WITO/KUITWA KATIKA NDOTO NA MAANA ZAKE PR/SHEIKH: JAFARI MTAVASSY (R.A)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • Watu wengi wamekuwa wakiteseka na hili lakini leo acha niseme kwa uchache atakae uliza kwa coment kabla sijamaliza kipindi ni bahati yake nitamjibu hapa hapa inshaallaah

ความคิดเห็น • 95

  • @Mariam-cm9ou
    @Mariam-cm9ou ปีที่แล้ว +2

    Asante mi huwa naota naitwa na boss wang,mara watoto wake

  • @arally23
    @arally23 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asalam Alaykum Shekh. Mimi nimeota mdogo wangu ananiita dada, dada, dada, lakini nilikua mzito wa kuitika badala yake nilikua nasema, Subhanallaah, Alhamdulillah Laylahayllah, Allah Hu AKBAR. Alizidi kuniita,na wala sikuitika. Nanilikuwa nahisi kama nilikua naitwa kweli lakini baada ya muda mfupi niliamka na sikumkuta mdogo wangu.

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  3 หลายเดือนก่อน

      kama hukuwa unaitwa kweli basi umeghafirika na dunia fanya ibada ipasavyo

  • @imansaid8020
    @imansaid8020 3 ปีที่แล้ว +1

    Shukran Shekhe, mimi niliota nipo katika nyumba kubwa2 ila niko jikoni na wezangu nataka kukaa , nikasikia naitwa , nikaenda ambopo ilikuwa maeneo ya chumbn ila nimetembea nimefika kwenye kivaranda nikaongalia kule chumbn sikuona mtu kulikuwa na giza tu, nikasimama pale kwenye kivaranda naangalia tuu sikuenda kule chumbn, mpaka nikaamka .

  • @FatumaMuhamed-yc9wh
    @FatumaMuhamed-yc9wh 2 หลายเดือนก่อน

    Assalamualaikum warahmatullhwa niliota viongozi watatu wakuu wanchi wamekaa kikao

  • @Sherry-s5h
    @Sherry-s5h 2 หลายเดือนก่อน

    Shalom mtumishi wa Mungu,nini maana ya kuota mtumishi wa Mungu anatunza alf akaniita na mimi nikaitika

  • @duniaduaratv1216
    @duniaduaratv1216 3 ปีที่แล้ว

    The great person of our country tutajivunia milele uwepo wako hakika, tanguli ulipo nipatia msingi ule sheikh mpaka leo nashukuru sana mambo yangu yamebadilika saaana

  • @FatumaMuhamed-yc9wh
    @FatumaMuhamed-yc9wh 2 หลายเดือนก่อน

    Assalamualaikum warahmatullhwa wabarakat naomba ufafanuzi kuhusu ndoto yakusoma surat kafiruun

  • @bintsoud
    @bintsoud 2 ปีที่แล้ว +1

    Asalama alekum mimi nililala nikachukuliwa na usingiz mzito nikaitwa mara moja sauti ya mwanaume nikashtuka faster

  • @MwanaishaMabrouk
    @MwanaishaMabrouk 6 หลายเดือนก่อน

    Assalamu alaekum Mimi nimeota Kuna mtu Ana kalamu na karatasi ametaka nimtajie Jina la mdogo wangu mtotp wa shangazi yangu nimemtajia alalia ndika Kisha languna baba na babupia akaandika

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 ปีที่แล้ว +1

  • @janethmtangi4936
    @janethmtangi4936 ปีที่แล้ว

    Asalam alaykum shekh mimi nimeota mtu ananiita kama vile namfahamu lakini skumuitika na nikafunga mlango

  • @MuasitiAboBakri-ew5mu
    @MuasitiAboBakri-ew5mu 2 หลายเดือนก่อน

    Napitia wakati mgumu nipo kikazi nje manyanyaso huzuni, ila nikalala mda wa asubuhi jumanne , nikalala . Gafla mtu anaongea Ali kuwa mwanamke 🤲🤲🤲kwakweli maneno alikuwa anaongea maneno mabaya kwa kweli yakukatisha tamaa sana 🤲 ila nikasema nikawa na mtaja allahu sw majina yake hadi nikazinduka kiukweli najisikia vibaya

