"AFANDE MIMI NI MTANZANIA, SIJATEMBEA TU NA KITAMBULISHO, NIMESOMA TABORA, NIMEPATA DIVISHENI 3"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2022
- "AFANDE MIMI NI MTANZANIA, SIJATEMBEA TU NA KITAMBULISHO, NIMESOMA TABORA, NIMEPATA DIVISHENI 3"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Wa kwaza leo😂😂😂😂 nipate na mchumba sasa😂😂
Mahari unayo tuyajenge mim nipo
@@joycesimon760 Inapendeza 😁#HiviNiKweli itagharamia ndoa 😅😅 @jack&
Atoe mahari tuoane
@@joycesimon760 Ahahahahahahaha! 😃😀😆🤣
😃😅😂
Wasafi msaidien huyo kijana aendeleze masomo yake'mtalipwa na mungu
Huyu Mwanafunzi kaniumiza jamani, ningeomba tumsaidie sisi sote, tumeni namba yake tmlipie ada arudi shuleni, ni meumia sana wenye Ada hatawaki shule wanaotaka shule hawana Ada.
Ichi kipindi hua napenda sanaa hua kinanichekesha na kuniudhunisha kama huyu mwanafunzi mungu amjalie bila yakipindi hiki asinge onekana nahisi atapata msaada mosanya nakukubali sanaaa
Kasi nzur sana mwanangu unyama sanaana Motown SONYA+61
Sema We Muongoza Kipindi Kidogo Auko Sawa Kwasababu Unaingilia Sana Mazungumzo Ya Afande Na Muulizwa Maswali Tuone Mtetemo
huy mwanafunz yupo vzr San
Nimesikia kulia kwa huyu kijana kumbe hawa wamachinga wengi ni changamoto tofauti za maisha kisha migambo wanawazalilisha mwengne daah inauma wanyonge ndio tunaonewa kweli wtt wa wenye pesa haziwakuti aibu hizi 😭😭
Dah 😢😢😢😢
Huyu jamaa anaejifanya Askari ananifurahisha anavyojifanya Yuko serious 😂😂😂😂😂
Vitambulisho mpaka nitoke kijijini niende nauli sina yakufika mkoani 2leteeni nass vijini kweli maojiano ya kweli
Pole sana kijana imenigusa
Iinabd muwe na washauri kuwapa Faida ya kutembea na Vitambulish Next kipind swala linalozungumzia mamb ya kijamii jitaidin muw na washauri
Masikini. Ana juu ya kusoma. Alafu pesa ndogo kbs. Inakisesha masomo
Mshone nguo za kipolice kabisa ili kipindi ninoge vizuri
Hii kweli miyeyusho
😀😆🤣😃😂
Na D ya history C ya civics😂😂😂😂
Well created
Kazi ipo elewa swali jibu swali
Iki kipindi uwa nakielewa sana yan ata kama una stress unakaa poa
Hahahahahah sasa mambo ya kwenda nyumbani yanatoka wapi hahahahah
😢😢 daaaa
Ukimaliza ajira mtihani tena
🔑
Kipindi kizur lakin kunasku atakuja kukurupuka mbio mtu na agongwe na gar barabaran hapo🤣🤣🤣
Daaah uyo w redio nae "huyo ni wa Malawi kamataaaa"
Nilichogundua kuwa watz atuna destuli ya kutembea na kitambulisho.
Watu wanaibiwa sana na ikipotea kupata nyingine sio rahisi
Kwa sababu ya kupoteza na pia kukipata tena mtihani...why inakuwa ngumu na pia inategemea na kazi unayofanya ndg
Nimeamini wa Tz bado hatuna elim ya Kujua Haki Raiya na haki yake na haulizi kabisa maswali ya msingi
Kuna mzee kakimbia polee kwenye tank
Wabongo tuna shida saana 😜 kitu kama hukijui sema tu hujui Sasa mrisho kawa Mbunge linii😅😅😅
Yaaan😂😂😂
🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂😂
😅😄😂😃🤣😆😀
Mii kazi zangu zaa.... Zaa.. ndoivo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hhaha
Ni kweli we sanya hukutakiwa kumsaidia kipindi anahojiwa sasa inakuwa haina maana ya msg iliyotakiwakufikishwa.....alafu mwisho wa kipindi ulitakiwa mumwambie mtu umuhimu wa kutembea na kitambukisho na hasara zake pia..sasa wewe umemaliza kienyeji sana haieleweki nini anatakiwa kufanya ...na kwamba kweli huyo askari ni feki sio askari official. Yangu ni hayo tu
Hahahahaaaa jamaniiiiiii jamniiiii sanya utakujakutuuua wew
Hoja Sio Ya Msingi Couse Nida Wenyewe Awatowi Vitambulisho
Hahahahhaa wabongo bwanaa
Dah jamaa wa kidato cha sita amenitia huruma sana
Hii episode ya 3 inaniliza😢
mnafanya kitu kizuri kwakweli elimu inahitajika,nitajitahidi nifanye iyo kazi
Dah ninacheka sana isee
Wabongooo tuache uongo
Watanzania baadhi yao bd kbs hawja elimika. Kbs. Kitambulisho. Chanulaiya lzim. Utembee nacho mana Kuna hajal. Kuna matatizo. Kinawza kukudaidia kukutambulisha ww ni Nani. Na ukajukikana na ndugu Zako
Kabisa ila punguza kuchapia 😄😄😄😄
Hacha mtuu ajibu mwenyewe
Askari mjingamjiga kama huyo,,namtoa pua , maa a hajitambui
🤔🤔pumbavu San
Nilichogundua watu wako busy na kutafuta Hela
Hapo wewe unakuwa unaharibu kipindi
Moosanyaa una zinguwa
Hahahah inapendeza saaana
Fanya ivi kila Siku kabla ya kulala 👉👉th-cam.com/video/LG3o1_NO6m0/w-d-xo.html
🤣🤣🤣🤣🤣
Moosanya wewe upaswi kuingiriya maxungumzo
😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Nifanyie nije kutoa posa Sasa 😁
Achen sumbua wapambanaj mnaznguA
Nyie ndo msie elewa hp. Wenzako wmaelimisha mtanzania lzm utembee na kitambulisho Kuna hajal naajanga. Kila. Cku. Kinakudaidia eti ss kinaka ndani ilo. Iweje
Kama hana kitambulisho huyo sio mtanzania kamataa
Sio Tz tu ID lazima uwe nacho mfukoni ndio kinakueleza ukiwa n shida yyte