MAKONDA Azindua WIMBO wa DIAMOND l Kuna UGOMVI wa DIAMOND na RAYVANY l Amtaja MBOSSO, ZUCHU!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
  • MAKONDA AZINDUA WIMBO WA DIAMOND l KUNA UGOMVI WA DIAMOND NA RAYVANY l AMTAJA MBOSSO, ZUCHU!
    Katika Kongamano la UVCCM kwa vijana wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ameutambulisha wimbo mpya wa Diamond akimsifia Rais Magufuli na Kazi zake ambazo amezifanya katika Serikali ya Awamu ya Tano....
    Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 178

  • @mwasimbega8712
    @mwasimbega8712 4 ปีที่แล้ว +6

    Nyimboo mbovuuu na huyu makonda anajitahidi kumuekaa kando harmonizeee .....aisee noma sana dah!

  • @jumaamanandi4329
    @jumaamanandi4329 4 ปีที่แล้ว +29

    Siiiimbaaaaa mtu Mbaya sana dah 👏👏

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 4 ปีที่แล้ว +14

    My President baba Lao 👍❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @omarytofiki2099
    @omarytofiki2099 4 ปีที่แล้ว +3

    Makonda nakukubali,we ni kiongozi bora,dar umeiboresha

  • @emmanueldaud8569
    @emmanueldaud8569 4 ปีที่แล้ว +1

    Daah kweli simbaa baba lao

  • @saimonjoachim6817
    @saimonjoachim6817 4 ปีที่แล้ว +1

    Duh goma kali

  • @vanessajames1567
    @vanessajames1567 4 ปีที่แล้ว +2

    Baba lao Diamond your the best

  • @stanleymwakasala3729
    @stanleymwakasala3729 4 ปีที่แล้ว +2

    Inapendeza

  • @mwasimbega8712
    @mwasimbega8712 4 ปีที่แล้ว +2

    Makonda sifa za uongozii hana anachagua upandee yaniii kwa inavyoonekana anamkandamiza konde wazi waz aiseee kama mim harmo naachana na miziki...huyu mpuuz anashirikiana na wasaf kumshusha konde ......sema mungu yu pamoja nawe konde🐘🙏🙏🙏🙏🙏

  • @abbykruger1625
    @abbykruger1625 4 ปีที่แล้ว +13

    Nataka kuona 🐘🐘🐘na Diamond platinum kwenye jukwaa moja special for mh.J.P.makufuri...

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz7850 4 ปีที่แล้ว +36

    Duh wasanii wote naona ni ccm
    Safi

  • @robertjagad5826
    @robertjagad5826 4 ปีที่แล้ว +4

    Nazani nyimbo ya Zuchu kwenye hizi nyimbo za chama ndo Anthem(wimbo wa taifa) big up Zuchu.

    • @zakayomsaki5791
      @zakayomsaki5791 4 ปีที่แล้ว +1

      Zuchu kamaliza. Nyimbo bora mno ile. Kuanzia mahadhi,ujumbe mpaka kila kitu

    • @robertjagad5826
      @robertjagad5826 4 ปีที่แล้ว

      @@zakayomsaki5791 sana kamaliza yaani huo wimbo ni mzuri sana na umekaa kikampeni kweli kweli kama ule wimbo tu wa Komba wacha wasome namba

  • @elishakilasi8714
    @elishakilasi8714 4 ปีที่แล้ว +18

    Makonda-king

  • @msheremasoud9527
    @msheremasoud9527 4 ปีที่แล้ว +37

    Mm nakua ccm leo kwa ajili ya diamond tu nimeamua

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 4 ปีที่แล้ว +2

    Kumbe Wasanii wote ni CCM 🔥🔥🔥

    • @bodhibriar7401
      @bodhibriar7401 3 ปีที่แล้ว

      I guess im asking randomly but does anybody know of a tool to get back into an Instagram account..?
      I somehow forgot my login password. I would appreciate any help you can give me

