PUTIN AWA MBOGO, AONYA VITA YA TATU YA DUNIA 'TUTAWALIPUA MAREKANI WAKIENDELEA KUTUCHOKOZA’

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 57

  • @ramadhaniOsujacki
    @ramadhaniOsujacki หลายเดือนก่อน +1

    Tunakupata vizuri sana ndugu mwananchi kwa kuenndelea kutujuza habari za ulimwengu mungu akubariki sanna

  • @josephmulula440
    @josephmulula440 หลายเดือนก่อน +4

    Aplication militarily chance application niko tayari kujiunga jeshi la urusi

    • @husseinissa7118
      @husseinissa7118 หลายเดือนก่อน

      Hata mm nipo tayar kuwasaidia Russia maana upande wao ndio sahihi kabisa kuwa

  • @danielndusilo4723
    @danielndusilo4723 หลายเดือนก่อน +2

    Hawezi

  • @YamunguMatamya
    @YamunguMatamya หลายเดือนก่อน +2

    Hana uwezo huo na msanii sana

  • @venancerutta6875
    @venancerutta6875 หลายเดือนก่อน +1

    Yeye atakaa wapi ameisha nguvu zake kwisha

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน +1

    Urusi zaif

  • @venancerutta6875
    @venancerutta6875 หลายเดือนก่อน +3

    Putin hana lolote ameisha miaka 2 na yeye hana nguvu kwa sasa

  • @AbdallahSalim-is3db
    @AbdallahSalim-is3db หลายเดือนก่อน

    Wacha kuonya miaka nenda miaka rudi... piga nyu kilia ili uibuke mshindi wa hilo neno new clear

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo1201 หลายเดือนก่อน +3

    Vita kuu ya tatu ya dunia ukiianzisha wewe utakaa wapi? huo ni wendawazimu.russia kwanza hawakutegemea hii vita kuchukua muda wote huu na hali yao mbaya. Vita haina maana yoyote, ni ushetani na uuaji wa watu bure.

  • @suratibrahim6417
    @suratibrahim6417 หลายเดือนก่อน

    Putin 🇷🇺💯✍️

  • @KaluKadheinge
    @KaluKadheinge หลายเดือนก่อน +3

    stori za jaba, ukrain miaka mitatu

    • @faridfrefre35
      @faridfrefre35 หลายเดือนก่อน +2

      Urus anapigana na nchi karibu 30 zenye uwezo na anavhukua maeneo inatutosha

    • @princejose-w3n
      @princejose-w3n หลายเดือนก่อน

      Iwapo marekani itafanya full scale invasion kwa Russia Putin atashidwa vita tu. Ukraine ni nchi dogo Sana lakini limeua wanajeshi laki Saba WA urusi kwa hivo jiulize kama ni marekani anapigana moja kwa moja na urusi kungeeda aje

    • @NicholausLwaipa-c3j
      @NicholausLwaipa-c3j หลายเดือนก่อน

      ACHA ushabiki​@@faridfrefre35

    • @GeraldElias-s7j
      @GeraldElias-s7j หลายเดือนก่อน +1

      ​@@faridfrefre35sio kweli angepigana na NATO angekua kashakimbia kitambo Ukraine

    • @husseinissa7118
      @husseinissa7118 หลายเดือนก่อน

      ​@GeraldElias-s7j tatizo huna update wanajeshi wa Nato wapo ukrein na ndio wanayoongoza mitambo yote ,ndege, missile zote za uingereza na marekan dhidi ya Russia...angekuwa zelensk ni mwezi mmoja tu angekimbia nchi

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Ukraine piga uyoo Syria kashindwa

  • @NgendandumweAlouise
    @NgendandumweAlouise หลายเดือนก่อน +1

    Mpe kazi bashad kutoka syria kuhusu marekani bado sana kaka

    • @AlexGwiha
      @AlexGwiha หลายเดือนก่อน

      Nikwl

    • @emmanuelmmbaga5209
      @emmanuelmmbaga5209 หลายเดือนก่อน

      hawajui ht unabii ...malekan ndio atailazimisha dunia kila mtu apokee chapa , hakuna super power mwingine xaid ya USA mpk yesu anarud ...someni biblia.
      utus anafukuta tu hana lolote, ameshateketeza jesh lake kubwa sn kule ucrain, na ghala nying za silaha. mpk akaongezewa jeshi na korea

