#EXCLUSIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • Mwananchi Digital imepata nafasi na kufanya mahojiano na rubani Godlisten Asenga na hapa anafafanua namna wanavyofanya kazi huku akigusia ajali ya Shirika la Ndege la Precision Air iliyotokea Jumapili Novemba 6, 2022 ambapo watu 19 wakiwemo abiria na wahudumu wamefariki dunia huku 26 wakinusurika kifo.

ความคิดเห็น • 30