Dogo Mfaume - Kazi Ya Dukani (Official Video)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.ย. 2009
  • East African Music
  • เพลง

ความคิดเห็น • 374

  • @gwasadisimasi6422
    @gwasadisimasi6422 5 หลายเดือนก่อน +97

    Wanao cheki huu wimbo mwaka huu 2024 gonga like twende sawa

    • @MWENETRICKS
      @MWENETRICKS 8 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      apooo

  • @emanueldanstan8904
    @emanueldanstan8904 5 หลายเดือนก่อน +61

    Any one still vibing in 2024 with this track gather here😊

  • @swaleheyusuph1991
    @swaleheyusuph1991 4 หลายเดือนก่อน +19

    2024 still listening to this classic, huwez amini hii ngoma nliimudu kiasi kwamba ikawa kitega uchumi mtaani kama vile m ndo dogo mfaume😂😂😂rest in peace mfaume😢😢😢

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk หลายเดือนก่อน +5

    Ambao tuna tazama huu wimbo 2024 tujuane 🙏😪😪😪

  • @jemjay1011
    @jemjay1011 ปีที่แล้ว +24

    Nimefika hapa 2023 kwa sasa natizama nikiwa usa 🇺🇸 ngonga like mwaka 2023 : to 2024.. R.I.P… Huu wimbo huwa una nikumbusha mbali sana ..

    • @mtumwajuma3906
      @mtumwajuma3906 ปีที่แล้ว +1

      Hi

    • @mtumwajuma3906
      @mtumwajuma3906 ปีที่แล้ว +1

      Wapi uko

    • @PizzoBeatz
      @PizzoBeatz 5 หลายเดือนก่อน +1

      @jemjay1011 wapi uko kkm? Duka Mkulima na wanawe?

  • @kaulimbiu181
    @kaulimbiu181 4 ปีที่แล้ว +138

    Kama unaskiza 2020 weka like twende sawa. RIP Dogo Mfaume

    • @adamshoo8232
      @adamshoo8232 4 ปีที่แล้ว

      RIP Dogo mfaume

    • @fatumaally3444
      @fatumaally3444 4 ปีที่แล้ว +2

      R.I.P

    • @saviomgaya5381
      @saviomgaya5381 3 ปีที่แล้ว +2

      Dah kwlei kizr hazidumu jaman😭😭😭😭

    • @daisyonbtd7892
      @daisyonbtd7892 3 ปีที่แล้ว +1

      Noma

    •  3 ปีที่แล้ว

      Sure 2020 Namtambua Sana Kaka Mfaume Rest in Peace

  • @mbasabillz7715
    @mbasabillz7715 2 หลายเดือนก่อน +2

    2024 I am still listening to kazi ya Dukani

  • @drraizkidume867
    @drraizkidume867 3 ปีที่แล้ว +63

    From Mozambique.... Leo ni tareh 07.09.2020.... R.I.P my BrO Mfaume... Kama umeuzunika na kifo cha kipenz chetu like apa..

    • @kiplarono8515
      @kiplarono8515 8 หลายเดือนก่อน

      Kule Mozambique kuna watu uzungumza Swahili language?

  • @mwaminirwanda6120
    @mwaminirwanda6120 2 ปีที่แล้ว +7

    Ee mungu mpe pumzi ya milele mwondolee adhabu ya kabur kipenz chetu "Amina"

    • @MADAMMACKTV
      @MADAMMACKTV 6 หลายเดือนก่อน

      Amiin

  • @kiplarono8515
    @kiplarono8515 2 ปีที่แล้ว +15

    Sikuwahilijua kama huyu kaka aliaga dunia ,Rip Dogo

  • @diakissd8353
    @diakissd8353 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nakumbuka kweli utoto yangu Niko mu Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩lakini napenda Sana wa tanzania

  • @lighnessmrisho1525
    @lighnessmrisho1525 4 ปีที่แล้ว +25

    kazi yangu ya Dukani ina niweka matatani 2020. RIP DG MFAUME maneno mazuri sana ktk huu mwimbo umetuachiaaa

