GB 64 AWAKA WANAOMUITA CHAWA, SIWEZI KUBADILIKA, NIPO TAYARI KWAAJILI YA SIMBA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
  • Simba

ความคิดเห็น • 16

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 4 หลายเดือนก่อน +4

    Kwer kabisa gb 64 mgunda amebadirisha Tim walau kidogo lakin tunacho kiomba usajili mzur sii sio wakupereka tripu Moja kereji tripu Moja barabaran tumechoka

  • @beatricembunda6168
    @beatricembunda6168 4 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana GB 64 Mungu akulinde endelea kutoa madini mwanangu.

  • @edsonmwakyusa2834
    @edsonmwakyusa2834 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mambo j b 64 unafanya kazi nzuri

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi kama shabiki wa Simba nashauri Karia akimaliza muda wake ndani ya TFF tumpe uongozi ndani ya Simba. Karia ni kiongozi mwenye maono na bahati nzuri ni mnyama. Tuwapige chini akina Mangungu wana roho ya umasikini na ufukara. Tangu walipoingia Simba kila uchwao club inadidimia.

  • @abuumanyanya7840
    @abuumanyanya7840 4 หลายเดือนก่อน

    GB washauri viongozi wamuangalie MAROUF CHAKEY wa IHEFU yule zaidi ya CHAMA zaidi ya Pacome, naomba jaribu kumfatilia umuone alf utaniambia yule atatusaidia sana yule winga anacheza, namba 10 anacheza vizuri sanaa,

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 4 หลายเดือนก่อน +1

    64 GB on fire
    .👍👍👍

  • @awamiabbas222
    @awamiabbas222 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu jamaa anajiita siyo chawa lakin ukisikiliza vzuri maneno yake kuna uchawa kwa baadhi ya watu

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo lipo kwa viongozi ,kuanzia kwa moo mpaka kwakina mangungu na tray agen

  • @DaudiMuya-jx3rg
    @DaudiMuya-jx3rg 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wakati yanga wanaingia fainal karia alikua namba ngap pale yanga

    • @TamimuBewa
      @TamimuBewa 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe mtoa comment huna akili

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 4 หลายเดือนก่อน

    Una uchawa ndan yako..nlkua nakukubal,skuiz unaongelea watu sio mpira

  • @HusseinSheshe
    @HusseinSheshe 3 หลายเดือนก่อน

    Upo vzur gb 64

  • @VenanceNtakabile
    @VenanceNtakabile 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo jibii aache maneno ya kijinga aachanene Na Simba Mimi Niko aierpot ya zamani sisisi sio machawa yeye ndiyo unayesoma meseji zetu mwambieni huyo

  • @badendavid8456
    @badendavid8456 4 หลายเดือนก่อน

    Tupe namba

  • @TitoJeremia-g1t
    @TitoJeremia-g1t 4 หลายเดือนก่อน +1

    Gbnitafute nataka nambayako

  • @allysaidlyambange4500
    @allysaidlyambange4500 4 หลายเดือนก่อน

    Tuambie wewe karia vs manara = ? HASIRA HASARA