ALIYEKUWA AKILETA NYOKA WA KICHAWI KANISANI AKAMATWA NA HIRIZI NYEKUNDU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- ALIYEKUWA AKILETA NYOKA WA KICHAWI KANISANI AKAMATWA NA HIRIZI NYEKUNDU
#peace #scripture #biblestudy #photooftheday #instagood #music #o #praise #travelphotography #kirche #igreja #life #nature #italy #chiesa #inspiration #churches #history #sunday #iglesia #picoftheday #bhfyp #family #instagram #jesuslovesyou #cathedral #photo #community #landscape #jesussaves
Mungu akulinde nakupenda bure baba
Amen
Amen Amen Amen
Nakupenda sana mtumishi wa mungu ninazawadi yako
Baba kazi yako ni njema na mwenyezi mungu aendelee kukutumia kutusaidia,baba imi naomba uniombee na familia yangu hatuna amani wala fulaha tumekuwa ni watu wakutengeneza maneno ya kutuumiza wenyewe na tunashindwa hata kusaidia,baba naomba uniombee pia mahusiano haya niliyonayo.
Nabii kwanza napongeza kazi yako naona mungu akikutumia vizuri,
Mimi kwa majina naitwa Francis John Naomba unisaidie kwa maombi kwani mambo yangu kiuchumi umeyumba sana kila ninapo Pata kazi sidumu katika kazi nikifanya biashara zinakufa tu, kazi hazipatikani mke wangu anaumwa sana na meno, mwanangu mkubwa ameshahangaika sana kutafuta kazi hapa
TAFADHALI sana nabii nisaidie katika swala Zima la kiuchumi nirudi kama mwanzo ubarikiwe sana baba
Mbwana Yesu asifiwe mchungaji naomba umwombee mjukuu wangu haongeei vizuri. Sasa hivi anamiaka 7 naomba msaada wako Niko Arusha
Mungu akutie nguvu m2mishi niombe na matatizo na watoto wangu naomba mungu awatulize maana wanahangaika Sanaa naitwa yasinta p kimario
Amen amen 🙏🙏🙏
Kazi zako baba ninzuri sana naomba unganishe familia yetu na vile vile mm nawaombea sana familia yangu matokeo yake naitwa mchawi baba niombee kama nimchawi bila kujua sipendi uchawi wachiwi wabaya nami kama mchiwi nife
Mtumishi wa mungu naomba kuniombea
Nice🎉🎉🎉
Yesu yupi ,tamka kwa jina la Yesu kristo mkombozi wa ulimwengu.
Akufe katika jina la yesu
Njoo Arusha mtumishi watu wapone....Umeitwa na Mungu kufanya kazi hii...wanaokupinga ndio wachawi namba moja...walipue
Amina
Mungu akuongeze zaidi
Kazi Nzuli Baba
Nabii mungu azidi kukulinda zaidi kwa kazi ya mungu unayoitenda wengi wanafunguliwa wengi wanaponyeka nami nitende Nabii mambo yangu yafunguke Kila kilichofungwa kifunguliwe kiuchumi kiafya ni Mimi Robert Mathias milamba nipo Temeke Mbande
Wewe acha upumbavu amna kitu hapoo
Amina Baba yetu
Amina sana
Amen baba
Baba mungu akuzidishie nguvu zaid.tuombee nas tuijue kweli yake.
Mimi sitaki kujua kama ni mganga au mchungaji ila ninachotaka wachawi wote wafe.
Baba kwa jina la Yesu anayekutumia nami naomba unisaidie kaka yangu anaumwa Mungu na alishakatwa mguu mmoja na Sasa wapili anatakiwa kukatwa nisaidie vilevile Mtoto wangu simuelewi ameisha udhurua hapo kwako naomba unisaidie baba
Baba.mungu naakubari naomb muombe bitiyangu hasiki..masikio
Mtumishi naomba unisaidie binti yangu wa kidato cha pili kusumbuliwa na kifua mara tu anaporejea shuleni.pia naomba umponye na mama yangu mzazi anayesumbuliwa na kuishiwa damu mara kwa mara, amina.
