Kwer kabisa gb 64 mgunda amebadirisha Tim walau kidogo lakin tunacho kiomba usajili mzur sii sio wakupereka tripu Moja kereji tripu Moja barabaran tumechoka
Mimi kama shabiki wa Simba nashauri Karia akimaliza muda wake ndani ya TFF tumpe uongozi ndani ya Simba. Karia ni kiongozi mwenye maono na bahati nzuri ni mnyama. Tuwapige chini akina Mangungu wana roho ya umasikini na ufukara. Tangu walipoingia Simba kila uchwao club inadidimia.
GB washauri viongozi wamuangalie MAROUF CHAKEY wa IHEFU yule zaidi ya CHAMA zaidi ya Pacome, naomba jaribu kumfatilia umuone alf utaniambia yule atatusaidia sana yule winga anacheza, namba 10 anacheza vizuri sanaa,
Kwer kabisa gb 64 mgunda amebadirisha Tim walau kidogo lakin tunacho kiomba usajili mzur sii sio wakupereka tripu Moja kereji tripu Moja barabaran tumechoka
Safi sana GB 64 Mungu akulinde endelea kutoa madini mwanangu.
Mambo j b 64 unafanya kazi nzuri
Mimi kama shabiki wa Simba nashauri Karia akimaliza muda wake ndani ya TFF tumpe uongozi ndani ya Simba. Karia ni kiongozi mwenye maono na bahati nzuri ni mnyama. Tuwapige chini akina Mangungu wana roho ya umasikini na ufukara. Tangu walipoingia Simba kila uchwao club inadidimia.
GB washauri viongozi wamuangalie MAROUF CHAKEY wa IHEFU yule zaidi ya CHAMA zaidi ya Pacome, naomba jaribu kumfatilia umuone alf utaniambia yule atatusaidia sana yule winga anacheza, namba 10 anacheza vizuri sanaa,
64 GB on fire
.👍👍👍
Huyu jamaa anajiita siyo chawa lakin ukisikiliza vzuri maneno yake kuna uchawa kwa baadhi ya watu
Tatizo lipo kwa viongozi ,kuanzia kwa moo mpaka kwakina mangungu na tray agen
Wakati yanga wanaingia fainal karia alikua namba ngap pale yanga
Wewe mtoa comment huna akili
Una uchawa ndan yako..nlkua nakukubal,skuiz unaongelea watu sio mpira
Upo vzur gb 64
Huyo jibii aache maneno ya kijinga aachanene Na Simba Mimi Niko aierpot ya zamani sisisi sio machawa yeye ndiyo unayesoma meseji zetu mwambieni huyo
Tupe namba
Gbnitafute nataka nambayako
Tuambie wewe karia vs manara = ? HASIRA HASARA