Amen, Hallelujah! Glory to Jesus. Ulichanguliwa kati ya wengi kwa ajili ya kuhubiri kweli ya Kristo. Na watu hawajui ni wewe tu uliyebaki kuutangaza ukweli kupitia nyimbo na mahubiri! Siku ipo na inakuja watabaki kuulizana tumpate wapi yule mtumishi wa Mungu. Hakika ubarikiwe sana, hakuna mahali utapata mwimbaji anayeimba kweli maana wengi wamechukua Yesu kama sim unamuweka kwa mfuko na uku unaenda kwa pombe au uasherati... upandishwe palipo inuka nyimbo nikama huu sasa.... continue with the same spirit God Is with you always. Mbinguni ni furaha tu wimbo kama huu unaposikika hapa duniani
#0766998994 #call0688199370 #0788871769 #0688199370 Shalom wimbo huu ni wimbo PENDWA SANA KATIKA MOYO WANGU na sababu ya kuupenda ni ULE uvuvio uliomo NDANI yake kuanzia KATIKA utayalishaji mziki Hadi KATIKA utunzi uimbaji merodi hivyo na Imani huu wimbo utabadilisha moyo wako ukiupa sikio kwa Mara kwa mara pia unaweza kusbaza link hii KUWA okoa weng fanya kadili uwezavyo
amina kubwa sana m2mish wa bwana mala nyingi nimekuwa nikijilecod nyimbo zako nakuimba kwasababu napenda sana huduma yako piah nataman niimbe kama wewe barikiwa sana shujaa wa iman hakika binafs nakukubali sana paschal mungu wa mbinguni azid kukupa nguvu na ushind siku zote
Hivi watu hawaogopi kufungwa jamani. Je kweli wanauhakika kwa haya. Mama mwenyewe kanyamaza, tunajua ana maana sana kwenye hili hivyo ni vema kukaa kimya
Amen, Hallelujah! Glory to Jesus. Ulichanguliwa kati ya wengi kwa ajili ya kuhubiri kweli ya Kristo. Na watu hawajui ni wewe tu uliyebaki kuutangaza ukweli kupitia nyimbo na mahubiri! Siku ipo na inakuja watabaki kuulizana tumpate wapi yule mtumishi wa Mungu.
Hakika ubarikiwe sana, hakuna mahali utapata mwimbaji anayeimba kweli maana wengi wamechukua Yesu kama sim unamuweka kwa mfuko na uku unaenda kwa pombe au uasherati... upandishwe palipo inuka nyimbo nikama huu sasa.... continue with the same spirit God Is with you always. Mbinguni ni furaha tu wimbo kama huu unaposikika hapa duniani
#0766998994 #call0688199370 #0788871769 #0688199370
Shalom wimbo huu ni wimbo PENDWA SANA KATIKA MOYO WANGU na sababu ya kuupenda ni ULE uvuvio uliomo NDANI yake kuanzia KATIKA utayalishaji mziki Hadi KATIKA utunzi uimbaji merodi hivyo na Imani huu wimbo utabadilisha moyo wako ukiupa sikio kwa Mara kwa mara pia unaweza kusbaza link hii KUWA okoa weng fanya kadili uwezavyo
Wacha nifanye hivyo baba...., niisogeze injili hata kwa kusambaza link TU, Mungu akubariki sana.
amina kubwa sana m2mish wa bwana mala nyingi nimekuwa nikijilecod nyimbo zako nakuimba kwasababu napenda sana huduma yako piah nataman niimbe kama wewe barikiwa sana shujaa wa iman hakika binafs nakukubali sana paschal mungu wa mbinguni azid kukupa nguvu na ushind siku zote
Wimbo wa injili mzuri sanaa, nyimbo za hivi zimekuwa chache sana,
Mungu akubariki sanaa mtumishi wa Mungu Paschal.
❤
🎉amina
Shalom, Mungu wa mbinguni na azidi kukutunza sana mtumishi wake...... Hakika yadunia hayashibishi baba.... Asante sana Kwa ujumbe rafiki yangu.
Wimbo unaanza tu nimeshabarikiwa my God Mungu akubariki kaka yangu
Kabisa wimbo una bariki sana
Tumpe Yesu utukufu wote
Kabisa kweli Mungu anatenda
Niliusubr jmn daaah bad tumezoea
paschal ni mwimbaji kweli kweli haki ya mungu ukikosa nyimbo yake moja kwenye simu yako. Ni hakika hupendi nyimbo za injili zenye ujumbe ulionyooka
Ubarikiwe sana Mtumishi Kwa Ujumbe mkubwa katika kizazi hichi 🙏
Mungu anisayidiye niyashibe ya ulimwengu Mungu akubariki.
