wimbo mbarikiwe sanaa❤
Hakika Mungu ni wa ajabu, nmeanza kusikilza wimbo huu nikiwa bado mdogo sana, leo tena nmepata baraka kusikilza nikiwa chuo kikuu
Hakika Mungu ni mwema
Mbarikiwe tena watumishi tangu 2007 nikiwa 4m 1 mpaka Leo bado unanibariki
Tangu mtoto nikiwa na miaka 10 nausikiliza hadi mkanda wa video tunaona hadi leo,Mungu awabariki sana
video shot in kenya
AIC Shinyanga. Mbarikiwa mno kwa wimbo mzuri wa kuinua mioyo. Shalom
❤❤ wimbo wangu wakati wote
Nimekuwa nikisikiliza limbo huu toka mwaka 2007
Nipo live toka kiwanja chunya
Am here again 2024🎉🥳God is my light fear no more 💪💪🙏🙏
Tupo pamoja 2024
😂😂😂 step zenyewe hadi raha watu wanaenda na beat vibaya mno
Inanikumbusha mbali sana. The best choir
Nabarikiwa sana na huu wimbo
1 September 2024🎉🎉🎉 nimebarikiwa kuwasikiliza Tena
2024 sept praising God ❤
Barikiwa sn Aic shinyanga mnanibariki mnoo hii Albam nakumbuka nilikuwa mdogo sn sasa hv kama kaushuuda mmetoka mbl mnooo🔥Mungu azidi kuwapeleka viwango vya juu sana ❤️🔥❤️🔥🔥🔥🔥🔥
❤💞
Amina Nabarikiwa na hii Choir...Mbarikiwe sana
Hakika Wimbo ni mzur sana mungu awapiganie kwenye kutangaza jina lake
Nawapenda sana. Nyimbo munaziimba zinanibariki sana Niko DRC Congo.
Daaaaaaaaaaa jaaman kuwa na Mungu raha sana hata mbinguni 2tasifu hivyhivy
I used to cry when I listened to this song dad was in rumand
Hongereni sana watumishi wa mungu
wimbo unanikumbusha marehem kaka yangu enzi hizo😭😭
Pole😢
Pole sana
Pole sana kaka
Again 2024
Huwa wananibariki Sana,Nina furaha sababu bwana Yesu kaniokoa
Noma sana hawa jamaa wamepotelea wapi nawakubali sana
May God bless you and all ❤❤❤❤❤
𝙷𝚞𝚞 𝚠𝚒𝚖𝚋𝚘 𝚞𝚖𝚎𝚗𝚒𝚋𝚊𝚛𝚒𝚔𝚒 𝚜𝚊𝚗𝚊
Ubarikiwe sana mlieimba hizi nyimbo🙏😅😅😅😅😅😅
Nawapenda sana Hawa waimbaji.
Mbarikiwe waimbaj
Wabarikiwe sana waimbaji
Napata amani na furaha
Amina
Again 2023
Amina
𝕙𝕦𝕦 𝕨𝕚𝕞𝕓𝕠 𝕒𝕥𝕒 𝕞𝕞 𝕟𝕠𝕝𝕚𝕜𝕦𝕨𝕒𝕘𝕒 𝕩𝕛𝕒𝕥𝕖𝕘𝕖𝕞𝕖𝕨𝕒 𝕜𝕦𝕫𝕒𝕝𝕚𝕨𝕒 𝕩𝕒𝕩𝕒 𝕟𝕟𝕒 𝕞𝕚𝕒𝕜𝕒 18 𝕥𝕦 𝕟 𝕞𝕦𝕕𝕒 𝕩𝕒𝕟𝕒 𝕟𝕒𝕡𝕖𝕟𝕕𝕒 𝕜𝕦𝕩𝕚𝕜𝕚𝕝𝕚𝕫𝕒 𝕔𝕠𝕤 𝕓𝕒𝕓𝕒 𝕒𝕟𝕘 𝕟𝕒 𝕞𝕒𝕞𝕒 𝕒𝕟𝕘𝕦 𝕨𝕒𝕝𝕚𝕜𝕦𝕨𝕒 𝕨𝕒𝕟𝕒𝕦𝕡𝕖𝕟𝕕𝕒 𝕩𝕒𝕟𝕒