MITIMINGI # 664 MAMA UKIFANYA HAYA UTAISHI NA MUMEO KWA MUDA MREFU SANA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024
  • Ukitaka kudumu katika ndoa usimfokee mmeo hata kama amekosea. Tafuta namna nzuri ya kumuelezea tatizo lake.
    Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC +255 713 18 39 39

ความคิดเห็น • 60

  • @ModesteAsukulu-gh6bf
    @ModesteAsukulu-gh6bf ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mchungaji Kwa mahubiri Yako mazuri ya ndoa pia ushauri Kwa wanandoa

  • @leontinebinlydi9459
    @leontinebinlydi9459 2 ปีที่แล้ว

    baba asante sana kwa mashauri mazuri ,huko ambapo ulipo Mungu akulaze mahali pema peponi🙏🙏🙏👏👏🙏👏🙏🙇‍♀️

  • @zawadiruby6880
    @zawadiruby6880 2 ปีที่แล้ว

    Baba asante sana kwa mashauri mazuri sana kweli 🙏🙏🙏🙏 huko ambapo ulipo Mungu akulaze mahali pema peponi🙏🙏👏👏👏

  • @avitrujweka2113
    @avitrujweka2113 5 ปีที่แล้ว +7

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako Pastor, Mungu azidi kukubariki... 🙏🏽

  • @abigaelsousana4417
    @abigaelsousana4417 2 ปีที่แล้ว

    asante sana Mwalimu kwa mafundisho mazuri matamu kwasisi wamama Mungu akubariki

  • @ModesteAsukulu-gh6bf
    @ModesteAsukulu-gh6bf ปีที่แล้ว

    Hayo mahubiri Yako mazuri yananikosha sana mchungaji wetu
    Tunakufata sana uku

  • @aishamaulid2358
    @aishamaulid2358 4 ปีที่แล้ว

    Wallai i wish ungekuwa mwislamu...uko juu sana...waweza kuwa sheikh mzuri sana Wallai...Allah Akupe Afya siku zote.

  • @ngooaggie8471
    @ngooaggie8471 5 ปีที่แล้ว +4

    Whoow!!nimependa,mafundisho,kweli kabisa

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 3 ปีที่แล้ว

    Umelala baba usingizi wa milele! Umeacha waya mweusi,utowai kusaaulika,

  • @apostlemc3102
    @apostlemc3102 5 ปีที่แล้ว +4

    I hear you man of God

  • @mealemalika7565
    @mealemalika7565 5 ปีที่แล้ว +1

    Nashukuru mchungaji nimejifunza vitu vya maana sana leo ubarikiwe zaidi

  • @mwafrikalydia3286
    @mwafrikalydia3286 5 ปีที่แล้ว +2

    Mtumishi WA mungu umetubariki sana.

  • @lilianomlia8851
    @lilianomlia8851 3 ปีที่แล้ว +2

    Very true. Be blessed always man of God

  • @judymartin1128
    @judymartin1128 5 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubark mchungaji nmejifunza kitu

  • @janemwaibanje3993
    @janemwaibanje3993 5 ปีที่แล้ว +2

    Upo vizur sana kwa mafundisho mtumishi

  • @restitutachiwaga769
    @restitutachiwaga769 5 ปีที่แล้ว +2

    Nimejifunza kitu kizuri mtumishi mungu akupe maisha marefu

  • @witnessmwilongo9937
    @witnessmwilongo9937 5 ปีที่แล้ว +3

    Ubarikiwe mtumishi

  • @catenzeki678
    @catenzeki678 5 ปีที่แล้ว +1

    Nmebarikiwa kwa kweli na haya mafundisho.GOD BLESS U MAN OF GOD

  • @jaredmutego6884
    @jaredmutego6884 5 ปีที่แล้ว +2

    ni kweli mchunga unabari maisha ya wengi nasi tunakuombea sana tunabarikiwa

  • @pasianuspatrick9967
    @pasianuspatrick9967 2 หลายเดือนก่อน

    namiss mafundisho yako mwalim na mchungaji

  • @مرحباسلام-ج5ض
    @مرحباسلام-ج5ض 5 ปีที่แล้ว +2

    Asante muchungaji nina jifunza kitu

  • @rhodahnyambu5847
    @rhodahnyambu5847 5 ปีที่แล้ว

    Be blessed man of God. Im richly blessed by your teachings

  • @aboubilaly810
    @aboubilaly810 5 ปีที่แล้ว +1

    Nimebarikiwa sana mtumishi mungu akubariki saaaana

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 4 ปีที่แล้ว +2

    Amen

  • @aishahamisi5025
    @aishahamisi5025 5 ปีที่แล้ว +3

    mchungai nashukuru kwa mafundisho mazuri ila fundisho LA chombo chambaba niliwahi kufanya hivyo nikaweka kikombe sahani bakuri ngras na hotipoti kwa ajili ya mume wangu lakini kitendo chakuja mama mkwe kutoka kijijini alidai kua niushirikina namfanyia mwanae na siku zilivyo zidikwenda vile vyombo vilivunjwa kimoja baada ya kingine kwa sasa nimerudia tena sasa nahawa mamazetu wakwe wapewe somo

