Mwenyezi Mungu atusaidie sana Imani ni ngumu sana sisi ni wafuasi2 hatujui ukweli dhahiri ni upi zaidi yakugmfuata mafundisho na unaishi watu Mumgu atuongoze sana.
Yesu kumfanisha na mtu ni sawa na kumfanisha Mungu na mtu.Yesu atarudi Mara ya pili.wengine watahukumuwa na Yesu.Inashangaza kuona watu wamuamini yule ambae atasimama mbele ya Yesu amipewa hukumi.Mt.25
Aisee nimegundua huyu mchumgaji ni msanii na anawapotosha watu,,anakataa kuelewa na hayuko tayar kuelewa asichokijua,,,anachukua vitu nusunusu kweny quran kutaka kupindsha maana na kuwapotosha wakristo walio wengi kwa kuwa hawaisomi quran😭😭😭 Allah atunusur
Mashalhaa Ustadh Mazinge hawakuweziiii.
Yaani inafahamika
MashaAllah MashaAllah Mashelhk wetu Mungu hawape afya njema na umuli mrefu lnshaallah
Mashallah Allah
6l
Yesu ni Mungu.ndiye wa kumfuata.
Wapi andiko yesu ni mungu?wapi andiko yesu kaingia kanisani
Mwenyezi Mungu atusaidie sana Imani ni ngumu sana sisi ni wafuasi2 hatujui ukweli dhahiri ni upi zaidi yakugmfuata mafundisho na unaishi watu Mumgu atuongoze sana.
Ndacha Mwalimu mzuri sana anafundisha mpaka unaelewa labda mtu uwe kishabiki
I'm proud to be Christianity
Mashaallah
Allahu akbar laa ilaha ilallah
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
😂😂😂Sas hapa nani kapuyanga? Ila waislam wana vichwa vizito sana
Yesu kumfanisha na mtu ni sawa na kumfanisha Mungu na mtu.Yesu atarudi Mara ya pili.wengine watahukumuwa na Yesu.Inashangaza kuona watu wamuamini yule ambae atasimama mbele ya Yesu amipewa hukumi.Mt.25
Waislamu mnaongea sana hamna point
MashaAllah Mazinge 😂😂😂
Aisee nimegundua huyu mchumgaji ni msanii na anawapotosha watu,,anakataa kuelewa na hayuko tayar kuelewa asichokijua,,,anachukua vitu nusunusu kweny quran kutaka kupindsha maana na kuwapotosha wakristo walio wengi kwa kuwa hawaisomi quran😭😭😭 Allah atunusur
Wakirisitu mnahasara KUBWA SANA.Ndacha na Kichaka mbona nyie ni WAONGO???
Makini Ndavha na Kichakka ha ni MENDAWAZIMU.
Usiwe wakupiga kelele tu sikia maneno usaidike
Yesu ndo njia pekee
Ya kwendea moton
Na huyo mnani yuko kwenye kibano hakuna aliye mtuma.