Nabii niombee Kazi zamikono yangu wabaya wangu wapigwee kwa jina la Yesu Kristor
Kwo unakubali mchawi akutese mbona mnamtukana mtumishi WA mungu ? Ujue maandiko ya biblia yanasema usiache mwanamke mchawi kuish Baba mungu akulinde miujiza yesu aliye kuwa akizisema asante❤❤❤❤❤❤
Mungu akubaliki sana mchungaji
Barikiwa baba naomba unikomboe mm nafamilia yangu baba tunateswa sana nawachawi
Jaman uyonae hatar kutuma nyoka akiamungu
Aminaa
Tabiri juu yangu baba naomba nisaidie napata shida kwenye maisha yangu
Mtumishi bwana yesu asifiwe naomba uniombe. mim nafamily yang namme wang pya naomba uniombe nijifungue salam
Marine water
Amin
Mungu ni mwema Nabii naomba ntabirie mim Magreth John
Nabii kiboko wa wachawi mwombee kaka yangu Onisaeli Jackson yko kalazwa Muhimbili hali yake sio nzuri kabisa vipimo vinaonyesha ana homa ya ini amepoteza kumbukumbu kabisa kwa uwezo wa Mungu kupitia wewe najua utapona
Nakuamini paster watching from kenya
Mungu wanabii was uchawi kila uchawi utakao inuka juu yangu uteketee Kwa moto Kwa jina la YESU
nabii kiboko ya wachawi niombee mimi na ukoo wangu maisha ya furaha na amani naandaa kikao mwezi wa sita 2024
Bwana yesu asifiwe mtumishi baba napitia majaribu makubwa sana sina kaz kila mwanaume ninae ishi naye ananiacha mimba sibebi baba najuwa wewe ndie msaada pekee kwenye maisha yang
Kama mtu huna imani na nabii kaa kimya wacha ss tunaemwamini tupate uponyaji kwa jina la Yesu na kwa damu ya Yesu wachawi wafeee kabisaaaaaa
nabiiii kazi yako nimeiyona mungu akubaliki sana tena sana
❤amin
Abarikiwe
Naomba niokoe mtumishi wa Mungu
baba nabii mungu akulinde wanawo pigana nawewe mungu apigane nawo uwawachawi
Wewee acha upumbavu amna mchungaji hapo nimaigizo tuuu
Mm nashanga watu kila mtushi mushawi kwahio mnataka twende kwawanganga hatuachi kamwe
Kuja kwetu kilimanjaro jamani wilaya same kata hedaru;;! Mungu akupe kibali mtumishi
Naomba baba niisaidie nipate kupona Afya yangu na familiya yangu ipokeee kazi ndoa na nilipwe pesa zangu walizonizurumu
Mchawi anaye loga family yangu afe sasa hivi kwa jina la Yesu.
Funga mdomo kama uamini acha si tuamini wengin wamekufa so kwa mapenzi ya Mungu ko Mungu anamtumia mtumishi mungu akuponye
Naomba yeyote anaetesa familia yangu asiione Kesho
Wachawi wanatutesa,babaa tusaidie watoto wangu awajapata ndoa,wakike na wa kiume
Mungu nawomba uniponye mauvimbe kwenye kizazi
Jamani hawa watumishi wa Bwana hawajajiita wenyewe wametumwa na mungo acheni kuwakashifu kikubwa ni IMANI
Baba mume wangu amepata ajari ya kutatanisha nisaidie
Wakomeshe kabisa
Niombee baba naomba uniombee nifunguliwe Mimi na familia yangu pia naomba umuombee mama yangu apone maradhi yanayomsumbua Mimi berry Tarimo
Kama kuna mtu anayemroga mtoto wanga aungue kwa jina la yesu amen
Mmeshindaje uko
Achakumtukana mtumishi was mungu
Dying beared
Akufe leo kwa jina la yesu
Naomba msaada kwa watoto wangu mchungaji
Nami nipo marekani naomba maombezi yako🙏🏿
Mnaontukana mtumishi ipo siku mtamtafuta aawasaidie
Lifeee tuu! Tuanateseka sana.
Ameni
Naitwa Daniel Damian. Naomba maombi yako Mtumishi. Mpango yangu haifanikiwi kila nikipanga
Njoo Kenya please sisi tunahitaji msada wako
Nisaidie baba ali yangu inabadika kila siku na sio maisha yangu aya
Uje na shinyang mtumish
Baba mimi nipo zanzibar nataka unionbee pamoja na familia yangu ganzi imetAwala kwenye nyumba yangu
Naitwa kadoda Mohamed niombee mtumishi wangu
Baba mume wangu amepata ajari kwa njia yakutatanisha amefariki nisaidie
Naomba yoyote aliyechafua Familia zetu aadhibiwe
Amina
Naomba uniombee😅 niweze kupata kazi na uniombee mungu anifungulie ni pate mume niolewe
kazi njema baba wachawi wana tesa watu sana niombeye n'a mimi baba ni Daniel from Congo Drc
Baba naomba unisaidie naumwa baba,naitwa Ashula moshi
Hii Ni mchezo
Tuna kupata vizur
Mtumishi wa naomba kuniombea ninashinda
Nikweli hata na mimi weme mukibiza mama yangu😢😢😢
Naomba baba msaada wako uniokoe Mimi mwanao ninapitia shida kubwa ya kes
Msaada wa namba
Nabii tunakuomba sana kipindi cha redio na sisi wa Moshi tupate
Wachawi wabaya sana wafe
Ata bibilia imeandikwa usimuache mchawi aishi
Ubarinkiwe saaana BABA
Mtumishi naomba komboa familiar yangu na
Baba yangu
Baba nisaidiya mm na nyumba yangu mm Niko Saudi naninatesaka sana baba ni saidiya na maombi
Tunapokea
Wafeeeee wanaotutesaaaa
Akate Moto baba wanatutesa ss
Njoo Moro baba
Uishi milele baba
Naomba niombee familia yangu ipone kwani tumekua tunaota misiba tu
Pointi
Mchawi asiishi akafie kwao baba
Imeandikwa wasiachwe waishi.afie mbaliii