  • @princemadramaz-254
    @princemadramaz-254 ปีที่แล้ว +7

    All the way from MOI UNIVERSITY main campus Kenya,,,,,huu wimbo ulinibamba nkiwa mtoi,,,, kumbe kaka aliaga 😭 imagine ndo najua Leo 21/10/2022 RIP😭

  • @janneferisaya83
    @janneferisaya83 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kama ww ni mhenga kama mm ndo tunaielewa hii ngoma 2024

  • @wemamtotochanelyusuphomari8262
    @wemamtotochanelyusuphomari8262 7 ปีที่แล้ว +44

    R.I.P. Mungu akulaze mahali pema peponi amen wewe umetangulia sisi tupo nyuma yako

  • @agneskandoro6629
    @agneskandoro6629 3 ปีที่แล้ว +9

    Mungu akupe kauli thabiti dogo mfaume R l p 😭😭😍😍

  • @ShijaHumbi
    @ShijaHumbi 12 วันที่ผ่านมา

    Pumzika Kwa Amani Dogo mfaume.Hakika ulikuwa unajua

  • @JoyceGasper-zv5ld
    @JoyceGasper-zv5ld 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hizi ndo nyimbo za mafunzo sio mijimbo yetu ya mapenzi.rip mfaume

  • @mohamediramadhani3790
    @mohamediramadhani3790 4 ปีที่แล้ว +30

    Wanaoangalia TWENTY TWENTY TUJUANE

  • @khamisishabani3155
    @khamisishabani3155 4 ปีที่แล้ว +37

    2020 am still listening these delicious message from dogo mfaume...........rest easy brooh

  • @fatumaali2493
    @fatumaali2493 3 หลายเดือนก่อน +1

    Am planning to open ashop soon ,thiz will be my song evrymorning

  • @chandeyusufu9570
    @chandeyusufu9570 หลายเดือนก่อน

    Wimbo hauchuji Mpaka sasa 2024 bado upo ok

  • @user-hx4wi6xt8j
    @user-hx4wi6xt8j 9 หลายเดือนก่อน +6

    15/10/2023 kama na ww unasikiliza nipe like zangu

  • @elizabethdaniel6427
    @elizabethdaniel6427 4 หลายเดือนก่อน +2

    2024 still here 🥹🙌🏾🙌🏾🔥🔥🔥❤❤

  • @jennifernduka720
    @jennifernduka720 4 ปีที่แล้ว +15

    Hii nyimbo kwangu haitakuja kuchuja 🙉🙉 R.I.P 😢

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว

      Kwel jenifa haichuji tuliipendaga alikuwaga jiran yetu maskin da inasikitisha mfaume alale Pema pepon kipind icho ndo alikuwa Anaimba imba na brother yangu sema yeye ndo akawa hajatoka bado kama yangu alikuwa anavuma kitaa walikuwa wanamwitaga sana kwenye makepu sema yeye kaka yangu alikuwa Anaimba na kulapu

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว +1

      Nasikia msiba wake alipataga watu wengi lazima si alishakuwa star. Kwenye video yake kwanza mwenyew alitakaga tuwepo mimi na mtoto wa mama yangu mkubwa alimtumaga kaka mmoja aje kutuambiaga

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว

      Nyimbo zake zote nzur hivi hii si ndo walikuwa wanaiwekaga kwenye kipind cha zembwela ndo ilizidi vuma kwenye kipind cha oswazi

    • @hatamimnimempendabulejaman1596
      @hatamimnimempendabulejaman1596 3 ปีที่แล้ว

      Enzi izo alikuwaga mzur sana alikuwaga Ana mwil kabla hajaanza imba

  • @BTVBATTAWY
    @BTVBATTAWY 10 หลายเดือนก่อน +2

    nyimbo hii ilikuwa ikipigwa katiak redio au TV nyumba nzima wananiita sababu nilikuwa ninaipenda sana yote sababu tulikuwa tuna duka ja Jirani yetu alikuwa anazinguwa sana kwa kukopa

    • @rayshark1653
      @rayshark1653 9 หลายเดือนก่อน

      😂 aisee

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 ปีที่แล้ว +3

    moja ya nyimbo zilisumbua sana hisia ya mapenzi kwenye misha yangu ya kupenda huu wimbo kuna watu walidhani nimemuimbia huyo Regina duuh

  • @UziVert_SA
    @UziVert_SA 5 หลายเดือนก่อน +2

    2024 February, rip dogo mfaume😢

  • @kidumumungia1475
    @kidumumungia1475 11 หลายเดือนก่อน +2

    Asante Dogo mfaume, ulitutendea haki hapa.