  • @anwarabduullahrawahi2067
    @anwarabduullahrawahi2067 3 ปีที่แล้ว

    Nipo nakukubali shegh

  • @rizkirizki1348
    @rizkirizki1348 ปีที่แล้ว +1

    Asalamu alaykum shehe mm nimeota naitwa na ndugu yangu

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  ปีที่แล้ว

      utapata rizki inshaallaah pesa n.k

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 ปีที่แล้ว +1

    Mimi pia nimeota naitwa sikuitika

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  ปีที่แล้ว

      Utapishana na rizki pole sana.

  • @kichechemtundu4061
    @kichechemtundu4061 3 ปีที่แล้ว +1

    Shehe typo pamona sana Alwa akupe afya njema yaani mimi kila nikiangalia ndoto unavyozifasiri huwa naona baadhi ya matukio na yametokea hivyovyo, Ubarikiwe daima

  • @omaromar-j8r
    @omaromar-j8r 7 หลายเดือนก่อน

    Asalamu alaikum Mm shahe nimeota ananita mama angu nje Kwa huzun hiii shehe vipi hii

  • @angle3600
    @angle3600 2 ปีที่แล้ว +1

    Thank you

  • @JacklinAyubu
    @JacklinAyubu 9 หลายเดือนก่อน +1

    Asnte shekh mimi nimeota naitwa na mmama nisie mjuwa nikama alikua anafanya kaz zanyumban najina alilo niita nalo silijuw amenita mama zura mara tatu nikaitika huyu mama nilimuona ila simjuw alikua mama wanyumban ila akaa niita kwa jina la mwanangu ila ilo jina silijuw ila kwenye ndoto nikaona nalijua nikaitika nn maana yake shekh

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  8 หลายเดือนก่อน

      utapata kheri au neema kiasi inshaallah kwa kiasi cha sauti yake au utamsaidia muhitaji

  • @zopaidaass370
    @zopaidaass370 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukran

  • @MwanaishaMabrouk
    @MwanaishaMabrouk 8 หลายเดือนก่อน

    Assalamu alaikum Mimi nimeota Jina langu kwa ukamilifu yaani Jina langu la baba na Babu kwenye boksi ya kibiriti Nini maana yake

  • @AhmedMohamed-so7db
    @AhmedMohamed-so7db 10 หลายเดือนก่อน

    Asalam alykm warhama tullah mm nimeota naitwa na mwanamke yuko chumban Kuna mwanga na kavaa macheni shingon na hapa kwenye paji la uso nn maana yake

  • @chesangvihendah4303
    @chesangvihendah4303 7 หลายเดือนก่อน

    Ata sielewi just go straight to the point

  • @IdrisaMbarouk
    @IdrisaMbarouk 5 หลายเดือนก่อน

    Sheikh A.alykm

  • @barkernassir-xd1mt
    @barkernassir-xd1mt ปีที่แล้ว

    Sheghe mm nimeota Jana tuko wanawake wengi Kama vile tulikua tunangoja majibu alie feli kupitia redio wakatajwa kidogo alafu nikatangazwa na mm kwa redio nikawaambia wenzangu mm sija tajwa sija sikia jina langu lkn kwa roho yangu na maskio niliskia jina langu limetajwa kwa redio Tena yote matatu kwa mmoja alie feli sija ielewa

  • @Mamuu-x1v
    @Mamuu-x1v ปีที่แล้ว +1

    Shekhe naomba unisaidie kuniambia maan ya ndoto yangu

  • @saidamwavuo9926
    @saidamwavuo9926 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi leo usiku nimesikia sauti ya bosi wangu wa kiume akiniita lakin sikuitika maana yake ni nn

  • @hdmmaster9033
    @hdmmaster9033 2 ปีที่แล้ว

    Asalam alekhum shekh samahani nimeota ninaitwa kwa jina langu

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      sasa ningejua jina lako ndio ningejua la kukujibu lakini pia je uliitika au laa je muitaji ulimjua au kumuhisi akilioni?

