Huyu ni Mtumishi wa Mungu aliyetoka nje ya box kwa ubunifu wake kwa njia ya kipaji chake Cha uimbaji kuelimisha kundi Fulani la watu na kuwafariji.Ukiona hujabarikiwa na huu wimbo ujue haujakulenga wewe lakini hakika Kuna watu wameguswa moyo kwa huu wimbo kwasababu mwili huitaji kupata majitaji yake,nafsi na Roho pia.Balance ikikosekana katika maeneo hayo hukosi kupata shida.
Mimi anaitwa blessed anatoka madafu asante kwa nyimbo yako nuzuri sana na mungu akubariki sana .paschal cassina ameni asante sana kwa nyumbo yako nuzuri sana
Mimi naona hana mke tena . Yeye na Tembo Jeshi wote ni Single man . Sijaona anamtambulisha mkewe hata siku moja akiwa kwenye injili au gospel song's zake.
Iwapi hekima na maarifa yale yaliyotumika kutunga nyimbo kama turudi, Ona wanavyomwabudu, parapanda na mbona nyimbo hizi zilikuwa na ujumbe usiokinzana?
Wow 😳 Asante sana mtumishi wa mungu hakika mungu amekujakua kweli nyimbo zote anazoziimba hakika ziko na ujumbe msuri sana fanya Kaz ya mungu ndugu barikiwa sana mtumishi wa mungu Asante 🙏🙏
Mbona watu tunachanganya vitu kuliko tusikie maneno kwanza tunaanza ku comment na maswali Yeye mtumishi alifafanuwa vizuri 2 days ago kuhusu huu wimbo na watu waelewe sababu ya yeye kuimba huu wimbo na akaelewesha kweri
Amen Amen 🙏🙏🙏hiyo song n wangu mimi, bado nasubiria mungu kunipa ubavu wangu,Amen barikiwa sana mwinjilist imeni nimeiweka kwa mungu ndo mwenye jib kwa maswali yangu
Hii ni Kwa wale walioma kiroho usitazame muonekano sikiza message baba mchungaji najua unapitia Hali ngumu kutokana na vitu vigumu mambo mazito yatokelezayo lkn mungu wetu sio athumani kazi njema barimiwa
Inawezekana Pascal ni Single kabisa. Kwasababu aliwai kusema hatazaa tena mtoto mwengine. Sasa sijuwi alijiunga na hile neno ya uzazi wa mpango au ni kufuatana na matibabu aliyo pitia pale India ulizofisha kizazi? (Mimi sijuwi. )yeye anamajibu. Nivizuri ajitokeze na mkewe hazarani ili watu waone kama wimbo huo ni ujumbe kwa wengine ila siyo yeye kajiimba .
❤❤❤wimbo unaniguza moyo... nakunifundisha kwamba Mungu ndiye awezaye kukupa chema na cha kudumu... Macho yangu kwako Yesu... Amina mtumishi ubarikiwe sana.... Wako ako tayari Mungu amekuchangulia ❤
Ndio yaan nilikuwa nikihubili mitaani natolea na mfano wa mke wa pascol maana alihudumia sana kipindi chamatatzo .mm naomba pascal ajitokeze na mke wake tuwe na aman maana mm sinahamani kabsa
😂😂😂😂😂 haki watu hawachoki na maswali. Mahubiri huwezi ona comment nyingi au swali kuhusu kilichohubiriwa, ila wakisikia, "am single" yanatiririka kwa wingi. Anyway, if u know u're single, these is ur prayer request to God.
Mtumishi wa Mungu huna Mke ama ? Nataka kujua maana kipindi kile ulipo pata ajali ulikuwa na Mke wako. Ao unaimba kama kuimba tu kwa kweli mimi nataka jua zaidi ?
Confused? Even his songs are loosing taste...I'm not sure if it's the same mind yenye ilitubariki na nyimbo ya wambieni watu, Turudi, Ona wanavyo mwabudi..siku izi amejawa na Kiki na propagandi mingi ata aeleweki..
Huyu ni Mtumishi wa Mungu aliyetoka nje ya box kwa ubunifu wake kwa njia ya kipaji chake Cha uimbaji kuelimisha kundi Fulani la watu na kuwafariji.Ukiona hujabarikiwa na huu wimbo ujue haujakulenga wewe lakini hakika Kuna watu wameguswa moyo kwa huu wimbo kwasababu mwili huitaji kupata majitaji yake,nafsi na Roho pia.Balance ikikosekana katika maeneo hayo hukosi kupata shida.
😢taxwtx4xwsdw😮
Mungu akupe haja ya moyo wako,barikiwa Sana Mtumishi wa MUNGU 🙏🇰🇪🇰🇪
Aman amen 🙏 🙌 👏 ❤ piga injili baba utalipwa tu huenda kule mbinguni ukawa katibu😅❤❤🎉
Dah hii kweli, kosea kingine ila usikosee kwenye kumchagua akufaaye, watu wanalizana sana kwenye hizi ndoa, msubiri utakayeletewa na Mungu.
