2024 still listening to this classic, huwez amini hii ngoma nliimudu kiasi kwamba ikawa kitega uchumi mtaani kama vile m ndo dogo mfaume😂😂😂rest in peace mfaume😢😢😢
Kwel jenifa haichuji tuliipendaga alikuwaga jiran yetu maskin da inasikitisha mfaume alale Pema pepon kipind icho ndo alikuwa Anaimba imba na brother yangu sema yeye ndo akawa hajatoka bado kama yangu alikuwa anavuma kitaa walikuwa wanamwitaga sana kwenye makepu sema yeye kaka yangu alikuwa Anaimba na kulapu
Nasikia msiba wake alipataga watu wengi lazima si alishakuwa star. Kwenye video yake kwanza mwenyew alitakaga tuwepo mimi na mtoto wa mama yangu mkubwa alimtumaga kaka mmoja aje kutuambiaga
nyimbo hii ilikuwa ikipigwa katiak redio au TV nyumba nzima wananiita sababu nilikuwa ninaipenda sana yote sababu tulikuwa tuna duka ja Jirani yetu alikuwa anazinguwa sana kwa kukopa
Wanao cheki huu wimbo mwaka huu 2024 gonga like twende sawa
apooo
Any one still vibing in 2024 with this track gather here😊
❤😂tuko
2024 still listening to this classic, huwez amini hii ngoma nliimudu kiasi kwamba ikawa kitega uchumi mtaani kama vile m ndo dogo mfaume😂😂😂rest in peace mfaume😢😢😢
Ambao tuna tazama huu wimbo 2024 tujuane 🙏😪😪😪
Nimefika hapa 2023 kwa sasa natizama nikiwa usa 🇺🇸 ngonga like mwaka 2023 : to 2024.. R.I.P… Huu wimbo huwa una nikumbusha mbali sana ..
Hi
Wapi uko
@jemjay1011 wapi uko kkm? Duka Mkulima na wanawe?
Kama unaskiza 2020 weka like twende sawa. RIP Dogo Mfaume
RIP Dogo mfaume
R.I.P
Dah kwlei kizr hazidumu jaman😭😭😭😭
Noma
Sure 2020 Namtambua Sana Kaka Mfaume Rest in Peace
2024 I am still listening to kazi ya Dukani
From Mozambique.... Leo ni tareh 07.09.2020.... R.I.P my BrO Mfaume... Kama umeuzunika na kifo cha kipenz chetu like apa..
Kule Mozambique kuna watu uzungumza Swahili language?
Ee mungu mpe pumzi ya milele mwondolee adhabu ya kabur kipenz chetu "Amina"
Amiin
Sikuwahilijua kama huyu kaka aliaga dunia ,Rip Dogo
Nakumbuka kweli utoto yangu Niko mu Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩lakini napenda Sana wa tanzania
kazi yangu ya Dukani ina niweka matatani 2020. RIP DG MFAUME maneno mazuri sana ktk huu mwimbo umetuachiaaa
All the way from MOI UNIVERSITY main campus Kenya,,,,,huu wimbo ulinibamba nkiwa mtoi,,,, kumbe kaka aliaga 😭 imagine ndo najua Leo 21/10/2022 RIP😭
Kama ww ni mhenga kama mm ndo tunaielewa hii ngoma 2024
R.I.P. Mungu akulaze mahali pema peponi amen wewe umetangulia sisi tupo nyuma yako
Mungu akupe kauli thabiti dogo mfaume R l p 😭😭😍😍
Pumzika Kwa Amani Dogo mfaume.Hakika ulikuwa unajua
Hizi ndo nyimbo za mafunzo sio mijimbo yetu ya mapenzi.rip mfaume
Wanaoangalia TWENTY TWENTY TUJUANE
2020 am still listening these delicious message from dogo mfaume...........rest easy brooh
Am planning to open ashop soon ,thiz will be my song evrymorning
Wimbo hauchuji Mpaka sasa 2024 bado upo ok
15/10/2023 kama na ww unasikiliza nipe like zangu
2024 still here 🥹🙌🏾🙌🏾🔥🔥🔥❤❤
Hii nyimbo kwangu haitakuja kuchuja 🙉🙉 R.I.P 😢
Kwel jenifa haichuji tuliipendaga alikuwaga jiran yetu maskin da inasikitisha mfaume alale Pema pepon kipind icho ndo alikuwa Anaimba imba na brother yangu sema yeye ndo akawa hajatoka bado kama yangu alikuwa anavuma kitaa walikuwa wanamwitaga sana kwenye makepu sema yeye kaka yangu alikuwa Anaimba na kulapu
Nasikia msiba wake alipataga watu wengi lazima si alishakuwa star. Kwenye video yake kwanza mwenyew alitakaga tuwepo mimi na mtoto wa mama yangu mkubwa alimtumaga kaka mmoja aje kutuambiaga
Nyimbo zake zote nzur hivi hii si ndo walikuwa wanaiwekaga kwenye kipind cha zembwela ndo ilizidi vuma kwenye kipind cha oswazi
Enzi izo alikuwaga mzur sana alikuwaga Ana mwil kabla hajaanza imba
nyimbo hii ilikuwa ikipigwa katiak redio au TV nyumba nzima wananiita sababu nilikuwa ninaipenda sana yote sababu tulikuwa tuna duka ja Jirani yetu alikuwa anazinguwa sana kwa kukopa
😂 aisee
moja ya nyimbo zilisumbua sana hisia ya mapenzi kwenye misha yangu ya kupenda huu wimbo kuna watu walidhani nimemuimbia huyo Regina duuh
2024 February, rip dogo mfaume😢
Asante Dogo mfaume, ulitutendea haki hapa.
