Eng hersi naendelea kutoa mawazo kwa club ya yanga tafakarani sana na mabadiliko ya tasisi hii ya yanga msichukulie poa hii kadhia ya hajji manara lazima muangalie ukubwa wa tasisi na malengo ya taasisi kwa sasa mie naona hili jambo linaenda kuleta mpasuko
Yaani mm huwa nashindwa kuelewa hivi huwa inakuwaje mwandishi unamhoji mshabiki wa Simba unamuuliza kuhusu Yanga?au mshabiki Yanga kumuuliza kuhusu Simba?na cha ajabu kila siku mashabiki wa Simba wanaizungumzia Yanga lakini wanayanga wapo bize na mambo yao.
Kisugu ww ni hatar yaan nakukubali sana tena kwenye kipind cha nongwa za msimu kinachoonyeshwa azam cku ya j2 yaan huwa unaongea point sana yaan unamsikiliza mtu vzr than unajuwa wp pa kumshika yaan hata wanayanga wawe 1,000;000 hawakuwez ww peke yako ukisoma coment yako nitumie namb yako nikutumie pesa ya bando
KWAZA WEWE MSEMAJI WA POWER MEDIA NI MNAFIKI MKUBWA NAZANI HATA KWEYE FAMILIA YAKO UNAIFITINISHA WEWE UNAKUJA KUMULIZA KISUGU NINANI YEYE NI RAIS WA YANGA AU NI MFAYAKAZI WA TFF WEWE BRO UNAFANANA NA WANAWAKE
Nakukubali kisugu leo umeongea kitu cha maana haji hawamtaki kweli akufukuzae akwambii toka unaona mambo yanabadilika
Sijaipenda raisi mrudishe manara
Jamani ebu muacheni aji manara
Jamani tuachieni haji wetu tumemzoea sanaah 😢
HAJI RADHI YA USALITI KWA SIMBA INAMTAFUNA
Kisugu.sikuzote.nakupenda.kwakuongea.ukweli.leo.umemaliza.uyo.Haji.atakiwi.anataka.ajielewe.asi.bembeleza.Yanga
Manara ataangikasan
Ww mchambuzi msenge pamoja na kisugu
Kweli umesema hatakiwi huyo
Asitaafu tu mpira make anaenda kudharirika huyo Haji huko mbeleni
Mwenyewe simtaki mi mwananchi
Umenifurahisha kwenye Biblia kiukweli
Mi nikikuona tu najuwa nasikiliza madini kaka kisugu una bayaaaa
Iyo kufungiwa manara miaka 2 sio Tff ni yanga wenyewe maana hawamtaki nani alifungiwa muda mrefu kushinda manara
Ubaya wa wachambuzi mnashindwa kuuliza mambo ya msingi mnaleta unafijki,ila siezi nikawalaumu nalaumu elimu mlionayo
Inaonrkana ww ni msomi mzuri lkn hujatumia ipasavyo elimu yako ya dini.
Leo kisugu umeongea uhalisia kila mtu ana zama zake,ni vyema tu Haji asalimu amri
ally kamwe nafasi ile in mfiti zaidi, kuliko haji
Hakuna msemaji yoyote nchi hii anaeweza kumfikia haji manara hasa kwenye inspiration hayupo na hatokaa atokee .....
ACHA AVUNE UNAFIKI WAKE.
ALITUDHALAU SISI SIMBA
SIJUI NI MGENI WA NAN
Eng hersi naendelea kutoa mawazo kwa club ya yanga tafakarani sana na mabadiliko ya tasisi hii ya yanga msichukulie poa hii kadhia ya hajji manara lazima muangalie ukubwa wa tasisi na malengo ya taasisi kwa sasa mie naona hili jambo linaenda kuleta mpasuko
Toka nikujue leo ndio ume ongea chamana😅😅
Yaani mm huwa nashindwa kuelewa hivi huwa inakuwaje mwandishi unamhoji mshabiki wa Simba unamuuliza kuhusu Yanga?au mshabiki Yanga kumuuliza kuhusu Simba?na cha ajabu kila siku mashabiki wa Simba wanaizungumzia Yanga lakini wanayanga wapo bize na mambo yao.
Manara ni muhuni hata mimi simtaki
Tatizo unafatilia ya wenzako sijue ya kwako sangapi?!
Kisugu ww ni hatar yaan nakukubali sana tena kwenye kipind cha nongwa za msimu kinachoonyeshwa azam cku ya j2 yaan huwa unaongea point sana yaan unamsikiliza mtu vzr than unajuwa wp pa kumshika yaan hata wanayanga wawe 1,000;000 hawakuwez ww peke yako ukisoma coment yako nitumie namb yako nikutumie pesa ya bando
Kipengele mkiej mkebojd kipendd kiwanja magomeni
Mbona Simba wamefurahi?
Hivi nyie vichwa vyenu vimejaa mavi au nyie ndo mnaiongelea yanga kisugu kama ww siyo mwehu badi utakuwa chiz
😂
Mpuuzi wewe! Yanga ni ya yeyote!
Aende shambani akalime 🤣🤣 ubaya ubwela
Kwelii kabisi
Haji manara shida inayommeza anajipenda yy na kujipa ukubwa kuliko taasisi kitu ambacho kina fanya anajizika akiwa hai
KWAZA WEWE MSEMAJI WA POWER MEDIA NI MNAFIKI MKUBWA NAZANI HATA KWEYE FAMILIA YAKO UNAIFITINISHA WEWE UNAKUJA KUMULIZA KISUGU NINANI YEYE NI RAIS WA YANGA AU NI MFAYAKAZI WA TFF WEWE BRO UNAFANANA NA WANAWAKE
Sijaipenda raisi mrudishe manara