Walahi na mm mungu anipe mume wa ndoto zangu mungu anichagurie
Ujumbe mzuri sana kwa yule anayeelewa mambo ya kiroho be blessed mtumishi wa mungu pascal cassian napenda sana nyimbo zako.Esther from kenya
Amina mtumishi wa mungu nyimbo hii imenigusa sana nami naomba pia azibariki ndoa zetu ❤❤kwa jina la jesus so that we can finish the journey safely🎉
Nikwel usiulazimishe nafs
Mungu atusaidie macho ya Rohoni tuwatambue kwa usaidizi wako Ee Mungu wangu
Barikiwa mtumishi hapo unatufundisha sisi tusubili chema kutoka kwa Mungu ubarikiwe Sana kwa kutupa kujifunza
Amen amen my song god bless you a love you
God bless me too with my soulmate I'm tired being single
Amen
Wimbo nzuri sana wenye mafunzo ndani yake barikiwa mtumishi wa Mungu
Wimbo ni mzr unaujumbe wakuponya,Kwakweli ni Mungu tu mwenye macho sahihi yakuona make sahh kwako
Yani nimejikita kichwa kinasisimka hivi 🎉🎉🎉kaz nzur nyimbo nzur
Pole.. pole sana... Najua kuatu chako hakuna wa kukivaa... Na ndo wanawake walivyo😢
Kila lakher mtumishi bado tunabarkiwa nawew
Niowe mm mtumishi
Mungu wangu I'm waiting for my own husband 🙏🙏 Amen
Mungu wa Mbinguni akukumbuke Mtumishi. BWANA AMESIKIA , ATAKUJIBU KWA WAKATI WAKE.
Mungu akubaliki mtumishi nyimbo za
Ko zinaujumbe mzuli sn
Mimi anaitwa blessed anatoka madafu asante kwa nyimbo yako nuzuri sana na mungu akubariki sana .paschal cassina ameni asante sana kwa nyumbo yako nuzuri sana
Tu LIKE wapendwa ku sapoti mtumishi wa Mungu wapendwa
Mungu akufariji
❤ Barikiwa
Hubarikie mtumishi
Kongole brother
🙏🙏mungu atakupa anaekufaaa mtumishi
Oh Hallelujah 🙌 am single God please remember me 🙏 this song is so wauh 🥰 in love with song ❤️❤️🇰🇪🇰🇪
🙏🙏🙏🙏
Amina San❤❤❤❤
Ubarikiwe sana huu wimbo umenigusa
Mimi naona hana mke tena . Yeye na Tembo Jeshi wote ni Single man . Sijaona anamtambulisha mkewe hata siku moja akiwa kwenye injili au gospel song's zake.
😂😂😂😂😂😂Jameni
Tunashukulu kwa wimbo unatugusa sana lohoni
Ilove your songs mtumishi,,may God continue using you aa His vessel,, listening from kenya
Halleluya.halleluya niko hapa na mimi yesu nakusubiria...Mungu ailinde huduma hii ubarikiweno
May God keep helping you man of God
I like this video God bless evermore your work man of God Paschal Cassian
🇲🇿🇲🇿
Mbeba maono hafi hadi afikishe ujumbe sehemu husika, Mungu azidikukutumi mtumishi,
Ameni
Nyimbo hii niyangu hakika
Soo good song
GOD RICHLY BLESS YOU PASTOR PASCHAL 🙏🏽🙏🏽
Wimbo mzuri sana mtumishi wa mungu ira tuweke wazi kweri upo single ? 😅
Umemuelewa mtumishi😂
😢no haja maanisha ako single why can't you understand you people of God.he use the song to open people who are married and who are single
Mungu atutane naonja ya moyo wako
May GOD bless us pia wenye tuko single
God bless you and i love your song pascal from USA🎉
Iwapi hekima na maarifa yale yaliyotumika kutunga nyimbo kama turudi, Ona wanavyomwabudu, parapanda na mbona nyimbo hizi zilikuwa na ujumbe usiokinzana?
Mtumishi umetuchanganya umeandika lyrics alafu hamna hizo lyrics kijana
Wow 😳 Asante sana mtumishi wa mungu hakika mungu amekujakua kweli nyimbo zote anazoziimba hakika ziko na ujumbe msuri sana fanya Kaz ya mungu ndugu barikiwa sana mtumishi wa mungu Asante 🙏🙏
Ulikuwa dani ya roho pastor nimekutana mmoja mwenye sura zuri kube amejaa uongo moyoni mwake?