Za kitambo zinabamba sana
Nipo apa 2020, hii nyimbo itaishi milele, lala salama dogo mfaume🙏
Song la maana sana ❤ 2024
21/08/2023 Monday, the song is very classic and still the best. Rest In Peace dogo mfaume 🙏🏽
R i p dogo mfaume😭😭
Tunaongalia ngoma hii 2020
gonga like apa
Nani asikiza 22/10/2021 kam mm gonga like twende sawa daaah Allah akurehem kaka umetuachia maneno mazur Kazi yangu ya dukan ina niweka matatani dahh
Maumivu ya moyo hayapoi kwa ganzi..Rest in Peace Brthr!
What a song,what a song this is.Waaaaat!🙏🙏🙏👊👊
Punzika kwa amani br wimbo huu utaendelea kua darasa kwetu
Hii wimbo inanikumbuza mbali sana nikija mjini and I was struggling, inafanya natoa machozi
Duuh siamini km umetutoka dogo .....pumzika kwa amani.....
It's 2022 but the message I still loud and clear. R.I.P Mfaume
Nyimbo ina ujumbe mzuuri hasa kwa vjana....wawe makini na life
Nani anacheki hii song 2017 Bonge la nyimbo
MejA kunta pipi
2020 sasa
R I P dogo mfaume unanikumbusha mbali sana
Haipingwi kitambo xanaaa nakubalii
R.I.P
R.I.P. broo,nimeona nisijizuie nije hapa baada yakukumis mnooooo,😭😭😭2023
2020 mpo tunaokubal ngoma hii mikonojuu
2022 still listening to this
I loved this song and still loving it
2019 napenda sana
2021 who still listen this one like me
Rest easy dogo mafume
Allah akueke mahal pema pepon...mbele yako nyuma yetu
2023 Kazi yangu ya Dukani🔥🔥🔥
R.I.P bro 2023 Bado tunakukumbuka
masikini kaka yangu pumuzika kwa amani tulikupenda lakini mungu kakupenda zaidi
Jimson msunza from dodoma pamoja sana2024
pumzika kwa amani dogo mfaume mbele yako nyuma yetu R. I. P
Rest in peace broo nausikiliza mwaka 2023 mwezi WA 10
Jaman nyimbo zili kuwa zaman dah saiz matus tu😥😥
Haitakuja kuchuja hata kwa bahati mbaya kakaangu mwenyezi mungu akupe wepesi huko uriko nass niwaja wakesho
2023 stil enjoy
EATV walitakiwa kumlipa huyu jamaa walitumia sana beat yake
Allah akupunguzie adhabu ya kabir dogo mfaume
We unajua anaadhibiwa?? Usimhukumu mtu, sema Allaah akurehemu siyo ampunguzie adhabu
R.I.P Kaka Ila Nyimbo zako bado zinatufunza 2019
2022 bad naikumbuk na kuiangalia vp wapo Kama mm R.I.P dog mfaume
innalillah waina ilaih rajiuna, mbele yako nyuma yetu
Nilikuwa mdogo xan
2023 twende sawaaa
Moja ya kazi bola mika yote 2023
Rest easy brother... Ur memory still alive
R I P bro nice song
omar, dogo mfaume,pancho latino mungu awakutanishe 😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔
Love from Nairobi Kenya..13/8/2019
Inyimbo haiwezi potea nev
Allah akupunguzie adhabu ya kaburi kaka mfaume
Usiseme Allaah akupunguzie adhabu za kaburini, ina mana we unajua yupo anaadhibiwa?
Ukiendekeza chupi utavuna ngoma
2022 still listening
rip dogo mfaume sisi wote ni wa maulana na kwake tutarejea
2022 March Mwisho wetu daima ni ulele Jela, taasis au kifo. RIP bro
niko hapa Tar 08.01.2021
2021 still on the hit RIP.
2023/9 still watching
2022 still listen to the music
Watakaokuja kusoma ujumbe huu tarehe 30/11/2099.
R. I. P dogo mfaume
2022 still enjoying the music 🎶 😌 🕺🕺🕺🕺
Who's here 2022 gibe me likes,,,,
Au nifuge nguruweeee?!!🙏🙏🙏
Tia like kama unaskiliza 2023 R.i.p kakaaa
2022 kuna mtu yupo hapa
Sana tu salam toka kenya
2023Yaan wateja leo wamenivuruga imebid nijilete mwenyewee humu yaan hawatak kunilipa majiran ndo kabisaaa ndugu nao wanataka vitu bure
2021 non stop old is gold💪💪💪💪🤘
Nimekumbuka mbalii hadikufika mwakahuuu 2022
jaman mtu akishikwana unga anyongwe jaman rip dogo mfaume
2023 like here ❤❤❤ R.I.P
2021 k ma unaskiliza hii gongs like
pumzika kwa amani dogo Mfaume
RIP DOGO MFAUME spt24,2022 I am still listen
Pumuzika kwa amani😭😭😭
amefariki so nimependa kumuona enzi za uhai wake
daa,kifo bn km utani,Pumzikaa xalama nasi tuko nyuma ykooo