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 4 ปีที่แล้ว +21

    Pierre kapiga kofia utasema kanda bongoman

  • @victorjunior2073
    @victorjunior2073 4 ปีที่แล้ว +10

    Piere liquid 1:57

  • @suleimayahya2099
    @suleimayahya2099 4 ปีที่แล้ว +5

    Mwenzio hana kazi uko

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 4 ปีที่แล้ว +4

    Magufuli Baba laooo

  • @angelinamkingi8164
    @angelinamkingi8164 4 ปีที่แล้ว +17

    Baba laooooooo!

  • @nestor384
    @nestor384 4 ปีที่แล้ว +7

    Mondi bwana creative and opportunistic

  • @jaxmnandumbi7403
    @jaxmnandumbi7403 4 ปีที่แล้ว +42

    2:38 Alomuona piere liquid nimjue hapa

    • @mohamedsalum9460
      @mohamedsalum9460 4 ปีที่แล้ว

      Hivi anaetoa post rayvanny Hana ugomvi na simbaa

  • @salhamrishoaish9292
    @salhamrishoaish9292 4 ปีที่แล้ว +3

    Makondaaaaaaaa

  • @halimambwego3520
    @halimambwego3520 4 ปีที่แล้ว +1

    My president baba laooooo

  • @mamadaya7512
    @mamadaya7512 4 ปีที่แล้ว

    Makonda uko vizuri

  • @kirupyseleman582
    @kirupyseleman582 4 ปีที่แล้ว +2

    Au sio

  • @comrademlewaisavile336
    @comrademlewaisavile336 4 ปีที่แล้ว +1

    Nakubal mr makonda

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 4 ปีที่แล้ว

    Anajisifia kuzindua nyimbo badala ya sector za maendeleo.. na wahemewa wakuu wanapiga makofi kushangiria.. Mungu ibariki Tanzania.. tukutane October 2020

  • @kingwigo2961
    @kingwigo2961 4 ปีที่แล้ว +2

    Pongezi Saana kwa MH. POLEPOLE. MOND HAWAIKOSEA

  • @swissvany55
    @swissvany55 4 ปีที่แล้ว +1

    I like this imefikia

  • @mussajuma1736
    @mussajuma1736 4 ปีที่แล้ว +25

    Bgp makonda mdee asije akajixifia rami ya goba wakati yy alikua anatoka nje.

  • @aronkinyaga3700
    @aronkinyaga3700 4 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa

  • @boysulemani5647
    @boysulemani5647 4 ปีที่แล้ว +40

    Aliemuona piere aweke link hp

  • @adijaniyonkuru9731
    @adijaniyonkuru9731 4 ปีที่แล้ว +7

    ❤❤❤❤

  • @vitusemmanuel9380
    @vitusemmanuel9380 4 ปีที่แล้ว +5

    Sawa

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana.

  • @rujainahisihaka2279
    @rujainahisihaka2279 4 ปีที่แล้ว +2

    Nimekubar

  • @mpmsafitz7901
    @mpmsafitz7901 4 ปีที่แล้ว +7

    Kama unaipenda CCM like nyingi kwake

  • @yassirjailan2720
    @yassirjailan2720 4 ปีที่แล้ว +4

    Wana wa CCM piga like kwangu hapo tupo pamoja ✊

  • @mozasalum9715
    @mozasalum9715 4 ปีที่แล้ว +15

    Piga kazi

  • @ummuadam2423
    @ummuadam2423 4 ปีที่แล้ว +63

    Kma umemuona Pierre nipe like😀😀😀

    • @deotv503
      @deotv503 4 ปีที่แล้ว +1

      Nilidhani nmemuonaaa pekee yanguuu

    • @emmanuelchacha1216
      @emmanuelchacha1216 4 ปีที่แล้ว +1

      umeniwahi comment yangu wewe

    • @teetharrangement7071
      @teetharrangement7071 4 ปีที่แล้ว +1

      nhgffhsiiaooxokjhhhhjiiuiiiiooopoooooooooooiiiiiiooo

    • @thuvakonde2584
      @thuvakonde2584 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 4 ปีที่แล้ว