  • @fatumayenzela6878
    @fatumayenzela6878 9 หลายเดือนก่อน +3

    Za kitambo zinabamba sana

  • @tonnypaul3802
    @tonnypaul3802 3 ปีที่แล้ว +2

    Nipo apa 2020, hii nyimbo itaishi milele, lala salama dogo mfaume🙏

  • @mohamedkakuze8255
    @mohamedkakuze8255 หลายเดือนก่อน +1

    Song la maana sana ❤ 2024

  • @patrickmassawe8184
    @patrickmassawe8184 11 หลายเดือนก่อน +20

    21/08/2023 Monday, the song is very classic and still the best. Rest In Peace dogo mfaume 🙏🏽

  • @faudhiarashidi3657
    @faudhiarashidi3657 3 ปีที่แล้ว +7

    R i p dogo mfaume😭😭
    Tunaongalia ngoma hii 2020
    gonga like apa

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 2 ปีที่แล้ว +1

    Nani asikiza 22/10/2021 kam mm gonga like twende sawa daaah Allah akurehem kaka umetuachia maneno mazur Kazi yangu ya dukan ina niweka matatani dahh

  • @erickmloge1052
    @erickmloge1052 6 ปีที่แล้ว +9

    Maumivu ya moyo hayapoi kwa ganzi..Rest in Peace Brthr!

  • @mosesosodhi8135
    @mosesosodhi8135 2 ปีที่แล้ว +5

    What a song,what a song this is.Waaaaat!🙏🙏🙏👊👊

  • @emilianmnyongo2408
    @emilianmnyongo2408 ปีที่แล้ว +3

    Punzika kwa amani br wimbo huu utaendelea kua darasa kwetu

  • @haronbakora7156
    @haronbakora7156 ปีที่แล้ว +2

    Hii wimbo inanikumbuza mbali sana nikija mjini and I was struggling, inafanya natoa machozi

  • @hannansdeliciousfood4261
    @hannansdeliciousfood4261 3 ปีที่แล้ว +1

    Duuh siamini km umetutoka dogo .....pumzika kwa amani.....

