NONDO ZA KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA SACP THEOPISTA MALLYA KWA WAAMINI WA PAROKIA YA KISASA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 เม.ย. 2024
- Karibu kuwa Mwanafamilia ya PRECIOUS BLOOD TV Hii ni Chaneli ya Uinjilishaji wa Neno la Mungu
Tafadhali endelea Kufuatilia, kusapoti na kuiwezesha iweze kutangaza zaidi Neno la Mungu kwa njia hii ya Kiteknorojia
Tafadhari Subscribe, Like, Comment na Ku share tone Hili la Upendo kwa Watu wengine
waweza kutupata kupitia mitandao ya
TH-cam -PRECIOUS BLOOD TV
Fesbook- PRECIOUS BLOOD
Instagram- PRECIOUS BLOOD
Askari wa kubwa wengi wao niwastarabu Sana Ila huku chini mmh balaa
Yuko vizur hata songwe tulimfurahia sana
Safi sana kamanda mallya hakika tutaendelea kukuombea pongezi kwa mama samia tunae mtetezi wa watoto
Afande nimekupenda bure katika ubora wako wa nywele za asili. Safi sana
Safi sana. Huu utaratibubni mzuri natumaini uko nchi nzima. Nashauri kama hakuna mpango wa kutembelea taasisi na taasisi za elimu, utaratibu ufanywe kazi hii iwe endelevu na ikiwezekana hata ngazi ya kata na mitaa. Hongereni sana Jeshi la Polisi.
MUNGU AKUBARIKI SANA KWA KAZI YAKO IKO SIKU UTAPANDA ZAIDI
Mungu akubariki sana kamanda❤❤❤❤
Uko vizuri Te'o pista
Mungu akubariki utende haki sio kama wale police wengine wanaotumia mamlaka yao kufunga watu kisa wanakula mchana na hawaamini miungu yao kinyume kabisa cha katiba
Sagi sana
Your Part of Solutions!! Not part of Problems!! God Bless You!!!
Hongera kwa elimu nzuri kamanda
Mkuu wa Polisi Hongera Sana jamani Mama
Afande MUNGU wetu Akubariki Akujaalie katika Majukumu yako. Sabato Ni ishara Kati ya MUNGU wetu na sisi Watu wake.ni Agano la Milele
Afande upo vizuri sana ila sasa unaonekana ni mpole sana, punguza upole Mama, kwakweli upo vizuri Mungu akubariki sana.
Nadhani sio mpole. Anatumia taaluma ya kumfanya asikilizwe na wengi na kumuelewa. Ukali mara nyingi sio njia nzuri ya kumuelewesha mtu. Ukali una mahali pake.
Hongera mama upo vizuri saana!
Sijawahi Kuna kamanda kama wewe barikiwa San. Wengi wao ni makatili San. Hawajui DUNIA tunapita.Maafande WOOTE chukuen mfano Kwa huyu msione DUNIA ni yakwenu. Dada afande wew ni muungwana sana.
Huyu afande ana ofu ya mungu angekuwa traffic hata leseni unaweka nyumbani akikukama anakupa elimu kwanza kabla achukui rushwa
Afande uko vizuri
Asante kamanda
Barikiwa
Kweli manka umeongea vizuri mambo haya mabaya hayakubaliki
Piga kazi dd yangu uko vinzur
Kila lakheri ktk majukumu yako kamanda. Inatakiwa hii iwekwe ktk redio zote kama kipindi maalumu hii hotuba ya kamanda
hahaaa aseee manka hakiamungu umenifulahisha kweli et,,,,,,,,
Asante mama
dah nimaaskali wachache sana wakike wenye vyeo halafu wapo kawaida2 kama hyu afande nywele zake ziko kawaida2 huyu hata luchwa anakula kwa tabu kidog ana hofu ya mungu mama wawatu
Kamanda Nkuhungu tunateseka na makelele ufuska unafanyika kwenye baa 2 LAPATRONA NA NYINGINE IPO NJIA PANDA KWA SWAI TUNAOMBA MSAADA WENU.
Siku ya sabato ni jumamosi, na sio jumapli😊
SAFI MAMA WEWE NDIE NAE JITAMBUA SASA AFANDE IGP MUACHE SASA UYU MAMA FANYE KAZI TUME CHOKA DODOMA KILA SIKU MA RPC WAPYA TUME CHOKA HAAAAAAAAA
Hogera kamanda kwa mahubiri mazuri tembelea Kila kanisa hasa huku kwetu manyari
Kumbe mnawatambua viongozi wa dini.
Huyu alifaa kuwa IGP
Tunataka maaskari kama huyu
RPC Theopista una Hekima za kutosha, una sifa ya kiongozi bora ni mpole na mtaratibu.
Huyu mama apewe maua yake.
Huyu askari anasali ndiyo maana mstaarabu