    • @feristangonyani
      @feristangonyani ปีที่แล้ว

      Nimeitwa felista mala moja alafu nimeitika nikashtuka😥

  • @MauwaSuleiman
    @MauwaSuleiman 6 หลายเดือนก่อน

    Mm nimeota naitwa na mamkwe wangu kwa mfululizo km Mara nne ivi nikawa mzito kuitikia mwisho nikaitikia kwa hafla na kushituko kwenye ndoto kujiona km nimeitwa kwel ivi

  • @MadenaIphone
    @MadenaIphone 10 หลายเดือนก่อน

    Shekh samahan naomba uweke namba yako yasimu kunandoto nimeiota mara 3 mfululizo yaan inajirudia vilevile

  • @oscarkamgisha3997
    @oscarkamgisha3997 2 ปีที่แล้ว

    Amani ya Mungu iwe juu yako nauliza udhalili ni nini

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      Kitendo cha kudhalilika au kufedheheka au kupata aibu , Wa,salaamu warahmatullaah wabarakaatuh

  • @MejumaaJuma-l4l
    @MejumaaJuma-l4l 3 หลายเดือนก่อน +1

    je ukitwa na mtu unanjuwa lakini usitikee

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  3 หลายเดือนก่อน

      Lazima tujue jina lako na jina lake na wadhifa wake kwako

  • @ابنعثمن
    @ابنعثمن 2 ปีที่แล้ว

    Mi nimesikia naitwa mara mbili na mwenye sauti namjua,sikuitika,nikaamka.
    Saa saba usiku.
    Mwezi Jumada tarehe 18 Hijria.

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      yeye anaitwa nani na wewe nanai jina lako ?

  • @BimkubwaHaji-eg5je
    @BimkubwaHaji-eg5je ปีที่แล้ว

    Shehe mm nimeota nimeitwa zaidi ya mara tatu na mwanamme

  • @ZenaShabani-p3p
    @ZenaShabani-p3p ปีที่แล้ว +1

    Shekhe mimi maranyingi naota naitwa nawatu ninae wajuwa lakini naitwa tu hawanambiyi cocote yani naisikiya sauti naitwa tu

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  ปีที่แล้ว

      Jinanlako nani? Na je hukuita kwa jina lako?

  • @PiliRamadhan-b2x
    @PiliRamadhan-b2x 24 วันที่ผ่านมา

    Mimi nimeitwa namtu namjuwa ila sijaitika

  • @KhalfanHamad-y1y
    @KhalfanHamad-y1y หลายเดือนก่อน

    A.aleykum....sheikh nikilala usiku Kuna mtu ananishutuwa mara anishika mguu au anipija kofi au Anita jina langu Kwanguvu

  • @asiaibrahimasiaibrahim5418
    @asiaibrahimasiaibrahim5418 2 ปีที่แล้ว

    Shekhe mm nimeota Kuna mwanamke ananiita jina langu na simjui

  • @BimkubwaHaji-eg5je
    @BimkubwaHaji-eg5je ปีที่แล้ว

    Kabla sijaitwa nilikua naota niko nyumbani kwetu kama Kuna msiba

  • @feristangonyani
    @feristangonyani ปีที่แล้ว

    Nimeota nimeludi nyumbani,nimejikuta naenda shule,,baadae nikasikia naitwa ferista yaani mtu simuoni,nimesikia sauti nzito sana yavkuitwa

  • @ChichiSekiko-go1lm
    @ChichiSekiko-go1lm ปีที่แล้ว

    Shekhe Mimi niliota mtu ananiita huku ananifata anasema nimpe kofia langu la nywele la kuvaa kichwani, Ila alipotua tu hakuniona Ila Mimi nilikuwa namuona.

