RC CHALAMILA Achimba MKWARA MZITO Akikagua JENGO la ABIRIA AIRPORT MWANZA..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 พ.ค. 2021
  • RC CHALAMILA Achimba MKWARA MZITO Akikagua JENGO la ABIRIA AIRPORT MWANZA..
    MKUU wa Mkoa Mwanza, Albert Chalamila amefanya ukaguzi wa jengo la abiria linalojengwa katika uwanja wa ndege jijini humo..
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

ความคิดเห็น • 29

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante 🙏 Mama kwa kumuona chalamila Tafuta akina chalamila wengi wafanye kazi Basi Mama yetu

  • @KasindiPapi
    @KasindiPapi 3 ปีที่แล้ว +8

    Chalamila kiboko yaho, Magufulification of Tz, chapa kazi vizuri kaka..

    • @engzuberir.akilenza1764
      @engzuberir.akilenza1764 3 ปีที่แล้ว

      Sasa magufulification of Tz inakujaje hapo mbona mnaudhi hivyo.

    • @mosesnyelo1380
      @mosesnyelo1380 3 ปีที่แล้ว

      @@engzuberir.akilenza1764 sasa unasoma kitu cha mtu huku wachukia acha kufata comment za watu kama huwez vumilia mawazo ya mtu

    • @madirishasimon9692
      @madirishasimon9692 3 ปีที่แล้ว +1

      @@mosesnyelo1380 mwambie huyo kilaza

  • @tonitonito1587
    @tonitonito1587 3 ปีที่แล้ว +4

    Uyo mkandarisi hana akili mbona izo mashine asizilete saiti anadanganya uyo sweka ndani

  • @eliakazana7252
    @eliakazana7252 3 ปีที่แล้ว +3

    Hizo mashine zipo nyingi tu hapa dar,mheshimiwa unadanganywa tu!

    • @linkreuben5804
      @linkreuben5804 3 ปีที่แล้ว

      Duh wanamdanganya hata mkuu wao! wanafaa kutumbuliwa

  • @mhehear
    @mhehear 3 ปีที่แล้ว

    Kiberiti na petroli.. inaonekana watu wamepiga tayari hapo..

  • @esthergambi8058
    @esthergambi8058 3 ปีที่แล้ว +2

    chapa kazi mh.

  • @reginajoseph1269
    @reginajoseph1269 3 ปีที่แล้ว +1

    Mzee RC tunakukumbusha ile manispaa yetu mpya ya kisesa imefikia wapi mbona kimya sana????

  • @YusufAli-ib6xu
    @YusufAli-ib6xu 3 ปีที่แล้ว +1

    Hapa pesa zimeliwa nyingi sana wachunguzwe hawa lasivyo mtashtuka baadae mpaka rais akija hapa

  • @mhehear
    @mhehear 3 ปีที่แล้ว

    Data na verification.. mkubwa akiiba na mdogo...😎

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 3 ปีที่แล้ว +1

    Wewe ungevieleza kutoka wapi

  • @cosmasdaud9088
    @cosmasdaud9088 3 ปีที่แล้ว +1

    Ngoja nikuambie mkuu hapo kwenye mashine nje ya nchi ndipo tunapigwa utapewa matumizi ya ajabu

  • @malamlaaj9852
    @malamlaaj9852 3 ปีที่แล้ว +1

    Rudi Mbeya tumekumiss mheshimiwa.

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 3 ปีที่แล้ว +1

    hiyo ya machine JPM angekutia kibao! JPM alipotembelea hapo sikuisikia hiyo..lol Mkuu na UJENZI WA MELI ,VITU VINAKWAMA BANDARINI

  • @andrewmashika3756
    @andrewmashika3756 3 ปีที่แล้ว

    "... ukija kwenye kuiiba mtu mkubwa na mdogo, mtu mdogo hata pata faida kama mtu mkubwa na ukija kwenye kufungwa, mtu mdogo atafungwa ili mtu mkubwa apone" 👀?! 🤔- Chalamila

    • @flowinkilangira1545
      @flowinkilangira1545 3 ปีที่แล้ว

      Kwahiyo anamtaka huyo jamaa asiewe sehem ya kuibwa kwa pesa hapo kwamaana takaoshirikiana nao hawatafungwa.

  • @mhehear
    @mhehear 3 ปีที่แล้ว

    Akili kubwa changanya na ndogo.. huyu kaletwa mwanza si bure .. sikilizeni vizuri ndo mtajua

  • @winfridahcreitus705
    @winfridahcreitus705 3 ปีที่แล้ว

    Mheshimiwa swala la barabara za mitaa Mwanza kea ujumla nishida, yaani utafikiri wanaishi nguchiro? Anzia barabara za kirumba kwenda uhayani, Ghana maeneo ya msikitini kupanda kwenye kasoko, buzuruga kwenda mahina Kati kupitia mama lishe, buzuruga kwenda mahina allience, buzuruga shule kwenda mitimirefu kupitia kkt, buzuruga kwenda nyambiti kupitia kanisa la Roma, nyasaka kwenda islamiya, nyasaka kwenda nyambiti kupitia nyamuge nishida yaani mwanza hii kwa upande wa barabara za mitaa ni hovyo Sana mkuu, tunakukubali sana, maana kazi zako toka ukiwa mbeya tumeziona, yaani barabara zamitaani kwetu nikama hakuna serikali zamitaa na watu wanaohusika. Mkuu tunaomba uanze na hili.

    • @kiatu
      @kiatu 3 ปีที่แล้ว

      Nchi nzima, kwa kweli, ni barabara moja tu tena ya kati ndio bora. Sijui ndio za tarura ama brela mimi sijui hayo mavifupi lakini yeyote anayehusika na za mitaa akaze buti.

  • @abdukadrilwassa3051
    @abdukadrilwassa3051 3 ปีที่แล้ว

    Mkuu hata upande wa kishiriki barabara za huku ni shida sana na umeme vijiji baadhi ya mitaa hakina, mfano kanindo na kishiriki b

  • @joevang4685
    @joevang4685 3 ปีที่แล้ว

    ko.kukagua jengo hadi waandishi

    • @agnesmajuramangombe986
      @agnesmajuramangombe986 3 ปีที่แล้ว +1

      We hujui huyu ni mkuu acha sifa acha mkuu afanye kazi mambo ya wandishi hayakuhusu tunataka maendeleo

    • @flowinkilangira1545
      @flowinkilangira1545 3 ปีที่แล้ว

      Acha wivu wa kipumbavu mtoto wa kuime.

    • @kshdbzjnxksksw6567
      @kshdbzjnxksksw6567 3 ปีที่แล้ว +1

      Nabila ao.waandishi.waru wangeonaje ayo maendeleo wakati mtiu hawezi kuizunguka tanzania yte