Yes tutafunga kwa sababu saum yaumu ARAFA haiusiani na mahujaji kabisa. Hakuna saumu ya mahali Saumu ni za zama Juma tatu ni za zama si mahali Alamisi ni zama c mahali Taasua na ashura ni zama sio mahali Ramadhani ni zama si mahali Etc. Na ARAFA ni cku ya tisa ya dhulhija sio mahujaji wakisimama nyie fungeni hakuna Hadith hio. Hadith aliokuako mtumi aliulizwa ARAFA ni lini ? Jawab akasema TISA MIN DHILHIJJA
Hiyo zamani ndio Asili yenyewe...kwa sababu tuliungana kwa njia ya Rahaa .... Nyumba moja Msikiti mmoja hivi sasa munachuki ndani ya nafsi zenu kila mmoja kasoma
Ajabu munalizima kufuata saudia hata wenyewe wamewambia fuateni mwezi na Utheimin na Asim mpaka Albani mbona hamuelewi au ni summun bukmun umyun miwahabi.
jamani si uwahabi ndiyo una makosa..ni hawa watoto wetu wakienda madina huwa wanakuja na mambo waloelewa wao...mwapeleka watoto madina waliofail kwenye secular kisha mwa expect wa elewe dini haiwezekani..mashekhe wa suudiya wenyewe wana tafautiana na hawa watoto wetu walofundishwa madina..na bado ni washindani
Mwanzo wa hii video kumewekwa clip ya Utheymeen akielezea kuwa arafa ni moja na nilazima kufuatwe maka, sasa inakuwaje useme msimamo wa Utheymeen na wenu ni mmoja?
𝗝𝗲 𝗺𝗮𝘀𝘂𝗳𝗶 𝗺𝗸𝗶𝗼𝗻𝗮 𝗺𝘄𝗲𝘇𝗶 𝗸𝗮𝗯𝗹𝗮 𝘀𝗮𝘂𝗱𝗶𝗮, 𝗔𝗿𝗮𝗳𝗮 𝘆𝗲𝗻𝘂 𝗺𝘁𝗮𝗳𝘂𝗻𝗴𝗮 𝗸𝗮𝗯𝗹𝗮 𝗺𝗮𝗵𝘂𝗷𝗮𝗷𝗶 𝗸𝘂𝗳𝗶𝗸𝗮 𝗔𝗿𝗮𝗳𝗮𝗵??
Wallah nimemuelewa sana jamaa aloongea mwanzo alosimama na kitabu kuliko huyu sheikh alokuwa akiongea sana
Yes tutafunga kwa sababu saum yaumu ARAFA haiusiani na mahujaji kabisa.
Hakuna saumu ya mahali
Saumu ni za zama
Juma tatu ni za zama si mahali
Alamisi ni zama c mahali
Taasua na ashura ni zama sio mahali
Ramadhani ni zama si mahali
Etc.
Na ARAFA ni cku ya tisa ya dhulhija sio mahujaji wakisimama nyie fungeni hakuna Hadith hio.
Hadith aliokuako mtumi aliulizwa ARAFA ni lini ?
Jawab akasema TISA MIN DHILHIJJA
Msikilize na huyu utafahamu zaidi th-cam.com/video/aMI9zm7gpgA/w-d-xo.htmlsi=SKywQlafwbolALYz
@@sharaful-anaam138
@@sharaful-anaam138 ndiyo maan mkaitw nyie ni masuffiy japo mwaumia ila nyie nimasufi
@@swalehmohamedwaziri7499 hapo ulipotaja "yawmu Arafah" ndio umerudi huko huko unapo kataa
Ww Wajua ikhtilafu matwalii nini nan kakwambia kua ikhtalfu matwalii ni umbal wakilomota
Jazakallahu khairan maneno yenye kueleweka Allah akuhifadh Sheikh Abdul Fadwl
Sheikh kusoma na kuelewa ni vitu viwili tofauti kabisa
Hehehe Uthaimin pia amesema watu wafuate mahali panapo tokea tokeo la hajj...ukimuona ndio nini..
الله يحفظك بارك الله فيك وفتح الله عليك
Hiyo zamani ndio Asili yenyewe...kwa sababu tuliungana kwa njia ya Rahaa .... Nyumba moja Msikiti mmoja hivi sasa munachuki ndani ya nafsi zenu kila mmoja kasoma
Wapo wamemuona mutume mohamadi s.a.w nawalimukataa itakuwa sufi
Nyinyi mnao Sema mwafuata masalafi mbn Sasa technology ndio masalafi wenu 😂😂😂msiba kweli
Wap hadith imesema kua mwez wa dhulqaadah watu wafuate makka
Msipate tabu anaefuata teknoloji na anaefuata alivyofanya Mtume s.a.w. yupi yuko sahihi?
Kama naweza kukuekea Video ya uthaimin aongea kwa hilo suali.
Ana ame toa qauli nyengine kuwa tufuate sehemu ya tokeo.
Ndo mana tukaambiwa karne zilopita zilikuwa bora kuliko Sasa. Jambo la kufata mahujaji wakisimama haliına aya wala hadithi ni porojo tu
kama unavyoporoja wewe hapa
Masha Allah Abul fadhil
جزاك الله خيرا
Masuffiy maghurafi masufuria
Ajabu munalizima kufuata saudia hata wenyewe wamewambia fuateni mwezi na Utheimin na Asim mpaka Albani mbona hamuelewi au ni summun bukmun umyun miwahabi.
Yupi tuoneshe masufi wameonesha
Kwanza susi tunafuata mwezi wa Jamaica 😅😅
Ungejibu hoja kwanza icho kitabu vp uongo au sio maneno mwngi
Wewe hauna lolote we umemuakhaalifu mutume alifunga arafa wala hakufunga siku ya kusimama mahujjaaji
😂😂😂😂😂😂
Kwaivo iyo zaman awakufunga haikukamilika mpaka TV sim jaman nyinyi cndio mwafata sheria kwaivo dini haiku sawa?
الله مستعان
MASUFI NI MASHIA
Lakini hiko nikitabu cha sheikh wenu simaneno yake
Wewe leta wa shekhe wako tuskie asemaje na Kwa dalili gani
Uhizby ni mzigo mkubwa
Mtabakia hivyo hivyo,acheni kufuata hawaa zenu,Allah anazijua kalbi zetu,nini kilichojificha,unajihangaisha kuwafarakanisha,chuki za nini kwa saudia??haitokusaidieni chochote
Usufi ni mzigo mkubwa
Hakuna mafungamano hata ukitokwa na mate
uwahabi uchafu umekuja kuchafuwa dini hawana kumfuata mtume hawa
jamani si uwahabi ndiyo una makosa..ni hawa watoto wetu wakienda madina huwa wanakuja na mambo waloelewa wao...mwapeleka watoto madina waliofail kwenye secular kisha mwa expect wa elewe dini haiwezekani..mashekhe wa suudiya wenyewe wana tafautiana na hawa watoto wetu walofundishwa madina..na bado ni washindani
Sasa ww wamufuta mutume gani kujaa kwenye uzushi hivo ww na usufi wako
Kama wewe ujionavyo unailimu
Kama sisi ni masufi maghurafi hata mohd swaleh aluthaimin pia ni sufu na ghurafi kwa kwa sababu simamo wake na wetu ni mmoja katika swali la arafa
Mwanzo wa hii video kumewekwa clip ya Utheymeen akielezea kuwa arafa ni moja na nilazima kufuatwe maka, sasa inakuwaje useme msimamo wa Utheymeen na wenu ni mmoja?