Wa pili kucomment apa naomba like zenyu🔥🔥🔥
Hahahahahaha... Rais wangu mstaafu ujue wewe ni muhuni sana...yani nmefurahi sana hotuba yako...nmecheka sana sbb unaongea ukweli huku unachekesha sana Sana yani...unafaa kuigiza..kazi nzur kbs inafuata sasa ktk kuokoa jahazi😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣yani sijachoka na sichoki kbs kuirudia hii...hahahahaha
Upo sahihi.....
Mzee Mpili huyo
Wape salaaam
Huyu mwamba anaongea kwa motisha snaa hata huchoki kumskiliza
Kaongea point sn kuwalipa muhim sn kiukweli
Jamani watu Wana rahaaa hata waliokunja nyuso miaka kadhaa,hv kwann?Mungu utusaidiie duniani.
Wambieeeee
Na kikwete akiedelea kuizamin yanga haitakaa ifanikiwe kamwe
Hiki kichwa nakikubal sana
Uto bwana,,,,,uchawi mwingi saaaana
I'm hmm hmm
😀😀😀Mzee umeongea fact saana na icho ndo kilichowafanya wakimbiyee iyoo tar. 8 na ilee bus yao inayochomokaga eksel shaft...
Story ya ng'ombe nime cheka hatari
Washirikina wakubwa nyieee
Manji ake,,,
Mpili msikie jakaya anachokuambia.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ganga hongo fc😂😂😂😂😂
Waambie hao utopolo wenzako tukiwaambia sisi wanaona tunawatania na kuwadharau sisi c kama hatutaki yanga iwepo ila ifike mahala mpir pesa iwekwe mezani.
B
Jakaya kawaumbua Utopolo NJAAAAAA.
@@mathiasmsese6128 acheni uchawi, kikwete kadhihirisha uchawi wenu wa utopolo hadharani. Sote tumemsikia.
Kama usikia kicheko cha Rais wa watu piga like za kutosha hapa kuonyesha unamkubali Sana...hahahaaa
Watakao sema vijiwan n wachawi wanajijuw
Yaani yanga nimeamini ubigwa wamiaka minne mlikua mnabebwa nahuyu mwamba ndomana hakufanikiwa krabu bingwa Afrika wala siuwezo
Wambie wale Wa utopolo
🤣🤣🤣
Hakuna lolote wote nyie yanga ni majangiri hakuna mpira happy kila mmoja anawaza atoke vipi hapo
Waaambie utox aka utopolo
Hakuna lolote wezi tu
Yanga Afrika nahipenda sana kwa moyo wangu ila Kikwete si mpendi kwa kifu cha MAGUFULI.
Mzee wetu Rais mstaafu tunakupend sana Mwenyez Mungu akulinde akuangazie kila ufanyalo