      Nimemuona na lile kofia lake

  • @jumakillo3280
    @jumakillo3280 4 ปีที่แล้ว +2

    Piereee nimemuona

  • @simonlabia3877
    @simonlabia3877 4 ปีที่แล้ว +1

    Mguu ndani na nje! "mara mtu wa maombi mara tena madisko.

  • @salhamrishoaish9292
    @salhamrishoaish9292 4 ปีที่แล้ว +5

    Daimond

  • @salhamrishoaish9292
    @salhamrishoaish9292 4 ปีที่แล้ว +4

    Ccm oyeeeeeeeeh

  • @bakarimashi2299
    @bakarimashi2299 4 ปีที่แล้ว +8

    Mamaaa nakufaaaa piere nae ni ccm 🤣

  • @mevakyavaleri6264
    @mevakyavaleri6264 4 ปีที่แล้ว +1

    Wheeeeghh

  • @ezapesambili2130
    @ezapesambili2130 4 ปีที่แล้ว

    Camera haichez mbali na Pierre

  • @abelygeorge3892
    @abelygeorge3892 4 ปีที่แล้ว

    Hapo saw makonda.

  • @beatusshirima2285
    @beatusshirima2285 4 ปีที่แล้ว +3

    Hapo mondi mm sipo japo nakukubali

  • @saidsebarua556
    @saidsebarua556 4 ปีที่แล้ว

    Sawa mkuku wa mkoa wetu wa drs

  • @rahimmjawir7909
    @rahimmjawir7909 4 ปีที่แล้ว +4

    Mondi alijua kua hii nyimbo baba lao inakujaa kuit Tena.

  • @annacarren9892
    @annacarren9892 4 ปีที่แล้ว

    Jamani mmemuelewa Pierre 😂

  • @milomohamed7201
    @milomohamed7201 3 ปีที่แล้ว

    Hii lini jamani hili fala si limepigwa na chini lakini?
    Maneno mengi bashite bana.
    Hao wanamziki wote ni mazwzwa tu kumbe ni walumumba? Shiiiit

  • @yirgayemyirgah7820
    @yirgayemyirgah7820 4 ปีที่แล้ว +1

    Harmonize anfnya nn tena uko mwishon au mntka tu ugomvi

  • @angelinamkingi8164
    @angelinamkingi8164 4 ปีที่แล้ว +4

    Watu nyoooooooooomi!!!

  • @devothaeustace7051
    @devothaeustace7051 4 ปีที่แล้ว

    😍

  • @easterjoachem5524
    @easterjoachem5524 4 ปีที่แล้ว +10

    Mara pap on trend no.1😅😅wcb 4 lyf

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 4 ปีที่แล้ว +2

    TEAM WCB HUYU

  • @leahjaphet4564
    @leahjaphet4564 4 ปีที่แล้ว

    Lea

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว +23

    Mbowe unachelewa, unaona hizo kampeni wenzako wameanza!!

    • @hamisimussa2228
      @hamisimussa2228 4 ปีที่แล้ว +1

      Yeye htaanza na Nani au htaonyesha falu john

    • @hamiskengwa5869
      @hamiskengwa5869 4 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣(+_+)(+_+)🤣🤣🤣🤣 dah

