KENYA NI NCHI YA AJABU SANA/TANZANI PAMOJA NA UMASKINI WETU LAKINI ARDHI NI YETU "PASTOR MGOGO
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 พ.ค. 2023
- Kuendelea kupata mafundisho yangu mazuri yanayohusu mahusiano yako na Mungu,Utakatifu,Uchumi na Biashara kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: Daniel Mgogo / revdanielmgogo
Instagram: Pastor Daniel Mgogo / pastordanie. .
TH-cam : Pastor Daniel Mgogo th-cam.com/channels/eNr.html...
#PastorDanielMgogo#ImaniYaKweli#InjiliYaKristo
The only Tanzania preacher i watch. Wengine ni sarakasi tu. 🇰🇪 Twakupenda Mchungaji
Am Kenyan bt Tanzania my mother land na hii kweli kbsa pastor umeongea ukweli tutumbue kbsa wakenya tamaa ndio tumeeka mbele na uonevu
I am a Muslim from Kenya and whatever this man is saying is true. In coast region alot of land is owned by the few first family, the mazrui, the swaleh ngurus etc. The mijikenda are squatters in their own land yet the government is not doing anything.
Town watu wengi hawana makao. Alichosema ni kweli. Msimpinge huyu bwana.
Mtihan wallay
Mbona mnaanika nchi yetu
Am proud to be Tanzanian 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿 Tumbua hayo majipu pastor
I have learned a lot,u are really a mentor
Hiyo maneno yako itapelekea huyo pastor anyimwe nauri alafu arudi Tanzania kwa mguu yake
Nataka kua mtanzania
ukweli mtupu,if iam to re locate,i will call TZ my second home very kind people and with a great sense of humanity and empathy
inaitwa capitalism yaani everyone for himself God for us all
My best pastor in Africa,, true speaking 😊
Great sermon. As a Kenyan, I agree. The wealth gap is too big.
The wealth gap is shameful! Leaders are corrupt,selfish idiots! While the current president is supposed to oversee austerity measures he is living big, instead,spending a lot and employing his friends as if nothing has happened!! Yet he wants to tax all the low income businesses to sustain his own opulence!!
ongea swahili
@@pvxmovies9611😂😂😂😂😂
@@pvxmovies9611 huku Kenya ni ukoloni mambo leo
This explains why kenyans are so hardworking.
You will find them in all corners of the world 🌎
Juzi nilikuwa kwa bank flani Uganda, the teller who served me was a wafula
u r right bro.nko Israel kutafuta hizi pesa...but watanzania hua na upumbavu Fulani...kama kaushamba.....
Was deep down in burundi,I saw viongos there cooking omlette,so proud of how hardworking Kenyans are.
I just love your comments why speak that other nation is not standing at a better chance... Kenya is Better than Tanzania as a matter of fact
@francisMwangi1885 Kenya is a country that people live in hypocrisy , defending lies and tribalism it's resources are not equally shared among its citizenry.
The politicians and the rich have power over the poor they can do anything they want wether legally or illegally as the Judiciary offers protection ie money talks its only how you approach the all issue. God Help our Mother Africa
Mchungaji mgogo,kaa tu hapa kenya uwaelimishe ,.wakenya ,Mimi nikiwa mmoja wao, tumelala.mtu mmoja Ana shamba ,Kama Western province yote.jameni
Hii sermon ina nguvu kweli. Mungu atusaidie.
Mungu akulinde nakutiye nguvu na hailinde familia yako baba
IAM a Kenyan and this is pure truth
😂😂😂Kenya kujeni mskie yani hapa umesema kweli Kabisaaa mungu akutetee
Ndio maana nikaamia tz shamba ni cheap
Hapa Kenya tuko na yesu wa Tongare na pastor makende
Despite owning or not owning the land, that's what drives Kenyans working hard to secure the bag regardless of how life can be challenging.
What bag are you talking about....unajua wakenya kunasaa si uongea kama wajinga....driving what!!! That western mentality is a curse to us kenyans....
Wanawake pia vichwa ngumu... nowonder single mothers kila sehem .....you oppose even a message from a preacher
@@mpendakiswahili3053 we don't believe so much in preachers in Kenya, most've let us down
@@Lule8603 tf! Are you talking about....are you familiar with shakahola.....the nonsense just never stops with us kenyans.....
@@mpendakiswahili3053 Haha. So you believe that a preacher is God? We look at preachers like normal people and we question everything they say. In kenya, very few people don't have land. Most people have land in their rural areas.
I listen these sermons cause the spirit behind is Graceful, Merciful and Thanksgiving. Amen
Niko Kenya,nimeenda sana sana na mahubiri yako mchunghanji❤❤
BARIKIWA Mtumishi wa MUNGU Mgogo uko sawa kabisaaa, MUNGU Akulinde na Kukutunza.
