WAZIRI SILAA AWASIMAMISHA KAZI MAAFISA WIZARA ya ARDHI MUME na MKE MWANZA....
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
- WAZIRI SILAA AWASIMAMISHA KAZI MAAFISA WIZARA ya ARDHI MUME NA MKE MWANZA....
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PESA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Waziri unapiga kazi sana mungu akulinde mkuu tetea wanyonge
Mungu aendelee kukubariki. Kutetea wanyonge pia tunamwombea na mkeo azid kukupa furaha ili uendelee kupiga kazi
Kwa Mara ya kwanza Tanzania imempata waziri wa Ardhi. Mama Samia oyeeee!
Big up Minister
Jerry Unapiga Kazi Brother
Katika viongozi wanapiga kazi wewe na makonda mnamuakilizha mama samia vyema matajiri chiki na vyama vya upinzani kwenu kazi hiendele ☝️🤲🙏🙏🙏👍🇹🇿
Hongera sana
Safari hii nchi imepata Waziri wa Ardhi
Mkuu piga kazi. Barikiwa!
Tanzania imepata kiongozi unafaa kuwa waziri mkuu
Mama Samia alimchungulia lukuvi akamshitukia
Kwel kabisa
Mheshimiwa hatuna hati na tulishalipa miaka 5 iliyopita huku ilemela tusaidie mheshimiwa waziri
Bila malengo utendaji utakuwa mgumu.
SAFI SANA HUKU KWETU ZANZIBAR TUNGELIPATA VIONGOZ WAZALENDO KAMA HAWA TUNGELIFIKA MBALI SANA
mbona sie twasikia Zbar hakuna dhuluma, mawaziri wanahofu sana ya Mungu pia Rais wenu ndio mwelelevu na anapigania haki kweli..huku bara watu wengi husema hivo kaka yetu mwema. iweje ww useme vengine? tufungue kaka yetu basi tuelewe sie dada zako
Njoo Ndachi Dodoma uone walivyomega
Mh waziri wasaidie wananchi wa Mwanza waliolipa pesa za upimaji shirikishi hawajapatiwa hati wala namba zaidi ya miaka 5. Ushaidi ni bank pay in slip na bank statements za hayo makampuni yaliyoshiriki upimaji shirikishi. Mh Waziri utakumbuka Mwanza ilipewa kipaumbele na RIP Mh Magu.
FIDDA HUSSEIN NO MWIZI EA ARDHI ZAWATU
Ubabe umezidi mno. Yaani govt inakosa mapato mengi ya ardhi ama kucheleweshewa mapato kutokana na ubabe ubabe tuu wa badhi ya watendaji. Wengine hata sheria za ardhi hawazijui vizuri na hata hawanazo mezani kama kitendea kazi. Hawaonezhi wateja sheria hizo. Mh famya transaction aging kubaini wababe.
Mkataba wa huduma kwa wateja ardhi na halmazhauri muhimu kuanzishwa . Je kupata hati kunaitajika kumbukumbu zipi na procedures ni zipi na zikishakamilika kwa nini mteja asipewe hati. Muda uwe spscific. Mteja anajibiwa kwa mameno tuu bila andiko ama kusainishwa popote. Hivi utendaji wa leo nimehudumia watu wangapi ardhi na halmashauri wanapimwaje ikiwa hata pa kusaini kuwa umehudumiwa ama la hakuna pa kuandika? Wapewe malengo ya siku, wiki, mwezi na mwaka idadi za hati za kutolewa.
Hekima Yako Waziri Ni Kweli Tajk Yako Utakpata.
Kiongozi kumbuka na jimboni kwako jitahidi uweke alama ili wanainchi walio kuchagua mpaka umefika hapo waje wakukumbuke
Yani Idara ya Ardhi ina matatizo sana na hii kazi walipaswa kusolve hao hao watimishi wa chini , lakini anafanya Waziri
Hili lakwetu daaaa wanging'ombe na makete
Piga kazi Waziri,Wizara hii ina Mambo mengi ya Uonevu Kumbuka hawa wanaojiita Warasimishaji wa Ardhi.
Ange kua na magu rahasana
M