  • @shakombomwangauri633
    @shakombomwangauri633 2 ปีที่แล้ว +16

    It's 2022 but the message I still loud and clear. R.I.P Mfaume

  • @hannansdeliciousfood4261
    @hannansdeliciousfood4261 3 ปีที่แล้ว +1

    Nyimbo ina ujumbe mzuuri hasa kwa vjana....wawe makini na life

  • @erickhaule8680
    @erickhaule8680 7 ปีที่แล้ว +44

    Nani anacheki hii song 2017 Bonge la nyimbo

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu7709 2 ปีที่แล้ว +5

    R I P dogo mfaume unanikumbusha mbali sana

  • @athumangodson8462
    @athumangodson8462 3 ปีที่แล้ว +3

    Haipingwi kitambo xanaaa nakubalii
    R.I.P

  • @keydeemasinga6986
    @keydeemasinga6986 ปีที่แล้ว +2

    R.I.P. broo,nimeona nisijizuie nije hapa baada yakukumis mnooooo,😭😭😭2023

  • @alexkelvin2427
    @alexkelvin2427 2 ปีที่แล้ว +4

    2020 mpo tunaokubal ngoma hii mikonojuu

  • @miladayu
    @miladayu 2 ปีที่แล้ว +5

    2022 still listening to this

  • @evelynodhiambo2818
    @evelynodhiambo2818 7 ปีที่แล้ว +11

    I loved this song and still loving it

  • @idisoncavan7800
    @idisoncavan7800 5 ปีที่แล้ว +15

    2019 napenda sana

  • @recardoroman2192
    @recardoroman2192 2 ปีที่แล้ว +5

    2021 who still listen this one like me
    Rest easy dogo mafume

  • @thumamohamed7946
    @thumamohamed7946 7 ปีที่แล้ว +1

    Allah akueke mahal pema pepon...mbele yako nyuma yetu

  • @rnbtalburnke3078
    @rnbtalburnke3078 ปีที่แล้ว +3

    2023 Kazi yangu ya Dukani🔥🔥🔥

  • @mctallc-key2843
    @mctallc-key2843 ปีที่แล้ว +3

    R.I.P bro 2023 Bado tunakukumbuka

  • @minzamabula8552
    @minzamabula8552 7 ปีที่แล้ว +1

    masikini kaka yangu pumuzika kwa amani tulikupenda lakini mungu kakupenda zaidi

  • @JumaAbu-yv3kv
    @JumaAbu-yv3kv ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Jimson msunza from dodoma pamoja sana2024

  • @abdullmajengo260
    @abdullmajengo260 7 ปีที่แล้ว +6

    pumzika kwa amani dogo mfaume mbele yako nyuma yetu R. I. P

  • @TifaaIdda-le8ou
    @TifaaIdda-le8ou 9 หลายเดือนก่อน +3

    Rest in peace broo nausikiliza mwaka 2023 mwezi WA 10

  • @kabintmpase1544
    @kabintmpase1544 3 ปีที่แล้ว +2

    Jaman nyimbo zili kuwa zaman dah saiz matus tu😥😥

  • @shabanmanyama1694
    @shabanmanyama1694 4 ปีที่แล้ว

    Haitakuja kuchuja hata kwa bahati mbaya kakaangu mwenyezi mungu akupe wepesi huko uriko nass niwaja wakesho

  • @fasamifaudy6058
    @fasamifaudy6058 ปีที่แล้ว +2

    2023 stil enjoy

  • @SuleiyahIbrahim-gc4lw
    @SuleiyahIbrahim-gc4lw หลายเดือนก่อน

    EATV walitakiwa kumlipa huyu jamaa walitumia sana beat yake

  • @hawaamkubwa2020
    @hawaamkubwa2020 5 ปีที่แล้ว +1

    Allah akupunguzie adhabu ya kabir dogo mfaume

    • @abdullihsomani8956
      @abdullihsomani8956 4 ปีที่แล้ว

      We unajua anaadhibiwa?? Usimhukumu mtu, sema Allaah akurehemu siyo ampunguzie adhabu

  • @leahngweta8219
    @leahngweta8219 5 ปีที่แล้ว +8

    R.I.P Kaka Ila Nyimbo zako bado zinatufunza 2019

  • @saidynamkanda746
    @saidynamkanda746 ปีที่แล้ว +1

    2022 bad naikumbuk na kuiangalia vp wapo Kama mm R.I.P dog mfaume

  • @saphiawazir8001
    @saphiawazir8001 4 ปีที่แล้ว +2

    innalillah waina ilaih rajiuna, mbele yako nyuma yetu

  • @HamiduKimbega
    @HamiduKimbega ปีที่แล้ว +1

    Nilikuwa mdogo xan

  • @Jumaaalii-ju9hk
    @Jumaaalii-ju9hk ปีที่แล้ว +1

    2023 twende sawaaa

  • @azizi-ud3sj
    @azizi-ud3sj ปีที่แล้ว +1

    Moja ya kazi bola mika yote 2023

  • @stanleyraphael714
    @stanleyraphael714 2 หลายเดือนก่อน

    Rest easy brother... Ur memory still alive

  • @ismahanymahamoud9721
    @ismahanymahamoud9721 ปีที่แล้ว +2

    R I P bro nice song

  • @elizachota6361
    @elizachota6361 5 ปีที่แล้ว +7

    omar, dogo mfaume,pancho latino mungu awakutanishe 😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔

  • @emmanuelkafuu9220
    @emmanuelkafuu9220 5 ปีที่แล้ว +6

    Love from Nairobi Kenya..13/8/2019

  • @rahmaissa9914
    @rahmaissa9914 6 ปีที่แล้ว +3

    Allah akupunguzie adhabu ya kaburi kaka mfaume

    • @abdullihsomani8956
      @abdullihsomani8956 4 ปีที่แล้ว

      Usiseme Allaah akupunguzie adhabu za kaburini, ina mana we unajua yupo anaadhibiwa?

