JE! NAWEZA KUZALISHA NYANYA KWA KUTUMIA SAMADI PEKE YAKE?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025
- Samadi ni kiungo muhimu sana katika uzalishaji WA MAZAO mbalimbali lakini pia katika urekebishaji wa afya ya udongo . pamoja na UMUHIMU WA samadi lakini ni lazima kutumia mbolea za viwandani kwa uzalishaji wenye tija.
Jamani nani kaona ndugu yetu ananenepa hahahahahahahaaaaaaas😂😂😂😂😂😂😂😂
Safi sana broo
😂😂😂😂😂❤️ Siri napenda ninachokifanya kinanipa uhuru wa moyo 😂😂😂😂😂😂🙏
Nmekuelewa sana kaka
Mwalimu mzuri good teacher
Asante sana endelea kubarikiwa 😀🙏
❤❤❤nakusomaaa minja kilimo❤❤❤❤
❤❤🙏😂😂 endelea kubarikiwa ndugu yangu na mwanafunzi wangu Bora
Aisee nilichelewa sana
Pole sana na karibu darasani uendelee kujifunza
Asante
❤Unanisaidia sana kaka.
Nashukuru kama nagusa maisha yako 🙏❤️
Uko sawa san
🙏💪
Kaka je kuna tofauti ya mavuno kwa atakayetumia mbolea ya viwandani tu bila kutumia samadi
Hakuna tofauti wote watavuna sawa ila atakae tumia samadi faida yake ni kwamba atalinda afya ya udongo wake usichoke mapema
Mawazo mazuri nikikuzia mbolea ya kuku haitasaidia virutubisho vyote ?
Haiwezi