Halafu kuna watu wanaanza kusema mwalimu Nyerere alikosea sana kuukubali ujamaa kuliko ubepari. Mwalimu alikuwa na moyo wa utu
pasta ubarikiwe hata congo tabia hiyo ipo unaonyeshwa shamba kama hivo hivo Tena Bure kalime Kwa nguvu zako,jameni wanosema congo unaubaguzi USIKUBALI ni probaganda mzee wetu jerani mvaa miwani ili aendelee kupora congo Kwa uwongo wake kupitia ukabila
Tanzania ni nchi ya ubepari haujui kenye unasema.
Kweli kabisa nilitembea slum moja nairobi inaitwa kibera,nililia sijawahi ona hivo estate slump huku Tanzania 🇹🇿
Ahsante Mchungaji kutusaidia vijana, imeingia hiyo moja kwa moja kabisa. Umesema kweli tumejisahau.
Yani ametugusha
🤣🤣🤣Hapo kwa damu kweli n noma, barikiwa sana pastor, mungu azidi kukufunulia zaidi, Amen🙏🙏
Yes my fello country man God bless you.
This Pastor from Tanzania has spoken the real situation in our Country Kenya that the only people who own a big and fertile Kanda are the haves ones. While our neighbors Tanzania every Citizen has a plot of land.
You are a Tanzanian. Kenyans write better English my dear
You have spoken the full truth pastor
Unaeleza ukweli Kenya 🇰🇪 ni nchi ya matajiri ama maskini na hatujali kuhusu wazazi sana yani nchi yetu inageuka sijui kuwa nini ubinafsi uko hali ya juu. Mashamba hakuna sahii youths mashamba zetu ziko mtandaoni. Yani tunalima mashamba mitandaoni through software engineering/data engineering/ android app development ili tulipe kodi! Nawe unasema ukweli jamani, nothing but the truth!!!!
Ni kweli kabisa ndio mana wakenya ni wachapakazi sana
Mmmh, hili suala la kutaja jina la nchi ndo nalisikia hapa kwa pastor. Majuzi wakati dege linatambulishwa Eng. wa ATCL akielezea kuhusu namna tunavyosafirisha mizigo yetu hasa maua kwenda sokoni ulaya hakutaka jina la nchi husika na siyo kwamba haijui bali ni diplomasia inatumika!! Hata madhabahuni hatajwagi mtu bali "fulani"!
Unasema ukweli kabisa mgogo mungu akubariki wape wakenya ukweli
@@festokemibala5832 sasa mkuu,
Huyu Pastor yuko nchini Kenya anawahubiri, sasa asiseme ukweli kaka?
Uyu mhubiri kutoka tz nampenda Sana ..... Kenya ni kumoto....ploti ya 50*100 ksh 1million kuendelea na ni huko mashambani ...
waaa
Mungu tusaidie na tupe ufahamu
You are right the shepherd of God and be blessed
The best and open minded pastor,mwenye anaongea ukweli kabisa
Wa Kenya ni ndugu zetu.
Be blessed Pastor
Kweli kabisaa 😊😂😂😂 Ongea pastor usikike❤
Amina, ubarikiwe Baba.
Yes Kenya ya ni ya Matajiri na tunajivunia kwa hayo💪💪 thats why we have so many Tanzaanians Begging in our streets,wengi wanauza kahawa na Mandazi na nguo za mtumba right in Nairobi,Nakuru nd mombasa😅😅
We're very hardworking nd ull never knock our hustle.. tanzanians may have land but are very poor people.
Hard worker huna kwako foolish
Mpuuzi wewe kaandamane upate Unga
Thanks pastor alot for the truth
Ni kweli Pastor.❤
Huku Kenya tumezoea🤗🤗🤗🤗🤗🤗🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Bt tunajituma
True pastor full of humour but nailing the truth
Amen 🙏🙏❤❤❤
Ukweli mtupu. Thank you for being so bold in preaching the truth.
So sad what Kenya is heading.
Pastor umesema kweli kabisa Kenya ni ya ajabu sana
Ahsante sana mchungaji na endelea na mafundisho mazuri
Powerful sermon wazazi ni wazazi we have to love them
Amen Amen ❤❤🙏🙏🇰🇪
Absolute truth pastor.
Amen.
Yaani baba. Nakukubali sana yaani MUNGU akupe maisha marefu
Kweli kabisa Tanzania kumiliki ardhi ni rahisi sana, Tunashukuru Mungu kwa upendeleo❤
Mme barikiwa, kenya ata kiwanja Tu, balaa..