  • @mejasonpeter1677
    @mejasonpeter1677 ปีที่แล้ว +1

    Ukiendekeza chupi utavuna ngoma

  • @binhashimoffcial6084
    @binhashimoffcial6084 2 ปีที่แล้ว +2

    2022 still listening

  • @Chris-cb2dj
    @Chris-cb2dj 7 ปีที่แล้ว +1

    rip dogo mfaume sisi wote ni wa maulana na kwake tutarejea

  • @seinamador5474
    @seinamador5474 2 ปีที่แล้ว +2

    2022 March Mwisho wetu daima ni ulele Jela, taasis au kifo. RIP bro

  • @rogershamisi5269
    @rogershamisi5269 3 ปีที่แล้ว +2

    niko hapa Tar 08.01.2021

  • @georgekoech8640
    @georgekoech8640 3 ปีที่แล้ว +7

    2021 still on the hit RIP.

  • @Muhamedwitty
    @Muhamedwitty 11 หลายเดือนก่อน +1

    2023/9 still watching

  • @madownloadionlinetv759
    @madownloadionlinetv759 ปีที่แล้ว +2

    2022 still listen to the music

  • @justineemanuel127
    @justineemanuel127 8 หลายเดือนก่อน

    Watakaokuja kusoma ujumbe huu tarehe 30/11/2099.

  • @linuskapinga6694
    @linuskapinga6694 7 ปีที่แล้ว +7

    R. I. P dogo mfaume

  • @franktiba1506
    @franktiba1506 2 ปีที่แล้ว +2

    2022 still enjoying the music 🎶 😌 🕺🕺🕺🕺

  • @nyukuriokuna9166
    @nyukuriokuna9166 ปีที่แล้ว +2

    Who's here 2022 gibe me likes,,,,

  • @VairethPonela
    @VairethPonela 4 หลายเดือนก่อน

    Au nifuge nguruweeee?!!🙏🙏🙏

  • @mkojanielectricalsolution1195
    @mkojanielectricalsolution1195 ปีที่แล้ว +1

    Tia like kama unaskiliza 2023 R.i.p kakaaa

  • @lameckginono4620
    @lameckginono4620 2 ปีที่แล้ว +1

    2022 kuna mtu yupo hapa

    • @skulfees5453
      @skulfees5453 ปีที่แล้ว

      Sana tu salam toka kenya

  • @kazkaz1943
    @kazkaz1943 11 หลายเดือนก่อน

    2023Yaan wateja leo wamenivuruga imebid nijilete mwenyewee humu yaan hawatak kunilipa majiran ndo kabisaaa ndugu nao wanataka vitu bure

  • @naijapatson6774
    @naijapatson6774 2 ปีที่แล้ว +3

    2021 non stop old is gold💪💪💪💪🤘

  • @tonymwendo9892
    @tonymwendo9892 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimekumbuka mbalii hadikufika mwakahuuu 2022

  • @rajabumlau5911
    @rajabumlau5911 6 ปีที่แล้ว +1

    jaman mtu akishikwana unga anyongwe jaman rip dogo mfaume

  • @godlistenzakayo9549
    @godlistenzakayo9549 ปีที่แล้ว +1

    2023 like here ❤❤❤ R.I.P

  • @omaralhaj1226
    @omaralhaj1226 3 ปีที่แล้ว +2

    2021 k ma unaskiliza hii gongs like

  • @papafikiri
    @papafikiri 7 ปีที่แล้ว +3

    pumzika kwa amani dogo Mfaume

  • @kiloposimba2012
    @kiloposimba2012 ปีที่แล้ว +3

    RIP DOGO MFAUME spt24,2022 I am still listen

  • @user-cd1yh8kn3n
    @user-cd1yh8kn3n 2 หลายเดือนก่อน

    Pumuzika kwa amani😭😭😭

  • @modesteshayo9812
    @modesteshayo9812 7 ปีที่แล้ว +3

    amefariki so nimependa kumuona enzi za uhai wake

  • @hassanabdul1260
    @hassanabdul1260 6 ปีที่แล้ว +1

    daa,kifo bn km utani,Pumzikaa xalama nasi tuko nyuma ykooo