Part 4: "Nisingekaza SENSEMA ingeuoteza Wimbo wangu/DIAMOND Alishauri hivi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 มิ.ย. 2024
  • Mwanamuziki Lavalava amesema kuwa kama asingeachia wimbo mzuri basi angekutana na upepo wa Sensema ya Ravanny na Harmonize ambayo ingeweza kufunika wimbo wake mpya "MAJI"
    _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe TH-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
    #Lavalava #rayvanny
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 28

  • @mohamediahmedi3361
    @mohamediahmedi3361 12 วันที่ผ่านมา +12

    Mimi wa mwisho naombeni mkopo

    • @Mjomba_Side
      @Mjomba_Side 12 วันที่ผ่านมา

      Kuna bonge moja la mkopo hapa kwetu jalalani njoo uchukue

  • @strong8534
    @strong8534 10 วันที่ผ่านมา +1

    Rick, nimependa jinsi mlivyoweka hii intavyu kwenye vipande vipande. Kwa mtindo huu mtu anaangalia bila kuboweka. Hongereni sana

    • @auntiemylee3157
      @auntiemylee3157 8 วันที่ผ่านมา

      Inafaa ivi🎉🎉🎉🎉

  • @hamidabdallah5841
    @hamidabdallah5841 9 วันที่ผ่านมา

    Mm hua nakubali kazi za lava lava anajua sana ila nyota t

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla 12 วันที่ผ่านมา +2

    BtGang🔥🙌

  • @HunchoQuavo-di4os
    @HunchoQuavo-di4os 13 วันที่ผ่านมา +6

    Wakwanza naombeni like zangu 🎉

    • @IsayaTarakwa
      @IsayaTarakwa 12 วันที่ผ่านมา

      Wakwanza nini toa koment wakwanza upewe wewe ndio unazungumza

    • @HunchoQuavo-di4os
      @HunchoQuavo-di4os 12 วันที่ผ่านมา

      @@IsayaTarakwa
      Ila Wew nisha kuelew bangi iz

    • @mohdmassoud3052
      @mohdmassoud3052 12 วันที่ผ่านมา +1

      Toka hapa ww paka omba pesa like zikusaidie nini

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 10 วันที่ผ่านมา

    Lava boy unajua sanaa janja

  • @Mizahh-ll5lu
    @Mizahh-ll5lu 10 วันที่ผ่านมา

    Acha uongo dogo huna kolabo ya nje

  • @DavidHokororo
    @DavidHokororo 12 วันที่ผ่านมา

    Lava lava bora yangu mimi najua kuimba 😂

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri 13 วันที่ผ่านมา +3

    Lava lava ashakufa kimuziki

    • @bizoboy1168
      @bizoboy1168 13 วันที่ผ่านมา +1

      nenda ukam fufue bs

    • @user-hd7vt8fk5t
      @user-hd7vt8fk5t 12 วันที่ผ่านมา

      Embu tuambie lavalava Amekufilia wapi

    • @IrfanIdriss
      @IrfanIdriss 12 วันที่ผ่านมา

      kundu lako j

    • @khalfannyanje8970
      @khalfannyanje8970 12 วันที่ผ่านมา

      Mfufue yesu😂😂😂

    • @babuwasa6122
      @babuwasa6122 11 วันที่ผ่านมา

      Na mimi ndio nilie mtoa roho😂😂😂

  • @Robinson24560
    @Robinson24560 11 วันที่ผ่านมา

    WCB nisawa na jela tulia hapo chini king azidi kua king

    • @FatumaShabani-mp9vt
      @FatumaShabani-mp9vt 9 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂 pole king mwisho kwa mama watoto Kenya ndyo King uyo ata Rwanda asikiki toba kweri king tunae 😅😅😅

    • @auntiemylee3157
      @auntiemylee3157 8 วันที่ผ่านมา

      Anasubiri mkataba uishe afanye mambo yake...hana hela za kulipia kuuvunja

  • @DavidHokororo
    @DavidHokororo 12 วันที่ผ่านมา

    Alafu oyo mdada mbona abadilishi hyo blauzi 😢😢

  • @mrsavage7603
    @mrsavage7603 12 วันที่ผ่านมา

    Mi mwenyewe nilienda kuiskiza kwasababu aliichalenge na sensema ila bado kabisaaa, hajafanya kitu, that song is a traaash 🗑

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 8 วันที่ผ่านมา

    Nobody listens to you mate 😅