Part 4: "Nisingekaza SENSEMA ingeuoteza Wimbo wangu/DIAMOND Alishauri hivi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 มิ.ย. 2024
- Mwanamuziki Lavalava amesema kuwa kama asingeachia wimbo mzuri basi angekutana na upepo wa Sensema ya Ravanny na Harmonize ambayo ingeweza kufunika wimbo wake mpya "MAJI"
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe TH-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
#Lavalava #rayvanny - บันเทิง
Mimi wa mwisho naombeni mkopo
Kuna bonge moja la mkopo hapa kwetu jalalani njoo uchukue
Rick, nimependa jinsi mlivyoweka hii intavyu kwenye vipande vipande. Kwa mtindo huu mtu anaangalia bila kuboweka. Hongereni sana
Inafaa ivi🎉🎉🎉🎉
Mm hua nakubali kazi za lava lava anajua sana ila nyota t
BtGang🔥🙌
Wakwanza naombeni like zangu 🎉
Wakwanza nini toa koment wakwanza upewe wewe ndio unazungumza
@@IsayaTarakwa
Ila Wew nisha kuelew bangi iz
Toka hapa ww paka omba pesa like zikusaidie nini
Lava boy unajua sanaa janja
Acha uongo dogo huna kolabo ya nje
Lava lava bora yangu mimi najua kuimba 😂
Lava lava ashakufa kimuziki
nenda ukam fufue bs
Embu tuambie lavalava Amekufilia wapi
kundu lako j
Mfufue yesu😂😂😂
Na mimi ndio nilie mtoa roho😂😂😂
WCB nisawa na jela tulia hapo chini king azidi kua king
😂😂😂 pole king mwisho kwa mama watoto Kenya ndyo King uyo ata Rwanda asikiki toba kweri king tunae 😅😅😅
Anasubiri mkataba uishe afanye mambo yake...hana hela za kulipia kuuvunja
Alafu oyo mdada mbona abadilishi hyo blauzi 😢😢
mamako j
😂😂😂Mnunulie
Sare ya ofisi,
Mi mwenyewe nilienda kuiskiza kwasababu aliichalenge na sensema ila bado kabisaaa, hajafanya kitu, that song is a traaash 🗑
Nobody listens to you mate 😅