Mbona watu tunachanganya vitu kuliko tusikie maneno kwanza tunaanza ku comment na maswali Yeye mtumishi alifafanuwa vizuri 2 days ago kuhusu huu wimbo na watu waelewe sababu ya yeye kuimba huu wimbo na akaelewesha kweri
Amen ubarikiwe
Am in marriage 😂😂😂
Mungu atakupa mtumishi
Amen,amen ubarikiwe mtu wa Mungu
Mungu atimize ndòto ya moyo wako barikiwa sana
Amen Amen 🙏🙏🙏hiyo song n wangu mimi, bado nasubiria mungu kunipa ubavu wangu,Amen barikiwa sana mwinjilist imeni nimeiweka kwa mungu ndo mwenye jib kwa maswali yangu
I'm here Mungu nipe mume mwema anaekujua wewe na kukuogopa
Mungu kumbuka kaka yetu 😅🙌❤
😂😂😂 Mungu yupo nawewe kaka
Amen amen 🙏🙏🙏 barikiwa mutumishi
Wimbo unanichekesha ila ni mzuri🤣🤣, ilo UA unalo lishika mkononi sasa 😂
Ngoja remix yake ashirikishwe Konde boy ndo utacheka zaidi na vile jeshi akikohoa koh koh koh koh ndo kbs🤣🤣🤣🤣
Kwaukweri wimbo umenichanganya sana single Sisi tunajua yakwamba mtumishi una mke sasa hatuelewi kabisa kwanini umeimba wimbo kama huo?
Kuimba am single imaanishi anajiimbia hii ni injili kwa kila mtu
Art is creativity
Good Pastor❤
Mungu akubariki kaka
So.nice❤❤❤❤❤
Hii ni Kwa wale walioma kiroho usitazame muonekano sikiza message baba mchungaji najua unapitia Hali ngumu kutokana na vitu vigumu mambo mazito yatokelezayo lkn mungu wetu sio athumani kazi njema barimiwa
Amen amen 🙏🙏🙏🙏
God remember me🙏🙏🙏🙏
Hii ni Gospel song pia ama tuieke category gani ?
Ubarikiwe sana🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Yes am single
Ameen ameen
Aminaaaa blessed sana
Kibiblia ukiachana na mwanamke unatakiwa usubilie mpaka afe ndo ndo uje uoe ko kama unafuata biblia subilia afe ndo uje huoe
Absolutely
Kweli muke ambae alivumia mateso yote unaweza imba kweli kwamba hauna muke 🤷🏻♂️🤦🏻♂️🙆🏽♂️
Inawezekana Pascal ni Single kabisa. Kwasababu aliwai kusema hatazaa tena mtoto mwengine.
Sasa sijuwi alijiunga na hile neno ya uzazi wa mpango au ni kufuatana na matibabu aliyo pitia pale India ulizofisha kizazi? (Mimi sijuwi. )yeye anamajibu. Nivizuri ajitokeze na mkewe hazarani ili watu waone kama wimbo huo ni ujumbe kwa wengine ila siyo yeye kajiimba .
Hakukuwa anaimba kuhusu yeye aliimba tu kwa wale bado wangali single ili Mungu awachagulie wakuishi nao
Ni yeye
Mkeo alifaliki?
Amen very powerful with wonderful messages in it ❤
❤❤❤❤
❤❤❤wimbo unaniguza moyo... nakunifundisha kwamba Mungu ndiye awezaye kukupa chema na cha kudumu... Macho yangu kwako Yesu...
Amina mtumishi ubarikiwe sana.... Wako ako tayari Mungu amekuchangulia ❤
Amina kaka na mm nitasubilia mke mwema
❤
🔥🔥🔥🔥
I love it
💯💯💯💯🙈❤️❤️❤️
Mtumishi wa mungu kuwa wazi kwawatu mkeo alikuhacha hau mbona ulivyo pata ajali ulikuwa naye kulikoni sasa tunashindwa kuhelewa
Ndio yaan nilikuwa nikihubili mitaani natolea na mfano wa mke wa pascol maana alihudumia sana kipindi chamatatzo .mm naomba pascal ajitokeze na mke wake tuwe na aman maana mm sinahamani kabsa
@@komandowainjiliyayesu mwanamke alimkimbia mtumishi
Ooooh jaman
Hata mimi kaniachia swali hapo
@@mestonisimzosha203 Tunaomba atuambie jmn
Barikiwa na bwana mtumishi
😂😂😂😂😂 haki watu hawachoki na maswali. Mahubiri huwezi ona comment nyingi au swali kuhusu kilichohubiriwa, ila wakisikia, "am single" yanatiririka kwa wingi. Anyway, if u know u're single, these is ur prayer request to God.
Hayuko single ameimba kwa niaba ya wengine huyo Ana mke na watoto wawili
Mtumishi wa Mungu huna Mke ama ? Nataka kujua maana kipindi kile ulipo pata ajali ulikuwa na Mke wako.
Ao unaimba kama kuimba tu kwa kweli mimi nataka jua zaidi ?
Ana mke huyo na amemuuguza sana
Confused? Even his songs are loosing taste...I'm not sure if it's the same mind yenye ilitubariki na nyimbo ya wambieni watu, Turudi, Ona wanavyo mwabudi..siku izi amejawa na Kiki na propagandi mingi ata aeleweki..
Mungu akuchagulue mke kama Ruthi ambae alimfaa Boazi kwa kipindi kile🥰🥰🥰
❤❤❤❤❤
i love it
😍😍😍😍😍
❤❤❤❤