MAKONDA Azindua WIMBO wa DIAMOND l Kuna UGOMVI wa DIAMOND na RAYVANY l Amtaja MBOSSO, ZUCHU!
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ต.ค. 2024
- MAKONDA AZINDUA WIMBO WA DIAMOND l KUNA UGOMVI WA DIAMOND NA RAYVANY l AMTAJA MBOSSO, ZUCHU!
Katika Kongamano la UVCCM kwa vijana wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ameutambulisha wimbo mpya wa Diamond akimsifia Rais Magufuli na Kazi zake ambazo amezifanya katika Serikali ya Awamu ya Tano....
Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Nyimboo mbovuuu na huyu makonda anajitahidi kumuekaa kando harmonizeee .....aisee noma sana dah!
Siiiimbaaaaa mtu Mbaya sana dah 👏👏
My President baba Lao 👍❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Makonda nakukubali,we ni kiongozi bora,dar umeiboresha
Daah kweli simbaa baba lao
Duh goma kali
Baba lao Diamond your the best
Inapendeza
Makonda sifa za uongozii hana anachagua upandee yaniii kwa inavyoonekana anamkandamiza konde wazi waz aiseee kama mim harmo naachana na miziki...huyu mpuuz anashirikiana na wasaf kumshusha konde ......sema mungu yu pamoja nawe konde🐘🙏🙏🙏🙏🙏
Mwasi Mbega ni mlezi wa WCB
Nataka kuona 🐘🐘🐘na Diamond platinum kwenye jukwaa moja special for mh.J.P.makufuri...
Utamwona tuu ndio misimu yaO
Piga keleee CCM
Duh wasanii wote naona ni ccm
Safi
Sio wotee baadhi
Nazani nyimbo ya Zuchu kwenye hizi nyimbo za chama ndo Anthem(wimbo wa taifa) big up Zuchu.
Zuchu kamaliza. Nyimbo bora mno ile. Kuanzia mahadhi,ujumbe mpaka kila kitu
@@zakayomsaki5791 sana kamaliza yaani huo wimbo ni mzuri sana na umekaa kikampeni kweli kweli kama ule wimbo tu wa Komba wacha wasome namba
Makonda-king
Mm nakua ccm leo kwa ajili ya diamond tu nimeamua
Kwa nin yeye
😀
Kumbe Wasanii wote ni CCM 🔥🔥🔥
I guess im asking randomly but does anybody know of a tool to get back into an Instagram account..?
I somehow forgot my login password. I would appreciate any help you can give me
Pierre kapiga kofia utasema kanda bongoman
Piere liquid 1:57
Mwenzio hana kazi uko
Magufuli Baba laooo
Baba laooooooo!
Mondi bwana creative and opportunistic
2:38 Alomuona piere liquid nimjue hapa
Hivi anaetoa post rayvanny Hana ugomvi na simbaa
Makondaaaaaaaa
My president baba laooooo
Makonda uko vizuri
Au sio
Nakubal mr makonda
Anajisifia kuzindua nyimbo badala ya sector za maendeleo.. na wahemewa wakuu wanapiga makofi kushangiria.. Mungu ibariki Tanzania.. tukutane October 2020
Pongezi Saana kwa MH. POLEPOLE. MOND HAWAIKOSEA
I like this imefikia
Bgp makonda mdee asije akajixifia rami ya goba wakati yy alikua anatoka nje.
Kweli kabisa
Aliemuona piere aweke link hp
Bado we kesho utaondka
@@mkuunakukbalsanmboya9348 hhhhhhuu le Huguette je yvvfgi je vous souhaite
Just tuo
❤❤❤❤
Sawa
Safi sana.
Nimekubar
Kama unaipenda CCM like nyingi kwake
Wana wa CCM piga like kwangu hapo tupo pamoja ✊
Piga kazi
Kma umemuona Pierre nipe like😀😀😀
Nilidhani nmemuonaaa pekee yanguuu
umeniwahi comment yangu wewe
nhgffhsiiaooxokjhhhhjiiuiiiiooopoooooooooooiiiiiiooo
😂😂😂😂
Nimemuona na lile kofia lake
Piereee nimemuona
Mguu ndani na nje! "mara mtu wa maombi mara tena madisko.
Daimond
Ccm oyeeeeeeeeh
Mamaaa nakufaaaa piere nae ni ccm 🤣
Ni kote kote
Wheeeeghh
Camera haichez mbali na Pierre
Hapo saw makonda.
Hapo mondi mm sipo japo nakukubali
Sawa mkuku wa mkoa wetu wa drs
Mondi alijua kua hii nyimbo baba lao inakujaa kuit Tena.
Jamani mmemuelewa Pierre 😂
Hii lini jamani hili fala si limepigwa na chini lakini?