    • @omarimukungwa2510
      @omarimukungwa2510 4 ปีที่แล้ว

      Na yeye ameanza ujaona faru John kamvunja mguu

    • @jozzsimbatv1199
      @jozzsimbatv1199 4 ปีที่แล้ว

      H

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 4 ปีที่แล้ว +5

    Mond siyo wa kipolepole

  • @erodeshayo8672
    @erodeshayo8672 4 ปีที่แล้ว

    Kama nimemwona Pierre Jmn Dah Kweli

  • @edsonedward4579
    @edsonedward4579 4 ปีที่แล้ว +1

    Chadema hawategemei wasanii kwenye kampeni zao wananchi wanakuja kwa mapenzi yao

  • @destinyson9709
    @destinyson9709 4 ปีที่แล้ว +5

    Duuuuuhhh liqued upo

  • @abdallayasin2850
    @abdallayasin2850 4 ปีที่แล้ว

    Mpoo

  • @tariqoman8568
    @tariqoman8568 4 ปีที่แล้ว +2

    Ccm RAha

  • @robertkato5868
    @robertkato5868 4 ปีที่แล้ว

    Imefanya mjafanya si ela zenu bali ni kodi za wananchi na ndio kazi yake kujenga na kuhudumia wananchi na ndio maana wananchi wanawajibu kulipa kodi.
    Tunachoitaji ni kuona umasikini wetu unaishi. Watanzania msindanganyike

  • @manmachomaasai1095
    @manmachomaasai1095 4 ปีที่แล้ว +2

    dar

  • @djgeorgekiller3617
    @djgeorgekiller3617 4 ปีที่แล้ว +7

    Iyo song ni shida

  • @mayungarichard7443
    @mayungarichard7443 4 ปีที่แล้ว +1

    Mlitangaza kuja mabwepande leo hamjatokea why???

  • @selemanikilindo3206
    @selemanikilindo3206 4 ปีที่แล้ว +7

    pierre ujakoma maneno ya ovyo ovyo

  • @ngolerashidi9974
    @ngolerashidi9974 4 ปีที่แล้ว

    Noted

  • @juveadam1097
    @juveadam1097 4 ปีที่แล้ว

    ccm mungu anawaona 40 ipo tatz mnatumia mabav amtumii akil

  • @thuvakonde2584
    @thuvakonde2584 4 ปีที่แล้ว +5

    🇹🇿 amna upinzani n nchi ya chama kimoja mana hamna haki wala democracy kwa upinzani

    • @hamisimussa2228
      @hamisimussa2228 4 ปีที่แล้ว

      Democracy ipi kwa kukosa kuwa na wasanii

    • @godfreymasele558
      @godfreymasele558 4 ปีที่แล้ว

      Democracy ya kupombeka wizi uchochezi uongo uzushi chuki ubabe dharau mauwaji?

  • @abnizplatnumz5520
    @abnizplatnumz5520 4 ปีที่แล้ว

    Baba lao

  • @Mops9090
    @Mops9090 4 ปีที่แล้ว

    Watuwekee wa harmonize bn

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 ปีที่แล้ว +8

    Mwaka wa mavuno huu!!!!!!!!!!!!

    • @mohamedifulass1222
      @mohamedifulass1222 4 ปีที่แล้ว

      Wana ccm oyeeeeeeeeeeeee, maendeleo yako vizuli kwamweshimiwa jon pombe maguful

  • @shabanikallah1081
    @shabanikallah1081 4 ปีที่แล้ว

    Mm binafsi sijawahi kuona kazi unayoifanya mpaka utakapo yafanya haya. Miundombinu ili mafuriko yasiharibu uchumi wa watu wako, acha Ombaomba waombe ila dili na Mateja, Makahaba na Vibaka ili jiji kiwe salama kwa watu wako.

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 4 ปีที่แล้ว

    Gambo🙄na huyo🤫kifuatacho kinafurahisha zaidi🚶

  • @realremih
    @realremih 4 ปีที่แล้ว +11

    piere liquid 😂😂😂
    wakenya wenye tunamjuwa huyu mtanzania mnipe likes👊

  • @foncetecelectricalandelect34
    @foncetecelectricalandelect34 4 ปีที่แล้ว +1

    Pierre mjumbe wa kamati kuu 😅

  • @kiumanursingtv1647
    @kiumanursingtv1647 4 ปีที่แล้ว

    Mkuu wa mkoa mmmmh.....!!!

