NONDO ZA KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA SACP THEOPISTA MALLYA KWA WAAMINI WA PAROKIA YA KISASA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 เม.ย. 2024
  • Karibu kuwa Mwanafamilia ya PRECIOUS BLOOD TV Hii ni Chaneli ya Uinjilishaji wa Neno la Mungu
    Tafadhali endelea Kufuatilia, kusapoti na kuiwezesha iweze kutangaza zaidi Neno la Mungu kwa njia hii ya Kiteknorojia
    Tafadhari Subscribe, Like, Comment na Ku share tone Hili la Upendo kwa Watu wengine
    waweza kutupata kupitia mitandao ya
    TH-cam -PRECIOUS BLOOD TV
    Fesbook- PRECIOUS BLOOD
    Instagram- PRECIOUS BLOOD

ความคิดเห็น • 38

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 หลายเดือนก่อน +6

    Askari wa kubwa wengi wao niwastarabu Sana Ila huku chini mmh balaa

  • @nuhumhagama2132
    @nuhumhagama2132 หลายเดือนก่อน +3

    Yuko vizur hata songwe tulimfurahia sana

  • @HusnaJjj
    @HusnaJjj 18 วันที่ผ่านมา

    Safi sana kamanda mallya hakika tutaendelea kukuombea pongezi kwa mama samia tunae mtetezi wa watoto

  • @alfredmtundu9558
    @alfredmtundu9558 หลายเดือนก่อน +2

    Afande nimekupenda bure katika ubora wako wa nywele za asili. Safi sana

  • @ROBERT75376
    @ROBERT75376 24 วันที่ผ่านมา

    Safi sana. Huu utaratibubni mzuri natumaini uko nchi nzima. Nashauri kama hakuna mpango wa kutembelea taasisi na taasisi za elimu, utaratibu ufanywe kazi hii iwe endelevu na ikiwezekana hata ngazi ya kata na mitaa. Hongereni sana Jeshi la Polisi.

  • @PeterPaul-yf6ut
    @PeterPaul-yf6ut 6 วันที่ผ่านมา

    MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KAZI YAKO IKO SIKU UTAPANDA ZAIDI

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubariki sana kamanda❤❤❤❤

  • @user-hp2ix5wp6i
    @user-hp2ix5wp6i หลายเดือนก่อน +2

    Uko vizuri Te'o pista

  • @mcback4384
    @mcback4384 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki utende haki sio kama wale police wengine wanaotumia mamlaka yao kufunga watu kisa wanakula mchana na hawaamini miungu yao kinyume kabisa cha katiba

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 24 วันที่ผ่านมา +1

    Sagi sana

  • @juliusakilimali9424
    @juliusakilimali9424 หลายเดือนก่อน +1

    Your Part of Solutions!! Not part of Problems!! God Bless You!!!

  • @MelkMtui
    @MelkMtui หลายเดือนก่อน +1

    Hongera kwa elimu nzuri kamanda

  • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
    @kwayaviwawaparokiayabashne9281 หลายเดือนก่อน +1

    Mkuu wa Polisi Hongera Sana jamani Mama

  • @christianahia97
    @christianahia97 หลายเดือนก่อน

    Afande MUNGU wetu Akubariki Akujaalie katika Majukumu yako. Sabato Ni ishara Kati ya MUNGU wetu na sisi Watu wake.ni Agano la Milele

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 หลายเดือนก่อน +2

    Afande upo vizuri sana ila sasa unaonekana ni mpole sana, punguza upole Mama, kwakweli upo vizuri Mungu akubariki sana.

    • @ROBERT75376
      @ROBERT75376 24 วันที่ผ่านมา

      Nadhani sio mpole. Anatumia taaluma ya kumfanya asikilizwe na wengi na kumuelewa. Ukali mara nyingi sio njia nzuri ya kumuelewesha mtu. Ukali una mahali pake.

  • @user-hf6kg9ks3g
    @user-hf6kg9ks3g หลายเดือนก่อน +1

    Hongera mama upo vizuri saana!

  • @rithaurassa
    @rithaurassa หลายเดือนก่อน +2

    Sijawahi Kuna kamanda kama wewe barikiwa San. Wengi wao ni makatili San. Hawajui DUNIA tunapita.Maafande WOOTE chukuen mfano Kwa huyu msione DUNIA ni yakwenu. Dada afande wew ni muungwana sana.

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu afande ana ofu ya mungu angekuwa traffic hata leseni unaweka nyumbani akikukama anakupa elimu kwanza kabla achukui rushwa

  • @florachogo243
    @florachogo243 หลายเดือนก่อน +1

    Afande uko vizuri

  • @mchikirwambombeyagonja4311
    @mchikirwambombeyagonja4311 หลายเดือนก่อน +2

    Asante kamanda

  • @florachogo243
    @florachogo243 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai หลายเดือนก่อน

    Kweli manka umeongea vizuri mambo haya mabaya hayakubaliki

  • @floridachami9090
    @floridachami9090 หลายเดือนก่อน

    Piga kazi dd yangu uko vinzur

  • @DaudiMazengoMasterDTEM
    @DaudiMazengoMasterDTEM หลายเดือนก่อน +2

    Kila lakheri ktk majukumu yako kamanda. Inatakiwa hii iwekwe ktk redio zote kama kipindi maalumu hii hotuba ya kamanda

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd หลายเดือนก่อน +1

    hahaaa aseee manka hakiamungu umenifulahisha kweli et,,,,,,,,

  • @jerometesha7379
    @jerometesha7379 หลายเดือนก่อน

    Asante mama

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd หลายเดือนก่อน +1

    dah nimaaskali wachache sana wakike wenye vyeo halafu wapo kawaida2 kama hyu afande nywele zake ziko kawaida2 huyu hata luchwa anakula kwa tabu kidog ana hofu ya mungu mama wawatu

  • @dorothtobias8053
    @dorothtobias8053 หลายเดือนก่อน +1

    Kamanda Nkuhungu tunateseka na makelele ufuska unafanyika kwenye baa 2 LAPATRONA NA NYINGINE IPO NJIA PANDA KWA SWAI TUNAOMBA MSAADA WENU.

  • @josephusimbanilo9500
    @josephusimbanilo9500 29 วันที่ผ่านมา

    Siku ya sabato ni jumamosi, na sio jumapli😊

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 22 วันที่ผ่านมา

    SAFI MAMA WEWE NDIE NAE JITAMBUA SASA AFANDE IGP MUACHE SASA UYU MAMA FANYE KAZI TUME CHOKA DODOMA KILA SIKU MA RPC WAPYA TUME CHOKA HAAAAAAAAA

  • @user-li6dl7qo6s
    @user-li6dl7qo6s หลายเดือนก่อน

    Hogera kamanda kwa mahubiri mazuri tembelea Kila kanisa hasa huku kwetu manyari

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l หลายเดือนก่อน

    Kumbe mnawatambua viongozi wa dini.

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 หลายเดือนก่อน

    Huyu alifaa kuwa IGP

  • @user-hp5zf2fw4o
    @user-hp5zf2fw4o หลายเดือนก่อน +1

    Tunataka maaskari kama huyu

  • @piusmapunda5900
    @piusmapunda5900 17 วันที่ผ่านมา

    RPC Theopista una Hekima za kutosha, una sifa ya kiongozi bora ni mpole na mtaratibu.

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 หลายเดือนก่อน

    Huyu mama apewe maua yake.

  • @SYLIVERIOKILIMILA
    @SYLIVERIOKILIMILA หลายเดือนก่อน +2

    Huyu askari anasali ndiyo maana mstaarabu