  • @elizabethnangira1633
    @elizabethnangira1633 11 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh leo nimeota ndota naitwa na mtu nikiwa naenda zangu nilisikia uto ya jina yangu nikageuka nyuma nikaona mwanamke mweupe ananiita nikaitika nikaenda hapo lakini akaniambia nimsalimie nikakata

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  10 หลายเดือนก่อน +1

      wewe mrudie mungu wako ndugu yako na utafute sulushu baina yako na uliyekosananae utanishukuru baadae

  • @KhadijaFadhili-z9k
    @KhadijaFadhili-z9k 8 หลายเดือนก่อน +1

    Niliota naibiwa kiatu

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  8 หลายเดือนก่อน +1

      mwenza wako anachepuka au utaibiwa kiatu hakika kabisa

  • @HamidakomboKombo-xs2ju
    @HamidakomboKombo-xs2ju ปีที่แล้ว

    Assalamualaikum sheikh mm nimeota naitwa na mamdogo ila sijui alipo sasa nilikua namtafuta nikastuka Nini maana?

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  ปีที่แล้ว

      wewe kuna haja unaumuhimu nazo kutekeleza ila zinakwama, au itatokea hivyo

  • @nyamwinukankwera3749
    @nyamwinukankwera3749 2 ปีที่แล้ว +1

    Samahani Shehe nimeota nipo jikoni badee nikasikia watu wanaongea nikatoka kwenda kuwaona nikawakuta wapo Saloon ya kiume ila kulikuwa na bonde kubwa kinyozi hakuwepo nikawaambia subirini nikamuite nilivo fika nikaanza kumuita hakuitika nikasikia sauti ya mtoto ikimuita ,samahani Shehe nisaidie maana yake

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      taja majina ya watu walioonekana kwenye ndoto hii kwa mpangilio kama wawajua na hilo uliloita ndotoni

  • @vickywingstone3551
    @vickywingstone3551 2 ปีที่แล้ว

    Kaka mim nimeota nipo katika kaoshi yangu ila wamekuja watu wengi sana mpaka wazungu ila hapo nikawa nipo katika kibanda nauza nazi nawauzia waschana

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      hii ni pesa na uchumi inshaallaa

  • @anwarabduullahrawahi2067
    @anwarabduullahrawahi2067 3 ปีที่แล้ว

    Asalam aleykum sheghe

  • @anwarabduullahrawahi2067
    @anwarabduullahrawahi2067 3 ปีที่แล้ว

    Mimi ukunijibu

  • @mariamjacob3477
    @mariamjacob3477 2 ปีที่แล้ว +2

    Nimeota naitwa na wadada wawili wamejitanda dirishani wananiita jina langu inamaanisha nini?

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      Kama uliitikia hapo itategemea na je alikuwa sehemu mbali kidogo au laa na je alikuita jina lako hilo lina maana gani ? Nieleze hayo kwanza

  • @mussamtupa
    @mussamtupa 2 ปีที่แล้ว

    Asalam alaykum mm SHEKH chumbani kwangu kuna bubujika maji yanasambaa chumba kizima yanatokea mpaka nje ila hayana madhara hii inajirudia rudia nisaidie SHEKH maana yake.

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      Wa,salaamu warahmatullahi
      Usiogope pesa hiyo inshaallah

  • @JacklinAyubu
    @JacklinAyubu 9 หลายเดือนก่อน +1

    Tena huyo mama alivyo niita nikaitika nashutuka nipo naitika nini maana yake shekh

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  8 หลายเดือนก่อน

      hapa wafasiri mabingwa wanasema itategemea maana ya jina lako ndio tafsiri itakuja, sasa tuambie waitwa nani. lakini wapo waliosema kwamba ukiitikia ni nzuri na usipofanya hivyo sio ishara njema utakosa riziki na M/Mungu ndiye mjuzi zaidi

