MITIMINGI # 664 MAMA UKIFANYA HAYA UTAISHI NA MUMEO KWA MUDA MREFU SANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
- Ukitaka kudumu katika ndoa usimfokee mmeo hata kama amekosea. Tafuta namna nzuri ya kumuelezea tatizo lake.
Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC +255 713 18 39 39
Ubarikiwe mchungaji Kwa mahubiri Yako mazuri ya ndoa pia ushauri Kwa wanandoa
baba asante sana kwa mashauri mazuri ,huko ambapo ulipo Mungu akulaze mahali pema peponi🙏🙏🙏👏👏🙏👏🙏🙇♀️
Baba asante sana kwa mashauri mazuri sana kweli 🙏🙏🙏🙏 huko ambapo ulipo Mungu akulaze mahali pema peponi🙏🙏👏👏👏
Nabarikiwa sana na mafundisho yako Pastor, Mungu azidi kukubariki... 🙏🏽
asante sana Mwalimu kwa mafundisho mazuri matamu kwasisi wamama Mungu akubariki
Hayo mahubiri Yako mazuri yananikosha sana mchungaji wetu
Tunakufata sana uku
Wallai i wish ungekuwa mwislamu...uko juu sana...waweza kuwa sheikh mzuri sana Wallai...Allah Akupe Afya siku zote.
Whoow!!nimependa,mafundisho,kweli kabisa
Umelala baba usingizi wa milele! Umeacha waya mweusi,utowai kusaaulika,
I hear you man of God
Nashukuru mchungaji nimejifunza vitu vya maana sana leo ubarikiwe zaidi
Mtumishi WA mungu umetubariki sana.
Very true. Be blessed always man of God
Mungu akubark mchungaji nmejifunza kitu
Upo vizur sana kwa mafundisho mtumishi
Nimejifunza kitu kizuri mtumishi mungu akupe maisha marefu
kwasunda
Ubarikiwe mtumishi
Nmebarikiwa kwa kweli na haya mafundisho.GOD BLESS U MAN OF GOD
Amina Catherine Mungu akubariki sana sana
ni kweli mchunga unabari maisha ya wengi nasi tunakuombea sana tunabarikiwa
namiss mafundisho yako mwalim na mchungaji
Asante muchungaji nina jifunza kitu
Be blessed man of God. Im richly blessed by your teachings
Nimebarikiwa sana mtumishi mungu akubariki saaaana
Amen
mchungai nashukuru kwa mafundisho mazuri ila fundisho LA chombo chambaba niliwahi kufanya hivyo nikaweka kikombe sahani bakuri ngras na hotipoti kwa ajili ya mume wangu lakini kitendo chakuja mama mkwe kutoka kijijini alidai kua niushirikina namfanyia mwanae na siku zilivyo zidikwenda vile vyombo vilivunjwa kimoja baada ya kingine kwa sasa nimerudia tena sasa nahawa mamazetu wakwe wapewe somo
Well done servant of god
Jamani mbona uko na mafundisho matamu,ndoa yangu itaimarika🙋
Shukran
ubarikiwe sana
jaman maandamano tena! yote hayo ya baba mie kuchoka kbs
Mitimingi
Mbali huku tuko vijijini DRC tunakufwata 💯 %,na kweli tunabarikiwa kabisa.Mafundisho hayo yanaokowa jozi chungu nzima na kweli mungu akubariki na akuzidishiye elimu,hekima,ujuzi,afya,uchumi,na kila kitu kya mafaa kwako.
barkiwaaaaa baba
wooou tnx papaa
Uko sahihi mtumishi
Hahahaha nimejifunza ubarikiwe Pastor
Mchg sema tupone kweli nimebarikiwa sana na mafundisho yako barikiwa sana
🙏🙏🙌
Mengine sikubaliani nayo ila ndio hivyo yangu nachukua yasiyo yangu naacha.
Sure
hapo mchungaji umeongea vizur sana
hahaha maandamano tena mchungaji,nimefurahi sana ntafanya hivyo
mzee mitimingi anatema madini sana hiv kanisa lake lipo wapi nimemfwatilia sana anakitu cha pekee
Huyu jamaa ananipa madini
Mchungaji anatoa vitu vizuri mi na mke wangu
Leo ndio nmejua kwann baba huekewa bakuli zima la nyama then cc wengine twashkishwa vipanda viwili viwili😁😁😁😁😁😁
Hahahaaaa umenichesha
@@benfrancis8288 hats Mimi nimecheka kweli
siku izi mbona huweki vipindi TH-cam Mtumishi,😒😒
hapohapo mtumushi! japo baathi ya waumee hukwepa majukum! ndo hata mke washindwa heshma ampe nani jamani! raha nda hamna
mwanaume mwingine amelishwa madawa na mama yake hadi mke anakuona ufai kabisa muda wote yuko bize na mambo yake hana muda kujua umefanyia nini mwanaume mwenye hofu ya mungu ndiye anajua samani yamke
Hahaha aiseee haha dah
Kongole ... WCC
Nataman siku moja nikuone
Pole sana
hapo Kwa maandamano
ko ww hutaki kuandaman hahahah
Amen Amen