@@mpendakiswahili3053 tunashukuru Mungu kwakweli ni neema hii
Sijawahi kuyakubli mfumo wa maisha ya Kenya.Asante sana pastor Mgogo kwa kuwambia ukweli Wakenya.Asante Sana Mwl NYERERE.
Can't be said better pastor thank you that's the truth and very painful;;; Kenya Kenya HaHaHa
This pastor was a true pastor
Why " WAS" ? Is he no longer a Pastor or is Dead?
Pastor Mgogo asante kuisifu Kenya kwajili nilikuwa nikidhania kwamba wakenya lingali wanapora mali za wanyewe na kuzigawanya kwa wanyewe lakini Pastor Mgogo mumejitambulisha kama waizi na watu wakupenda za ubwete
Maneno hayo
@@paulinewangila-cs6ys Kama zile za polisi kuwatwanga mashabiki wa maandamano za Raila
Pastor mgogo huja na ufunuo na ufundishaji wenye upako ujumbe uliojaa hekima ubarikiwe
Very frank of you Pastor Mgogo 🫡
Amen ❤
Now I know the reason why Tanzanians believe that Tanzania is richer than Kenya. Because they don't question their pastor who lie to them everyday. I have a piece of land where I come from in the rural areas. But I work hard to buy more. There is no communism in Kenya. Let everybody work hard.
Mhubiri wa kweli aliye bakia east Africa, mungu akubariki pastor unahubiri njili mtupu.
There is therefore no condemnation to those who are Christ.. with or without land… Grace Grace Grace!
Amen to the word of God ❤❤❤
Halleluyah
That's true. Kenya is more of a capitalist nation while Tanzania is inclined to a socialist system. Both capitalism and socialism have their fair share of pro and cons. That notwithstanding, I would rather live in Kenya than in TZ.
Used to be a socialist not communist.Lilikuwa Taifa la kijamaa na sio ukomunisti.The country has never been a Leninist/ Marxist State (communist).
Unasema kweli mutumishi wa mung u ❤❤
God bless Kenya
Truth be told.
Full truth indeed
Mbona huu ni ukweli kabisa Kenya 🇰🇪 yetu ni ya matajiri😅😊😊
Inaongea ukweli kbs wamonja wako vile vile kabida ❤🎉👍
Umeongea ukweli mtumishi wa Mungu zidi kubarikiwa
Very true pst Kenya ni ngumu mno
Hapo umenena .wambia wasikia muchungaji hongera sana
True pastor
Hongera sana PST,
Nakuomba siku moja utembee Kenya mahali kunaitwa Machakos na upange crusade Athiriver. Zawadi Mungu atanitafutia nikupatie ,, 7nanitia nguvu sana
Ata fikia wapi akati Kira harizi imeshiriwa na wakubwa
Haki kenya maskini ni masikini tu umegonga dipo
Hujaona umaskini uliopo tanzania
Umenena kweli pastor
Ameeern❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
That's true pastor
Very true sir 😊
Nikija Tanzania, nitatembelea kanisa yako Mgogo, Injili safi sana. kuwa na akili ndio ishara ya kwamba mtu ameokoka kweli kweli.
Eeeh mama na baba mungu awalinde, mlipitia mengi ili niwe nilivyo leo 🙏
now will this help their spiritual life and JESUS s coming back soon........forget about owning what or not owning this is vanity upon vanity 🙏
Kweli kabisa pastor
Kweli kabisaa , Hebu tubadilike ni wakenya
Ooh my God that is very true
Apo ni kweli kabisa.
Kweli mtumishi 🙏🙏
Umenena pastor
Ni kweli Sema yote
Namkubali sana huyu pastor hua anasema ukweli napendasana mahubiliyake mungu ambarik sana
Very true
these true gospel waacha zile za miingiza rarua hiyo injili wasikie
I True pastor all u preach is truth , 🙏🙏🙏
But Remember that what made us work hard !! You can’t compare the two countries!! TANZANIA INASHIDA ZAKE PIA !! Ujamaa but jamaa umaskini uko juu
Truee❤❤🎉🎉🎉
Kweli kabisa wengi wanaishi kama sionwakenya
Amen
🇮🇱TANZANIA PAMOJA NA UNASKINI WETU, hapana Tusikiri Umaskini
Upo sawa kaka
True 👍
Toboa pastor. Vichaa ni wengi kweli
Sisi Tanzania ni matajiri sana.
Kweli?
Matajiri saa ngapi, wenzenu wanajiuza na kuua watoto kwa hali ngumu ya maisha
Ukweli pastor
Hii ni Kenya gani unaongea kuhusu? Tafadhali tembea Kenya yote Kwanza