Ahaa kumbe lakini hiyo ni vita ya huduma aliyonayo shetani akikosa kwenye mambo mengine anakuja kwenye familia na yeye alikuwa mke wa mchungaji hakuwa mama mchungaji kwa hiyo anamaamuzi binafsi ya kutenda kama mmataifa
Ngoja nimsaidie kukujibu / nimjibirishie Mtumishi wa Mungu kama hutojali,mpaka kufikia kufanya maamuzi yakutka mwenza au kuamua kumuomba Mungu mbele ya vyombo hivi vya hadharani ktk Dunia nzima iko hivii, maana yake Mungu aliyemuumba keshakamilisha kila kiungo hapo alipo swara zima nikwamba Mungu Baba ampe ubavu waje wakufanaba na yeye tu na siyo kwamba bado ile shida eti atibiwe kwanza,hapo shida hata haipo vinginevyo asinge omba Mke wakumfaa na kufanana naye coz tayari swara la kiafya Mungu alishamkarabati kitambo . AMINA .
AMina nimebalikiwa sana ambao bado hatujapata wasaidizi wamaisha yetu mungu atusaidie maana viluka njia ni vingi pande zote m_k_ Ilanaamini mungu iliye sahihi amen❤
Nyumba na mali hurithiwa kutoka kwa wazazi, bali mke mwenye busara hutoka kwa Bwana. Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Ni Mungu Muumbaji peke yake anayechunguza mioyo. Kima chake chapita kima cha marijani. Moyo wa mumewe humwamini, wala hatakosa kupata mapato. Humtendea mema wala si mabaya, siku zote za maisha yake. Mungu akupe hitaji la moyo wako mtumishi, wa kufanana nawe na roho moja na wewe. Bwana amekuadalia ni siku tu haijafika bali siku hiyo haipo mbali.🙏🙏
MUNGU ni mkuu utampata wako yawezekana hakuwa wako unaweza ishi na mwanamke au mwanaume mkazaa watoto kama sio wako huwa ndoa zinasumbua sana pole mtumishi na hongera kuwalea wao watoto mpaka hapo wamekua watoto tumepewa ni zawadi kutoka kwa BWANA wetu hivyo imetupasa kuwatunza MUNGU akubariki
Nafikiri mchungaji unahitaji kuendelea kumuomba MUNGU, Lakini pia turudi kwenye katiba ya MUNGU (BIBLIA) inasemaje kuhusu wanandoa wanapotengana na wote wawili bado wako hai? Biblia ndiyo mwongozo pekee wa wakristo wote. Pole sana
BWANA AICHUNGUZAYE MIOYO YETU NA VIUNO VYA KILA MMOJA WE2 KILA MMOJA WETU AJUA KILA HAJA YA MIOYO YETU ,NA AWEZAYE KUKUJIBU KABRA YAKUMWOMBA SAWA NA HITAJI LA MOYO WAKO,MKE,MWEMA SHUJAA WAIMANI KAMA YAKO, WAKUFANANA NAWEWE,YUPO TAYARI KABISA MPAKA SASA, KWAAJILI YAKO ila2 BADO KITAMBO KIDOGO SANA BWANA MUNGU ATAKUFUNULIA NINANI WAKUKUFAA NA MWAFANANA NAYE KILA KITU na YEYE ALISHAONYESHWA TAYARI ILA WW TU BADO HAUJAFUMBULIWA MACHO YA ROHONI NA YA MWILINI SOON MUNGU MTAKATIFU ATAKUDHIHIRISHIA UTAKABIDHIWA KITU CHEMA KIROHO NA KIMWILI ILI MPAMBANE KUIINJILISHA NENO LA KWELI NA TOBA YAKWELI ILETAYO ONDOLEO LADHAMBI ZA WALIMWENGU.SONGA MBELE,VUMILIAPO ZAIDI KIDOGO2 UTAMPATA MWENZI WAMAISHA AMBAYE HAUTOJUTA KUPEWA NA BWANA.AMEN.