  • @husseinabdallah5499
    @husseinabdallah5499 ปีที่แล้ว

    Kutwa na mwanamke unaemjua

  • @allyshaban4288
    @allyshaban4288 ปีที่แล้ว

    Unamaelezo mengi hadi nashindwa kuelewa tafsili yako shekh punguza maelezo namifano toa tafsili yandoto yakuitwa bs

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  ปีที่แล้ว

      Soma surat faatiha kila siku mara kumi ili Allah akufanyie wepesi wa kufahamu na ukiweza surat AL A'LAAA

  • @catharinebonphace-ci9ri
    @catharinebonphace-ci9ri ปีที่แล้ว

    Je ukisikia sauti ya mtu unaemjua inakuuita ukiwa haujalala alafu ukaitika inamaana gani

  • @yusterherbet9119
    @yusterherbet9119 11 หลายเดือนก่อน

    Nimeota nipo Kansan ila kunamtu mbele kavaa mavazi meupe ameketi akaniita jina langu na kuniambia nisome fungu flani ila silikumbuki,Nini maana yake.

  • @KasimAbasi-wy5qe
    @KasimAbasi-wy5qe ปีที่แล้ว

    Shekhe kuota unaitwa jina lako

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  ปีที่แล้ว

      Uliitakia au ulinyamaza ?

  • @PrisilaTumaini
    @PrisilaTumaini 10 หลายเดือนก่อน

    Naota naitwa usiku alfu huyo mtu anayenita najua inamaana gani, yaani naitwa mama juma mama juma alfu anayenita najua inamaana gn

  • @teresawere3678
    @teresawere3678 3 ปีที่แล้ว +1

    Nili hota nime okota bwanangu ame katwa vipande na amekufa

  • @aishajuma468
    @aishajuma468 2 ปีที่แล้ว

    Aslm alykm .nimeita namuita mtu nakaita nikashutuka sana.

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      Sijakuelewa

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  2 ปีที่แล้ว

      Wa,salaamu warahmatullaah

  • @MwanaishaMabrouk
    @MwanaishaMabrouk 8 หลายเดือนก่อน

    Nimeota nnasoma suatul Nnajmi Nini maana yake

  • @fayzaathumani-vq9hl
    @fayzaathumani-vq9hl ปีที่แล้ว

    Nimeota naitwa na watu ninae wajua wamenita kwaukar arafu wakacheka

  • @faridaismail4041
    @faridaismail4041 2 ปีที่แล้ว

    Shekh samahani ukiota mume wako anakuita hali yakuwa mmetengana mud si mrefu nn maana yake

  • @anwarabduullahrawahi2067
    @anwarabduullahrawahi2067 3 ปีที่แล้ว +1

    Mimi uota naitwa na sauti ya mwanangu lakini nikiamka nakuta wamelala je hi inakuaje

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  3 ปีที่แล้ว

      Kama kadhia ni hiyo himo ndani kuna Jinni Sukkaan al bayt ndiye anaefanya hiyo kitu, pole sana nitataja hapa inshaallaah alama za nyumba yenye Jinni wa aina hiyo ndugu tuombeane dua hapo ni kufanya dua na nzuri zaidi kama utafanya dua katika mfumo wa Ruqya ya Nushra

    • @annntabo7518
      @annntabo7518 ปีที่แล้ว

      Nimbie tafadhali

    • @annntabo7518
      @annntabo7518 ปีที่แล้ว

      Mimi nilisikia mtu amekita akiniambia nisaidie mweye amekufa lakini nikiamka huyo mtu ako hai

  • @MunazAlly-nu5qd
    @MunazAlly-nu5qd ปีที่แล้ว +1

    Ukiota umeitwa na ex wako

    • @MTAVASSYTv
      @MTAVASSYTv  ปีที่แล้ว

      kurudi kwenye maisha ya zamani au safafi ya mwisho kwa vitendo

  • @PiliRamadhan-b2x
    @PiliRamadhan-b2x 24 วันที่ผ่านมา

    Mimi nimeitwa namtu namjuwa ila sijaitika