  • @mwafrikalydia3286
    @mwafrikalydia3286 5 ปีที่แล้ว

    Well done servant of god

  • @miriamogada5097
    @miriamogada5097 3 ปีที่แล้ว

    Jamani mbona uko na mafundisho matamu,ndoa yangu itaimarika🙋

  • @hafsahcletty5968
    @hafsahcletty5968 5 ปีที่แล้ว +3

    Shukran

  • @fredwanyama837
    @fredwanyama837 5 ปีที่แล้ว

    ubarikiwe sana

  • @agathamilanzi3287
    @agathamilanzi3287 5 ปีที่แล้ว +4

    jaman maandamano tena! yote hayo ya baba mie kuchoka kbs

  • @raurentkanjemartha
    @raurentkanjemartha ปีที่แล้ว

    Mitimingi

  • @dieudonyamugali9429
    @dieudonyamugali9429 2 ปีที่แล้ว

    Mbali huku tuko vijijini DRC tunakufwata 💯 %,na kweli tunabarikiwa kabisa.Mafundisho hayo yanaokowa jozi chungu nzima na kweli mungu akubariki na akuzidishiye elimu,hekima,ujuzi,afya,uchumi,na kila kitu kya mafaa kwako.

  • @niceladeus1697
    @niceladeus1697 5 ปีที่แล้ว +3

    barkiwaaaaa baba

  • @tulivuevethatemba7628
    @tulivuevethatemba7628 5 ปีที่แล้ว +2

    wooou tnx papaa

  • @seurykaaya1089
    @seurykaaya1089 5 ปีที่แล้ว +2

    Uko sahihi mtumishi

  • @rehemapeter8692
    @rehemapeter8692 5 ปีที่แล้ว +3

    Hahahaha nimejifunza ubarikiwe Pastor

    • @josephinekirenga7863
      @josephinekirenga7863 5 ปีที่แล้ว +1

      Mchg sema tupone kweli nimebarikiwa sana na mafundisho yako barikiwa sana

  • @mauadumba3144
    @mauadumba3144 3 ปีที่แล้ว

    🙏🙏🙌

  • @theonlyonebeautiful3726
    @theonlyonebeautiful3726 5 ปีที่แล้ว +5

    Mengine sikubaliani nayo ila ndio hivyo yangu nachukua yasiyo yangu naacha.

  • @boniventuremarrirey6930
    @boniventuremarrirey6930 5 ปีที่แล้ว +3

    Sure

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 5 ปีที่แล้ว +3

    hahaha maandamano tena mchungaji,nimefurahi sana ntafanya hivyo

  • @31tv57
    @31tv57 5 ปีที่แล้ว

    mzee mitimingi anatema madini sana hiv kanisa lake lipo wapi nimemfwatilia sana anakitu cha pekee

    • @fredjohn8244
      @fredjohn8244 5 ปีที่แล้ว

      Huyu jamaa ananipa madini

    • @fredjohn8244
      @fredjohn8244 5 ปีที่แล้ว

      Mchungaji anatoa vitu vizuri mi na mke wangu

  • @wacmber2131
    @wacmber2131 5 ปีที่แล้ว +7

    Leo ndio nmejua kwann baba huekewa bakuli zima la nyama then cc wengine twashkishwa vipanda viwili viwili😁😁😁😁😁😁

  • @jovinajovin4637
    @jovinajovin4637 5 ปีที่แล้ว +5

    siku izi mbona huweki vipindi TH-cam Mtumishi,😒😒

  • @hamidakassim4
    @hamidakassim4 5 ปีที่แล้ว +1

    hapohapo mtumushi! japo baathi ya waumee hukwepa majukum! ndo hata mke washindwa heshma ampe nani jamani! raha nda hamna

    • @gwikileambakisye7793
      @gwikileambakisye7793 5 ปีที่แล้ว

      mwanaume mwingine amelishwa madawa na mama yake hadi mke anakuona ufai kabisa muda wote yuko bize na mambo yake hana muda kujua umefanyia nini mwanaume mwenye hofu ya mungu ndiye anajua samani yamke

  • @antusawences1956
    @antusawences1956 5 ปีที่แล้ว +2

    Hahaha aiseee haha dah

  • @johnstoneodinga4186
    @johnstoneodinga4186 3 ปีที่แล้ว

    Kongole ... WCC

  • @eliasmatalamototv2850
    @eliasmatalamototv2850 5 ปีที่แล้ว +3

    Nataman siku moja nikuone

  • @dianamalingumu4516
    @dianamalingumu4516 5 ปีที่แล้ว +3

    hapo Kwa maandamano

  • @jeanettegloria6244
    @jeanettegloria6244 5 ปีที่แล้ว +3

    Amen Amen