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Putin afe

  • @EzekielMbise
    @EzekielMbise หลายเดือนก่อน

    Fanya kwa vitendo tumechoka maneno president putin

  • @issadullah2074
    @issadullah2074 หลายเดือนก่อน +3

    Piga mashoga hao nato wamepotezana
    Hawajui wap waanzie putin baba lao anazidi kuwaburuza marekan magaidi wa ulimweng wanapaswa kutiwa adabu namalinda yapepeee

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 หลายเดือนก่อน +2

    Siokuonyaa Putin anajua mzikiwake marekani ni kibokoo akili mingii sanaaa ubaya umbwelaaa

    • @williamsimusanga6605
      @williamsimusanga6605 หลายเดือนก่อน

      Marekani hajawahi pigana vita akashinda

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 หลายเดือนก่อน

      ​@@williamsimusanga6605Urusi ilishinda vita ipi?

  • @FadhiliAlly-fy2tx
    @FadhiliAlly-fy2tx หลายเดือนก่อน

    Kuna siku itakuwa

  • @rachigameni101
    @rachigameni101 หลายเดือนก่อน

    fuatilia Kwa makini ili ujue hiyo Russia kabla ya kufanya uvamizi kamili yaani uvamizi mkubwa wa kutaka kuchukua nchi yote alikuwa tayari ana miji minne aliyoiteka bila upinzani miaka 15 iliyopita, lakini mpaka sasa kafanikiwa kuongeza mji mmoja tu, huku Askari wasiopungua laki nane wamefariki na majeruhi lukuki(Askari waliopata majeraha makubwa kama kuvunjika miguu, mikono, upofu, viziwi ikiongezeka. Je Kwa uvamizi huu mkubwa amefaidika au ameingia Choo cha kike?

  • @OmarNasor
    @OmarNasor หลายเดือนก่อน

    Afadhali ijetuuondoke wote hakunafaifaida yakuishi kamawatu wengine wanaangamizwa bilahati Tena watoto mama wa wenzutu wazee wagonjwa bilahati hichondio kiama chenye

  • @josephcharo1356
    @josephcharo1356 หลายเดือนก่อน

    Katambe bhana ili dunia iishe tu kila akatutane na muumba wake

  • @MtotoKanya
    @MtotoKanya หลายเดือนก่อน

    Ifute.malekani.putini.kwenyelamaniyaduni

  • @MtotoKanya
    @MtotoKanya หลายเดือนก่อน

    Bola.awafute.kwenyelamani.yadunia

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 หลายเดือนก่อน

    Aligusetu aonetu

  • @MtotoKanya
    @MtotoKanya หลายเดือนก่อน

    Putini.unafahamu.anapigana.nadunia

  • @ELIFASMADEBHO
    @ELIFASMADEBHO หลายเดือนก่อน +1

    Putin hatutaki kelele wapige sasa tushachoka

  • @bonifacekomba7060
    @bonifacekomba7060 หลายเดือนก่อน +1

    Kamwacha Syria peke yake hana lolote mikwara tuu uoga mwingi Ukraine anamsumbua

    • @AlexGwiha
      @AlexGwiha หลายเดือนก่อน

      Et bwana

    • @husseinissa7118
      @husseinissa7118 หลายเดือนก่อน

      Syria yenyewe ilijichanganya kushirikiana na Turkey kumbe Turkey yupo na USA na Nato wakamzunguka na akashindwa kupigana ambapo angepigana angesaidiwa na Iran na Russia kwa hio rais Asad alikuwa hataki hicho kiti alikuwa kauchoka uraisi maana huwezi kuondolewa na waasi wachache elfu 20 wakati una jeshi la watu 150,000 na nchi inachukuliwa bila mapigano ya maana.