Ujue kifo ndo kinatutenganisha ...wewe ni mtumishi wa Mungu kwaiyo waweza omba Mungu amrudishe maana ndio ubavu wako huyo...ukisema kuna mwingine anatoka kwa Bwana unamaanisha huyo uliyekuwa nae alitoka wapi....Ebu tuweni na Iman kuna kipindi Mungu anatupitisha ili tuwe imara kwa majaribu yotee...Hata huyo ajae majaribu ni palepale ndo hii dunia ya sasa tunayoishi.,...Mungu aendelee kusimamia ndoa yako
Pole kaka nahsi ulishawahi kusema kuwa umepoteza nguvu za kiume ilakwa wanawake waleo kuvumikia bila tendo miez mi3 tu nishida huyo alie enda muache aende mungu atakupa wakufanana nawewe
Pole kwa kwa mapito ila kwenye uvumilivu kuna baraka kubwa sana mbele yako kwani kwasasa nisawa nazahaba inapitishwa kwenye moto ili itoke safi hivyo mungu atakupa ulie fanana nawe kwani mke mwema anatoka kwa bwana
Kila jambo lina jawabu lake, bali kwa maamuzi mema na subira. Cha msingi, ni kuomba dua kwa Mola akupe akili na maarifa ya kuchakua kilicho jema na Cha kukupa heri maishani mwako.
May ur Eva who was made from Adam may the Lord bring ur Eva who is made for ur ribs❤❤Wengi kwalia to hv right men's to marry others they're crying for wife's God time is the best patient do pays🙌🙏
We limbukeni kama huna Cha kuandika tulia aliwahi SEMA wapi yy ni mtakatifu kuliko wote ..ww nao miongoni mwa walipofushwa macho na hao manabij na mitume wa kuzimu ..hujielewi kabisa
Inawezekana ameshindwa kukuvumilia kutokana na itikadi zako za ujuaji wa kila kitu, kama aliweza kukuvumilia ulivyokuwa unaumwa na wewe ukakiri imeshindikana vp sasa,, Huwezi jua yawezekana ni majibu ya hao watumishi unaowatukana humu kila siku. Wao pia wana Mungu na wapo kwa kusudi la Mungu hakuna aliyejileta.
Hongera
Mch
Pole sana mtumishi wa Mungu, uliwahi kusema ajali uliyopata ilikuathiri upande wa mfumo wa uzazi, nikushauri kama bado tatizo lipo deal nalo kwanza.
Huuu ni wimbo tu ameimba kwa kufundisha wengine lakini ana mke na watoto
@@annaandrea2812 mke wake kasepa kamwachia watoto😀🙆
Ahaa kumbe lakini hiyo ni vita ya huduma aliyonayo shetani akikosa kwenye mambo mengine anakuja kwenye familia na yeye alikuwa mke wa mchungaji hakuwa mama mchungaji kwa hiyo anamaamuzi binafsi ya kutenda kama mmataifa
Ushawai mjaribu pumbafu ww
Ngoja nimsaidie kukujibu / nimjibirishie Mtumishi wa Mungu kama hutojali,mpaka kufikia kufanya maamuzi yakutka mwenza au kuamua kumuomba Mungu mbele ya vyombo hivi vya hadharani ktk Dunia nzima iko hivii, maana yake Mungu aliyemuumba keshakamilisha kila kiungo hapo alipo swara zima nikwamba Mungu Baba ampe ubavu waje wakufanaba na yeye tu na siyo kwamba bado ile shida eti atibiwe kwanza,hapo shida hata haipo vinginevyo asinge omba Mke wakumfaa na kufanana naye coz tayari swara la kiafya Mungu alishamkarabati kitambo . AMINA .
AMina nimebalikiwa sana ambao bado hatujapata wasaidizi wamaisha yetu mungu atusaidie maana viluka njia ni vingi pande zote m_k_ Ilanaamini mungu iliye sahihi amen❤
Mimi namsubiri adamu wangu
Ila mkeo ndo hajafa utakuwa unazini mungu akusaidie mtumishi
Hongera kwa wimbo mzuri
Mtumshi
Mungu akupe sawasawa na haja ya moyo wako apataye mke apata kitu chema😍🥰
Usijali Mungu anawo wengi ila anajuwa wakukufanana ❤❤
Nyumba na mali hurithiwa kutoka kwa wazazi, bali mke mwenye busara hutoka kwa Bwana.
Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Ni Mungu Muumbaji peke yake anayechunguza mioyo.
Kima chake chapita kima cha marijani. Moyo wa mumewe humwamini, wala hatakosa kupata mapato. Humtendea mema wala si mabaya, siku zote za maisha yake.
