Asalam aleikum ndugu katika imani natafta clip ya shekh. Shaffi ile akiwa kwa mjadala akitoa thibitisho ya mitumi kua waisilamu kutoka Adam mpaka Mtume Muhammad shukran!
Nawakubali Sana ndgu zangu ktk iman Sule Shafii na Mazinge Mungu azidi kuwapa Elim ili muweze kuwaondoa watu ktk kiza Mungu awalipe kila lililo la kheli kazi ya daawa ngum naijua
Muhsin Yahaya hawa wako gizani alafu wanajifanya wanaona lkn Nuru wanaipinga na msamaha unapatikana si kwa njia nyingine yoyote ispokua kwa DAMU ya YESU
MILLARD AYO THE AMAZING WORLD wanaakili sana wakristo ndiomana wasiona uhakika na mambo yao wanahangaikia mambo ya wakristo mchanakutwa na usikukucha,maana mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe,hata kitabu kinachosomwa sana na kujadiliwa hapo ni cha wacristo kinacho tumika kanisani
Asalam aleikum ndugu katika imani natafta clip ya shekh. Shaffi ile akiwa kwa mjadala akitoa thibitisho ya mitumi kua waisilamu kutoka Adam mpaka Mtume Muhammad shukran!
pongezi sheikh Mazinge kwa kuilimisha ummah.
Siku akiondoka Dr. Sule na Mazinge dunian ntalia sana.
Hawa Allah kawapa kipawa cha elimu
Hakika, allah awadumishe milele inshaallah
Mashaallah M, mungu atawalipa inshaallah.
Pamoja sana tupo waumi wake mtume muhmad
Nawakubali Sana ndgu zangu ktk iman Sule Shafii na Mazinge Mungu azidi kuwapa Elim ili muweze kuwaondoa watu ktk kiza Mungu awalipe kila lililo la kheli kazi ya daawa ngum naijua
Muhsin Yahaya hawa wako gizani alafu wanajifanya wanaona lkn Nuru wanaipinga na msamaha unapatikana si kwa njia nyingine yoyote ispokua kwa DAMU ya YESU
sule,mazinge,shafii Allah atawalinda Inshaallah
maashallah mashekh wetyu
Amiin yaarab sahihi
Maashallah mungu awahifhadhi mashekhe wetu lnn sha Allah
Amiin yaarab
Msemakweli wemwalimu mkweli barikiwa
MashaaAllah tabarakallah 🇧🇭🇧🇭🙏
namuona Brother Yangu #Ally_Shantry Kokote Ulipo Bro nakutafuta Sana
safi
👍👍👍👍
kinachotafutwa ni ushindi wa maneno lkn huwezi kushindanisha uzima na mauti hapo kuna Nuru na Giza ukweli upo kwenye kitabu kinacho somwa sana hapo
Muidini yuko wapi siku hizi
doctor Sule masha Allah
Amantu bilash
Shekh sule mwenyezimungu AKUJAALIE UMRI MREFU SHEKH SULEIMAN
Amiin yaarab
bigup for all
mazinge hakika wewe mjumbe wetu
swadakta
mh duh wauwaji wakubwa ninyi yan mmuhukumu mtu wakt yy mung ndiye akumu duh yan kwahr ata mtoto awez kusilim
chrispini mpepo Mimi namshukuru MUNGU kwa kunitoa huko na kumfuata kristo nina amani Sana moyoni mwangu 🙏🙏🙏 BWANA apewe sifa
@@millicentmadamyaya1608 Na sheria za Nchi zinazo hukumu kunyonga mtu hadi kufa hapo vipi?
jamaa kachoka kakabwa vibaya
Akil za wakiristo bana
MILLARD AYO THE AMAZING WORLD wanaakili sana wakristo ndiomana wasiona uhakika na mambo yao wanahangaikia mambo ya wakristo mchanakutwa na usikukucha,maana mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe,hata kitabu kinachosomwa sana na kujadiliwa hapo ni cha wacristo kinacho tumika kanisani
swadakta
Pamoja sana tupo waumi wake mtume muhmad
Mimi ni mpya ndani ya dini niko na mwaka lakini kuna mambo ambyo sijayaelewa sana kutokana na jamii yetu waisilamu