  • @williamemmanuel8512
    @williamemmanuel8512 4 ปีที่แล้ว

    Makonda reo

  • @yoshuasamwelbugumba2202
    @yoshuasamwelbugumba2202 4 ปีที่แล้ว +1

    Mondo baba,lao

  • @josephlotto996
    @josephlotto996 4 ปีที่แล้ว +4

    Kwa baba lao chadema hawatoboi

  • @seasontv8137
    @seasontv8137 4 ปีที่แล้ว +3

    Kura kwa maguful

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 4 ปีที่แล้ว +1

    Waimbe we lakini nyimbo za msimuo ni za Mr komba hao wengine janja janja weka komba uone hivo vifijo

  • @jacksonreuben3964
    @jacksonreuben3964 4 ปีที่แล้ว

    Offer offer nunua au kopa mobisol solar watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na TV inch 21-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0716777765

  • @asmaally3457
    @asmaally3457 4 ปีที่แล้ว +4

    Kwa bidhaa maridadi na uhakika karibu Asma cosmetics,
    Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,miguu,nguvu za kiume, kuwa mweupe, n.k
    Dawa zipo, karibu ofisini, SMS/whatsap 0693_330284

  • @liverpoolvsrangers2273
    @liverpoolvsrangers2273 4 ปีที่แล้ว +10

    Ninachoona ni kama mkuu wa mkoa anataka kumgandamiza konde boy kama unaamini gonga like yako

    • @mwasimbega8712
      @mwasimbega8712 4 ปีที่แล้ว

      Kabisaaa yanii hana sifa ya uongozii

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 4 ปีที่แล้ว

      Noooo,mi mlezi wa WCB!

    • @yusrasalmin9563
      @yusrasalmin9563 4 ปีที่แล้ว

      Tana Mwaigoga ni mlezi wcb

  • @djmeza411a58
    @djmeza411a58 4 ปีที่แล้ว +5

    Makonde usichague coz unampenda d waweke wote chage dogo Janja nawengine wengi sana beka fever utaaribu bro

  • @roselynnsungwe8272
    @roselynnsungwe8272 4 ปีที่แล้ว

    Saf

  • @andsonmwakomana2278
    @andsonmwakomana2278 4 ปีที่แล้ว +2

    Kaegan

  • @janeschurmanns7364
    @janeschurmanns7364 4 ปีที่แล้ว

    Mheshimiwa Makonda sisi wananchi wako wa Kimara Suka tunalia na Barabara ya suka kwenda Kinyelezi kwa kweli ni mbaya sana Mashimo makubwa yako barabarani na mvua zikinyesha kupita magari ni mtihani

  • @javamedia8870
    @javamedia8870 4 ปีที่แล้ว

    Mh

  • @mwasimbega8712
    @mwasimbega8712 4 ปีที่แล้ว +3

    Na ubaya kwamba hii nyimbo haina vibe kuliko bora ya harmonizeee...

  • @mwasimbega8712
    @mwasimbega8712 4 ปีที่แล้ว

    🐘🐘🐘🐘🐘🔥🔥🔥mnafata nyayoo tu

  • @kamatasangija383
    @kamatasangija383 4 ปีที่แล้ว +4

    Crdb bank popote ina tiki 🔥

  • @nyangigelucas3050
    @nyangigelucas3050 4 ปีที่แล้ว +2

    Pigeni hela wengine tunalala njaa uku

    • @trophainamagogwa7966
      @trophainamagogwa7966 4 ปีที่แล้ว

      Nenda na wewe ukajiunge usihofu

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 4 ปีที่แล้ว

      Chapa kazi ela ipo,bila hivyo utafilwa