Mungu akupe hitaji la moyo wako mtumishi, wa kufanana nawe na roho moja na wewe. Bwana amekuadalia ni siku tu haijafika bali siku hiyo haipo mbali.🙏🙏
AMINA KUBWAA .
Hallelujah ✋ na mungu apokee maombi yako asikie kilio chako kwa jina la yesu atimize tamanio la moyo wako,akupe mke mwema.barikiwa sana🙏
Pascal Amka kuna mtego hapo kwenye mapenz......omba sana una vita kubwa.....mkeo muombee, ni mtego huo
Kaka namuomba mungu akupe hitaji la moyo wako
MUNGU ni mkuu utampata wako yawezekana hakuwa wako unaweza ishi na mwanamke au mwanaume mkazaa watoto kama sio wako huwa ndoa zinasumbua sana pole mtumishi na hongera kuwalea wao watoto mpaka hapo wamekua watoto tumepewa ni zawadi kutoka kwa BWANA wetu hivyo imetupasa kuwatunza MUNGU akubariki
You have a very good voice and using it well.barikiwa sana
Wimbo mzuri
Mungu akutetee na akupe mpenyo mapenzi yake yatimie kwako 🙏
Nafikiri mchungaji unahitaji kuendelea kumuomba MUNGU, Lakini pia turudi kwenye katiba ya MUNGU (BIBLIA) inasemaje kuhusu wanandoa wanapotengana na wote wawili bado wako hai? Biblia ndiyo mwongozo pekee wa wakristo wote. Pole sana
Amen ..Mungu nipo hapa nasubiria .kwa macho yangu siwezi kutambua.ila ww wajua
Mkeo Yukon wapi mtumishi was Mungu.
BWANA AICHUNGUZAYE MIOYO YETU NA VIUNO VYA KILA MMOJA WE2 KILA MMOJA WETU AJUA KILA HAJA YA MIOYO YETU ,NA AWEZAYE KUKUJIBU KABRA YAKUMWOMBA SAWA NA HITAJI LA MOYO WAKO,MKE,MWEMA SHUJAA WAIMANI KAMA YAKO, WAKUFANANA NAWEWE,YUPO TAYARI KABISA MPAKA SASA, KWAAJILI YAKO ila2 BADO KITAMBO KIDOGO SANA BWANA MUNGU ATAKUFUNULIA NINANI WAKUKUFAA NA MWAFANANA NAYE KILA KITU na YEYE ALISHAONYESHWA TAYARI ILA WW TU BADO HAUJAFUMBULIWA MACHO YA ROHONI NA YA MWILINI SOON MUNGU MTAKATIFU ATAKUDHIHIRISHIA UTAKABIDHIWA KITU CHEMA KIROHO NA KIMWILI ILI MPAMBANE KUIINJILISHA NENO LA KWELI NA TOBA YAKWELI ILETAYO ONDOLEO LADHAMBI ZA WALIMWENGU.SONGA MBELE,VUMILIAPO ZAIDI KIDOGO2 UTAMPATA MWENZI WAMAISHA AMBAYE HAUTOJUTA KUPEWA NA BWANA.AMEN.
Ujue kifo ndo kinatutenganisha ...wewe ni mtumishi wa Mungu kwaiyo waweza omba Mungu amrudishe maana ndio ubavu wako huyo...ukisema kuna mwingine anatoka kwa Bwana unamaanisha huyo uliyekuwa nae alitoka wapi....Ebu tuweni na Iman kuna kipindi Mungu anatupitisha ili tuwe imara kwa majaribu yotee...Hata huyo ajae majaribu ni palepale ndo hii dunia ya sasa tunayoishi.,...Mungu aendelee kusimamia ndoa yako
Sasa mmeanza kuimba wake zenu badala ya kumsifia YESU kumbuka mke wa kwanza ndiye Mungu anatambua mpaka afe ndio uoe vinginevyo jehanamu inakungoja
Yani mwenyewe sielewi kabisa
Amen wanajipitisha kinadelila lengo waninyoe nywele nikikosa nguvu wanitoboe macho
Pole sana mungu amesikia maombi yangu na mapenzi yake yatumizwe
Mi ningekupenda kweli
Sara unaishi wapi?