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi หลายเดือนก่อน +1

    Putini zake ni kuonyaga tu😂

    • @hajiramadhanihaji355
      @hajiramadhanihaji355 หลายเดือนก่อน +2

      Mtu mwenye busara Sana.

    • @donaldmgunda4970
      @donaldmgunda4970 หลายเดือนก่อน

      Bwanaa putting maneno yako imekuwa mingii sanaaa,Kila siku unasema mstari mwekunduuu😮

    • @FrediBatoni
      @FrediBatoni หลายเดือนก่อน

      Anaijua mazara ya nuclear atuwez tasmani tuna weza lahani nakumchukia poutin sisiwote ndo mana anahonya sana mana yeye ndo mwenye sal bomber bom lamwisho kabisa lanuclear​@@hajiramadhanihaji355

  • @evaristbamfu7149
    @evaristbamfu7149 หลายเดือนก่อน

    We Putin chakaza hako ka ukileini mchezo uishe

  • @DikiSali-h6k
    @DikiSali-h6k หลายเดือนก่อน +2

    Putin wapasue maana waliibia sana waafrica wakamuua kaka gadafi wamemwaga damu ya waalestina

    • @josephcharo1356
      @josephcharo1356 หลายเดือนก่อน

      Wakiingia vitani ujue watamwaga hadi damu yako. Lakini litakuwa jambo la heri kwako mana utapata fursa ya kwenda kujamiiana na wale mabikra 72 ulo ahidiwa na Mohamed

    • @hajijuma8661
      @hajijuma8661 หลายเดือนก่อน

      Unapomtaja m'bora waviumbe unatakiwa umtakie rehma, yaan ucseme Muhammad 2, bali ishia nakusema S.A.W,

  • @rachigameni101
    @rachigameni101 หลายเดือนก่อน

    West wanahofia tu silaha zake za nyukilia lakini si uwezo wa kijeahi alionao kwani mpaka sasa yukoi

    • @faridfrefre35
      @faridfrefre35 หลายเดือนก่อน

      Huna akili wewe unajua putin hapigani vita ni oparation maalimu
      Anapigana na nchi nyingi
      Ana vikwazo vingi
      Lazima atumie akili kupigana vita sababu vita ni pesa
      Lakin anachukua maeneo
      Na hataki kutumia nguvu nyingi atauwa raia wengi anazo silaha akapiga dakika tu kuigeuza keive majivu

    • @Baharia92
      @Baharia92 หลายเดือนก่อน

      Yuko hoi na wakati hv kalibun kachukua mji mwingine unasema yupo hoi huku akiendelea kuwashinda nato

    • @Picassomp-if2km
      @Picassomp-if2km หลายเดือนก่อน

      Unachoongea hata ww hukijui yani unaweweseka

    • @rachigameni101
      @rachigameni101 หลายเดือนก่อน

      Kwanza unapaswa kujua kwamba hakuna wanajeshi wa NATO wanapigana vita Ukraine, ni Ukraine pekee na jeshi lake jasiri lililopewa mafunzo mbali mbali ya kivita na kuwezeshwa misaada ya silaha kutoka magharibi ndio kikwazo kwa Urusi kushindwa kuitwaa Ukraine, "amakweli Ukraine ikiwezeshwa inaweza"

    • @rachigameni101
      @rachigameni101 หลายเดือนก่อน

      fuatilia Kwa makini ili ujue hiyo Russia kabla ya kufanya uvamizi kamili yaani uvamizi mkubwa wa kutaka kuchukua nchi yote alikuwa tayari ana miji minne aliyoiteka bila upinzani miaka 15 iliyopita, lakini mpaka sasa kafanikiwa kuongeza mji mmoja tu, huku Askari wasiopungua laki nane wamefariki na majeruhi lukuki(Askari waliopata majeraha makubwa kama kuvunjika miguu, mikono, upofu, viziwi ikiongezeka. Je Kwa uvamizi huu mkubwa amefaidika au ameingia Choo cha kike?