Maneno mengi bashite bana.
Hao wanamziki wote ni mazwzwa tu kumbe ni walumumba? Shiiiit
Harmonize anfnya nn tena uko mwishon au mntka tu ugomvi
Watu nyoooooooooomi!!!
😍
Mara pap on trend no.1😅😅wcb 4 lyf
Hahahah
TEAM WCB HUYU
Ni mlezi wa WC,kweli we beege
Hata mie naona
Lea
Mbowe unachelewa, unaona hizo kampeni wenzako wameanza!!
Yeye htaanza na Nani au htaonyesha falu john
🤣🤣🤣🤣🤣🤣(+_+)(+_+)🤣🤣🤣🤣 dah
Na yeye ameanza ujaona faru John kamvunja mguu
H
Mond siyo wa kipolepole
Kama nimemwona Pierre Jmn Dah Kweli
Chadema hawategemei wasanii kwenye kampeni zao wananchi wanakuja kwa mapenzi yao
Duuuuuhhh liqued upo
Mpoo
Ccm RAha
Imefanya mjafanya si ela zenu bali ni kodi za wananchi na ndio kazi yake kujenga na kuhudumia wananchi na ndio maana wananchi wanawajibu kulipa kodi.
Tunachoitaji ni kuona umasikini wetu unaishi. Watanzania msindanganyike
dar
Iyo song ni shida
Mlitangaza kuja mabwepande leo hamjatokea why???
pierre ujakoma maneno ya ovyo ovyo
Naona anaham ya kuchamba tena😃😃😃
Noted
ccm mungu anawaona 40 ipo tatz mnatumia mabav amtumii akil
🇹🇿 amna upinzani n nchi ya chama kimoja mana hamna haki wala democracy kwa upinzani
Democracy ipi kwa kukosa kuwa na wasanii
Democracy ya kupombeka wizi uchochezi uongo uzushi chuki ubabe dharau mauwaji?
Baba lao
Watuwekee wa harmonize bn
Mwaka wa mavuno huu!!!!!!!!!!!!
Wana ccm oyeeeeeeeeeeeee, maendeleo yako vizuli kwamweshimiwa jon pombe maguful
Mm binafsi sijawahi kuona kazi unayoifanya mpaka utakapo yafanya haya. Miundombinu ili mafuriko yasiharibu uchumi wa watu wako, acha Ombaomba waombe ila dili na Mateja, Makahaba na Vibaka ili jiji kiwe salama kwa watu wako.
Gambo🙄na huyo🤫kifuatacho kinafurahisha zaidi🚶
piere liquid 😂😂😂
wakenya wenye tunamjuwa huyu mtanzania mnipe likes👊
Pierre mjumbe wa kamati kuu 😅
Mkuu wa mkoa mmmmh.....!!!
Makonda reo
Mondo baba,lao
Kwa baba lao chadema hawatoboi
Kura kwa maguful
Waimbe we lakini nyimbo za msimuo ni za Mr komba hao wengine janja janja weka komba uone hivo vifijo
Offer offer nunua au kopa mobisol solar watt 40,80,120,200 ikiwa pamoja na TV inch 21-43 na taa zake tukuletee hadi nyumbani pamoja na ufungaji ni bureeeeeeh wahi sasa offer hii ipo jirani kuisha.piga simu 0716777765
Kwa bidhaa maridadi na uhakika karibu Asma cosmetics,
Kwa matatizo ya michirizi, makovu, nyama uzembe, kuongeza shape, hips,miguu,nguvu za kiume, kuwa mweupe, n.k
Dawa zipo, karibu ofisini, SMS/whatsap 0693_330284
Ninachoona ni kama mkuu wa mkoa anataka kumgandamiza konde boy kama unaamini gonga like yako
Kabisaaa yanii hana sifa ya uongozii
Noooo,mi mlezi wa WCB!
Tana Mwaigoga ni mlezi wcb
Makonde usichague coz unampenda d waweke wote chage dogo Janja nawengine wengi sana beka fever utaaribu bro
Saf
Kaegan
Mheshimiwa Makonda sisi wananchi wako wa Kimara Suka tunalia na Barabara ya suka kwenda Kinyelezi kwa kweli ni mbaya sana Mashimo makubwa yako barabarani na mvua zikinyesha kupita magari ni mtihani
Mh
Na ubaya kwamba hii nyimbo haina vibe kuliko bora ya harmonizeee...
Umeona eeee
🐘🐘🐘🐘🐘🔥🔥🔥mnafata nyayoo tu
Crdb bank popote ina tiki 🔥
Pigeni hela wengine tunalala njaa uku
Nenda na wewe ukajiunge usihofu
Chapa kazi ela ipo,bila hivyo utafilwa