Mungu ni mwema wakati wake ukifika atakupa
Pole kaka nahsi ulishawahi kusema kuwa umepoteza nguvu za kiume ilakwa wanawake waleo kuvumikia bila tendo miez mi3 tu nishida huyo alie enda muache aende mungu atakupa wakufanana nawewe
Yeah
Mungu akupatie itaj i la moyo wako
Amen amen amen.mungu atakupa.
Soo painful mtumish pia mm nangoja 19yrs now tangu mumewangu afariki😢
Muombe Mungu amrudishe mkeo mlee watoto,alikuvumilia wakati unaumwa ni jaribu hilo
Mungu akupe mke mwema
Pole mtumishi Mungu akutie nguvu
Barikiwa mtumishi wa Mungu.
Mungu ajibu maombi yako.
Wimbo wa faraja Amina
Pascal kuna mtego hapo
Pole kwa kwa mapito ila kwenye uvumilivu kuna baraka kubwa sana mbele yako kwani kwasasa nisawa nazahaba inapitishwa kwenye moto ili itoke safi hivyo mungu atakupa ulie fanana nawe kwani mke mwema anatoka kwa bwana
Mapema sana hivi mtumishi
Kila jambo lina jawabu lake, bali kwa maamuzi mema na subira. Cha msingi, ni kuomba dua kwa Mola akupe akili na maarifa ya kuchakua kilicho
jema na Cha kukupa heri maishani mwako.
Yani kila kitu mpaka uweke social media , uwe unatulia
Kwani ni kosa kisheria??
😂
Wacha atulize moyo wake
Songa mbele kaka na kaz ya Mungu
Songa mbele na kaz ya Mungu kaka
Ameen kwa wimbo mzuri
Mungu akupe amani
Pole mtumishi ni mapito furaha yako ikaribu
Ameni, pole pia
May ur Eva who was made from Adam may the Lord bring ur Eva who is made for ur ribs❤❤Wengi kwalia to hv right men's to marry others they're crying for wife's God time is the best patient do pays🙌🙏
Mtumishi Bwana atakupa usijali
Kabisaa
Pole cassin yesu ni jibu
I'm Single mimi hapa.
Amen 🙏
Nikwapa njooni uniwowe🙏🙋
Dah! Angalia ijekua ww naye nimiongoni mwaokina derira my dear mwulize Mungu
Barikiwa
May God here your prayer
Amen amen
Cassian bado mapema San, subiri japo mwaka mmoja for now sio sahihi, kaa na Bwana katika kipind hiki , it may affect your ministry
Kwani imekuwaje mbona alikuwa na mke??
Kisa na mkasa mkeo kukimbia Nini ???? Isiwe ni ww
Akipata ajali akapoteza nguvu za kiume nahisi ndo tatizo 😊
God's will will be done
Ingekuwa nabii au mtume limekuta lingehubiriwa mwaka ila kwa sababu ni mtumish wamungu mtakatif kuliko wote tuseme tu bwana yesu asifiwe jaman
Mtakatifu kuliko?
We limbukeni kama huna Cha kuandika tulia aliwahi SEMA wapi yy ni mtakatifu kuliko wote ..ww nao miongoni mwa walipofushwa macho na hao manabij na mitume wa kuzimu ..hujielewi kabisa
@@osanamgallah4297 huo ulimbuken anao mchungaji wako ameshindwa kuangalia ndoa yake anashinda anahubiri wenzie kaachika sasa
@@felisterandrew8741 wote
@felisterandrew8741 eti kuliko wote..😮😅😅hatari sana..mtu anahukumu kabisa yaani duh😢
Amen
Inawezekana ameshindwa kukuvumilia kutokana na itikadi zako za ujuaji wa kila kitu, kama aliweza kukuvumilia ulivyokuwa unaumwa na wewe ukakiri imeshindikana vp sasa,, Huwezi jua yawezekana ni majibu ya hao watumishi unaowatukana humu kila siku. Wao pia wana Mungu na wapo kwa kusudi la Mungu hakuna aliyejileta.
wafilipi 4:5
Mke amekufa ndio uko single unatafuta
Kiukweli hajafa ila alishatembea zake
😮😮😮?
Am also single xo we can mingle 🎉
Check on me
😅😅😅@@nicklasndabiyeho6650
😂
Mungu akupatie itaj i la moyo wako
Mungu akupatie itaj i la moyo wako
Mungu akupatie itaj i la moyo wako