Aame
Wimbo mzuri unaujumbe sana ubarikiwe mtumishi was Mungu
Amen Amen Baba Jimmy nice song 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
So talented and annointed all the best in his carrier
hakika nyimbo hii iko saf hujawai feli kamanda shujaa wa iman mungu akutie nguvu sanaaaaa tena sanaaaa nakukubali sana paschal 👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻👍🏻
Wabalikiwe wazazi waliokuzaa nitakuombea nitaiombea familia yako usiogope usiogope Mungu yupamoja nawe
Amen mungu akubariki na hakuzidishie kuambia watu ukweli 🙏🙏🙏🙏🙏
Tuko pamoja san mtumishu mungu azd kukulinda
Namna navyo kupenda mtumishi wa bwana yesu christo
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu.
Mbarikiwa mwakipesile kale nilitembea
Hivi watu hawaogopi kufungwa jamani. Je kweli wanauhakika kwa haya. Mama mwenyewe kanyamaza, tunajua ana maana sana kwenye hili hivyo ni vema kukaa kimya
Asante mungu endelea kumutumia mtumishi wako atupe matunda ya kiloho
Ubarikiwe na MUNGU AZIDI KUKUTUMIA
Asante kwa ujumbe mzuri,unatukumbusha uwepo wa Mungu. " Huwezi kushiba ya ulimwengu"😢😢😢😢
Wanailipia jehanamu wameghalamia dhambi duniani wakisubiri matunda ya jehanamu barikiwa mtumishi wa BWANA MUNGU akuinue zaidi
Yani mtumishi MUNGU nakuombea azidi kuku epusha na wabaya
Yanini kusumbukia yaulimwengu😊
Amen barikiwa mtumishi
Nabarikiwa san mtumishi
Ongeza Saudi mtumishi 😅
Amina Mtumishi wa Bwana ubarikiwe
amen amen mtumishi wa Mungu barikiwa sana na Mungu azid kukuinua Kwa viwango vya juu🙏🙏
Ubarikiwe baba 🙏🏻🙏🏻🙏🏻😭🕊️
Mungu azidi kukuinua
Wimbo unanikumbusha ibadaaa ubarikiwe sanaaa mtumishiii ❤❤❤❤❤❤
Mungu asifiwe
Nyimbo nzur MUNGU Akubariki ndugu
Kaka kwakweli mungu kakupa kipaji Cha uimbaji kwa kweli mungu azidi kukubaliki
Amina mtumishi
Heri kutumia pesa kuutafuta ufalme wa mbinguni. Vya ulimwengu vitabakia papa hapa.
YESU atukuzwe kwa kazi njema mwana wa MUNGU
Amena dunia nimatata
Kazi kubwa kamanda wangu ubarikiwe sana
Amen Asante kwa kutuletea nyimbo za zamani tusizisahau kabisa.
Ubarikiwe sanaaaaaaa Mtumishi wa Baba Kwa ujumbe mzuri
Mungu akubarik sana
MUNGU abariki huduma yako
UBALIKIWE SANA MKUU SEMA SIJUI KWANINI UMEIPOTEZEA ALBAM YA KIAPO CHA DAMU MI NAAMINI SHETANI HAWEZI KUWA NA NGUVU KWAKO ⛪📖ACHIA FIMBO HIYO IWATANDIKE
Nyimbo nzuli sana hii ila mtumishi kiapo cha dam tunaisubili sana
Umenikumbusha tukiimba kwaya mtumishi wa mungu umekaribia sana 😊
Mungu akubariki Sana mtumishi wa Mungu pascal cassian 🇿🇦
Jumbe zako ndio hunikosha
Amina ubarikiwe sana 🙏
Nyimbo inafutisha na inailimisha balikiwa mtumish🙏🙏🙏
Asante mtumishi ujumbe umefika kazi kwetu kuchangua kuutendeea au kuupuzia kazi kwetu
Kiapo cha damu naisubili kwa hamu sana,
Hakuna ajue kesho, acha kesho ijisumbukie yenyewe
Barikiwa mtumishi ...
Amen, ukweli kabisa barikiwa Sana
Amen 🙏
Amen
Amina
Izi ndo nyimbo za injili, so mbona kama naota
Mkuu mbona hujampa credit mwenye wimbo??
Au amekuuziaa copyrights??
Back in Early 2000s Neema Ibrahim sang this song
AMINA
❤❤❤❤
❤
Good san
Amen
Ameeen
❤❤
Amen
Amina
Amen