DEBATE Dr SUL, MAZINGE AND SHAFII

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
  • AKASHA DAAWAH TRADERS +254 721310082
    KWA WALE WANAOISHI NNCHI ZA MBALI TAFADHALI TUWASILIANE KUPITIA #viber free calling

ความคิดเห็น • 36

  • @babfahim
    @babfahim 5 ปีที่แล้ว +6

    Asalam aleikum ndugu katika imani natafta clip ya shekh. Shaffi ile akiwa kwa mjadala akitoa thibitisho ya mitumi kua waisilamu kutoka Adam mpaka Mtume Muhammad shukran!

  • @gitihadi1269
    @gitihadi1269 8 ปีที่แล้ว +6

    pongezi sheikh Mazinge kwa kuilimisha ummah.

  • @millardayotheamazingworld1427
    @millardayotheamazingworld1427 6 ปีที่แล้ว +5

    Siku akiondoka Dr. Sule na Mazinge dunian ntalia sana.
    Hawa Allah kawapa kipawa cha elimu

    • @maulidibnjuma9575
      @maulidibnjuma9575 5 ปีที่แล้ว +1

      Hakika, allah awadumishe milele inshaallah

  • @aishaaaa6987
    @aishaaaa6987 7 ปีที่แล้ว +3

    Mashaallah M, mungu atawalipa inshaallah.

  • @ififufufyf4334
    @ififufufyf4334 7 ปีที่แล้ว +3

    Pamoja sana tupo waumi wake mtume muhmad

  • @muhsinyahaya5822
    @muhsinyahaya5822 5 ปีที่แล้ว +2

    Nawakubali Sana ndgu zangu ktk iman Sule Shafii na Mazinge Mungu azidi kuwapa Elim ili muweze kuwaondoa watu ktk kiza Mungu awalipe kila lililo la kheli kazi ya daawa ngum naijua

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 5 ปีที่แล้ว +1

      Muhsin Yahaya hawa wako gizani alafu wanajifanya wanaona lkn Nuru wanaipinga na msamaha unapatikana si kwa njia nyingine yoyote ispokua kwa DAMU ya YESU

  • @amilymawazo3610
    @amilymawazo3610 7 ปีที่แล้ว +11

    sule,mazinge,shafii Allah atawalinda Inshaallah

  • @minraya6322
    @minraya6322 3 ปีที่แล้ว

    Maashallah mungu awahifhadhi mashekhe wetu lnn sha Allah

  • @davisrotich116
    @davisrotich116 6 ปีที่แล้ว +4

    Msemakweli wemwalimu mkweli barikiwa

  • @ngokaomary5123
    @ngokaomary5123 3 ปีที่แล้ว +1

    MashaaAllah tabarakallah 🇧🇭🇧🇭🙏

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 7 ปีที่แล้ว +3

    namuona Brother Yangu #Ally_Shantry Kokote Ulipo Bro nakutafuta Sana

  • @omarbakran8337
    @omarbakran8337 7 ปีที่แล้ว +5

    safi

  • @SamsonNgendakumana-ek9vj
    @SamsonNgendakumana-ek9vj 4 หลายเดือนก่อน

    👍👍👍👍

  • @frankjohn8570
    @frankjohn8570 5 ปีที่แล้ว +1

    kinachotafutwa ni ushindi wa maneno lkn huwezi kushindanisha uzima na mauti hapo kuna Nuru na Giza ukweli upo kwenye kitabu kinacho somwa sana hapo

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 7 หลายเดือนก่อน

    Muidini yuko wapi siku hizi

  • @mwanashazinga9538
    @mwanashazinga9538 6 ปีที่แล้ว +3

    doctor Sule masha Allah

  • @jumaakitendo1774
    @jumaakitendo1774 5 ปีที่แล้ว +2

    Amantu bilash

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 5 ปีที่แล้ว

    Shekh sule mwenyezimungu AKUJAALIE UMRI MREFU SHEKH SULEIMAN

  • @joasmakere9568
    @joasmakere9568 8 ปีที่แล้ว +5

    bigup for all

  • @najjysalym4653
    @najjysalym4653 7 ปีที่แล้ว +5

    mazinge hakika wewe mjumbe wetu

  • @ismailsaimoni4911
    @ismailsaimoni4911 8 ปีที่แล้ว +5

    swadakta

  • @chrispinimpepo7447
    @chrispinimpepo7447 5 ปีที่แล้ว +2

    mh duh wauwaji wakubwa ninyi yan mmuhukumu mtu wakt yy mung ndiye akumu duh yan kwahr ata mtoto awez kusilim

    • @millicentmadamyaya1608
      @millicentmadamyaya1608 5 ปีที่แล้ว

      chrispini mpepo Mimi namshukuru MUNGU kwa kunitoa huko na kumfuata kristo nina amani Sana moyoni mwangu 🙏🙏🙏 BWANA apewe sifa

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 2 ปีที่แล้ว

      @@millicentmadamyaya1608 Na sheria za Nchi zinazo hukumu kunyonga mtu hadi kufa hapo vipi?

  • @samakisamaki2549
    @samakisamaki2549 6 ปีที่แล้ว +2

    jamaa kachoka kakabwa vibaya

  • @millardayotheamazingworld1427
    @millardayotheamazingworld1427 6 ปีที่แล้ว +2

    Akil za wakiristo bana

    • @frankjohn8570
      @frankjohn8570 5 ปีที่แล้ว

      MILLARD AYO THE AMAZING WORLD wanaakili sana wakristo ndiomana wasiona uhakika na mambo yao wanahangaikia mambo ya wakristo mchanakutwa na usikukucha,maana mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe,hata kitabu kinachosomwa sana na kujadiliwa hapo ni cha wacristo kinacho tumika kanisani

  • @ismailsaimoni4911
    @ismailsaimoni4911 8 ปีที่แล้ว +4

    swadakta

  • @ififufufyf4334
    @ififufufyf4334 7 ปีที่แล้ว +2

    Pamoja sana tupo waumi wake mtume muhmad

    • @erishaaboumpangaje8597
      @erishaaboumpangaje8597 5 ปีที่แล้ว +1

      Mimi ni mpya ndani ya dini niko na mwaka lakini kuna mambo ambyo sijayaelewa sana kutokana na jamii yetu waisilamu